×

Habari

Waziri Ummy Awasimamisha Kazi Watumishi Wanne

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi wiki...

READ MORE

Waliochanjwa Kenya Kuchanjwa Tena

WIZARA ya Afya ya Kenya imezishauri hospitali kuacha kutoa dozi ya kwanza ya chanjo ya AstraZeneca kwa ajili ya kujikinga...

READ MORE

Historia ya Kagame, Rais Aliyeitoa Rwanda Machinjioni! – Video

PAUL Kagame alizaliwa RWANDA, akakulia ukimbizini, akatembelea kucha, akaonja adha ya kuwa mkimbizi, akaapa kurudi kwao, na kweli akarudi kwa...

READ MORE

Watu Laki 4 Watoroka Mlipuko wa Volkano Congo

UMOJA wa Mataifa umesema kwamba zaidi ya watu 400,000 wametoroka Mji wa Goma nchini DR Congo kutokana na hofu ya...

READ MORE

Mgambo Matatani kwa Tuhuma za Mauwaji

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma linawashikilia askari wanne wa Jeshi la Akiba la Mgambo, kwa tuhuma za kumpiga na...

READ MORE

Vitu Vipyaa! Kuuzwa kwa Mnada Bei Chee – Video

TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKERS LIMITED kwa idhini tuliyopewa tunawatangazia mnada wa hadhara utakaofanyika Jumamosi hii ya Mei 29,...

READ MORE

Fainali Ya Uefa League Wikiendi Hii

Meridianbet haijawahi kukuacha kinyonge. Baada ya Fainali ya Europa League iliyokuwa na Odds bomba. Sasa, unaweza kufurahia Wikiendi yako ukibashiri...

READ MORE

Fursa Kwa Wabunifu Afrika Mashariki

MFUKO wa kusaidia biashara ya ubunifu Afrika Mashariki wa HEVA (EACBF) umetoa fursa kwa wabunifu kuomba mkopo utakaowawezesha kuwavusha baada...

READ MORE

Majaliwa Awasimamisha Kazi Watendaji Wizara ya Fedha

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi pamoja na baadhi...

READ MORE

Rashford Ateta na Obama

MSHAMBULIAJI wa Manchester United na England Marcus Rashford, amezungumza na aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama kuhusu jinsi vijana wanaweza...

READ MORE

Babu Tale Atinga Kijiji Wanachotumia Mti Kupata Mawasiliano

   Wananchi wa kijiji cha Matuli wilaya Morogoro Vijijini, jimbo la Morogoro kusini mashariki wameipongeza kampuni ya simu ya simu...

READ MORE

Matapeli Wanaoghushi Nyaraka Kutongozea Wanawake Wanaswa

JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga linawashikilia watuhumiwa watatu Dismond Zacharia (33) ambaye ni mwalimu, Feisal Hussein (27) Mpemba, mtaalamu...

READ MORE

RC Makalla Kutoa Usafiri kwa Ombaomba Wanaotaka Kurudi Makwao

Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam imesema ipo tayari kutoa usafiri kwa ombaomba wanaotaka kurudi kwao kwa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais wa Mahakama ya Afrika

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na...

READ MORE

RC Makalla Aagiza Ombaomba Waondolewe Dar – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewaagiza wakuu wa wilaya pamoja na wakurugenzi wa halmashauri za Dar...

READ MORE

Majaliwa: Tutaendelea Kusimamia Bei Nzuri ya Mazao

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia...

READ MORE

Mbowe: Chadema Hatutashiriki Uchaguzi 2025 – Video

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu ujao kama...

READ MORE

RC Makalla Aagiza Malipo Ya Fidia Mto Ng’ombe Yafanyike Jumatatu

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla Mei 26, 2021 ameelekeza ulipaji wa fidia ya wananchi Mto Ng’ombe...

READ MORE

IGP Sirro: Kinondoni Inaongoza kwa Uhalifu – Video

Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro amesema Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni unaongoza kwa Uhalifu hapa Nchini. Ametaja...

READ MORE

Pwani: Ajinyonga Kufuatia Tuhuma za Kuiba Tsh. 5,000

WATU wawili Pwani wamekufa katika matukio mkoani Pwani likiwemo la mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 14 aliyepoteza maisha...

READ MORE

Morogoro: Mbaroni kwa Kufukua Maiti na Kunyofoa Viungo

Watu watatu wanashikiliwa na Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kufukua mwili wa Rehema Michel, aliyezikwa Jumapili na kutoa viungo...

READ MORE

Yanga: Tutapambana Mpaka Tone la Mwisho

BAADA ya timu yao kutinga hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Kombe la FA, Kocha wa Makipa wa Yanga,...

READ MORE

Zuma Akanusha Mashtaka Yote 18 ya Ufisadi

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma amekana mashtaka yote 18 ya ufisadi anayokabiliwa nayo katika mahakama ya Pietermaritzburg...

READ MORE

Tanzania, Kenya Wajadili Vikwazo Visivyo vya Kiforodha

TIMU ya wataalamu kutoka Tanzania imekutana na timu ya wataalamu kutoka Kenya Jijini Arusha kujadili njia za kuondoa vikwazo visivyo...

READ MORE

Warundi Wauza Alkasusu Kortini Kisutu

RAIA 29 wa Burundi wanaodaiwa kuuza kahawa aina ya alkasusu na kahawa ya kawaida, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Ridhiwani: Mzee Kikwete Yupo Salama

Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekanusha taarifa za sintofahamu zilizosambaa kupitia mitandao ya kijamii zikimhusishia baba yake mzazi na...

READ MORE

Mwanamke Aamua ‘Kuolewa na Roho Mtakatifu’

Mwanamke mmoja kutoka kaunti ya Pokot Magharibi nchini Kenya amemtema mumewe kwa madai kwamba aliagizwa na Mungu kufunga ndoa na...

READ MORE

Mwanamke Aolewa na Wanaume Saba

Mwanamke mmoja ambaye ni Mganga wa Kienyeji nchini Nigeria ameweza kuolewa na wanaume saba tofauti, amesema wanaume wake hawawezi kumsaliti...

READ MORE

Supermoon: Mwezi Mkubwa Mwekundu Utaonekana Wapi?

MAPEMA tarehe 26 mwezi Mei utakuwa katika wakati maalum. Kupatwa kwa mwezi mwaka 2021 kunafanyika huku mwezi ukitarajiwa kuwa mkubwa...

READ MORE

Kwa Mara ya Kwanza Dkt. Bashiru Atema Nyongo Bungeni

DAKTARI Bashiru Ally, Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, jana tarehe 25 Mei 2021, amesimama bungeni kwa mara ya kwanza na...

READ MORE

Carol Ndosi: Tulitamani Rais Mwanamke, Sasa Tunasubiri Kuona – Video

MDAU wa Masuala ya Maendeleo na Usawa wa Kijinsia, Carol Ndosi amesaema ni hatua kubwa kwa Tanzania kama Taifa kuwa...

READ MORE

Kesi ya Zuma Kuanza Kusikilizwa Leo

KESI ya ufisadi dhidi ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma inatarajiwa kuanza leo, baada ya kuahirishwa mara...

READ MORE

Vodacom Yajiandaa na Siku ya Mazingira Duniani

  Katika kuelekea maandalizi ya siku ya kimataifa ya mazingira duniani, Mkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation, Rosalynn Mworia...

READ MORE

Mbunge Ataka Kupanda Juu ya Meza Bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum (CCM),  Jacqueline Msongozi ameomba kupanda juu ya meza akiwa kwenye ukumbi wa Bunge ili kuieleza dunia kuwa...

READ MORE

Wafanyakazi Wakata Keki Maadhimisho Siku ya UBA Afrika 2021

Mwenyekiti UBA Group na Mwanzilishi wa Taasisi ya Tony Elumelu Foundation, Tony Elumelu aliwaongoza viongozi wengine wa kimataifa wa Afrika...

READ MORE

Mtandao Wa Elimu Tanzania Kuadhimisha Juma La Elimu Wilayani Rorya

  MTANDAO wa Elimu Tanzania (TEN/MET) umetangaza kufanya maadhimisho ya Juma la Elimu (Global Action Week for Education-GAWE) kwa mwaka 2021...

READ MORE

Mikopo ya NMB Masta Boda Yatua Rasmi Kanda ya Kaskazini

  Kutokana na changamoto ya madereva boda boda na pikipiki aina ya miguu mitatu kutomiliki vyombo vyao vya kazi, Benki...

READ MORE

Majambazi Wanaswa Dar, Kamanda Wambura Atoa Kauli – Video

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Camilius Wambura, amesema jeshi hilo limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa kadhaa wa matukio...

READ MORE

Kaseke Aibeba Yanga, Yatinga Nusu Fainali ASFC

TIMU ya Yanga imefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la shirikisho (ASFC) baada ya leo kuilaza...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mwana wa Kifalme Ikulu Dar

Rais Samia Suluhu Hassan leo Mei 25, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia...

READ MORE