×

Habari

Akaunti ya ‘NBC Shambani’ Yawavutia Wadau wa Korosho  

  LINDI: Agosti17, 2020: Wadau mbalimbali wa kilimo cha zao la korosho nchini  wameonesha kuvutiwa  na huduma mpya ya NBC Shambani hukuwakibainisha...

READ MORE

Njombe: CCM Yaanika Majina ya Wagombea Udiwani Waliyopitishwa

CHAMA  cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kupitia kwa katibu wa siasa na uenezi Erasto Ngole wametangaza majina ya wagombea...

READ MORE

NMB Yatangaza Neema kwa Wachimbaji Wadogo

    Benki ya NMB imetenga shilingi bilioni 32 kwa ajili ya mikopo kwa wachimbaji wadogo nchini. Akizungumza jijini Mwanza...

READ MORE

Tanzia: Mwanasiasa Mkongwe Moyo Afariki Dunia

HASSAN NASSOR MOYO ambaye ni mwanasiasa mkongwe na muasisi wa Mapinduzi Zanzibar amefariki usiku wa kuamkia leo, Agosti 18, 2020,...

READ MORE

Majaliwa: Tanzania ya Kwanza Afrika kwa Kusambaza Umeme Vijijini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania imeshika nafasi ya kwanza barani Afrika kwa kufanikiwa kusambaza umeme nchini kote kwa asilimia...

READ MORE

CHADEMA Yaaanika Warithi wa Mnyika, Lijualikali

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetaja awamu ya tatu ya majina ya wabunge wake watakaogombea katika uchaguzi mkuu ujao,...

READ MORE

Dkt.Bashiru Awataka Watia nia Ubunge CCM Kubaki Majimboni Kusubiri Uteuzi

    KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Bashiru  amewataka wote waliotia nia kugombea ubunge kubaki kwenye majimbo...

READ MORE

Uchaguzi Mkuu: Dkt. Bashiru Azindua Kituo cha Mawasiliano CCM

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Bashiru Ally Kakurwa leo Agosti 17, 2020 amezindua kituo cha mawasiliano kuhusu...

READ MORE

Samia Aikabidhi Global Publishers Tuzo ya CRDB

MAKAMU wa Rais,  Samia Suluhu,  ameikabidhi Kampuni ya Global Publishers Tuzo kutoka Benki ya CRDB jana Agosti 16, 2020, ikiwa...

READ MORE

Muungano wa Tigo na Zantel Utakavyoimarisha Huduma za Mawasiliano Ya Simu

Inafahamika kuwa mawasiliano ya simu barani Afrika ni miongoni mwa sekta inayokua kwa kasi zaidi duniani. Ikiwa na mchango mkubwa...

READ MORE

Mweka Hazina wa Harusi Atokomea na Michango

  AMA Kweli! Ukistaajabu ya Musa uyataona ya Firauni. Katika hali isiyotarajiwa, wageni waalikwa zaidi ya 150 katika sherehe ya...

READ MORE

Moro: Lori Laangukia Coaster, Watu Kadhaa Wahofiwa Kufa

WATU kadhaa wanahofiwa kufariki dunia kwa kubanwa ndani ya gari baada ya lori kuliangukia basi dogo la abiria (coaster) katika...

READ MORE

Rais Magufuli Akabidhi Uenyekiti wa SADC Msumbiji – Video

Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Dkt. John Pombe Magufuli, leo Jumatatu, Agosti...

READ MORE

Naibu Waziri Waitara Azindua Maadhimisho Ya Juma la Elimu

    NAIBU Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mh. Mwita Waitara ameupongeza Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET) kwa jitihada inazozifanya pamoja...

READ MORE

Safari ya Kwanza ya MV New Victoria, Acha Kabisa!

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jeneral Marco Gaguti, ameongoza wakazi wa manispaa ya Bukoba na viunga vyake katika mapokezi...

READ MORE

Simbachawene Aagiza Polisi Kuwadhibiti Wanasiasa Watakaoleta Vurugu Uchaguzi

   WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amevionya vyama vya siasa nchini ambavyo vina wagombea katika ngazi...

READ MORE

Hatimaye Messi Aomba Kuondoka Barcelona

Mshambuliaji wa Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania, Lionel Messi, ameiambia klabu hiyo kuwa anataka kuondoka kutafuta maisha mengine, huku...

READ MORE

Takukuru Yamnasa Mfanyabiashara Tuhuma za Kukwepa Kodi Bil 6.3

TAKUKURU inamshikilia kwa mahojiano Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya White Star Investment Taalib Karim Mbowe, inayofanya biashara ya usafirishaji ndani...

READ MORE

Kenyatta Ataka Mawaziri Kuchukua Likizo ya Lazima

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya amewataka mawaziri wote pamoja na makatibu katika wizara kuchukua likizo ya mapumziko ya lazima huku...

READ MORE

Wafanyabiashara Wahimizwa Kujiunga Mtandao wa Wateja wakubwa wa Benki ya NMB

  Benki ya NMB imewahimiza wafanyabiashara nchini kujiunga na Mtandao wa wateja wakubwa (NMB Business Executive Network) kujua na kunufaika...

READ MORE

Mr. Kuku Kufikishwa Kortini, A-Z Sakata Zima Kumbe Liko Hivi!

NI vilio tupu, ndivyo vimetawala miongoni mwa Watanzania waliowekeza katika Kampuni ya Mr Kuku Farmers Ltd ambayo inamiliki mradi wa...

READ MORE

Mume Amkata na Shoka Mkewe kwa Tuhuma za Kutoa Mimba

POLISI mkoani Rukwa wanamtafuta kijana mkazi wa mtaa wa Kanisa Katoliki Manispaa ya Sumbawanga, Joseph Kalolo ‘Mwamba’ (35) kwa tuhuma...

READ MORE

Mfanyabiashara Taalib Mbowe Mikononi Mwa Takukuru

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inamshikilia kwa mahojiano Mfanyabiashara ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya White Star...

READ MORE

Aliyetoka kwa Msamaha wa Rais, Anaswa Wizi wa Ng’ombe

JESHI la polisi wilaya ya Igunga mkoani Tabora kwa kushirikiana na wananchi, wamemkamata Hamisi Juma (29) anayedaiwa kuwa mwizi sugu...

READ MORE

Binti wa Rais Putin wa Urusi Amepewa Chanjo ya Corona

Urusi imeanza uzalishaji wa chanjo mpya ya ugonjwa COVID-19, taarifa hiyo ni kwa mujibu wa Shirika la habari la Interfax,...

READ MORE

Vodacom Tanzania PLC yapongezwa kwa uwekezaji mkubwa walioufanya nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angela Kairuki (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo alipoitembelea kampuni...

READ MORE

Mgombea Asiyekuwa na ‘Jinsia Yoyote’ Afunguka Mazito – Video

Dar: Baby John (26) mkazi wa Kivule-Msongola wilayani Ilala jijini Dar es Salaam ambaye hivi karibuni aligombea uteuzi wa nafasi...

READ MORE

Video: Rais JPM Ashiriki Ibada ya Misa Kanisa Katoliki Parokia ya Chamwino

 Rais Dkt.John Pombe Magufuli ameshiriki katika Ibada ya MisaTakatifu ya Dominika ya 20 ya Mwaka A katika Kanisa Katoliki...

READ MORE

Vodacom Tanzania PLC yazindua duka kubwa la kisasa mjini Lindi

  Mkuu wa wilaya ya  Lindi,Shaibu Ndemanga amepongeza kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kwa kuwasogezea huduma...

READ MORE

Wakulima Acheni Kuanika Mahindi Chini Kuepusha Sumukuvu: Mgumba

    Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba amewashauri wakulima wa mazao ya mahindi nchini kuacha kuanika mazao yao chini...

READ MORE

Tanzia: Mtangazaji Wasafi TV ‘Kungwi’ Afariki Dunia

MTANGAZAJI wa Wasafi TV, Fatma Abdallah maarufu kwa jina la Kungwi Mkata Shombo amefariki dunia leo Jumamosi, Agosti 15, 2020....

READ MORE

Halima Mdee Kuanza Kujitetea Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, Septemba 7, 2020, itasikiliza utetezi katika kesi ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mbunge...

READ MORE

Yanga: Wachezaji wa Ndani Basi, Zinakuja Mashine Mpya 4 za Kimataifa

KLABU ya Yanga kupitia Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM ambao ni wadhamini wa Klabu hiyo, Hersi Said imethibitisha kuwa wamebaki...

READ MORE

Dkt Abbas: Tutaweka Rekodi ya Umeme Vijijini – Video

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dkt Hassan Abbas, leo Agosti 15, 2020, amesema ifikapo Juni 30 mwakani, vijiji vyote vitakuwa na...

READ MORE

Kampuni ya Vodacom Tanzania na Smartlab Watangaza Fainali ya mchakato wa ‘Vodacom Digital Accelerator’

Mkurugenzi wa Dijitali na Huduma za Ziada Vodacom Tanzania PLC, Nguvu Kamando akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es...

READ MORE

Vodacom M-Kulima inavyowezesha wakulima kupata huduma mbalimbali

Mrajisi wa vyama vya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege, akizungumza kwenye banda la Vodacom katika viwanja vya Nyakabindi kwenye maonesho ya...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation yaunganisha wanafunzi maeneo ya pembezoni kupitia program ya Instant School

Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald akizungumzia namna mradi wa Vodacom Instant Schools unavyounganisha intaneti na...

READ MORE

Wahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa kwa Mauaji

WATU wawili wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia  ya mauaji ya mtu mmoja katika eneo la Kitendaguro...

READ MORE

Dawa ya Madagascar Yashindwa Kudhibiti Corona

HOSPITALI nchini Madagascar zimekuwa zikikabiliana na ongezeko la maambukizi ya Covid-19, huku rais akiendelea kunadi dawa ya mitishamba anayodai ina...

READ MORE