×

Habari

Radi Yajeruhi Wanafunzi 16 Geita – Video

Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa...

READ MORE

Rais Lungu Apigwa Chini Zambia, Upinzani Washinda

Mgombea wa chama cha upinzani UPND cha nchini Zambia, Hakainde Hichilema ameibuka mshindi wa urais kwa kupata kura milioni 2,810,757...

READ MORE

SADC Yaamua Rasmi Matumizi ya Lugha ya Kiswahili

Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC limepitisha rasmi bajeti kwa ajili ya kuhakikisha Kiswahili kinatumika...

READ MORE

Yanga Walivyokwea Pipa Kueleka Morocco -Video

 KIKOSI cha Yanga leo kimekwea pipa kueleka Morocco ambapo kituo cha kwanza itakuwa ni Dubai kisha wataunganisha safari kuelekea...

READ MORE

CRDB Marathon 2021 Yafanikiwa Kukusanya Nusu Bilioni Kusaidia Afya

Mbio za hisani za kimataifa zilizoandaliwa na Benki ya CRDB “CRDB Bank International Marathon” kwa mwaka 2021 zimefanikiwa kuandika rekodi...

READ MORE

Watanzania 207,391 Wapatiwa Chanjo ya Uviko-19

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto imesema mpaka kufikia jana Agosti 14, jumla ya...

READ MORE

Nandy Afunguka “Sijaachana na Billnass” -Video

 Sexy lady kunako Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amefunguka ishu ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Waziri Ummy Amsimamisha Kazi Afisa Mtendaji wa Kijiji – Video

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Mtendaji wa...

READ MORE

Justin Bieber Amshukuru Wizkid kwa Kumpa Kolabo

  Staa wa muziki Ulimwenguni @justinbieber amemshukuru @wizkidayo kwa kumpa nafasi ya kushirikiana nae kwenye wimbo wake wa #Essence Remix...

READ MORE

Madai Ya Diamond na Harmo Kutumia Dozi Kutanua Mwili

WASANII wengi, hasa wa Bongo Fleva wanaoshinda ‘gym’ kwa ajili ya kutafuta mbavu nene (six packs), wanadaiwa kutumia dozi maalum...

READ MORE

NMB Yatoa Misaada ya Mil. 20/- Kwa Shule Kimara, Sinza Magomeni

BenkiI ya NMB, kupitia Program ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), imetoa msaada wa viti na meza 150 kwa Shule Sekondari...

READ MORE

‘Take Bite Out of Life’ ya Serengeti Lite Kuwabeba Vijana Wenye Vipaji, Uthubutu

      Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Lite, imezindua kampeni mpya na ya...

READ MORE

Ajali: DC Msando Ahamishiwa Muhimbili

Watu watano wamejeruhiwa katika akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Albert Msando na Mkuu wa Wailaya ya Ulanga, Ngollo Malenya...

READ MORE

Mrembo Akutana na Babake kwa Mara ya Kwanza Kupitia Facebook

MREMBO Mkenya ameibua hisia mseto mitandaoni baada ya kusimulia namna alikutana na baba yake kwa mara ya kwanza kupitia Facebook....

READ MORE

Mzee Ajinasua Mikononi mwa Watekaji Baada ya Gari Lao Kupata Ajali

MZEE mmoja huko Maragua, kaunti ya Murang’a, alinusurika jaribio la utekaji nyara baada ya gari alilokuwa akisafirishiwa nalo kupata ajali...

READ MORE

Taharuki! Wakuta Jeneza Nje ya Nyumba

Wenyeji wa kijiji cha Karando wameingiwa na hofu baada ya kuamka asubuhi na kupata jeneza lililokuwa na kuku na rozari...

READ MORE

Muuguzi Feki Aiba Mtoto Hospitali

MAMA mmoja kutoka kijiji cha Esokota kaunti ya Kajiado anaishi kwa wasiwasi baada ya kuibiwa mtoto wake wa umri wa...

READ MORE

Simanzi! Ndugu Wawili wa Familia Moja Wauawa na Polisi

MAELFU ya waombolezaji wamekusanyika katika uwanja wa shule ya msingi ya Kianjokoma kaunti ya Embu jana Ijumaa, Agosti 13, 2021...

READ MORE

Upinzani Waongoza Uchaguzi wa Rais Zambia

KIONGOZI wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema amechukua ushindi wa mapema. Matokeo ya awali yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi yanaonesha...

READ MORE

Breaking: DC Msando Apata Ajali

MKUU wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro baada ya gari aliyokuwa amepanda kugongana...

READ MORE

Ndugai Afafanua Kuhusu Lazima ya Wabunge Kuchanjwa

Ofisi ya Bunge, imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za upotoshaji zinazosambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii zinazodai wabunge ambao hawatachanja...

READ MORE

Ifahamu Kampuni Bora ya Kubashiri Mtandaoni Tanzania-Winprincess

Habari njema kwa wadau wa Soka,Kama tunavofahamu Ligi kubwa Duniani zimerejea sasa. EPL ya Uingereaza, SerieA Ya Italia , Laliga...

READ MORE

Sabaya Aanza Kujitetea Mahakamani

Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang’anyi kwa kutumia silaha aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Mazito Zao la Zabibu Dodoma, “Tulidanganyika”

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekagua shamba la zabibu la Chinangali II wilayani Chamwino Dodoma, Agosti 13, 2021 akiambatana na Waziri...

READ MORE

Waziri Aweso Ateua Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amemteua CPA Joyce Msiru kuwa Mkurugenzi wa mamlaka za maji nchini. Bi. Joyce Msiru alikuwa...

READ MORE

Breaking: Simba Yamtambulisha Mbadala Wa Chama

KIKOSI cha Simba leo kimemtambulisha nyota mpya ndani ya kikosi hicho Duncan Nyoni kwa ajili ya msimu ujao wa 2021/22....

READ MORE

Kesi Ya Mbowe, Wenzake Watatu Utetezi Waomba Kupelekwa ‘HighCort’

  Wakili wa Utetezi, Peter Kibatala akizungumza na wanahabari baada ya kuahirishwa kwa kesi hiyo. UPANDE wa utetezi katika kesi...

READ MORE

Polisi Wapya 3,000 Kuajiriwa

JESHI la Polisi nchini Tanzania, limeajiri askari polisi wapya zaidi ya 3,000. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar. Taarifa hiyo imetolewa jana...

READ MORE

Kesi ya Ugaidi! Mbowe Aigeuzia Kibao Serikali

KIONGOZI wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar...

READ MORE

Daktari Aliyeishiwa Nguvu Kwenye Mdahalo Afunguka Kilichotokea

DAKTARI aliyeishiwa nguvu wakati akitoa mada kwenye mdahalo Dk Sospeter Bulugu amefunguka na kusema alipatwa na tatizo la kushuka kwa...

READ MORE

Tanzia: Dk. Massawe Afariki Dunia

Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Augustine Massawe amefariki dunia leo Agosti 13,...

READ MORE

Maafa Mafuriko China

MIJI mitano mikubwa katika jimbo la katikati mwa China, Hubei, imetangaza hali ya hatari baada ya mvua kubwa kukatiza huduma...

READ MORE

KALI KULIKO- Jipe Punguzo, Nunua Infinix Note 10, Hot 10, Hot 10Play au Hot 101

  Baadhi ya matukio yanayoendelea katika kipindi hiki cha kali kuliko. Niliandika awali kuhusu promosheni ya Infinix KALI KULIKO na...

READ MORE

Msimu Mpya, Vibe Jipya Ndani Ya EPL Na Laliga Wikiendi Hii

Baada ya kukaa miezi 3 bila soka la vilabu barani Ulaya, hatimaye Agosti 13,2021 imefika na viwanja vyote kuanza kurindima...

READ MORE

Sabaya, Wenzake Kuanza Kujitetea Leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, imesema aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya (34) na wenzake...

READ MORE

Rasmi Chama Auzwa Berkane Ya Morocco

Klabu ya Simba imethibitisha kumuuza mchezaji wake, Cloutus Chama kwa miamba ya soka ya Morocco, Berkane RBS. Ofisa Habari wa...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Kusikilizwa Kwa njia ya ‘Video Conference’-Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameshindwa kufika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,...

READ MORE

Breaking News: CEO wa ASAS Afariki Dunia

Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Makampuni ya ASAS, Alhaj Faraj Ahmed Abri, amefariki dunia hii leo Agosti 13, 2021 Jijini Dar...

READ MORE

Live: Serikali Yatangaza Chanjo Kwa Wote,Tozo Miamala Kuna Jambo

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Chama Awashtua Mashabiki Kuibukia RS Berkane ya Morocco

 CLATOUS Chama kiungo namba moja kwa kutengeneza pasi za mwisho usiku wa kuamkia leo Agosti 13, 2021 ametajwa kujiunga na...

READ MORE