×

Habari

Shinyanga: Mfanyakazi TTCL Afariki kwa Kupigwa Jiwe na Mumewe

MFANYAKAZI wa shsirika la simu nchini (TTCL) mkoani wa Shinyanga aitwaye Bupe Jacob maarufu kwa jina la Mwakibibi (48) ameuawa...

READ MORE

Raia Adaiwa Kuuawa kwa Risasi na Polisi

MTU mmoja  ambaye jina lake halikufahamika mara moja, amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa risasi na polisi eneo la Masika,...

READ MORE

KIJIJI AMBAKO WANAWAKE NDIYO HULIPA MAHARI!

Katika kijiji cha Nyamashekhe kilochopo mkoa wa magharibi nchini Rwanda kumekithiri utamaduni wa wanawake kulipa pesa kwa mwanaume ili  waolewe. ...

READ MORE

Kuamka Mapema Kunaweza Kukuepusha na Saratani

Wanawake wanaoamka mapema wapo katika uwezekano mdogo wa kupata saratani ya matiti, kwa mujibu wa watafiti nchini Uingereza. Kundi la...

READ MORE

Azam FC Wafungukia Ndege Yao

KUPITIA kwa meneja wa Azam FC, Philipo Alando, hatimaye amefungukia gumzo la ndege yao iliyoonekana ikiwashusha baadhi ya wachezaji wa...

READ MORE

JERRY  MURO: ARUMERU YA WAKULIMA, WAFUGAJI INAKUJA

    Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Jery Muro amejitolea  kuwasadia kuandika maandiko ya kibiashara wananchi wanaotaka kufanya Kilimo...

READ MORE

Muuza Mkaa Afunguka Anavyomsomesha Mwanaye Urubani – Video

Mama Nyamizi ni Mwanamke mjane anaeishi jijini Dar es salaam mwenye watoto wa watatu na aliejikita zaidi kwenye biashara ya...

READ MORE

FATMA KARUME ‘Amvaa’ RC Makonda “Ushoga Siyo Adui” – Video

RAIS wa Chama cha Mawakili Tanganyika, Fatma Karume amefunguka kuhusu kampeni ya kutokomeza mapenzi ya jinsia moja ‘ushoga’ iliyoanzishwa na...

READ MORE

WAHITIMU MAJENGO SEC. 2,000 WATOA MSADA VITUO VYA YATIMA

  KUNDI la WhatsApp la Wanafunzi wahitimu kidato cha nne mwaka 2,000 katika Sekondari ya Majengo iliyopo mkoani Kilimanjaro limetembelea vituo vitatu...

READ MORE

NMB YASAIDIA VITANDA 9 KITUO CHA AFYA KIGAMBONI

    BENKI ya NMB imetoa msaada wa vitanda tisa vya wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Kigamboni vyote vikiwa na...

READ MORE

DAKTARI AKAMATWA NA GARI LA WIZI LA SERIKALI – VIDEO

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam katika oparesheni mbalimbali ya kukamata magari ya wizi na mitandao ya...

READ MORE

OFISA MALAZI CHUO KIKUU (UDSM) ASEPA NA NDINGA YA TBL

  KAMPUNI ya TBL leo imemtangaza mshindi wa kwanza wa zawadi kubwa ya gari mpya aina ya Renault KWDI, Julitha...

READ MORE

TAIFA STARS YAWASILI AFRIKA KUSINI, ORODHA KAMILI HII HAPA

Kikosi cha Stars kimewasili salama huko Afrika Kusini kwa kambi maalum kujiandaa na mechi dhidi ya Lesotho kuwania kufuzu AFCON...

READ MORE

Polisi Dar Wakamata Silaha, Mlipuko Uliotengenezwa Kienyeji – VIDEO

  JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limefanikiwa kukamata silaha moja aina ya Short Gun, risasi nne za...

READ MORE

MWANAMKE MBARONI KWA KUMPIGA, KUMUUA MWANAYE

JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mwanamke Rahel Matalaka, 41, mkazi wa kijiji cha Lugenge, kwa tuhuma za kumpiga...

READ MORE

ASKARI WAFARIKI DUNIA WAKIFUKUZANA NA RAIA

ASKARI wa wanyama pori wa Hifadhi ya Taifa (Tanapa), Charles Ndakama na mwenzake, John Magwe wamefariki dunia baada ya kufukuzana...

READ MORE

Alikiba AMjibu DIAMOND Kimagumashi

 KUFUATIA jana Novemba 5, Staa wa Bongo Fleva, Nasbu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye pia ni Mkurugenzi wa Wasafi Media kutangaza...

READ MORE

Kalanga, Waitara, Kuchauka na Mzava Waapishwa Bungeni – Video

Mkutano wa 13 wa Bunge umeanza leo Jumanne, Novemba 6, 2018, huku wabunge wanne wawakiapishwa na Spika Job Ndugai, ambao wote...

READ MORE

SIRI YA TAMBIKO LA WAZIRI KIGWANGALLA YAFICHUKA

SIRI ya Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nzega Vijijini la mkoani Tabora, Dk....

READ MORE

MCHUNGAJI TAJIRI WA KUTISHA MWENYE KANISA BONGO

UKIFIKA jijini Dar Es Salaam eneo la Makongo Juu ndipo lilipo kanisa la En­lightened Christian Gathering ‘ECG’ la Mchungaji Shepherd...

READ MORE

Watu Sita Wafariki kwa Ajali ya Gari, Segera

Watu sita akiwemo mtoto mchanga wa jinsia ya kike wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali iliyotokea kijiji cha...

READ MORE

KUMEKUCHA NAMTUMBO MARATHON, MAMIA WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA

Wanariadha kutoka maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi wamejitokeza kwa wingi kushiriki Namtumbo Marathon inayotarajiwa kutimua vumbi wilayani...

READ MORE

DC JERRY MURO APAMBANA NA WATIA MIMBA MADENTI – VIDEO

    Mkuu wa Wilaya ya Arumeru,Jerry Muro kwa kushirikiana na Jeshi la polisi Wilaya ya Arumeru limewakamata watuhumiwa watatu...

READ MORE

Wachezaji Leicester City Wawasili Thailand Kumzika Mmiliki wa Klabu

Wachezaji wa Leicester City wamewasili nchini Thailand kwa mazishi ya mmiliki wa klabu ambaye alifariki kwenye ajali ya helikopta. Jamie Vardy...

READ MORE

Mjue Aliyemeza Kijiko Kikabaki Kooni Mwaka Mzima!

MTU mmoja nchini China hivi sasa anapata ahueni baada ya kuondolewa kijiko kikubwa cha kulia chakula kilichokuwa kimekwama kooni kwa...

READ MORE

Wanandoa Wafariki Kwa Helikopta Baada ya Harusi

WANANDOA Will Byler na Bailee Ackerman Byler wamefariki Jumamosi iliyopita baada ya helikopta waliyopanda baada ya kumaliza harusi yao kuanguka...

READ MORE

LIVE: Msemaji wa Serikali Akizungumzia Miaka 3 ya JPM – Video

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas, anatoa taarifa ya mambo...

READ MORE

BREAKING: NONDO ASHINDA KESI YA ‘KUJITEKA’, AACHIWA HURU

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Iringa imemuachia huru Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo, leo Jumatatu, Novemba 5, 2018,...

READ MORE

BOOMPLAY, UNIVERSAL MUSIC GROUP WATANGAZA USHIRIKIANO KATIKA USAMBAZAJI MUZIKI  

Universal Music Group inakuwa kampuni ya kwanza kuingia mkataba na jukwaa linaloongoza kwa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki barani...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATATU, NOVEMBA 5, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 05, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Rais Kikwete Atunikiwa Tuzo ya Uongozi Uliyotukuta

  Windhoek, Namibia: Rais Mstaafu Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametunukiwa Tuzo ya Uongozi Uliotukuka na Taasisi ya Women Advacement...

READ MORE

Breaking: Serikali Yasema Kampeni Ya Makonda ya Ushoga ni Mawazo Yake Binafsi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Bahrain Ahukumiwa Jela Maisha

KIONGOZI wa upinzani nchini Bahran,  Sheikh Ali Salman,  amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufaa kumpata na...

READ MORE

Mrembo Kutolewa Mahari Ng’ombe 500 Magari V8 Matatu!

Nyalong Ngong Deng Jalang (kulia). MSICHANA Nyalong Ngong Deng Jalang hivi sasa anajitayarisha kutolewa mahari ya ng’ombe 500 na magari...

READ MORE

MAKONDA, HUU HAPA UFUSKA WA KUTISHA!

VITUKO katika Jiji la Dar es Salaam sijui vitaisha lini? Maana kila uchwao ya kusikia ni mengi; Ijumaa linakupakulia tukio...

READ MORE

SPORT XTRA LAZIDI KUJIIMARISHA KWA WASOMAJI

KIKOSI cha mauzo cha kampuni ya Global Publishers Ltd (GPL) watoaji wa magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Ijumaa Wikienda, Risasi, Championi...

READ MORE

JPM ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 150 UINJILISTI KANISA KATOLIKI – VIDEO

LEO Jumapili, Novemba 4, 2018 wakati akitoa salamu zake kwenye maadhimisho ya miaka 150 ya Ukatoliki Tanzania Bara yaliyofanyika Bagamoyo...

READ MORE