MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas, jana alifanya mahojiano maalum na +255 Global Radio, ambapo alizungumzia mambo mbalimbali likiwemo...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa fomu za uteuzi kwa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais...
READ MOREMTANDAO wa Elimu Nchini (TenMet) umeadhimia kutumia maadhimisho ya Juma la Elimu mwaka huu kujenga Bweni la wanafunzi Wilayani Chemba...
READ MORETigo Tanzania inayo furaha kwa mara nyingine tena kuendelea kushirikiana na serikali kupitia taasisi ya RITA na wadau wengine ikiwemo...
READ MOREKIKOSI cha Kusini cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimesema kitafanya msako katika misitu ya mikoa inayopakana...
READ MOREWAKATI wadau wa michezo wakiendelea kutega sikio kwenye hukumu ya aliyekuwa nyota wa Yanga, raia wa Ghana, Bernard Morrison, huku...
READ MOREMWANAMUZIKI anayetambulika kwa jina la Yahaya Sharif-Aminu, mwenye umri wa miaka 22, kutoka Jimbo la Kaskazini mwa Nigeria la Kano...
READ MOREKWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amekiri hadharani kuwa amezeeka na kwamba...
READ MORERAIS Vladimir Putin wa Russia ametangaza leo kuwa nchi yake imetengeneza chanjo ya kwanza kabisa dhidi ya virusi vya corona...
READ MOREMAPACHA hao waliandaa sherehe ya harusi katika jimbo la Enugu Nigeria. Sherehe hiyo ya faragha ilhudhuriwa na waalikwa pekee. Picha...
READ MORESERIKALI imesema inaweka mfumo imara wa kudhibiti wachezaji wa soka wanaosajiliwa nchini wawe na viwango vinavyotakiwa pamoja na vigezo vya...
READ MORERAIS wa Marekani, Donald Trump, ghafla amelazimika kuondolewa na maofisa wanaolinda usalama wake kutoka kwenye chumba alimokuwa akiwahutubia waandishi wa...
READ MOREMGOMBEA urais kupitia Chama cha Wananchi( CUF) Profesa Ibrahim Lipumba na mgombea mwenza, Hamida Abdallah Huweishi, leo Agosti 11, 2020,...
READ MOREWAZIRI mkuu wa Lebanon, Hassan Diab, ametangaza kujiuzulu kufuatia mlipuko wa wiki iliyopita mjini Beirut. Kwenye taarifa yake fupi kupitia...
READ MOREKESI inayomkabili mchekeshaji maarufu nchini, Idris Sultan, na mwenzake, Innocent Maiga, imeshindwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo...
READ MORESERIKALI ya imesema kanuni mpya zinazoongoza huduma za maudhui ya mtandaoni na zile za radio na televisheni hazijaanza leo, ni...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema ukosefu wa vyoo katika Shule ya Msingi Sisimba ni aibu kwa waliosoma...
READ MOREKUPATIKANA KWA MTOTO ALIYEIBWA. JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia JUMA KALINE [32] Mkazi wa Mapele Malangamilo Wilaya ya...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Manyara imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 20 jela Alais Layeni kwa kosa...
READ MORESERIKALI imesema kuwa haina mgogoro wowote wala ugomvi na nchi ya Kenya na kwamba Serikali hizi zinashirikiana kwa mambo mengi...
READ MOREKampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Parimatch Tanzania imezindua mchezo mpya wa Jackpot ambao utawapa fursa wateja wa kampuni hiyo,...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesikitishwa na kifo cha Rais wa Chama cha Waimbaji...
READ MOREMfanyabiashra na Mkazi wa Oysterbay jijini Dar es Salaam, Tariq Machibya miaka (29) maarufu Mr Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi...
READ MOREMgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu,...
READ MOREJESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Ayoub John mwenye umri wa miaka 38, Mvuvi katika Kisiwa cha Chakazimbwe wilayani Muleba,...
READ MOREWatu 8 wamefariki dunia baada ya kusambuliwa kwa risasi katika hifadhi ya twiga katika Mkoa wa Koure. Waliopoteza maisha ni...
READ MOREMamlaka ya Kenya imetuma jeshi kusaidia zima moto katika kupambana na moto mkubwa ulioibuka katika hifadhi kubwa ya wanyama pori...
READ MOREJimmy Lai ni moja wapo ya viongozi wakuu wanaharakati wanaounga mkono demokrasia huko Hong Kong. Amekamatwa leo Jumatatu Agosti 10...
READ MOREWAZIRI wa Habari, Manal Abdel Samad na Waziri wa Mazingira, Damianos Kattar, wamejiuzulu kufuatia mlipuko wa Agosti 04, 2020, uliosababisha...
READ MOREMWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma), Hashim Rungwe, leo Agosti 10, 2020, amechukua fomu ya kuwania urais wa...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amefanya ziara ya kikazi ya kusikiliza na kutatua kero za...
READ MOREWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekagua ukarabati mkubwa wa meli ya MV New Victoria Hapa Kazi tu na kuagiza mamlaka inayosimamia...
READ MOREWaziri wa Kilimo, Japhet Hasunga akimkabidhi kombe Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya ziwa, Ayubu Kalufya, kwenye maonesho ya nanenane...
READ MORELEO Jumapili, Agosti 9, 2020, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya awamu ya kwanza wagombea walioteuliwa kugombea...
READ MOREMFUGAJI Ulandi Dotto (28) mkazi wa Kijiji cha Mwanavala, Mbarali mkoani Mbeya, anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa...
READ MORERais Dkt. John Magufuli leo Jumapili, Agosti 9, 2020 amefanya mabadiliko na kumteua Bw. Ngw’ilabuzu Ndatwa Ludigija kuwa Mkuu wa...
READ MORERAIA sita wa China wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, ikiwamo kuongoza genge la uhalifu na kukutwa na...
READ MORE