×

Habari

Lissu Amaliza Matibabu, Asitisha Kurejea Tanzania – Video

ALIYEKUWA Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu, ambaye alinusurika kuuawa miaka...

READ MORE

Rwanda Yaanza Kuunda Smartphone Zake

KAMPUNI ya Mara nchini Rwanda imezindua simu mbili za kisasa, (smartphones) ikiwa ni nchi ya kwanza ‘kutengeza aina hiyo ya...

READ MORE

Wabrazil Simba wamhenyesha Wawa

BEKI wa Simba Muivory Coastal, Pascal Serge Wawa amesema changamoto kubwa anayokutana nayo ni mawasiliano kati yake na Wabrazil, Tairone...

READ MORE

JPM Ashuhudia Viboko Hifadhi ya Katavi – Video

RAIS  John Magufuli ameonyesha kwa vitendo maana ya utalii wa ndani kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Katavi. Amtembelea hifadhi...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Yadhamini Matembezi Ya Hisani

Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola Kwanza inadhamini kwa mara ya nne mfululizo matembezi ya kilomita 5 yenye lengo la...

READ MORE

Mhadhiri Alivyonaswa Akidaiwa Kuomba Rushwa ya Ngono

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa maafisa wa Takukuru walimkuta Mhadhiri Msaidizi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT),...

READ MORE

‘Mpemba wa Magufuli’ Aandika Barua Kukiri kwa DPP

MFANYABIASHARA Yusufu Ally, maarufu kwa jina la Mpemba wa Magufuli na wenzake,wanaokabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi ikiwemo kujihusisha na...

READ MORE

Makonda Azindua Mfumo wa Kutoa Kero Kidigitali – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  jana Oktoba 9, 2019 alizindua mfumo wa kuwawezesha wananchi wa mkoa...

READ MORE

NMB Yawahakikishia Wateja Wake Wakubwa Huduma Bora

      BENKI ya NMB imewahakikishia wateja wakubwa nchini huduma bora na timilifu kulingana na mahitaji yao ya kifedha,...

READ MORE

Bi. Samia Ajiandikisha Kupiga Kura Dodoma – Pichaz

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari...

READ MORE

Wachina Waliokiri Kusafirisha Kucha za Simba Waachiwa Huru – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu Raia wawili wa China, Li Ling na Chen Guo kulipa faini ya Tsh.Mil 70...

READ MORE

Wasomaji Buguruni Chama Waeleza Furaha Yao Kuhusu Betika

MAPEMA leo Jumatano, timu ya maofisa masoko ya Global Publishers imetembelea maeneo ya Buguruni Chama na maeneo ya Kariakoo Dar...

READ MORE

Uturuki: Maandalizi ya Kuishambulia Syria Yamekamilika

Baada ya Marekani kuamuru vikosi vyake vya Kijeshi vilivyokuwa Syria mpakani mwa Uturuki viondoke, Uturuki imesema imekamilisha maandalizi ya mashambuli...

READ MORE

Katavi: Aliyjenga Kituo cha Afya Avunja Madirisha ‘Sijalipwa’

MKANDARASI aliyefahamika kwa Borniface Exavery, aliyetengeneza madirisha ya Aluminium na kuyapachika katika Kituo cha Afya cha Katumba, amevunja madirisha hayo...

READ MORE

Amnyoa Kipara Mkewe Alipokuta Nywele Kwenye Chakula

BABLU MONDAL mwenye umri wa miaka 35 mkazi wa Joypurhat, nchini India, amemnyoa mkewe upara baada ya kukuta nywele kwenye...

READ MORE

Mhubiri Afurumushwa kwa Kuwaita Wanawake ‘Ibilisi’

SERIKALI ya Rwanda imesema Mhubiri na Mmiliki wa Kituo cha Redio cha Amazing Grace, raia wa Marekani, Gregg Schoof, aliyekamatwa...

READ MORE

Bobi Wine Awatoroka Polisi Kwa Bodaboda – Video

MWANAMUZIKI ambaye ni mwanasiasa pia, Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine, amefanikiwa kutoroka ulinzi mkali wa polisi uliokuwa ukizingira nyumba yake...

READ MORE

Polisi apigwa mawe hadi kufa

MAOFISA wa polisi nchini Malawi wamemtaja ofisa aliyeuawa siku ya Jumanne wakati wa ghasia za maandamano dhidi ya serikali huko...

READ MORE

Airtel Yaungana na Serikali Maandalizi Maandhimisho ya Miaka 20 Kumbukumbu ya Baba wa Taifa

  KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imeungana na Serikali kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi kwenye...

READ MORE

Meja Jenerali Kingu Asisitiza Uwajibikaji Wizarani

  KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu, ametoa wito kwa wakuu wa idara...

READ MORE

DAWA ZA KULEVYA ZILIVYOTEKETEZWA LAIVU!

MAMLAKA ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini (DCEA) jana Oktoba 8, 2019,  kwa kushirikiana na Ofisi ya...

READ MORE

JPM Katavi: Mafisadi Wameanza Kurudisha Fedha – Video

RAIS  John Magufuli, leo Jumatano, Oktoba 9, 2019,  ameanza ziara ya siku tatu mkoani Katavi ambapo amefungua barabara ya Kanazi...

READ MORE

DCB Yazindua Akaunti Maalumu Ya Elimu iitwayo DCB Skonga

    BENKI ya Biashara ya DCB imezindua akaunti maalumu ya akiba ya mpango wa elimu ijulikanayo DCB SKONGA ikilenga...

READ MORE

Kigogo Aliyekiri Kuhujumu Uchumi NIDA Aachiwa – Video

MMOJA wa watuhumiwa wa uhujumu uchumi wa vitambulisho vya Taifa (NIDA), Astery Ndege, amehukumiwa kulipa fidia ya Sh 293,446,400.23 kama...

READ MORE

Aanika Siri za Chumbani za Mume wa Mtu… Asutwa!

PWANIVituko haviishi duniani! Mkazi wa Vikindu mkoani Pwani anayetajwa kwa jina moja la Shamila ametamani ardhi ipasuke aingie baada ya...

READ MORE

Waliotubu kwa DPP Kutorosha Kobe 201, Wahukumiwa – Video

WASHTAKIWA waliokuwa wakituhumiwa kutorosha kobe, wamehukumiwa kulipa fidia ya sh. milioni 40 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...

READ MORE

RC Makonda Atangaza Neema Ya JPM Kigamboni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemshukuru Rais Dk John Magufuli ‘JPM’ kwa kutoa kiasi cha shilingi...

READ MORE

TFF Watambua Mchango Wa Tahliso

Kaimu Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Oscar Milambo amesema shirikisho hilo linatambua mchango wa Umoja...

READ MORE

Kessy Awachoma Wakandarasi kwa JPM – Video

MBUNGE wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Kessy, amesema makandarasi wanashirikiana na baadhi ya watendaji na watumishi wilaya ya Nkasi kutafuna...

READ MORE

JPM Awaagiza DC, RPC Kulipa Mil 15 kwa Kumwachia Mwizi – Video

RAIS John Magufuli amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa  Rukwa na Mkuu wa Wilaya ya  Nkasi, Said Mtanda,  kuhakikisha...

READ MORE

Mtoto wa Zuma akana kutoa rushwa ya Dola mil. 40 kwa Waziri

DUDUZANE ZUMA (35) mtoto wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, jana (Jumatatu) alikana kuhusika kutoa ruishwa ya Dola...

READ MORE

Rais Magufuli Azindua Barabara ya Sumbawanga – Chala

 Rais Dk. John Magufuli leo, Jumanne, Oktoba 8, 2019 anatarajia kuzindua barabara ya lami ya kilomita 76 kutoka Sumbawanga...

READ MORE

Amuua bintiye, akimtuhumu kula chakula chake

MWANAMME aitwaye, Isma Ssesanga, wa kijiji cha Kasawa, Wilaya ya Mukono nchini Uganda,  anashikiliwa na vyombo vya dola kwa madai...

READ MORE

Bi harusi, watatu wengine wafia bwawani wakipiga ‘selfie’

WANANDOA wawili wapya na watu wengine watatu wa familia yao walikufa maji katika bwawa moja baada ya kujaribu kujipiga picha...

READ MORE

Siku ya 9 kutafuta miili ya mama, mwana waliozama Mombasa

  OPARESHENI za kuopoa miili ya mama na mwanaye waliozama siku ya Septemba 29, 2019, katika feri ya Likoni, Mombasa,...

READ MORE

JPM: Nimekupa Pesa za Shule, Usizitoe Mahari – Video

RAIS  John  Magufuli aliye  katika ziara ya siku tatu mkoani Rukwa kuzindua na kukagua miradi ya maendeleo, leo  amemkabidhi Mwalimu...

READ MORE

Kampuni ya Tigo yazindua maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja

  Kampuni inayolenga kuleta mageuzi ya kidijitali katika maisha ya watanzania, Tigo, jana imezindua maadhimisho ya wiki ya huduma kwa...

READ MORE

Utata Msanii Beka Kuungwa Freemason!

DAR ES SALAAM: Utata mkubwa umeibuka juu ya picha zilizosambaa wikiendi iliyopita zikimuonesha msanii wa Bongo Fleva, Bakari Katuti ‘Beka...

READ MORE

TANZIA: Aliyekuwa Mkurugenzi Usalama wa Taifa Afariki Dunia

ALIYEKUWA kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Cornell Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia mchana wa leo,...

READ MORE