×

Habari

Nchi 15 Kutuma Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Nchi 15 kupitia Balozi zao hapa nchini zimeruhusiwa kuleta waangalizi wa Kimataifa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, 2020...

READ MORE

Huawei Yatoa Mafunzo Ya Teknolojia ya 5G Kwa Watumishi Wa Umma.

Watumishi 24 na wahandisi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (MWTC), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Kampuni ya Mawasiliano...

READ MORE

TAMNOA Washiriki Warsha Kujadili Mbinu Za Kudhibiti Utapeli Kwa Simu

Katika warsha hiyo iliyoandaliwa na GSMA, kupitia mtandao au webinar, wawakilishi kutoka makampuni ya simu waliweza kuchangia mada mbalimbali. Kutoka...

READ MORE

Tundu Lissu Amlilia ‘Mr White’ ”Alikuwa Mtu Mwema”

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu  leo Septemba 15, 2020 ametoa pole...

READ MORE

Kortini Wakituhumiwa Kuhujumu Uchumi, KutakatishaFedha

WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka matano ikiwemo kosa la uhujumu uchumi na...

READ MORE

Infinix Zero 8; 64+48 Kamera Yazinduliwa Tanzania

Mara baada ya tetesi za muda mrefu juu ya ujio wa Infinix ZERO 8, hatimaye kampuni ya simu ya Infinix...

READ MORE

Samia Afanya Kampeni Jimboni Madaba, Ruvuma

    (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) 

READ MORE

EU Kuipa Tanzania Bilioni 70 Kupambana na COVID19

Umoja wa Ulaya (EU) umesema uko tayari kutoa Euro 27 milioni (TZS 70 bilioni) kwa serikali ya Tanzania kwa lengo...

READ MORE

Wamiliki wa Pool Table Waagizwa Kuzisajili

Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imewataka wamiliki wote wa pool tables kuhakikisha zinasajiliwa na kupatiwa leseni.   GBT...

READ MORE

Magufuli Aahidi Kujenga Uchumi Unaojitegemea

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  John Magufuli, amesema dhamira yake ni kuijenga nchi katika uchumi wa kujitegemea, kwa...

READ MORE

Mgombea Urais Kufuta Kodi Majengo, NIDA, Pasipoti Bure

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mohamed Mazrui, amesema iwapo atapata ridhaa ya kuongoza...

READ MORE

Magufuli: Dkt. Bashiru Alikuwa Muuza Ndizi Kemondo – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli,  amesema kuwa mkoa wa Kagera...

READ MORE

JPM: Muleba Mna Mabishano Yenu Yanawapa Shida – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli amewaonya wananchi wa Muleba Kusini...

READ MORE

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Aipongeza STAMICO Akifungua Kikao cha 6

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Simon Msanjila, leo amelipongeza Shirika la Madini la Taifa ‘STAMICO’ kwa...

READ MORE

Wasafi Watoa Tamko Kufuatia Tuhuma za Kutumia Nguvu za Giza!

KWA muda mrefu sasa, kumekuwa na madai mazito kwamba, mwanamuziki mkubwa nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na wenzake walio...

READ MORE

IGP Sirro: Damu ya Mtanzania Haiendi Hovyo

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro, amesema kuwa licha ya kwamba chanzo cha moto ulioteketeza bweni la...

READ MORE

Mgombea Ubunge Zanzibar, Turky Afariki Dunia

  ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Mpendae Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia alikuwa anatetea kiti...

READ MORE

Sven Aweka Hesabu Kali Dakika 540 Bongo

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amebainisha kuwa licha ya kwamba wamepata sare kwenye mechi yao na Mtibwa Sugar, hesabu...

READ MORE

Mgombea Urais Ndege Kila Mkoa

Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimezindua Ilani na kampeni zake kwa ajili uchaguzi unaotarajia kufanyika Oktoba 28, mwaka huu,...

READ MORE

TikTok Yaikataa Microsoft, Yaungana na Oracle

  WASHINGTON: Kampuni ya Marekani ya Oracle imeikataa Kampuni ya Microsoft na kuingia makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara (Business Partner)...

READ MORE

Majaliwa Aongoza Maziko ya Jaji Bomani – Pichaz

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza maziko ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hayati Mark Bomani kwa niaba ya Rais Dkt....

READ MORE

CHADEMA Yaandika Barua NEC

KATIBU  Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),  John Mnyika,  amesema chama hicho kimeiandikia barua Tume ya Uchaguzi ya...

READ MORE

Bodi ya Ligi Kuvifungia Viwanja

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu nchini Tanzania (TPLB), Almasi Kasongo,  amewataka wamiliki wa viwanja vinavyochezewa Ligi Kuu soka...

READ MORE

Kilichotokea Mahakamni Kesi ya Lissu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo Septemba 14, 2020, imeahirisha kesi inayowakabili Tundu Lissu na wenzake...

READ MORE

DC Vincent wa Musoma Azindua Duka la Vodacom Akiimarisha Mawasiliano

Mkuu wa wilaya ya Musoma (DC) , Dk. Vincent Anney Naano (wapili kushoto) akikata utepe kuzindua duka jipya la kisasa...

READ MORE

JPM: Airport ya Chato Nitakwenda Nayo Kaburini? – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (CCM), Dkt. John  Magufuli amewaponda baadhi ya viongozi na wagombea wanaotoka vyama...

READ MORE

Idris Sultan Alamba Shavu KISS Condom

Mchekeshaji maarufu hapa nchini amelamba shavu la ubalozi katika kondom mpya ya Kiss ambayo ni maalum kwa ajili ya kuzuia...

READ MORE

Kisa Lockdown, Mgahawa Unaofanana na Ndege Watengenezwa

WAKATI nchi nyingine zikiwa chini ya lock-down kupisha janga la homa inayoambukizwa na virusi vya corona — Covid-19 —  nchini...

READ MORE

Magufuli: Nimealikwa Kwenda Ulaya, Siendi – Video

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa kazi ya urais si nyepesi,...

READ MORE

Amshitaki Mkewe kwa Kumzalia Watoto Wenye Sura Mbaya

GAZETI la mtandaoni la KINEDA limeripoti habari yenye msisimko wa kipekee, ambapo mwanamme mmoja aitwaye Jian Feng, amemshitaki mkewe kwa...

READ MORE

Breaking: Watoto 10 Wafariki Shule ya Byamungu Islamic Ikiteketea

BWENI la wavulana wa Shule ya Msingi Byamungu Islamic English Medium iliyopo Itera, Kyerwa, mkoani Kagera limeteketea kwa moto usiku...

READ MORE

Watu 50 Wahofiwa Kufa kwa Kufukiwa na Kifusi Machimboni

Zaidi ya watu 50 wanahofiwa kupoteza maisha, baada ya kufukiwa na kifusi wakiwa kwenye machimbo ya dhahabu katika eneo la...

READ MORE

NEC: Rufaa Za Wagombea Ubunge Na Udiwani Leo

Tume ya Taifa Uchaguzi imepitia, kuzichambua na kuzifanyia uamuzi rufaa za wagombea Ubunge na Udiwani zilizowasilishwa na wagombea kupitia kwa...

READ MORE

Wanahisa Waongeza Mtaji Mkombozi Commercial Bank, Wateja Waula

Benki ya Mkombozi Commercial  inayomilikiwa na Kanisa Katoliki pamoja na wanahisa yenye Makao Makuu Msimbazi Center Jijini Dar, jana Septemba...

READ MORE

Majaliwa: Chagueni Kiongozi Atakayelinda Amani

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wanaTanga na Watanzania kwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashauri Hospitali zinazotibu Saratani kuwa na Wodi Maalum

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza hospitali zote za rufaa ambazo zinatoa matibabu ya ugonjwa wa saratani kwa watoto...

READ MORE

Mgombea Ubunge Mmoja Na Madiwani 34 Wapitishwa Kugombea Na NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katika kikao chake cha Septemba 10, 2020 imepitia, kuchambua na kuzifanyia uamuzi rufaa za...

READ MORE

OFM Yanasa Siri Bifu la Wema, Batuli

UNAJUA bifu la msanii Wema Sepetu na Yobnesh Yusuph Hassan ‘Batuli’, lililoteka mitandao ya kijamii mwishoni mwa wiki iliyopita, limetokana...

READ MORE

Zari Yamfika Mazito Kutoka Kwa Wananzengo

Mwanamama mjasiriamali, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye ni mzazi mwenza wa staa wa muziki barani afrika, Nasibu abdul...

READ MORE