×

Habari

Trafiki Aporwa Simu Barabarani Akiongoza Magari – Video

VIDEO ya askari wa usalama barabarani katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, akiibiwa siku yake ya mkononi na wanaume watatu...

READ MORE

Mbuta Nanga Awapa Somo Mastaa Wanaotumia Bidhaa Feki, Awapa Ujanja

  Staa wa Bongo Muvi na Mfanyabiashara maarufu Bongo na nchini Uingereza Frollah Lyimo a.k.a Mbuta Nanga amewapa somo mastaa...

READ MORE

Trump Afungua Kesi Dhidi ya Twitter, Facebook na Google

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amefungua mashtaka dhidi ya kampuni za Twitter, Facebook na You Tube.Trump mwenye umri...

READ MORE

Fahamu Waliyomuua Rais wa Haiti, Walivyopenya Kwenye Himaya Yake

Jeshi la Polisi nchini Haiti limewaua watu wanne na kuwakamata wengine wawili kwa tuhuma za kumuua Rais wa nchi hiyo,...

READ MORE

Zuma Kupata Dhamana Baada ya Miezi Minne

WAZIRI wa sheria wa Afrika Kusini Ronald Lamola amesema rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma ambaye ameanza kutumikia...

READ MORE

Viongozi wa Kidini na Jamii, Wapewa Semina na TACAIDS

Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) ikishirikiana na UN WOMEN, imeandaa warsha ya siku mbili,inayoendelea kufanyika katika ukumbi wa chuo...

READ MORE

NMB Kunogesha Mbio za Zanzibar International Marathon

Benki ya NMB imedhamini mbio za KM 5 za Zanzibar International Marathon 2021 zinazotarajiwa kufanyika 18 Julai mwaka huu zenye...

READ MORE

Mbowe: Corona Imemuua Kaka Yangu – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, amefiwa na kaka yake ajulikanaye kwa jina la Charles Mbowe....

READ MORE

Membe Apata Ajali Lindi

Mwanasiasa mashuhuri nchini ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje akiwa CCM na mwaka 2020 kugombea urais wa Jamhuri...

READ MORE

Tajiri Aliyejijengea Kaburi la Bilioni 1 Akafariki, Mtoto Asimulia Mzito – Video

Takribani miaka minne iliyopita, mwaka 2018, tukio lisilo la kawaida lilivipamba vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi!...

READ MORE

Museveni Aagiza Waliomzushia Kifo Wakamatwe

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuna haja ya kuwakamata raia wa taifa hilo wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya.  ...

READ MORE

Hili Ndipo Eneo Safina ya Nuhu Ilipozama?

Nessebar ni mji wa zamani uliopo kandakando ya kisiwa. Kisiwa hicho kipo nusu maili ya nyumba moja ya mvuvi iliopo...

READ MORE

Rais Samia: Watanieleza Hizo Bilioni 1 Wamepeleka Wapi – Video

RAIS Samia Suluhu, amesimama barabarani eneo la Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro kusikiliza kero za wananchi wa eneo hilo ambalo...

READ MORE

Jamaa Amuua Babu ‘Mchepuko’ wa Mkewe

Mwanaume mmoja (40) mkazi wa kijiji cha Teso,Kusini mwa kaunti ya Busia nchini Kenya anashikiliwa katika kituo cha polisi cha...

READ MORE

Wasanii Kutua Tarime Na Buku Tano Yatosha

WASANII mbalimbali kutoka jijini Dar es Salaam, wote kwa pamoja wanaelekea Tarime mkoa wa Mara, kwaajili ya kutambulisha buku tano...

READ MORE

Breaking: Mbowe Apata Pigo Zito

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, amefiwa na kaka yake ajulikanaye kwa jina la Charles Mbowe....

READ MORE

🔴#LIVE​​​​​: Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Morogoro kuanzia Julai 7, 2021. Akiwa mkoani humo,...

READ MORE

England Yatinga Fainali ya Euro 2020, Kuvaana na Italia

BAADA ya Miaka 55, hatimaye Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kuingia hatua ya Fainali ya michuano ya Euro 2020,...

READ MORE

Nabi Apandisha Mzuka Yanga

BAADA ya kuvuna pointi tatu kwenye mchezo uliopita dhidi ya Simba, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameonekana mzuka umepanda...

READ MORE

Breaking: Rais Zuma Ajisalimisha Polisi

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amejisalimisha polisi kuanza kifungo cha miezi 15 jela baada ya kuhukumiwa kwa...

READ MORE

Rais Kenyatta Kuzindua Miradi Usiku Kwazua Mijadala

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekosolewa na raia wa nchi hiyo kwa kuzindua miradi wakati wa saa za amri ya...

READ MORE

Zimbabwe Yatoa Noti Mpya ya Thamani ya Juu Zaidi

Kuanzia Jumatano nchini Zimbabwe itasambazwa noti mpya ya dola 50, ikiwa ndio yenye thamani kubwa zaidi kuwahi kutolea Zimbabwe tangu...

READ MORE

Mke wa Rais wa Haiti Hajafariki

Mke wa aliyekuwa Rais wa Haiti Jovenel Moïse (aliyeuawa jana kwa shambulio), Bi. Martine Moïse (47) hajafariki kama ilivyoripotiwa awali...

READ MORE

Samia: Chokochoko Zimeanza, Washajua Matumbo Yao Yanajaaje – Video

    RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Morogoro na kupata...

READ MORE

Papa Francis Awateua Watanzania Wawili

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amewateua Padri Henry Mchamungu na Padri Stephano Musomba kuwa maaskofu wasaidizi wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi wa Barrick Gold

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 7, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Barrick...

READ MORE

Breaking: Rais wa Haiti Auawa Kwenye Makazi Yake

Rais wa Haiti Jovenel Moise ameuawa katika shambulio dhidi ya makazi yake mjini Port-au-Prince – amesema kaimu Waziri mkuu Claude...

READ MORE

Rais Samia Ataja Mikoa Yenye Wagonjwa wa Corona – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema wimbi la tatu la ugonjwa wa corona limeshaingia nchini na tayari kuna wagonjwa katika mikoa...

READ MORE

Balozi Mulamula Aapa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi EALA

BUNGE la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) limemuapisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata...

READ MORE

Sabasaba Kumekucha, Wananchi Waanza Kumiminika

Ikiwa leo ni Maadhimisho ya sabasaba mapema leo wananchi wameanza kufurika katika maonesho ya 45 yaBiashara yaKimataifa yanayofanyika viwanja vya...

READ MORE

Nabii Paul: Niliwaona Malaika Wakimbeba TB Joshua

KATIKA video iliyosambaa sana, mjumbe wa Mungu Nabii Paul alitabiri kwamba aliwaona malaika, waliomchukua Nabii TB Joshua kutoka duniani.  ...

READ MORE

Miili ya Watu Waliokufa Maji Yaokolewa

MIILI ya watu watano akiwemo mwanafunzi wa kidato cha nne waliokuwa wakihofiwa kufa maji Wilayani Singida imepatikana na kuopolewa baada...

READ MORE

Pasta Asherehekea Kifo cha TB Joshua

PASTA mmoja wa Uganda alisherehekea kifo cha Nabii Temitope Balogun Joshua, almaarufu TB Joshua, akimtaja marehemu kama “mchawi mkuu barani...

READ MORE

Aweso Amgomea Jen. Mwamunyange

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amekataa ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira DAWASA,...

READ MORE

Breaking: Ajali Yateketeza Maabara Sekondari ya Geita

AJALI mbaya imetokea usiku wa kuamkia leo Jumatano, Julai 7, 2021, baada ya moto kulipuka katika jengo la maabara ya...

READ MORE

Mzozo Waibuka Mazishi ya Rais Kaunda

BAADHI ya wanafamilia ya Rais wa zamani wa Zambia, Dkt. Kenneth Kaunda wamekwenda kortini kujaribu kuzuia mazishi yake katika uwanja...

READ MORE

Wanachama 17 NHIF Mbeya Mbaroni

Wanachama 17 wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) mkoani Mbeya wanashikiliwa na polisi wakituhumiwa kuisababishia Serikali hasara...

READ MORE

Mwanakijiji Moro Ashinda Zawadi Nono ya Gari la Mil 169 Kutoka NMB

Promosheni ya Benki ya NMB ya “Bonge la Mpango” imemalizika rasmi Jumatano wiki hii kwa mkazi wa Mkoa wa Morogoro,...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,  amezungumza kwa njia ya simu na Waziri wa Mambo ya...

READ MORE

Auawa Baada ya Kumfumania Mama Yake Mzazi na Mwanaume Mwingine

JESHI la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya kumchinja Budagala Vita (26), kwa kumcharanga...

READ MORE