×

Habari

Mwili wa Raila Odinga Wawasili Nchini Kenya, Wapokelewa na Rais Ruto JKIA – Video

Mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amolo Odinga, umewasili nchini Kenya leo asubuhi kupitia Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Mgeni Rasmi Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Chakula

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 16, 2025 ni mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani...

READ MORE

Ratiba ya Mazishi ya Raila Odinga Yatolewa – Maziko Kufanyika Jumapili Bondo, Siaya

Ratiba ya Mazishi ya Raila Jumapili Yatolewa Kamati ya Kitaifa inayoandaa Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa...

READ MORE

Meridianbet Virtuals: Burudani isiyo na kikomo, ushindi wa papo kwa papo!

Katika ulimwengu wa michezo unaokua kwa kasi, Meridianbet inasalia mstari wa mbele kwa ubunifu na teknolojia. Kupitia Virtual Betting, chapa...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Yazindua Klabu Ya Matembezi Na Mbio Fupi Ikihamasisha Umuhimu Wa Mazoezi Kwa Afya Ya Mwili Na Akili

Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Melvin Saprapasen (katikati) na Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha...

READ MORE

Dkt. Samia Aahidi Uwanja wa Ndege Mpya Kagera, Kuchochea Utalii na Biashara

MISENYI, KAGERA — Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais...

READ MORE

Watuhumiwa 17 Mbaroni Kwa Wizi Wa Pikipiki Zanzibar

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watuhumiwa 17 waliohusika katika makosa ya wizi wa pikipiki ambazo ziliibiwa...

READ MORE

Wizara Ya Maliasili Na Utalii Yajiimarisha Kisheria Usimamizi Wa Biashara Za Utalii Nchini

Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Idara ya Utalii imeendelea kujiimarisha kisheria kwa kuwajengea uwezo Maafisa wake kupitia mafunzo maalum...

READ MORE

Mgombea wa CCM Dkt. Samia: Nitawawezesha Wavuvi Kupata Mitaji na Vyombo vya Uvuvi

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

CMSA Yafungua Milango Ya Uwekezaji Kwa Mtanzania Wa Kawaida

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na dhamana Tanzania (CMSA) imeeleza kuwa mfuko wa pamoja wa uwekezaji Vertex International Securities Exchange...

READ MORE

Yas ‘Zanzibar International Marathon 2025’ Rasmi Novemba 23

Dar es Salaam, 15 Oktoba 2025 – KampuniyaMawasilino Yas kwakushirikianana Mixx, leo imezindua rasmi maandalizi ya mbio za Yas Zanzibar...

READ MORE

Dkt. Samia: Serikali Italipa Kipaumbele Zao la Vanila na Miundombinu Kagera

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Wenje Ampongeza Dkt. Samia kwa Mapinduzi ya Sheria – Video

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya ziwa Victoria na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa na aliyewahi kuwa...

READ MORE

Watu Wanne Wakamatwa Dar kwa Kumiliki Vyombo vya Habari Bila Leseni – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watu wanne kwa tuhuma za kumiliki na kuendesha vyombo...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Rambirambi Kifo cha Raila Odinga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yahirishwa Kufuatia Msiba wa Naibu Msajili wa Mahakama Kuu

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa leo Jumatano, Oktoba 15, 2025,...

READ MORE

Kesi ya Luhaga Mpina Yatupiliwa Mbali, NEC Yapewa Uhalali wa Maamuzi Yake

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma, leo Jumatano Oktoba 15, 2025, imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Luhaga Mpina na...

READ MORE

Slotopia Yapanua Wigo wa Michezo Meridianbet, Fursa Mpya kwa Wapenda Ushindi

  Kama wewe ni shabiki wa michezo ya kasino mtandaoni, basi habari hii ni ya kukufurahisha kuliko zote. Meridianbet wamezindua...

READ MORE

Uwanja wa Sokoine Wafungwa Kutumika Kwa Mechi za Ligi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia Uwanja wa Sokoine uliopo jijini Mbeya kutumika kwa michezo ya Ligi, kutokana...

READ MORE

Kiongozi wa Kijeshi Atangaza Kugombea Urais Gabon

Takriban miaka miwili baada ya kuongoza mapinduzi yaliyomaliza utawala wa familia ya Bongo uliodumu kwa zaidi ya nusu karne, kiongozi...

READ MORE

Walimu Kutoka Taasisi Ya Henan Polytechnic (Hpi) Ya China Watoa Mafunzo Kipawa Chini Ya Mradi Wa Zhangheng

WALIMU wawili fani ya Mechatronics kutoka Taasisi ya Henan Polytechnic (HPI), Du Yichen na Liu Yachuang wametoa mafuzo kwa muda...

READ MORE

Msanii Mkongwe wa R&B, D’Angelo Afariki Dunia Akiwa na Miaka 51

Mwanamuziki maarufu wa Marekani, Michael Eugene Archer almaarufu D’Angelo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 51 baada ya kusumbuliwa...

READ MORE

Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere: Safari Kutoka Magomeni Hadi Uhuru wa Tanganyika – Video

Oktoba 14, 2025 — ni kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyeaga dunia Oktoba...

READ MORE

Uhamiaji Yaondosha Raia Wawili wa Kigeni Walioikiuka Masharti ya Viza Tanzania

Idara ya Uhamiaji imesema imelazimika kuwafukuza raia wawili wa kigeni kutoka Tanzania, Dk Brinkel Stefanie mwenye hati ya kusafiria ya...

READ MORE

Benki Ya Exim Yazidisha Dhamira Yake katika Afya Ya Akili Kwa Kukarabati Jengo la Watoto Na Vijana Hospitali Ya Taifa Muhimbili

Dar es Salaam, 15 Oktoba 2025 – Benki ya Exim Tanzania imekabidhi rasmi jengo lililokarabatiwa la Kitengo cha Afya ya...

READ MORE

Ujenzi wa Daraja la 6 Kwa Urefu Tanzania la Pangani Wafikia Asilimia 74.3

Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 na Barabara unganishi na mchepuko zenye urefu wa Kilomita 25...

READ MORE

Viongozi wa CHADEMA Wakabiliwa na Kesi ya Jinai, Waitwa Mahakamani Jumatano

Kesi ya jinai namba 25480 ya mwaka 2025, inayowakabili viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikiongozwa na...

READ MORE

Meridianbet Yaiunga Mkono Chanika Veteran Bonanza 2025 

Kama ilivyo jadi yake, kampuni namba moja ya michezo ya ubashiri nchini, Meridianbet, imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama mdau mkubwa...

READ MORE

Vodacom Na Bolt Kwa Pamoja Kutoa Punguzo Kwa Kila Safari Kupitia Tuzo Points

Dar es Salaam, Tanzania 15 Oktoba 2025: Leo, Vodacom Tanzania PLC kwa ushirikiano na Bolt, Kampuni inayotoa huduma za usafiri...

READ MORE

Airtel Yafanya Mazungumzo ya Kimkakati na COPRA  Kuimarisha Ujumuishi wa Kifedha Sekta ya Kilimo

Dar es Salaam, Tanzania,  Airtel Money Tanzania imefanya mazungumzo ya kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko...

READ MORE

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina Ajificha Baada ya Jaribio la Kumuua

Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amesema amejificha mahali salama kufuatia jaribio la kumuua lililoripotiwa kutokea baada ya wiki kadhaa za...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango, Majaliwa Wahudhuria Ibada Ya Kumuombea Mwalimu Nyerere Mbeya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameshiriki leo, Oktoba 14, 2025, katika Ibada ya kumuombea Baba...

READ MORE

Kanisa Katoliki Wakanusha Waraka wa Uchaguzi “Ni FAKE!” – Video

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) limekanusha vikali taarifa inayosambaa mitandaoni ikidai kuwa ni tamko rasmi la baraza...

READ MORE

Ugonjwa Hadi Kifo: Safari ya Mwisho ya Mwalimu Julius Nyerere Ilivyokuwa

BABA wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, alifariki dunia Oktoba 14, 1999 katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas, mjini London, Uingereza.Kabla ya...

READ MORE

Farid Musa Asifiwa kwa Utu na Unyenyekevu Nje Soka, Ajenga Msikiti – Video

Jirani wa karibu na Msikiti Masjid Aisha, uliopo karibu na eneo la mchezaji wa Yanga SC, Farid Musa Malik, amemuelezea...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Amuenzi Hayati Magufuli kwa Dua Maalum, Chato

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliomba...

READ MORE

Sheikh Mkuu: Hatutumiwi na Serikali, Tunahubiri Uzalendo na Amani – Video

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, amesema Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) litaendelea kusimamia maslahi mapana...

READ MORE

Ezekia Wenje Ahama CHADEMA, Ajiunga CCM Chato – Video

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Ziwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa zamani wa Jimbo la...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 14, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Tanzania Yashiriki Kongamano la Afya Duniani Jijini Berlin

Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bw. Ismail Rumatila unashiriki Kongamano la Afya la...

READ MORE