×

Habari

‘Bangi ya Kishimba’ Yazua Balaa Bungeni – Video

KWA mara nyingine, Jumanne Kishimba, Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), amesisitiza umuhimu wa kilimo cha bangi na kushauri serikali iruhusu...

READ MORE

Mbowe Amuandikia Barua Rais Magufuli – Video

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemwandikia barua Rais John Pombe Magufuli, kikimtaka kuunda tume ya mardhiano, ili kuliondoa...

READ MORE

DC Sabaya: Tunashindwa Kutofautisha Mganga na Mchungaji – Video

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya amewataka viongozi wa dini kabla ya kuwanyooshea vidole viongozi wa kisiasa ni vyema...

READ MORE

Meja Kunta Amefariki? Mama Aishiwa Nguvu, Akimbia Hospitali

TAHARUKI imeendelea kutikisa katika mitandao ya kijamii na kwa mashabiki wa muziki wa singeli baada ya jana kusambaa kwa taarifa...

READ MORE

LIVE: Watu 20 Waliofariki kwa Mwamposa Yaagwa Uwanja wa Mashujaa

MIILI ya watu 20 waliofariki kwa ajali ya kukanyagana juzi Jumamosi, Februari 1, 2020 katika Uwanja wa Majengo Moshi mkoani...

READ MORE

Kifo cha Kwanza cha Corona Nje ya China

MAOFISA wa afya wamethibitishwa kuwa mtu mmoja amefariki kutokana na virusi vya Corona nchini Ufilipino. Kwa mujibu wa mwakilishi wa...

READ MORE

Nzige Janga la Kitaifa Somalia

SERIKALI  ya Somalia imetangaza uvamizi wa nzige wa jangwani kuwa janga la kitaifa kwani wadudu hao wamekuwa tishio kubwa kwa...

READ MORE

Bad News: Askari Watatu Wafariki kwa Kugongwa na Basi

POLISI watatu mkoani Njombe wanasadikiwa kuwa wamefariki dunia baada ya ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Shalomu na gari la...

READ MORE

Serikali Yachukua Hatua Kuhakikisha Mbolea Inapatiakan- Mhe Mgumba

    Kutokana na kuwepo kwa upungufu wa pembejeo nchini, Serikali imechukua hatua mbalimbali za kuhakikisha pembejeo zinapatikana kwa wingi...

READ MORE

Live: Magufuli Anawaapisha Viongozi Wapya Aliowateua

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 03 Febuari, 2020 anawaapisha viongozi wateule wafuatao...

READ MORE

Lema Amtetea Mwamposa, Ataka Simbachawene, Sirro Wajiuzulu

KUFUATIA Jeshi la Polisi nchini kumkamatwa Mtume na Nabii Boniface Mwamposa,  kwa kusababisha vifo vya watu 20 waliokanyagwa katika kongamano...

READ MORE

Watu 20 Waliofariki kwa Mtume Mwamposa Kuagwa Leo – Video

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, amesema miili ya watu 20 waliofariki kwenye kongamano la Mtume na Nabii Mwamposa,...

READ MORE

NMB Yawasaidia Wakandarasi Wazawa

  BENKI  ya  NMB  mwaka jana  imetoa  zaidi  ya  dhamana  500  kwa  wakandarasi wazawa  ili  kuwawezesha  kugharimia  miradi  mbalimbali  ya ...

READ MORE

Mwamposa Akamatwa na Jeshi la Polisi Dar -Video

 UPDATES: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia mhubiri Boniface Mwamposa. Akitoa taarifa kwa waandishi wa Habari...

READ MORE

SBL yafikisha ujumbe wa usalama barabarani kwa maelfu ya wakazi wa Iringa

Kamanda wa polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa  SP. Yusuf Kamote (pichani kulia) akimvisha Kiakisi mwanga Mwenyekiti wa Umoja...

READ MORE

IGP Simon Sirro Atoa Kauli Kufuatia Watu 20 Kupoteza Maisha Kilimannjaro

JESHI la Polisi nchini limesema linasikitishwa na vifo vya watu 20 ambavyo vimetokea jana jioni mkoani Kilamanjaro kwenye kongamano la...

READ MORE

SBL na Ubalozi wa Uingereza waandaa maadhimisho ya miaka 200 ya Johnnie Walker Whisky

Balozi wa Uingereza  hapa nchini Sarah Cook, akizungumza katika hafla maalumu ya kuonja pombe kali aina ya Whisky iliyoratibiwa na...

READ MORE

JPM na Mkewe Washiriki Misa Takatifu Kanisa la Mtakatifu Petro Dar – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Janeth Magufuli pamoja na Waumini wengine...

READ MORE

Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Vifo Vya Watu 20 Moshi na Lindi

Rais Magufuli leo Februari 2, 2020 ametuma salamu za rambirambi kwa familia za watu 20 waliopoteza maisha wakati wakitoka katika...

READ MORE

Benki ya NMB Yapiga Jeki Shule na Zahanati Singida

KERO ya kusomea katika mazingira yasio mazuri kwa wanafunzi zaidi ya 350, wakiwemo wasichana 169 wa kitongoji cha Misuna, kijiji...

READ MORE

Video: Mafuta Ya Mwamposa ‘Yaua’ Watu 20 Moshi, Shuhuda Asimulia

WATU 20 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kwa kukanyagana katika harakati za kutaka kukanyaga mafuta ya upako kwenye kongamano la...

READ MORE

Naibu Waziri Masauni Naye Ahojiwa na TAKUKURU

  NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni,  amefika ofisi za makao makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

READ MORE

Mbunge Selasini (Chadema) Aimwagia Sifa CCM – Video

Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini amempongeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Suleimani Jafo kwa kazi nzuri...

READ MORE

Marekani Yasema Virusi vya Corona ni Fursa Kwao

KATIBU wa masuala ya kibiashara nchini Marekani, Wilbur Ross, amesema  mlipuko mbaya wa virusi vya Corona nchini China unaweza kuinua...

READ MORE

Ramadhan Kailima Awasili TAKUKURU Kuhojiwa

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, Ramadhan Kailima,  amewasili  makao makuu ya Taasisi ya Kupambana na Kupiga Vita...

READ MORE

Brexit: Uingereza Yajitoa Rasmi Umoja wa Ulaya

UINGEREZA imeondoka rasmi katika Umoja wa Ulaya saa sita usiku tarehe 31 Januari 2020 kwa saa za Brussels, Ubelgiji kwa...

READ MORE

Mahakama Yazuia Wananchi Kusajiliwa kwa Alama za Vidole

MAHAKAMA Kuu ya Kenya imesitisha kutekelezwa kwa mfumo wa usajili wa wananchi kwa njia ya alama za vidole hadi hapo...

READ MORE

Bosi Benki Afikishwa Mahakamani kwa Uhujumi Uchumi Bil.3

OFISI ya Taifa ya Mashtaka nchini kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kilimanjaro...

READ MORE

Ndugai: Marekani Wanamshughulikia Trump, Tumshugulikie Zitto – Video

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amesema kama Bunge la Marekani linamshughulikia Rais wa nchi hiyo, Donald Trump,  kwa...

READ MORE

JPM Apangua na Kupanga Tena, Ampa Shavu Dkt. Abbas – Video

RAIS John Magufuli leo  Januari 31 Januari, 2020, amemteua Dkt. Hassan Abbas kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni,...

READ MORE

Jeff Bezos Apata Tsh. Tril 30 Ndani ya Dakika 15

JEFF Bezos, Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Amazon amekuwa tajiri mkubwa Duniani baada ya kumpita Bill Gates.   Jeff Bezos...

READ MORE

Kaka wa Nicki Minaj Kwenda Jela Miaka 25

KAKA wa rapa Nicki Minaj, Jelani Maraj, anaweza kwenda jela miaka 25 au maisha kutokana na tuhuma za ubakaji za...

READ MORE

Mama Kabwili Apata Presha, Akimbizwa Hospitali – Video

KIPA namba tatu wa Yanga Ramadhani kabwili ameondolewa kwenye kambi ya timu hiyo baada ya kupata taarifa za mama yake...

READ MORE

Wanusurika Baada ya Kupigwa Risasi na Polisi Geita

WATU wanne wakazi wa Kitongoji cha Kamlale Kijiji cha Kibwela Kata ya Nyawilimilwa, Halmashauri ya Wilaya ya Geita, wamelazwa katika...

READ MORE

Lugola Ahojiwa na TAKUKURU kwa Saa 5, ‘Nipo Salama’ – Video

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,  leo Januari 31, 2020, amehojiwa kwa zaidi ya saa tano...

READ MORE

TCRA Yazindua ICT Awards 2020 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam -Video

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) leo Januari 31, 2019 inazindua tuzo zake ziitwazo ICT Awards katika Chuo Kikuu cha Dar...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Uingereza Asifu Mwanzo Mpya Baada ya Brexit

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson, ameusifu mwanzo mpya kwa Uingereza wakati ikijiandaa kuondoka Umoja wa Ulaya baada ya miaka...

READ MORE