×

Habari

Fahamu CPR Huduma Iliyookoa Maisha ya Christian Eriksen

  MASHABIKI wa kandanda wiki iliyopita walipatwa na huzuni baada ya mchezaji wa timu ya taifa ya Denmark, Christian Eriksen...

READ MORE

Wahadhiri Wenye Miaka 65 Waendelee Kufundisha- Dkt Tulia

NAIBU Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, ameisisitiza Wizara ya Elimu kuhakikisha wanaliangalia upya suala la Wahadhiri ili waweze kuendelea...

READ MORE

Hukumu ya Mdude wa Chadema Yaahirishwa

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya imeahirisha kusoma hukumu ya kesi inayomkabili kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Kazi Kwenu: Vitu Vinauzwa Bei Chee, Yani Sawa na Bure

SEPCO BEDT COLLECTION AND AUCTIONEERING CO. LTD kwa wa idhini tuliyopewa na mteja wetu tutauza vitu mbalimbali kwa mnada wa...

READ MORE

Afya ya Rais Lungu Ipo Vizuri

RAIS wa Zambia Edgar Lungu amewahakikishia wananchi kwamba yuko vizuri kiafya baada ya kuzimia wakati  akihutubia mkutano wa hadhara, jana...

READ MORE

Walimu 1135 Wapandishwa Madaraja

WAZIRI Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),  Ummy Mwalimu, amesema tayari wameshawapandisha madaraja walimu 1135...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Rambirambi Kifo cha Prof. Baregu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan Ametuma salamu za rambirambi kuaaatia kifo cha Prof. Mwesiga Baregu...

READ MORE

Israel Yajiandaa Kuapisha Waziri Mkuu Mpya

ISRAEL  ipo katika maandalizi ya kuapishwa kwa serikali mpya ambayo itamfanya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuwa upande wa upinzani baada...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awapa Maagizo Wakuu wa Mikoa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Kilimo na Maafisa Ushirika nchini washirikiane katika...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Benki Kushusha Riba (Picha +Video)

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kushusha viwango vya riba vinavyotozwa na benki mbalimbali,...

READ MORE

Rais Samia Azungumza Na Wananchi Wa Pansiasi Mwanza (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Pansiasi Jijini Mwanza wakati akielekea kuzindua...

READ MORE

Breaking: Profesa Baregu Afariki Dunia leo Muhimbili

Mwanachama wa Chadema na mwanazuoni, Profesa Mwesiga Baregu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumapili Juni 13, 2021 katika Hospitali...

READ MORE

Mhariri wa Star TV Nathan Lwehabura Afariki Dunia

  Mhariri Mkuu wa zamani wa Star TV Nathan Lwehabura amefariki dunia leo Juni 13, 2021 asubuhi Jijini Mwanza. Nathan...

READ MORE

Rais Samia Anza Ziara ya Siku Tatu Mwanza Leo, Mamia Wampokea -Video

 Wakazi wa Jiji la Mwanza, viongozi na watendaji wa taasisi na mashirika ya umma wamejitokeza kwa wingi kumlaki Rais...

READ MORE

Mfanyakazi Akamatwa Akituhumiwa Kumuua Mama na Watoto Wake

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa majina ya Shedrak Kapanga...

READ MORE

Dkt. Ndugulile Ajionea Huduma Ya Elimu Kwa Njia Ya Mtandao

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile amejionea huduma ya elimu kwa njia ya mtandao inayotolewa...

READ MORE

Polisi Wa Nigeria Wakabiliana Na Waandamanaji

Jeshi la Polisi nchini Nigeria, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya mamia ya waandamanaji walioingia barabarani leo katika maandamano ya...

READ MORE

Jol Master Amuumbua Coy Mzungu!

KIMEUMANA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mchekeshaji Jol Master kumuumbua laivu Bosi wake, Coy Mzungu, kwenye ukurasa wake wa Instagram....

READ MORE

Rais Samia Kuboresha Maslahi ya Madaktari

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameupongeza uongozi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI),...

READ MORE

Breaking News: Fredwaa Afariki Dunia leo Dar

MTANGAZAJI Fred Fidelis maarufu kama Fredwaa leo Juni 12, 2021 amefariki dunia Dar es salaam, amefariki baada ya kupata ajali...

READ MORE

Faru Emma Asafiri Kutoka Taiwan Hadi Japan Kutafuta Mapenzi

UNGEFIKIRIA ni binadamu pekee ambaye angeweza kufanya safari ya mwendo mrefu kutafuta mpenzi au hata mapenzi, Lakini   hata wanyama kumbe...

READ MORE

Breaking: Jeff Bezos Arejea Namba Moja Kwa Utajiri

Jeff Bezos, mwanzilishi wa Amazon ambao ni mtandao wa biashara, amerejea katika nafasi yake ya kuwa tajiri namba moja duniani,...

READ MORE

Prof. Mkenda Akutana na Vigogo Wa Uwekezaji Arusha

  Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imepitisha mbinu ya kukuza uwekezaji unaolengwa kuelekea mnyororo wa maalum wa thamani hususani katika...

READ MORE

Vivuko Viwili Vyasimamishwa

SERIKALI  imesitisha utoaji huduma za usafiri kwa vivuko viwili vya MV Athor na MV Orion vinavyofanya kazi kutoka Mwanza mjini...

READ MORE

Amuua Mumewe, Amkata Nyeti, Azikaanga

Kuna visa ukivisikia, lazima ujiulize mambo mengi sana. Dayane Machado (33); mdada wa nchini Brazil anaripotiwa kumuua mumewe kisha kumkata...

READ MORE

Mwalimu Achomwa Msumari Kichwani na Mwanafunzi

MAKACHERO wa kaunti ya Kericho nchini Kenya wanamsaka mwanafunzi wa kidato cha tatu aliyemshambulia mwalimu mkuu wake kwa kumchoma msumari...

READ MORE

Video: Afisa Wa Serikali Aiba Milioni 36 Na Kuacha Kazi Ghafla

 Inaelezwa kuwa kwenye halimashauri ya meru kuna upotevu wa pesa ya serikali zaidi ya million 48 ambapo mtumishi mmoja...

READ MORE

DCI Mpya Wambura Atoa Onyo Kali Kwa Wahalifu

  Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI) Camilius Wambura amesema Jeshi la Polisi halitamvumilia mtu yeyote atakayeendelea ...

READ MORE

Chalamila Akabidhi Ofisi Kwa RC Mpya Mwanza -Picha

Aliyekuwa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila leo Juni 11, 2021 amemkabidhi rasmi majukumu ya ofisi hiyo kwa Mkuu mpya wa...

READ MORE

Mahakama Yaridhia Herbinder Seth Kuletwa Kisutu Jumatatu

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia ombi la upande wa Jamhuri la kumpeleka Mkurugenzi wa Kampuni ya Kufua Umeme...

READ MORE

Nikiharibu Aulizwe Makinda- Ndugai

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Job Ndugai amesema kuwa endapo ikitokea ameharibu katika kazi zake basi...

READ MORE

Mama Maria Nyerere Amtembelea Mama Janeth Magufuli

MJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amemtembelea Mjane wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, awamu ya...

READ MORE

Mwanajeshi Ajiua Juu Ya Kaburi La Mkewe

ASKARI  wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Reginald Ruta amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa juu ya kaburi la...

READ MORE

Video: Kamanda Mpya DSM, Jumanne Murilo Azungumza

 KAMANDA mpya wa kanda maalum Dar, Jumanne Murilo, leo Juni 11, amezungumza na waandishi wa habari ikiwa ndio mara...

READ MORE

Mechi Za EUR0 2020 Kutimua Vumbi Rasmi Wikiendi Hii

Baada ya kuahirishwa kwa mwaka mmoja kutokana na Covid-19, sasa ni rasmi michuano hiyo kuanza wikiendi hii. Nchi Zaidi ya...

READ MORE

SportPesa Wazindua Promosheni ya Mshiko Deilee

 KAMPUNI ya ya michezo na burudani SportPesa wamezindua kampeni maalum kwa ajili ya mechi za mwezi huu. Promosheni hiyo ilizinduliwa...

READ MORE

Ndugai Atamani Mkutano wa Wanaume na Rais Samia

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa atamuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aitishe pia...

READ MORE

Bajeti 2021/2022: Bodaboda, Bajaji Faini 10,000 Kutoka Sh30,000

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba leo Juni 10, 2021 akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya serikali...

READ MORE

Serikali Kusamehe Kodi Kwenye Simu Janja -Video

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya serikali ya Tanzania kwa mwaka...

READ MORE

Waliochaguliwa JKT Watakiwa Kuripoti Makambini

  Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Brigedia Jenerali  Rajabu Mabele amewataka  vijana wote waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya...

READ MORE