×

Habari

Alichokisema JOSEPH KUSAGA Msibani kwa RUGE – Video

  MKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga, amezungumzia kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Makampuni...

READ MORE

WASOMAJI WALISHUKURU GAZETI LA BETIKA

BAADHI ya wasomaji wa gazeti namba moja na la kijanja linalohusu ishu nzima za kubeti lijulikanalo kwa jina la BETIKA,...

READ MORE

DK TULIA: NIKIKUTANA NA JPM NITAMWAMBIA HAYA KUHUSU GLOBAL GROUP

DAR ES SALAAM: Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson Mwansasu, Jumamosi Februari 23,...

READ MORE

HII HAPA RATIBA YA KUAGA MWILI WA RUGE NA MAZISHI

NDUGU Kashasha ambaye ni msemaji wa Familia ya Mutahaba amesema kama mambo yakienda kama yalivyopangwa, mwili wa #RugeMutahaba utawasili jijini...

READ MORE

Mwakywembe Aagiza Dudu Baya Akamatwe, Mwenyewe Amjibu! – Video

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amelielekeza Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kushirikiana na Jeshi...

READ MORE

BREAKING: CHADEMA Waibua MAPYA Ishu ya KOROSHO – VIDEO

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemuomba Rais wa Jamuhuri yaMmuungano wa Tanzania, Dk John Magufuli kukutana na wadau wa...

READ MORE

Waziri Mkuu, RC Makonda Walivyofika MSIBA WA RUGE MUTAHABA – Video

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekuwa ni miongoni mwa viongozi mbalimbali wa Serikali ambao wamefika katika msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa...

READ MORE

CCM WATUMA SALAMU ZA POLE NA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA RUGE MUTAHABA

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa huzuni kubwa taarifa za kifo cha Ruge Mutahaba, ambaye amekuwa Mtendaji Mkuu wa Kituo...

READ MORE

FIFA Yamfungia Maisha Mwamuzi wa Tanzania kwa Rushwa

ZURICH: KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) chini ya Mwenyekiti wake Vassilios Skouris imemfungia maisha Mwamuzi...

READ MORE

Muhammadu Buhari Aibuka Mshindi wa Kiti cha Urais Nigeria

Muhammadu Buhari ametangazwa na Tume ya Uchaguzi Nigeria kuwa mshindi wa kiti cha Urais kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Februari 23,...

READ MORE

JK; “Nimelemewa”, JPM; “Nitakukumbuka”, Makonda; “Hautosahaulika”

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameeleza maumivu aliyonayo kufuatia kifo cha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media...

READ MORE

Mwili wa Kijana Aliyekaa Mochwari Miezi 8 Wachukuliwa – Video

HATIMAYE familia imuechukua mwili wa Frank Kapange (22) jana Jumanne, Februari 26, 2019 katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya...

READ MORE

TANZIA: Ruge Mutahaba Afariki Dunia, Rais Magufuli Amlilia!

  MKURUGENZI wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, amefariki dunia jana akiwa anapatiwa matibabu nchini Afrika...

READ MORE

MAMA, BINTIYE WALIOPIGWA RISASI DAR UNDANI WA ANIKWA

MKAZI wa Tu­wamoyo, Kig­amboni jijini Dar, Halima Ibrahim ‘54’ na binti yake, Neema Andrea ‘24’ walijeruhiwa kwa risasi Jumatano iliyopita...

READ MORE

ALIYEPASULIWA KICHWA BADALA YA MGUU… MIL. 100 ZAMTESA

KIJANA mmoja Emmanuel Di­das Marishay (30) mkazi wa Kigogo, jijini Dar es Salaam ambaye alipasuliwa kichwa badala ya mguu, shilingi...

READ MORE

BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO WA WADAU WAKUBWA SEKTA YA MAZIWA

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Jukwaa la Kimataifa la Maziwa na wadau wengine wameungana kukutanisha wadau wa sekta ya...

READ MORE

MAAFA TENA UKEREWE! WATOTO 2 WAFARIKI, NYUMBA 16 ZABOMOLEWA

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia huku watu 77 wakazi wa kijiji cha Mibungonanakwekwe wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza...

READ MORE

MOI Yafanya Upasuaji wa Fuvu la Binadamu kwa Darubini

MADAKTARI Bingwa wa Upasuaji ubongo wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), wamefanikiwa kufanya upasuaji mgumu wa kuondoa uvimbe...

READ MORE

DK TULIA AICHAMBUA SERIKALI YA JPM, UNUNUZI WA NDEGE

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson Mwansasu, amesema Serikali ya Awamu ya Tano...

READ MORE

Mbunge Bonnah Akiri Ndoa Yake Kuvunjika

  Mbunge wa Segerea (CCM) jijini Dar es Salaam aliyekuwa akitumia jina la Bonnah Kaluwa amekiri kuachana na mume wake...

READ MORE

JPM AKUTANA NA DAKTARI WA UPASUAJI WA UBONGO

  JPM na Profesa Yuanil wakibadilishana ‘vineno’ kadhaa. Rais John  Magufuli  leo amekutana na Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo...

READ MORE

Mchungaji Aliyefufua ‘Maiti’ Azua Gumzo – Video

NI Jumapili asubuhi ambapo kuna ibada ya uponyaji katika kanisa la  Alleluia Ministries International, kaskazini mwa jiji la Johannesburg, Afrika...

READ MORE

Mbele ya RC Mwanri, VP Samia Atoa Maagizo Tabora – Video

MAKAMU wa rais Samia Suluhu amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa mazingira Mkoani Tabora, ambapo amewataka kuboresha usafi na kuacha...

READ MORE

ALIYEKUWA MUME WA DAVINA AVUNJIWA MJENGO

ALIYEKUWA mume wa staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’, Abdallah Shakoor ambaye pia ni mzazi mwenzake na staa...

READ MORE

LINDI WAAGIZWA KUSITISHA UMWAGAJI WA MAJI TAKA DAMPO LA TAKA NGUMU

  Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima ameuagiza Uongozi wa Mkoa wa Lindi...

READ MORE

UKITAKA KUFUNGUA ‘BAKERY’ YA MIKATE, FUATA HATUA HIZI RAHISI

  Tanzania ya Viwanda kama anavyosema Rais Dk John Pombe Magufuli, inawezekana na hata wewe unaweza kumiliki kiwanda kwa kuanza...

READ MORE

Wabunge wawili wa Chadema Wafikishwa Mahakamani

WABUNGE wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Lijualikali (Kilombero) na Susan Kiwanga wa Mlimba na wenzao saba...

READ MORE

Wataalam 9 wa Ardhi Waliofariki Ajali Waagwa Morogoro – Video

NAIBU Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula,  amewaongoza mamia ya wananchi katika zoezi la kuaga miili ya wataalam tisa wa wizara...

READ MORE

Jamhuri Yaomba Lissu Akamatwe, Mahakama Yagoma!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeombwa kumfutia dhamana na kutolewa hati ya kukamatwa kwa Mbunge wa...

READ MORE

Wananchi Waua Majambazi Wanne Dodoma

WANANCHI wa kijiji cha Kinyasi wilayani Kondoa wamewaua watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliovamia kituo cha mafuta kilichopo kijijini hapo...

READ MORE

Ndoo 226 Zenye Sampuli za Madini 883 Zakamatwa Mwanza

KAMATI ya ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza inalishikilia gari lori aina Fuso lililokuwa likisafirisha shehena ya sampuli za madini...

READ MORE

Jamaa Ataka Kuiteka Ndege Angani, Kilichomtokea Bofya Hapa!

NDEGE iliyokuwa inafanya safari kutoka mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka kuelekea Dubai, ililazimika kutua kwa dharura baada ya kutokea jaribio...

READ MORE

ALIYEZAA NA GOD ZILLA AIBUKA , ANENA

DARE SALAAM SIKU chache baada ya kifo cha msanii wa Hip Hop, Golden Mbunda ‘Godzilla’ kutokea, mzazi mwenzake, Desta Minde...

READ MORE

MISS TANZANIA ALIVYOGUSWA NA HDIECA KUHUSU UTUNZAJI MAZINGIRA

Miss Tanzania 2018, Queen Elizabeth Makune  Jumamosi Feburuari 23  alikuwa mmoja wa waliohudhuria kongamano la Mwanamke na Mazingira lililoandaliwa na...

READ MORE

BENKI YA NMB YAWATAJA 6 WANAOKWENDA KULA BATA DUBAI

BENKI ya NMB imewatangaza wateja watatu ambao wameibuka washindi katika droo ya mwisho ya kampeni ya matumizi ya ‘NMB Mastercard’...

READ MORE

Rais wa Korea Kaskazini Atumia Treni kwenda kukutana na Rais Trump

Idara ya habari ya Ikulu nchini Korea Kaskazini imethibitisha Kiongozi wao, Kim Jong Un anatumia usafiri wa treni kwenda nchini...

READ MORE

GARI LATUMBUKIA MTONI, WATUMISHI 9 WAFARIKI!

#BRAKINGNEWS: Watu tisa ambao ni wataalam wa Idara ya Ardhi wamefariki dunia baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa...

READ MORE

MKE WA MBUNGE YAMFIKA MAZITO

IKIWA imepita takriban miezi 8 tangu aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’ afariki...

READ MORE

KIPIGO CHA SIMBA: AZAM YAWATIMUA PLUIJM NA MWAMBUSI

IKIWA ni siku moja baada ya kuchapwa mabao 3-1 na Simba, Azam FC imeamua kuvunja benchi la ufundi kwa kusitisha...

READ MORE

Tani 68 za Korosho Zarejeshwa kwa Wakulima

ZAIDI ya tani 68 za Korosho zilizokuwa zimepimwa na wakulima katika vyama vya Msingi Chemana na China  kata ya Chitekete...

READ MORE