×

Habari

Binti Aliye-trend Kuolewa na Babu Mzungu- “Anajua Mapenzi”

  DAR: Baada ya kuwepo kwa kasumba ya mastaa wa kiume Bongo kuchukua na kuwa na uhusiano na wanawake wa...

READ MORE

Lulu Diva amefichua Siri Ya Kuwachapa Wanaume

KWELI hii kali! Mrembo kutoka Bongo Flevani, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefichua siri kwa kusema katika maisha yake haongeagi na...

READ MORE

Kifo Cha Faru Fausta: Madaktari, Askari Wazungumza – Video

 Faru Fausta (57) ambaye ndiye alikuwa Faru mzee duniani amekufa  Ijumaa Desemba 27, 2019. Faru huyo ambaye alikuwa amehifadhiwa...

READ MORE

Vanessa Awabipu Basata!

LICHA ya kwamba anaonekana anajiheshimu, msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amekwenda kinyume na alivyozoeleka na kuwabipu Basata...

READ MORE

JPM Arejesha Fomu ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma -Video

Rais John Magufuli leo Jumapili Desemba 29, 2019 amewasilisha fomu ya tamko kuhusu Rasirimali na Madeni katika ofisi ya Sekretarieti...

READ MORE

Mbunge Ndumbaro Awaomba Wawekezaji Kuwekeza Jinboni Kwake

  Mbunge wa jimbo la Songea mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk.Damas Ndumbaro amewataka wawekezaji waendelee kuwekeza...

READ MORE

Faru Mzee Zaidi Duniani Afariki Ngorongoro Tanzania

  Faru Fausta (57) ambaye ndiye alikuwa Faru mzee duniani amekufa jana usiku Ijumaa Desemba 27, 2019. Faru huyo ambaye...

READ MORE

Niyonzima Ampa Kiburi Yondani Yanga

BEKI mkongwe wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani ameusifu usajili mpya wa timu hiyo ambao anaamini utaimarisha kikosi chao katika...

READ MORE

76 Wafa Kwenye Mlipuko wa Bomu Mogadishu

BOMU la kutegwa ndani ya gari limelipuka leo asubuhi katika kituo kimoja cha ukaguzi wa usalama chenye shughuli nyingi katika...

READ MORE

Sakata la Kuzima Laini za Simu, Serikali Kupoteza Mapato

  DAR: Wakati zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kumalizika kwa muda kusajili laini za simu kwa alama za vidole,...

READ MORE

Undani Mume, Mke Kuchinjwa Kikatili

  KATAVI: WAKATI Watanzania wakiwa kwenye shamrashamra za kuadhimisha sikukuu ya krismasi, ukatili wa aina yake umeutikisa mkoa wa Katavi...

READ MORE

Mwanafunzi Kidato cha Kwanza Ampa Mimba wa Kidato cha 3

MWANAFUNZI wa kike (17) aliyekuwa anatarajia kuingia kidato cha tatu mwakani katika Shule ya Sekondari Bunambiyu, anadaiwa kupewa ujauzito na...

READ MORE

Nabii Kiboko ya Mapepo Kufanya Miujiza ya Funga Mwaka 2019 – Video

NEEMA na Baraka za Mungu kwa mwaka mpya 2020! Kwa mara nyingine tena, Kanisa la Christ Mandate and Power Ministries...

READ MORE

Mastaa Hawa Wamefanya ‘Wandaz’ 2019

  KILA mwaka unakuwa na maajabu yake kwenye maeneo mbalimbali. Kwa upande wa burudani hasa kwenye soko la Bongo Fleva,...

READ MORE

Katika Kuhitimisha Krismasi, Shigongo Asherehekea Na Wakazi Wa Pupandwa

Wakati sikuku ya Krismasi ikiwa imemalizika jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo amesherehekea sikukuu hiyo kwa...

READ MORE

NBC Yawapongeza na Kuwaaga Washindi wake Wa Kampeni Ya “Ibuka Kidedea”

  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imefanya hafla maalumu ya kuwapongeza na kuwaaga wateja walioibuka washindi katika Kampeni yake...

READ MORE

Zawadi Wanazozitoa Infinix Kwa Wateja Wao

Msimu wa sikukuu ni kipindi ambacho watanzania na watu wa mataifa mbalimbali hupenda kufanya manunuzi makubwa bila kusahau zawadi kwa...

READ MORE

Ndege Yaanguka Yaua 15, Majeruhi 34 Nchini Kazakhistan

NDEGE aina ya  Bek iliyokuwa imebeba abiria 95 na wahudumu watano  ilianguka uwanja wa ndege wa Almaty nchini Kazakhistan muda...

READ MORE

JPM Asajili Laini ya Simu Kwa Vidole, Aongeza Siku 20 – Video

Rais John Magufuli leo Desemba 27, 2019 amefanya usajili wa laini yake ya simu kwa kutumia alama za vidole mjini...

READ MORE

Vera, Daktari Bongo… Mahaba Kama Yote – Pichaz

   AMKENI, amkeni jamaniii! Habari ya mjini ni penzi zito la mwanamitindo maarufu nchini Kenya, Vera Sidika na daktari Mbongo...

READ MORE

Chondechonde; Baada ya Sikukuu Kuna Januari

MSIMU wa sikukuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na Mwaka Mpya mara nyingi hazituachi salama mifukoni. Katika kipindi hiki...

READ MORE

Siri ya Jokate, Makonda kwa Kung’ara Hii Hapa

  TANGU Rais Dk John Magufuli aingie madarakani Novemba 5, 2015 amekuwa akiteua vijana kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi serikalini...

READ MORE

Dodoma: Mmiliki wa Shule Akutwa Uchi, Ameuawa, Akatwa Nyeti

  Mkurugenzi wa Shule za Zam Zam jijini Dodoma nchini Tanzania, Sheikh Rashid Bura amekutwa amefariki dunia ofisini kwake eneo...

READ MORE

Amuua Shemeji Yake kwa Kumpiga Kofi Kwenye Makalio

  POLISI katika eneo la Suna Magharibi, Kaunti ya Migori nchini Kenya wanamsaka mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Eunice...

READ MORE

Gari Laacha Njia, Laua Machinga Mwanza

  MWANAMME mmoja amefariki dunia na wengine kumi na moja kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari lililoacha njia na kuwagonga...

READ MORE

Gigy Money Alaaniwa na Mama’ke

  MAMA wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’, Fatuma Katunda ‘Kissa’ amemlaani mwanaye huyo na kufikia hatua...

READ MORE

Yupo Wapi Kamanda Kova; Sasa ni Mwalimu wa Ujasiriamali

NAAM mpendwa msomaji wetu wa kolamu ya Yupo Wapi ambayo imekuwa ikikuletea watu waliowahi kuwa maarufu na kisha kupotea machoni...

READ MORE

RC Amfanyia Kufuru Kiba

MAMBO mazuri! Mkuu wa Mkoa (RC) wa Iringa, Ali Hapi amemfanyia kufuru staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King...

READ MORE

Aliyetoka Jela kwa Msamaha wa JPM Auawa

  MWANZA: Baba aliyejulikana kwa jina la Emmanuel Machumu (43), mkazi wa Mtaa wa Jiwe-Kuu, Kitangiri wilayani Ilemela jijini Mwanza,...

READ MORE

Mrembo Anayeishi na UKIMWI, Wanaume Wamkimbia – Video

Msichana Christina Peter mkazi wa Igoma jijini Mwanza ameamua kujiweka wazi kuwa anaishi na Virusi vya UKIMWI kwa miaka yake...

READ MORE

Makazi ya Rais Yashambuliwa, Mmoja Auawa

KITUO cha usalama kilichoko karibu na nyumba ya rais wa zamani wa Nigeria,  Goodluck Jonathan,  katika jimbo la Bayelsa, nchini...

READ MORE

Kamwelwe: Nasubiri Siku Ifike Nizime Laini Zote Zisizosajiliwa

  Serikali imesisitiza kuwa ifikapo Desemba 31, mwaka huu, laini zote za simu ambazo hazitakuwa zimejasajiliwa kwa mfumo wa alama...

READ MORE

Urusi Yafanikiwa Jaribio la Kujitoa Kwenye Intaneti ya Dunia

  SERIKALI ya Urusi imefanikiwa kufanya majaribio ya mtandao uitwao Runet, ambao ni mbadala wa mtandao wa intaneti unaotumika hivi...

READ MORE

Pengo Aongoza Misa Ya Krismasi Parokia Ya Mama Maria Mwokozi Sinza

MWADHAMA Kadinali Polycarp Pengo, Jumatano ya leo ameongoza ibada ya misa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Mama wa...

READ MORE

Lowassa Ampa Tano Rais JPM – Video

  WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepongeza juhudi zinazofanywa na serikali pamoja na taasisi za dini kutatua migogoro ya...

READ MORE

Alikiba: Haji Manara Mwalimu Wangu… Alikuwa Hajielewi

  MFALME wa Bongo Fleva, Alikiba, amesema, Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara, alikuwa hajielewi wakati aliposema Alikiba lazima...

READ MORE

Basi Latumbukia Kwenye Korongo, 24 Wafariki Dunia

  WATU wapatao 24 wamepoteza maisha na wengine 16 kujeruhiwa jana nchini Indonesia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo...

READ MORE

Mme, Mke Wafariki Wakielekea Kwenye Sikukuu

  MME na mke waliokuwa wakisafiri kwenda kula sikukuu ya Krismas wamefariki katika ajali katika daraja la Mwiwondwe barabara ya...

READ MORE

Mwandishi Ngetti Apatikana Maeneo ya Segerea Dar

MWANAHARAKATI  na mwandishi wa habari za Uchunguzi, Bollen Netti,  aliyepotea Desemba 23 mwaka huu  kwa kuchukuliwa na watu wasiojulikana, amepatikana...

READ MORE

Sikukuu Ya Krismas “Wasomaji Tunasherehekea na Betika”

Leo ikiwa ni  sikukuu ya Krismasi ambapo wakristu kote duniani wanasherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristu mapema leo Jumatano, Desemba 25,...

READ MORE