×

Habari

Tanzia: Mwigizaji Mkongwe Cicely Tyson Afariki Dunia

  MWIGIZAJI mkongwe wa Marekani, Cicely Tyson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96. Dunia itamkumbuka kama mwanzilishi kwenye...

READ MORE

Kifurushi cha Sumu Chakutwa Ikulu, Wasaidizi wa Rais Waugua Ghafla

  WASAIDIZI wawili wa Rais wa Tunisia wameugua baada ya kufungua kifurushi kilichofikishwa katika ofisi yao kilichoshukiwa kuwa na sumu,...

READ MORE

Lokosa Fiti Kuibeba Simba Dhidi ya Mazembe

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes amesema kuwa straika mpya wa timu hiyo Junior Lokosa atakiwasha kwenye mchezo ujiao dhidi...

READ MORE

Serikali Kufutia Leseni Wanaopandisha Bei ya Mafuta ya Kupikia

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geofrey Mwambe amewaonya wafanyabiashara wa mafuta ya kula watakaopandisha bei ya bidhaa hiyo kinyume na...

READ MORE

JPM Azindua Maji ya Ziwa Victoria Kahama, Amsifu Waziri wa Maji – Video

RAIS  John Magufuli leo amezindua mradi wa maji wa Ziwa Victoria kwa ajili ya miji ya Kagongwa na Isaka mkoani...

READ MORE

Instant Keno kutoka Studio za Expanse, Kupitia Kasino ya Meridianbet Pekee

Weka utabiri wako kwenye namba 10 za bahati ukiwa unategemea faida kubwa kwenye mchezo wa Instant Keno kutoka Studio za...

READ MORE

Aweso Awaonya Watakaochezea Miradi ya Maji

WAZIRI wa Maji, Juma Aweso, amewatahadharisha wataalum wa Wizara ya Maji na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya maji kutokuchezea miradi hiyo...

READ MORE

Waziri Bashungwa: Karibuni Tuburudike Tamasha la Serengeti Dodoma

Tamasha la pili la Muziki nchini la Serengeti (Serengeti Music Festival) linatarajiwa kufanyika Februari 06, 2021 Uwanja wa Jamhuri jijini...

READ MORE

Biden Kusitisha Mauzo ya Silaha UAE na Saudi Arabia

Utawala wa Rais Joe Biden umesitisha kwa muda uuzaji wa silaha kwa mataifa ya Ghuba. Hatua hii inazuia mabilioni ya...

READ MORE

Rekodi Iliyowekwa na Nmb Baada ya Kupata Faida Zaidi ya Bilioni 295

Januari 28, 2021, Benki ya NMB imetangaza kupata faida ya TZS 205.5 bilioni baada ya kodi kwa mwaka ulioishia Desemba...

READ MORE

Mwalimu wa Kike Jela kwa Kufanya Ngono na Mwanafunzi Wake

MWALIMU ambaye ni mke wa mtu amekutwa na hatia baada ya kukutwa na hatia ya kumshawishi mwanafunzi wake wa kiume...

READ MORE

WHO Yaitaka Tanzania Kujiandaa Kwa Chanjo ya Corona

  IKIWA ni siku moja tu tangu Rais  John Magufuli kutaka Wizara ya Afya kutokimbilia chanjo ya corona, Shirika la...

READ MORE

Majaliwa Afanya Kikao na Machinga

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo (Alhamisi, Januari 28, 2021) amefanya kikao na Viongozi wa Wamachinga Tanzania katika Kituo cha...

READ MORE

NEMC Msifanye Kazi Ya Upolisi – Waziri Ummy Mwalimu

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Ummy Mwalimu ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi...

READ MORE

Amuua Mkewe kwa Kumpiga Mchi

PAULINA DAUDI (30) mkazi wa Mtaa wa Mageuzi Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga ameuawa kwa kupigwa ngumi na mchi...

READ MORE

Maharusi Waliotumia Baiskeli Wazua Gumzo

Mwanamke aitwaye Paulina Daudi (30) mkazi wa Mtaa wa Mageuzi kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga ameuawa kwa kupigwa ngumi...

READ MORE

Afariki Baada ya Kupewa Chanjo ya Corona

  TIM ZOOK, mtaalam wa mashine za x-ray, kutoka Santa Ana, California, Marekani,  aliyefurahia kuchanjwa dhidi ya virusi vya corona,...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kumpiga na Chupa Mwenzake

Mahakama ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam, Tanzania, imemuhukumu kwenda jela miezi sita Mkazi wa Chang’ombe, Oscar Sanga...

READ MORE

Meya Moshi Awaamuru Wajumbe Kuvua Barakoa

MEYA wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu Juma,  amewataka wajumbe waliovaa barakoa katika kikao cha baraza la madiwani kuzivua kwa...

READ MORE

JPM Aipandisha Hadhi Kahama, Amsamehe DED – Video

RAIS  John Magufuli ameipandisha hadhi Halmashauri ya Kahama Mji kuwa Manispaa ambapo sasa Kahama Mji itajulikana kama Manispaa ya Kahama....

READ MORE

Lipumba Amwangukia Maalim Seif, Amwomba Arudi CUF

MWENYEKITI wa chama cha Civic United Front (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemwomba aliyekuwa Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, ...

READ MORE

JPM: Watendaji Wangu Msiwe na Nidhamu ya Uoga – Video

  RAIS  John Magufuli amewataka wabunge wawabane mawaziri kwa kuwahoji ili wawajibike kutatua kero za wananchi.   Ameyasema hayo leo...

READ MORE

LIPA ADA Kwa Airtel Money Kwenye Akaunti ya Shule

Airtel Tanzania leo, imekumbusha wateja wake juu ya suluhisho rahisi la kulipa karo ya shule kupitia Airtel Money moja kwa...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 314 Mbaroni Dar, Rc Kunenge Atoa Onyo Kali

  MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Aboubakar Kunenge amesema Katika operesheni ya pamoja iliyofanywa na vyombo vya ulinzi...

READ MORE

Waziri Mkuu Apewa Saa 24 Kujiuzulu

Wabunge wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamepiga kura kumuondoa madarakani Waziri Mkuu, Sylvestre Ilunga Ilukamba na wamempa saa 24...

READ MORE

Buchosa Mpya Sasa Kuwagusa la Pili Hadi la Saba Mpaka Sekondari

Kampeni ya Buchosa Mpya, Peleka Mtoto Shule imeendelea jana katika Kata ya Kasisa, Nyakasungwa na Bukokwa ikiwa ni mwendelezo wa...

READ MORE

Ofisa Habari wa Yanga Afungiwa na TFF, Mbali na Kulipa Faini

Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli kutojihusisha na mchezo wa mpira wa miguu ndani...

READ MORE

Sanamu ya Taswira ya Ngono Yamfadhaisha Mhojiwa kwenye TV

MWANAMKE mmoja, Yvette Amos, wa Uingereza, alipata mfadhaiko mkubwa baada ya kuhojiwa katika kipindi cha BBC Wales Today wakati nyumba...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Kuchukua Ardhi Bila Kulipa Fidia

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi amepiga marufuku halmashauri, Taasisi na Watu binafsi kuchukua maeneo...

READ MORE

Geita: Watoto Waangukiwa Ukuta, Wafariki!

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba chanzo kikitajwa kuwa ni mvua inayoambatana...

READ MORE

Biden, Putin Wajadili Mahusiano ya Urusi na Marekani

RAIS wa Marekani Joe Biden amezunguza kwa njia ya simu na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, na kujadili masuala kadhaa...

READ MORE

JPM: Watanzania Waliochanjwa Nje, Wametuletea Corona ya Ajabu – Video

  RAIS  John Magufuli amewatahadhalisha Watanzania kuhusu chanjo ya Covid-19 inayoendelea katika mataifa mbalimbali na kuwasisitiza kusimama imara huku akisisitiza...

READ MORE

Majaliwa Ashiriki Mazishi ya Mbunge Martha Umbulla

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi  (CCM) Mkoa wa Manyara,...

READ MORE

GSM Yamjibu Mo, Waishusha Mamelodi Dar

MABOSI wa Yanga ambao ni wadhamini wa timu hiyo, Kampuni ya GSM wapo katika mazungumzo ya mwisho kwa ajili ya...

READ MORE

Kakakuona Aonekana Mvomero, Atabiri Neema

MNYAMA kakakuona ameonekana Wami Sokoine, Wilaya ya Mvomero, Morogoro,  ambapo viongozi wa kimila na kidini walimtumia ili aweze kutabiri hali...

READ MORE

Biden, Putin Wajadili Uhusiano wa Marekani, Urusi

RAIS wa Marekani Joe Biden amezunguza kwa njia ya simu na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, na kujadili masuala kadhaa...

READ MORE

Waziri Mpango: Chukueni Tahadhari Dhidi ya Corona

WATUMISHI wa Wizara ya Fedha na Mipango wametakiwa kuchukua tahadhari zote dhidi ya ugonjwa wa #COVID-19 japokuwa hakuna ugonjwa huo...

READ MORE

Video: Rais Magufuli Azindua Shamba La Miti Wilayani Chato, Geita

 RAIS Dkt John Magufuli, leo Januari 27, 2021 anazindua shamba la miti lililopo wilayani Chato mkoani Geita… Kwa UPDATES...

READ MORE

Mifumo Ya Kocha Mpya Simba Balaa

IKIWA ni siku chache tu tangu kutambulishwa kwake kama ndiye kocha mpya wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes tayari ameanza kuutambulisha...

READ MORE

Breaking News: Lori la Mizigo Laungua Moto Kimara – Dar (Video)

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zimeeleza kuwa lori la mizigo limeungua kaa moto, majira ya saa 4:45 usiku huu wa Januari...

READ MORE