×

Habari

BREAKING: ZITTO AFANYA MAAMUZI MAGUMU, AISHIKA PABAYA SERIKALI – VIDEO

KIONGOZI wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na viongozi wenzake wa vyama vya upinzani nchini, Joran Lwehabula Bashange na...

READ MORE

MAMA ALIA; Nateseka, Natembelea Kigoda kwa Miaka 3, Nisaidieni – VIDEO

Bi. Fatma Athman mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, amekuwa akiteseka kwa takribani miaka mitatu kutokana na...

READ MORE

Nyumba ya Mjomba wa Rais Magufuli Kubomolewa na Mwekezaji – Video

NYUMBA inayodaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alikuwa akitembelea mara kwa mara alipokuwa mwanafunzi...

READ MORE

EXCLUSIVE: Halima Mdee Ataja Orodha ya Viongozi Bora 2018 – Video

Mbunge wa Kawe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake BAWACHA, Halima Mdee akifanya exclusive interview na Global TV...

READ MORE

BREAKING: RAIS MAGUFULI Amuombea Dua Waziri Mkuu Mstaafu ICU!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Magufuli amemjulia hali na kumuombea waziri mkuu mstaafu, Mh Salim Ahmed...

READ MORE

Amuacha mumewe kitandani, aenda kujinyonga kwao

RUVUMA: Mkazi wa Kijiji cha Nakayaya wilayani Tunduru mkoani Ruvuma, Awetu Makunula (44) mwishoni mwa wiki iliyopita amejinyonga hadi kufa...

READ MORE

Atumbukia Kisimani na Kufariki Dunia

Mtu mmoja aitwaye Mikidadi Abdi mkazi wa Manyoni mkoani Singida amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima katika kitongoji cha Majengo...

READ MORE

Msanii wa filamu Afariki Dunia

Msanii Mkongwe wa Filamu kutoka kisima cha Bollywood, Kader Khan, amefariki dunia hapo jana akiwa nchini Canada alipokuwa akipatiwa matibabu....

READ MORE

RAIS MAGUFULI: WATUMISHI WA UMMA WAACHE KUSEMA “WANAFUATA MAAGIZO TOKA JUU”

Ameyasema hayo Ikulu wakati akitoa salamu za Heri ya Mwaka Mpya 2019 na kuwataka Watanzania wadumishe amani, upendo na umoja...

READ MORE

JPM Awatakia Watanzania Heri Ya Mwaka Mpya (VIDEO)

RAIS John Magufuli amewatakia heri ya Mwaka Mpya wa 2019 Watanzania wote na kuwaomba wadumishe umoja, amani na upendo waliouonyesha...

READ MORE

Picha: Shangwe la Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Live

UMATI wa wapenda burudani walivyofunga Jumla Jumla mwaka 2018 na kukaribishwa mwaka 2019 ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani,...

READ MORE

WAZIRI MKUU AZINDUA TAWI LA BENKI YA CRDB RUANGWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezindua tawi la benki ya CRDB wilayani Ruangwa na kuushukuru uongozi wa benki hiyo kwa kuwa...

READ MORE

JPM APONGEZWA , ATAKIWA KUWA IMARA

    ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Uongozi wa Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka 2014, Mnawaru Hamudi amempongeza...

READ MORE

Tshisekedi, Fayulu Walalamikia Dosari Uchaguzi wa Urais Congo

WAGOMBEA wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamelalamikia dosari nyingi wanazosema zilitokea wakati wa uchaguzi wa urais uliofanyika...

READ MORE

Katibu Mkuu CCM Ataja Sifa za Kugombea Serikali za Mitaa

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amesema atakayejihusisha na vitendo vya rushwa katika mchakato wa chama hicho...

READ MORE

WIZARA YATANGAZA AKAUNTI RASMI ZA WAZIRI KANGI LUGOLA

BAADA ya kuwepo kwa akaunti feki ya Mtandao wa Kijamii wa Instagram, ambao ulikuwa unatoa taarifa mbalimbali kwa jamii kuhusu...

READ MORE

BREAKING: Rais Magufuli Amuombea Dua Mama Yake Mgonjwa! -Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  na Wasaidizi wake  leo wamemuombea Mama yake Mzazi Bibi....

READ MORE

JPM Ashiriki Misa ya Maadhimisho Sherehe ya Familia Takatifu ya Yesu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo, Desemba 30,2018, ameshiriki Misa ya Maadhimisho ya Sherehe ya...

READ MORE

CHADEMA WATAKIWA KUSITISHA MIKUTANO, ZIARA WILAYANI HAI

  MKUU wa Wilaya ya Hai, amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wasitishe mikutano na ziara zao...

READ MORE

Mkazi wa Tarime ajishindia Milioni 10 za Tigo Jigiftishe

    Mkazi wa Wilaya ya Tarime Mkoani Mara Ahia Stephen, ameibuka mshindi wa wiki katika promosheni ya Tigo Jigiftishe...

READ MORE

Maskini Ruge na Dimpoz!

KUNA wengine hesabu za kuuingia mwaka mpya 2019, zimekuja na majibu mabaya, watakaoufikia salama, heri kumshukuru Mungu. Ukisikia kauli ya...

READ MORE

Wateja wengine 20 wa NMB washinda 100,000 kila mmoja

DROO ya pili ya kampeni ya matumizi ya ‘NMB Mastercard’ au ‘NMB Masterpass’ inayojulikana kama ‘MastaBata’, imefanyika tena kwa mara ya...

READ MORE

CCM Watuma Rambirambi Kifo Cha Mzee Ndejembi

  Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Mzee Pancras Mtemi Ndejembi  ambaye...

READ MORE

Video: Maono Ya Marehemu Bilago Mbunge Juu Ya Kikokotoo

 Aliyekuwa  Mbunge wa Jimbo la Buyungu, wilayani Kakonko mkoani Kigoma kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Marehemu...

READ MORE

UPASUAJI WA KWANZA DUNIANI WAFANYIKA BILA DAKTARI (PICHA +VIDEO)

  Dunia inakwenda kasi sana, sayansi na teknolojia vinazidi kufanya miujiza mingi ambayo miaka michache iliyopita ilikuwa haiwezekani, sasa inafanyika...

READ MORE

Pretty Kind: Sina Ukimwi, nimeamua tu kuokoka

KUTOKANA na tetesi kuzagaa kwamba ameathirika na ugonjwa wa Ukimwi, ndiyo maana ameamua kuokoka, msanii wa muziki na filamu Bongo,...

READ MORE

Breaking: Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa SSRA

Rais Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2018 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko...

READ MORE

Wabunge 15 Waliohenyeshwa Mahakamani 2018

TUNAKARIBIA kuufunga 2018 huku ukiacha historia kwa wabunge 15 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na ACT Wazalendo ambao...

READ MORE

‘TUNAFUNGA JUMLA-JUMLA 2018’: ROSTAM, MAUA SAMA WAAHIDI SAPRAIZ DAR LIVE

  WASANII  wanaounda kundi la Rostam, ambao ni  Roma Mkatoliki,  Stamina na Maua Sama, leo wamewathibitishia wapenzi wa burudani kufanya...

READ MORE

Trump, Melania Wawatembelea Ghafla Wanajeshi wa Marekani Nchini Iraq

  RAIS wa Marekani, Donald Trump na mke wake Melania Trump, wamefanya ziara ya ghafla ya Krismasi ya kuwatembelea wanajeshi...

READ MORE

Rais Magufuli Kukutana na viongozi wa TUCTA Leo

Rais Magufuli Rais Magufuli leo atakutana na viongozi wa Shirikisho la Wafanyakazi (TUCTA), vyama shiriki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii...

READ MORE

TCAA: Hatujazuia Fastjet Kuingiza ndege, Wanadaiwa Bilioni 6 – Video

MAMLAKA ya Usimamizi wa Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema hawajalizuia Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania kuingiza ndege zake...

READ MORE

BREAKING: Basi La Mwendo kasi lawaka moto Ubungo (Picha +Video)

Basi la mwendokasi mchana wa leo limewaka moto katika Injini yake maeneo ya Ubungo kituo cha Ubungo Maji jijini Dar...

READ MORE

Mapacha Watanzania Walioungana Watenganishwa Saudi Arabia

  MAPACHA wa Tanzania walioungana, Anishia na Melanese, wametenganishwa nchini Saudi Arabia Desemba 23, 2018, na hali zao zinaendelea vizuri...

READ MORE

Papa Francis Atoa Ujumbe wa Krismasi kwa Walimwengu

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, amewataka waumini wa kanisa hilo na wananchi wote duniani kuishi maisha ya kawaida...

READ MORE

IBADA YA KUBARIKI MAKABURI YA WAZAZI WA SHIGONGO YAFANYIKA MWANZA

LEO, leo Jumatatu, Desemba 24, 2018, familia ya Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, imefanya ibada maalum...

READ MORE

Maneno ya Shigongo Akiwakumbuka Wazazi Wake Yawagusa Wengi

LEO, leo Jumatatu, Desemba 24, 2018, familia ya Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, imefanya ibada maalum...

READ MORE

Ibada ya Misa Kuwaombea Wazazi wa Shigongo Yafanyika Bupandwamhela – Pichaz

FAMILIA ya Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, leo Jumatatu, Desemba 24, 2018 imefanya ibada maalum ya...

READ MORE

BREAKING: Chadema Waibuka na Daftari la Wapiga Kura – VIDEO

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kulifanyika maboresho daftari la...

READ MORE