×

Habari

Mkurugenzi Kinondoni Apongezwa Kwa Kupata Hati Safi Miaka 5 Mfululizo

    Manispaa ya Kinondoni imepongezwa kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo katika  hoja za ukaguzi...

READ MORE

Video: Rais Magufuli Akutana na Rais wa Zanzibar Ikulu Dodoma

Rais Magufuli na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Juni 3, 2020 amekutana na Rais wa Zanzibar, Dkt.Ali Mohamed...

READ MORE

Video: Inasikitisha! Aishi Na Utumbo Wa Bandia, Apata Uvimbe Wa Ajabu

  Hakika kabla hujafa hujaumbika, ukijiona ni mzima Shukuru kwani wapo wengine wanaotamani angalau wapate dakika 1 ya kumuomba Mungu...

READ MORE

Namna Ya Kutengeneza Kipato Kwenye Majanga -Video

Ni katika kipindi cha Darasa na Mtangazaji Lucas Masungwa pamoja na Mkurugenzi wa Global Group Erick Shigongo Akiwa sambasamba na...

READ MORE

Video: Ndalichako Atoa Siku Tatu Wanafunzi wa Vyuo Wapewa Fedha

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako ametoa muda wa hadi kufika Ijumaa wiki hii ambayo itakuwa Juni...

READ MORE

Waandamana Kudai Haki Katika Kifo cha Mfaransa Mweusi

WAANDAMANAJI zaidi ya 20,000 wamekusanyika jijini Paris, Ufaransa,  kudai haki itendeke katika kifo cha Mfaransa mweusi, Adama Traore (24), aliyefia...

READ MORE

Mimba kuyeyuka kimaajabu kwatikisa

DUNIA ina maajabu mengi, ila mkoani Mbeya kinachotikisa kwa sasa ni mimba kwa baadhi ya akina mama kuyeyuka kimaajabu; UWAZI...

READ MORE

Breaking: B12 Wa Clouds Fm Ahamia EFM

  Mkurugenzi wa kituo cha habari cha E Media Tanzania, Francis Ciza ‘Majizzo’ leo Juni 3, 2020 amethibisha kuhamia kwa...

READ MORE

Mtoto Afariki kwa Kushambuliwa na Fisi Shinyanga

WAZAZI na walezi mkoani Shinyanga wametakiwa kuchukua tahadhari kwa watoto wao dhidi ya wanyama aina ya fisi ambao wamekuwa wakionekana...

READ MORE

NBC Yapongeza Juhudi za Koplo Wa Jeshi la Polisi Kwa Kuhimiza Kuvaa Barakoa

Benki ya NBC leo imetambua juhudi mahususi za Jeshi la Polisi Tanzania na maofisa wake katika kipindi chote cha mlipuko...

READ MORE

Mbunge azua gumzo biashara ya mbwa

MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kupitia Viti Maalum, Lucy Simon Magereli amezua gumzo la aina yake kwa...

READ MORE

Nabii Buberwa Naye Atangaza Dawa Yake Ya Corona

Nabii Dkt. Joseph Beberwa ametangaza dawa zake za tiba asilia ambazo zinatibu maradhi mbalimbali ukiwemo Covid- 19 unaosababishwa na virusi...

READ MORE

NEC: Walioko Nje Ya Nchi Hawataweza Kupiga Kura – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema mpaka sasa, sheria zilizopo haziruhusu Mtanzania aliyeko nje na nchi kuweza kupiga kura....

READ MORE

Bosi MSD, Laurean Bwanakunu Anashikiliwa na TAKUKURU -Video

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) leo Juni 2, 2020 inamshikilia aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa...

READ MORE

Mwanafunzi Auawa Akiwa Kanisani Akijisomea

  Wanigeria wamezua hamaki mitandaoni kufuatia mauaji ya kinyama ya mwanafunzi mwenye miaka 22, Uwavera Omozuwa aliyeuawa kanisani. Kampeni ya...

READ MORE

Mwenyekiti Wa Chadema Mkoa Wa Singida Atimkia CCM

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida,.Shabani Limu amerejea Chama Cha Mapinduzi na kupokelewa...

READ MORE

CCM Yaanika Namba Maalum Kushughulikia Rushwa -Video

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza namba maalum ya kushughulikia wanachama wake wasiokuwa waadilifu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020.   Akiitangaza namba...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Imerudisha Heshima ya Zao la Mkonge – Video

 WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amezindua rasmi jengo la Bodi ya Mkonge Tanzania...

READ MORE

MAJABU! MAPANGO yanayoaminika KUONDOA SHIDA ZA WATU -Video

 Mkoani Morogoro katika wilaya ya Gairo ndani ya shamba la miti la Ukaguru yanapatikana Mapango amabyo wenyeji wa maeneo...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Nchini Kenya Wafika 1962

Idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini kenya imefikia watu 1962 hii ni baada ya watu 74 kuthibitishwa kuwa...

READ MORE

Miaka 25 ya Chadema Karatu Bila Maendeleo, CCM Yajipanga Kuking’oa

  Wakati nchi ikielekea katika uchaguzi mkuu mwezi Octoba mwaka huu wanachama wa Chama cha mapinduzi wilayani Karatu wameaswa kuongeza...

READ MORE

Benki ya NMB yaadhimisha Wiki ya Maziwa

Wafanyakazi wa Benki ya NMB matawi la Clock Tower, Kenyatta, Bank House na Madaraka wameungana na wananchi wengine kuadhimisha Wiki...

READ MORE

Wateja Wa Halopesa Kupata Zaidi Ya Sh. Bil 1, Gawio Kwa Mara Ya Kwanza

  Katika muendelezo wa kutoa huduma bora za kifedha nchini. Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel kupitia huduma zake...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Juni 1, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 1, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Lwakatare Arejea CUF, Atangaza Kutogombea Ubunge -Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),akiwemo Wilfred Lwakatare wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi...

READ MORE

Video: Serikali Yaridhia Mashabiki Kwenda Uwanjani

Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Hassan Abbas, leo Mei...

READ MORE

Marekani Yatakiwa Kutafakari Upya Uamuzi Wake Kuhusu WHO

Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kufuta uhusiano wa nchi yake na shirika la afya duniani WHO haikupokewa...

READ MORE

Naibu Waziri Elimu  Avitaka Vyuo  Kuzingatia Maelekezo Ya Kujikinga Na Corona Bila Kuwatia Hofu Wanafunzi

    Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia William Ole Nasha amevitaka Vyuo vya Elimu ya Juu na vya...

READ MORE

Kifo cha George Floyd: Maandamano Yatanda Marekani -Video

  Maandamano makubwa yanayofanyika kote nchini Marekani baada ya mmarekani mweusi George Floyd kufa mikononi mwa polisi katika jimbo la...

READ MORE

VIDEO: Shigongo Afundisha Somo Muhimu Kuhusu Tabia

MHAMASISHAJI maarufu Afrika Mashariki na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shogongo, amefundisha somo muhimu la jinsi ya...

READ MORE

Kikwete Ashukuru Zawadi ya Tausi Kwa Niaba ya Wenzake -Video

RAIS wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 30, 2020 ameelezea...

READ MORE

Mke Wa Askari Aliyemuua George Floyd Adai Talaka

Kellie Chauvin, mke wa Derek Chauvin askari anayeonekana kwenye video inayosambaa kwa kasi kubwa kwenye mitandao ya kijamii, akiwa amemkandamiza...

READ MORE

Mondi Anunua Mtaa Mzima

Usiseme ‘hatuna pesa, sema sina pesa!’ Anachokifanya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Mondi’ kwenye nyakati hizi...

READ MORE

Video: JPM Akabidhi Tausi Marais Wastaafu Dodoma

  RAIS John Magufuli leo Mei 30, 2020,  amewakabidhi ndege 25 aina ya tausi kila mmoja, marais wa awamu zilizopita...

READ MORE

Mawasiliano ya Kidijitali Yanavyosaidia Kutuleta Pamoja

Ugonjwa wa korona (COVID-19) umebadili maisha ya watu wengi kwa namna ambazo hatukutegemea. Moja ya badiliko kubwa ni lile la...

READ MORE

VIDEO: BINTI ALIYEBAKWA na MCHUNGAJI hadi MIMBA, Asimulia

 Tukio kubwa lililoshtua wengi ni sakata la Mchungaji mmoja mkoani Morogoro kumnyanyasa kingono muumini wake ambaye ni mwanafunzi hadi...

READ MORE

Trump: Wanaopinga Mauaji ya Mmarekani Mweusi ni ‘VIBAKA’

RAIS Donald Trump wa Marekani amewaita waandamanaji wanaopinga mauaji ya Mmarekani mweusi George Floyd katika mji wa Minneapolis kuwa ni...

READ MORE

Rais JPM Aungana na Wajeda Kuchanganya Zege Ikulu – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa, Mei 29, 2020, amekagua maendeleo ya ujenzi...

READ MORE