×

Habari

Waziri Mkuu Afariki Dunia Baada ya Mawaziri Kukutana

WAZIRI Mkuu wa Ivory Coast, Amadou Coulibaly, amefariki dunia jana Jumatano, Julai 8, 2020, jijini Abidjan ikiwa ni muda mfupi...

READ MORE

Miaka 5 ya Rais Magufuli na Uchumi wa Viwanda

MKURUGENZI wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC), Geoffrey Mwambe amesema kuwa Miundombinu iliyojengwa na Serikali imewezesha kituo hicho kupiga hatua kubwa...

READ MORE

Benki Ya NIC Na CBA Zaungana Kuboresha Maisha Ya Wateja

Benki ya NIC na CBA zimeungana na kuunda benki ya pamoja iitwayo NCBA ambayo itakuwa na nguvu ya kuboresha zaidi...

READ MORE

Watu 7 Wauawa Kikatili, Mama, Ndugu wa Damu Wahusika – Video

NI simanzi kila kona, ndivyo unavyoweza kutafsiri kishindo cha mauaji ya watu saba katika mikoa ya Mara, Arusha, Mbeya na...

READ MORE

Moshi: Fumanizi Lampandisha Kortini Mwalimu

LILE sakata la fumanizi lililotikisa Kanda ya Kaskazini na kwenye mitandao ya kijamii kati ya Agnesi Mallya (32) aliyedai kumfumania...

READ MORE

Mke Amzika Mara Mbili Mumewe Aliyekufa kwa Corona

MWANAMKE mmoja Afrika Kusini amelazimika kufanya mazishi ya mume wake mara mbili aliyekufa kwa ugonjwa wa Covid-19 baada ya kubainika...

READ MORE

Rais Magufuli Amlilia Balozi Lusinde

Rais Magufuli ameonesha kuguswa na kifo cha aliyekuwa miongoni mwa Mawaziri 11 wa kwanza wa Tanganyika, Balozi Job Lusinde, na...

READ MORE

Simulizi ya Kusikitisha! ‘Nilikuwa Kahaba Nikiwa Kwenye Ndoa’

KILA anapokumbuka alikotoka maishani, Purity Wanjiru hudondokwa na machozi asijue la kufanya. Purity ambaye ni mama wa watoto wawili anasema...

READ MORE

Rais wa Brazil Akutwa na Covid-19

RAIS wa Brazil, Jair Bolsonaro, amegundulika kuwa na virusi vya corona. Kiongozi huyo amekuwa akipuuzilia mbali janga la Covid-19 akiutaja...

READ MORE

Mshindi Wa Ndinga La ‘Baba Lao’ Kukabidhiwa Hivi Karibuni

MSHINDI wa gari mpya kupitia bahati nasibu ya Baba Lao au Jishindie Gari na Championi, Didas Mariki, anatarajia kukabidhiwa rasmi...

READ MORE

FBI Yadai China ni Tishio kwa Marekani

MKURUGENZI wa shirika la FBI nchini Marekani amesema kwamba vitendo vya upelelezi na wizi unaotekelezwa na serikali ya China ni...

READ MORE

Marekani Yajitoa Rasmi WHO

RAIS  Donald Trump wa Marekani ameliarifu Bunge kuwa Marekani imejitoa rasmi kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO).   Hatua hiyo...

READ MORE

Banda La TTCL Lavutia Wengi Maonesho Ya Sabasaba

    BANDA la Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) leo siku ya Sabasaba limekuwa kivutio kikubwa kwenye Maonesho ya 44...

READ MORE

Global Habari Julai 07 – Rais Magufuli Ateua DC Na Ma-Ded Watano

 Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo Julai 07,2020 amefanya uteuzi wa Mkuu wa wilaya...

READ MORE

Tanzia: Mwanasiasa Mkongwe, Balozi Lusinde Afariki Dunia

MWANASIASA mkongwe, Balozi Job Lusinde (90) ambaye alikuwa mmoja wa baraza la kwanza la mawaziri la Mwalimu Julius Nyerere baada...

READ MORE

KABUGA: TAJIRI Aliyejificha MIAKA 26 AKIKWEPA Kukamatwa -Video

 Jina la Felicien Kabuga ni jina maarufu sana hasa nchini Rwanda na Afrika Mashariki kwa ujumla, na umaafufu wake...

READ MORE

Corona: Serikali Yafuta Mhula wa Masomo, Hakuna Mitihani

WIZARA ya Elimu nchini Kenya imefuta kalenda ya masomo kwa shule za upili na msingi kwa mwaka 2020 ambapo Waziri...

READ MORE

Video: Sheikh Sharrif Majini Ajitosa Ubunge “Mimi Ni CCM Damu”

 Sheikh Sharrif Majini amefika Handeni Vijijini ili kwenda kujua utaratibu wa namna ya kugombea ubunge wa jimbo hilo na...

READ MORE

Mkurungezi Mtendaji wa Tigo Simon Karikari atembelea banda Tigo SabaSaba

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mawasiliano Tigo Bw.Simon Karikari akipimwa Joto la mwili kabla ya kuingia katika banda la Tigo...

READ MORE

Waombolezaji 380 Wanusurika Kufa kwa Maji ya Sumu

WAOMBOLEZAJI waliokuwa kwenye msiba wanaokadiriwa kufikia 380 wamenusurika kifo baada ya kugundua kutumia maji ya kisima yenye sumu kwa kupikia...

READ MORE

Wachezaji wa Stars wakunwa na udhamini wa Serengeti Premium Lager

Wachezaji wa timu ya taifa, Taifa Stars, wameelezea kufurahishwa na udhamini wa Bia ya Serengeti Premium Lager na kusema kuwa...

READ MORE

Mwanza: Mchina Ahukumiwa Jela kwa Kutoa Rushwa

MAHAKAMA  ya Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu au kulipa faini ya Shilingi laki nane raia...

READ MORE

Walimu Watatu Wanaswa na TAKUKURU Kagera

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kagera inawashikilia waalimu watatu wa Shule ya Sekondari Kalenge...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua DC na Ma-DED Watano

Rais Dkt. John Magufuli leo Julai 07,2020 amemteua Lauteri Kanoni kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe akichukua nafasi...

READ MORE

Mkuchika Ateua Makatibu Tawala wa Wilaya

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika,  kwa mamlaka...

READ MORE

Tigo na Tecno wazindua Tecno Spark 5 saba saba

Kampuni ya mawasiliano ya tigo imewataka wananchi kutumia nafasi ya uwepo wa maonesho ya kibiashara ya 44 ya Dare salaamu...

READ MORE

Waziri Mkuu Aipongenza Benki ya NMB kwa Maendeleo ya Nchi

  Maendeleo makubwa yaliyopatikana nchini katika kipindi cha kwanza cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano, yamechangiwa kwa namna...

READ MORE

Kifo cha Mke wa Babu Tale, Harmonize ‘Ahukumiwa’

ULE msemo usihukumu, usije ukahukumiwa umetokea kwenye msiba wa mke wa Hamis Tale ‘Babu Tale’, Shamsa Kombo.   Jicho la...

READ MORE

Mwanamuziki Anayeishi Kimateso, Aanza Kusaidiwa

MWANAMUZIKI wa Shikamoo Jazz, Idd Said Nyangala ‘Baba Sauda’ ambaye gazeti hili la UWAZI toleo namba 1202 la Juni 23...

READ MORE

Dawa Ilivyomnasa Mwizi Zanzibar Akapitiwa Usingizini Fofofo!

KIPORO cha habari ya mwizi kusinzia wakati akiiba nyumbani kwa mwandishi Farouk Karim huko Visiwani Zanzibar hivi karibuni hakijachacha, Amani...

READ MORE

Rais Kenyatta Alegeza Masharti ya Kukabiliana na Corona

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amelegeza kwa kiasi fulani sheria kali zilizokuwa zimewekwa kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi ya...

READ MORE

TCRA Yaifungia Kwanza TV kwa Miezi 11

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekifungia kituo cha Kwanza Online TV  kwa muda wa miezi kumi...

READ MORE

Dawa ya Corona Madagascar Imebuma? Mji Mkuu ‘Lockdown’

MADAGASCAR imeuweka mji  mkuu wake, Antananarivo,  kwenye ‘lockdown’ mpya kufuatia ongezeko jipya la maambukizi ya Corona Virus ikiwa ni miezi...

READ MORE

Mzee wa ‘Soma Hiyo’ Aacha Kilio Tabora

MIONGONI mwa wakuu wa mikoa walioacha simanzi kwa wananchi waliokuwa wakiwaongoza, ni Aggrey Mwanri ‘Mzee wa Soma Hiyo’ ambaye alikuwa...

READ MORE

Nafasi ya Kampuni za Simu Katika Kukuza Teknolojia Tanzania

Katika miaka ya hivi karibuni, dunia imeshuhudia maendeleo makubwa kwenye sekta ya teknolojia hasa linapokuja suala la matumizi ya simu....

READ MORE

Kocha Athibitisha Niyonzima Kuikosa Simba FA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, leo Jumatatu, Julai 6, 2020, amethibitisha kuwa  kiungo wake Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda,...

READ MORE

JPM Atumbua, Amteua na Kumwapisha Aliyekamata Bangi – Video

RAIS  John Magufuli amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro kuwaondoa kazini mara moja Mkuu wa Polisi...

READ MORE

M/Kiti wa Wakuu wa Mikoa Atoa Wito Mbele ya JPM – Video

RAIS John Magufuli leo Julai 6, 2020, amewaapisha viongozi mbalimbali Ikulu jijini Dodoma.   Katika uapisho huo Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

NBC Yadhamini Maonesho Ya Sabasaba Kwa Mwaka wa Tatu Mfululizo

Benki ya Taifa ya Bishara kwa mara nyingine tena imekuwa mdhamini wa maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa maarufu...

READ MORE