CHAMA tawala cha Afrika Kusini, African National Congress (ANC), kimemuita Rais wa Marekani, Donald Trump kuwa mtu “anayesababisha uhasama, mwenye...
READ MOREMGOMBEA urais wa Jamhuri ya Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt John Magufuli, amesema kuwa katika kipindi...
READ MOREMGOMBEA urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bernard Membe, ameweka wazi kuwa hatajiondoa kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Jamhuri ya...
READ MOREMAKAMU wa Rais wa Afghanistan, Amrullah Saleh, amenusurika kifo baada ya watu wanaosadikiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Taleban, kushambulia...
READ MOREKAULI ya mbunge wa Buchosa aliyemaliza muda wake, Charles Tizeba, akimpigia chapuo mgombea aliyepitishwa mwenzake Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric...
READ MOREKampuni ya simu za Mkononi ya Airtel Tanzania kupitia huduma ya Airtel Money leo Jumatano Septemba 9 2020, Dar es Salaam...
READ MOREKampuni inayoongoza kwa utoaji huduma ya usafiri barani Ulaya na Afrika (BOLT), imezindua huduma mpya, nafuu ya usafiri inayofahamika kwa...
READ MOREBenki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni ya Mastercard imezindua matumizi ya kadi za kisasa zaidi za kieletroniki ambazo...
READ MOREWateja wa Vodacom M-Pesa takribani milioni 8, kuanzia leo watapata sehemu ya faida ya shilingi bilioni 3.5 ikiwa ni gawio...
READ MOREMAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa ushauri wa mvua za vuli na kusema kuwa maeneo mengi nchini yatakuwa...
READ MOREZAMBIA inaomboleza kifo cha samaki wake mkubwa katika Chuo Kikuu cha Umma cha Copperbelt (CBU). Samaki huyo aliyejulikana kama ameombolezwa...
READ MOREWAFUNGWA katika Gereza la Bunia mkoani Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wanakabiliwa na baa la njaa, baada...
READ MOREMgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameendelea na ziara ya kuomba kura kupitia Chama...
READ MOREBalozi wa Marekani hapa nchini Mhe. Dkt. Donald Wright amewataka Watanzania kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba mwaka huu...
READ MOREUCHUNGUZI umeanzishwa na Shirikisho la soka nchini Misri (EFA) baada ya kubaini kuwa vikombe kadhaa vimepotea kutoka Makao Makuu yake...
READ MOREMbunge wa Jimbo la Ubungo aliyemaliza muda wake Saed Kubenea amepandishwa kizimbani mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya...
READ MORELEO Septemba 7, 2020, Chama cha Wananchi CUF kimezindua rasmi kampeni zake katika viwanja vya Sabasaba mkoani Mtwara, ambapo mgombea...
READ MOREBABU mwenye umri wa miaka 100 aliyekuwa anatumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la mauaji nchini Nigeria ameachiwa huru...
READ MOREKIONGOZI wa maandamano nchini Belarus, Maria Kalesnikava, amechukuliwa na watu wasiojulikana waliovalia barakoa na kumtia kwenye gari katika eneo la...
READ MOREMAHAKAMA nchini Saudi Arabia imeondoa hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi ya watu watano waliopatikana na hatia ya mauaji ya...
READ MOREPolisi mkoani Manyara wameripoti kuwatia mikononi watuhumiwa 6 wa madawa ya kulevya aina ya Bangi misokoto 36 na wengine 11...
READ MOREPOLISI mkoani Njombe imewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuvunja Mahakama ya Wilaya ya Njombe na kuiba vitu mbalimbali ikiwemo...
READ MOREMGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Eric Shigongo amesema akishinda hatakuwa mbunge wa jimbo hilo pekee bali atakuwa...
READ MOREMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama hicho, Dkt. John...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaendelea na zoezi la kupitia, kuchambua na kuzifanya uamuzi rufaa za wagombea ubunge zilizowasilishwa...
READ MOREMbunge wa Jimbo la Emurua Dikirr nchini Kenya, Johanna Ng’eno amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumkashifu Rais Uhuru Kenyatta...
READ MORERAIS MAGUFULI amempigia simu LIVE, Mkurugenzi Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Patrick Aron Nipilima Mfugale na kumtaka kuanza kuijenga Barabara ya...
READ MOREKampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo leo imezindua huduma yake mpya iitwayo Chukua Kilicho Chako ambayo itamuwezesha mtumiaji wa...
READ MOREMGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli, ameahidi kujenga barabara ya kutoka...
READ MOREMGOMBEA urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli, amekumbuka jinsi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga, alivyomsumbua...
READ MOREBalozi wa Heshima wa Seychelles nchini, Bi. Maryvonne Pool, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika usimamizi wa sheria...
READ MORETaasisi ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa mkoani Songwe, (Takukuru) imefanikiwa kumrejesha Mama mjane hati yake ya nyumba iliowekwa rehani kwa...
READ MOREKAIMU Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Carolius Misungwi, ameagiza kusimamishwa kwa shughuli za Sungusungu katika kata ya Mfinga iliyopo bonde...
READ MOREMGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli ameshindwa kujizuia...
READ MOREPOLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321...
READ MOREMADUKA matatu yaliyopo maeneo ya Sinza-Mapambano jijini Dar es Salaam karibu na Ofisi za Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) yameteketea...
READ MORERAIS wa Oganaizesheni ya Ngumi za Kulipwa nchini Tanzania (TPBO), Yassin Abdallah ‘Ustadhi’, amefariki dunia asubuhi ya leo, Septemba 7,...
READ MOREALIYEKUWA Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mpaka wa Tanzania na Kenya, Namanga, akidaiwa kuvuka...
READ MOREMteuliwa wa Ubunge viti maalumu Mkoa wa Songwe, Juliana Shonza ambaye pia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na...
READ MOREMGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James, amewaomba Watanzania wote kujitokeza siku ya...
READ MORE