×

Habari

Afrika Kusini Yamkemea Trump ‘Kumdharau’ Mandela

CHAMA tawala cha Afrika Kusini, African National Congress (ANC),  kimemuita Rais wa Marekani, Donald Trump kuwa mtu “anayesababisha uhasama, mwenye...

READ MORE

Magufuli Alivyokomesha Fukuza-Fukuza ya Wachimbaji

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt John  Magufuli, amesema kuwa katika kipindi...

READ MORE

Membe: Wanaodhani Nitajiondoa Urais Wanaota

MGOMBEA urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bernard Membe, ameweka wazi kuwa hatajiondoa kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Makamu wa Rais Anusurika Kuuawa kwa Bomu

MAKAMU wa Rais wa Afghanistan, Amrullah Saleh, amenusurika kifo baada ya watu wanaosadikiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Taleban, kushambulia...

READ MORE

Kauli ya Tizeba Kwa Shigongo Yashangaza -Video

KAULI ya mbunge wa Buchosa aliyemaliza muda wake, Charles Tizeba, akimpigia chapuo mgombea aliyepitishwa mwenzake  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric...

READ MORE

Airtel Money Yagawa Gawio la Bilioni 3.6 Kwa Wateja Wake

Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel Tanzania kupitia huduma ya Airtel Money leo Jumatano Septemba 9 2020, Dar es Salaam...

READ MORE

Bolt Yazindua Huduma Mpya ya Usafiri Arusha, Mwanza, Dodoma

Kampuni inayoongoza kwa utoaji huduma ya usafiri barani Ulaya na Afrika (BOLT), imezindua huduma mpya, nafuu ya usafiri inayofahamika kwa...

READ MORE

NMB Yafanya Mapinduzi Makubwa ya Malipo Nchini

  Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni ya Mastercard imezindua matumizi ya kadi za kisasa zaidi za kieletroniki ambazo...

READ MORE

Wateja wa Vodacom M-Pesa Kunufaika na Gawio la Bilioni 3.5 za Faida ya M-Pesa

Wateja  wa Vodacom M-Pesa takribani milioni 8, kuanzia leo watapata sehemu ya faida ya shilingi bilioni 3.5 ikiwa ni gawio...

READ MORE

TMA Yatabiri Upungufu wa Mvua

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa ushauri wa mvua za vuli na kusema kuwa maeneo mengi nchini yatakuwa...

READ MORE

Rais Aongoza Maombolezo Kifo cha Samaki ‘Mafishi’

ZAMBIA inaomboleza kifo cha samaki wake mkubwa katika Chuo Kikuu cha Umma cha Copperbelt (CBU).  Samaki huyo aliyejulikana kama ameombolezwa...

READ MORE

Wafungwa Wafa Njaa, Kikombe cha Uji kwa Siku 3

WAFUNGWA katika Gereza la Bunia mkoani Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,  wanakabiliwa na baa la njaa, baada...

READ MORE

Maelfu Wafurika Kampeni za Mama Samia Kigamboni

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameendelea na ziara ya kuomba kura kupitia Chama...

READ MORE

Marekani Yawataka Watanzania Kushiriki Uchaguzi

Balozi wa Marekani hapa nchini Mhe. Dkt. Donald Wright amewataka Watanzania kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba mwaka huu...

READ MORE

Msako wa Walioiba Kombe Waanza Misri

UCHUNGUZI umeanzishwa na Shirikisho la soka nchini Misri (EFA) baada ya kubaini kuwa vikombe kadhaa vimepotea kutoka Makao Makuu yake...

READ MORE

Kubenea Apandishwa Kizimbani, Arudishwa Rumande

Mbunge wa Jimbo la Ubungo aliyemaliza muda wake Saed Kubenea amepandishwa kizimbani mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya...

READ MORE

Lipumba: Nitakuwa Rais wa Kwanza Kupata Tuzo

LEO Septemba 7, 2020, Chama cha Wananchi CUF kimezindua rasmi kampeni zake katika viwanja vya Sabasaba mkoani Mtwara, ambapo mgombea...

READ MORE

Afungwa na Miaka 18, Aachiwa Akiwa na Miaka 100

BABU mwenye umri wa miaka 100 aliyekuwa anatumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la mauaji nchini Nigeria ameachiwa huru...

READ MORE

Wasiojulikana Wamchukua Kiongozi wa Maandamano Belarus

KIONGOZI  wa maandamano nchini Belarus, Maria Kalesnikava, amechukuliwa na watu wasiojulikana waliovalia barakoa na kumtia kwenye gari katika eneo la...

READ MORE

Waliomuua Khashoggi Waondolewa Adhabu ya Kifo

  MAHAKAMA nchini Saudi Arabia imeondoa hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi ya watu watano waliopatikana na hatia ya mauaji ya...

READ MORE

Polisi Manyara Yakamata Bangi na Mitambo ya Gongo.

Polisi mkoani Manyara wameripoti kuwatia mikononi watuhumiwa 6 wa madawa ya kulevya aina ya Bangi misokoto 36 na wengine 11...

READ MORE

Wezi Wavunja Mahakama, Waiba Sukari…

POLISI mkoani Njombe imewakamata watu  wawili kwa tuhuma za kuvunja Mahakama ya Wilaya ya Njombe na  kuiba vitu mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

Shigongo: Nitakuwa Mbunge wa Taifa

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Eric Shigongo amesema akishinda hatakuwa mbunge wa jimbo hilo pekee bali atakuwa...

READ MORE

Magufuli: Tizeba Njoo Umwombee Kura Shigongo – (Picha +Video)

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  na mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama hicho, Dkt. John...

READ MORE

Breaking: NEC Yaamua Rufaa 55 Wagombea Ubunge – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaendelea na zoezi la kupitia, kuchambua na kuzifanya uamuzi rufaa za wagombea ubunge zilizowasilishwa...

READ MORE

Mbunge Akamatwa Kwa Kumkashifu Rais

Mbunge wa Jimbo la Emurua Dikirr nchini Kenya, Johanna Ng’eno amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumkashifu Rais Uhuru Kenyatta...

READ MORE

Magufuli Ampigia Laivu Injinia Mfugale, Afanya Maamuzi Magumu Buchosa – Video

RAIS MAGUFULI amempigia simu LIVE, Mkurugenzi Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Patrick Aron Nipilima Mfugale na kumtaka kuanza kuijenga Barabara ya...

READ MORE

Watumiaji Mabando Ya Tigo Sasa Waula

Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo leo imezindua huduma yake mpya iitwayo Chukua Kilicho Chako ambayo itamuwezesha mtumiaji wa...

READ MORE

Magufuli: Shigongo Ameanza Kunisumbua, Nampa Lami – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),  John Magufuli, ameahidi kujenga barabara ya kutoka...

READ MORE

JPM Aeleza Kitwanga Alivyomsumbua Ujenzi wa Barabara -Video

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),  John  Magufuli, amekumbuka jinsi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga, alivyomsumbua...

READ MORE

Balozi wa Heshima wa Visiwa Vya Shelisheli Atembelea Ofisi za OSHA

  Balozi wa Heshima wa Seychelles nchini, Bi. Maryvonne Pool, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika usimamizi wa sheria...

READ MORE

Takukuru Songwe Yaokoa Nyumba ya Mama Mjane

Taasisi ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa mkoani Songwe, (Takukuru) imefanikiwa kumrejesha Mama mjane hati yake ya nyumba iliowekwa rehani kwa...

READ MORE

Wakinukisha Baada ya Kuporwa Fedha na Sungusungu

KAIMU Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Carolius Misungwi,  ameagiza kusimamishwa kwa shughuli za Sungusungu katika kata ya Mfinga iliyopo bonde...

READ MORE

Magufuli Avua Kofia Hadharani, Amvisha Mondi – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John  Magufuli ameshindwa kujizuia...

READ MORE

Mbaroni Akituhumiwa Kuchoma Moto Basi Lake

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321...

READ MORE

Breaking: Moto Wateketeza Maduka Sinza-Mapambano

MADUKA  matatu yaliyopo maeneo ya Sinza-Mapambano jijini Dar es Salaam karibu na Ofisi za  Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) yameteketea...

READ MORE

Tanzia: Rais wa Ngumi za Kulipwa Tanzania Afariki

RAIS wa Oganaizesheni ya Ngumi za Kulipwa nchini Tanzania (TPBO), Yassin Abdallah ‘Ustadhi’, amefariki dunia asubuhi ya leo, Septemba 7,...

READ MORE

Kubenea Akamatwa kwa Tuhuma za Utakatishaji Fedha

ALIYEKUWA Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mpaka wa Tanzania na Kenya, Namanga, akidaiwa kuvuka...

READ MORE

Shonza Awataka Tunduma Kumchagua Silinde

Mteuliwa wa Ubunge viti maalumu Mkoa wa Songwe, Juliana Shonza ambaye pia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na...

READ MORE

Shigongo: Kura za Magufuli Zitavunja Rekodi Oktoba 28 – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James,  amewaomba Watanzania wote kujitokeza siku ya...

READ MORE