×

Habari

Mbunge Amwaga Machozi Bungeni “Watu Wanataka Kujinyonga” – Video

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Rukwa, jana alijikuta akimwaga machozi wakati akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa...

READ MORE

Burundi Wapiga Kura Kumruhusu Nkurunziza Kuwa Rais Hadi 2034

WANANCHI wa Burundi, leo Alhamisi Mei 17, 2018 wanapiga kura ya maoni kwa kufanya marekebisho ya katika ya nchi hiyo...

READ MORE

Kenyatta Atia saini sheria ya makosa ya mtandaoni

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametia saini mswada wa Sheria ya Uhalifu wa Kompyuta na Mtandaoni ya mwaka 2018 kuwa...

READ MORE

KAMPENI YA  UJENZI OFISI ZA WALIMU DAR  YAFIKIA PAZURI

    KAMPENI ya Ujenzi wa ofisi 402 za walimu wa Mkoa wa Dar es salaam imezidi kupamba moto ambapo...

READ MORE

WAKANDARASI DAR WAMUUNGA MKONO MAKONDA KUJENGA MITARO

ZAIDI ya Kampuni 70 za ukandarasi zimejitolea kujenga mitaro ya barabara mbalimbali za jijini Dar es Salaam bure kama sehemu...

READ MORE

Mwakyembe Noma, Afukua Utajiri wa Kanumba

SIFA anazomwagiwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison George Mwakyembe mitaani, zinatosha kusema kuwa waziri huyo ni...

READ MORE

Kibatala Aiomba Mahakama Ifute Mashtaka Kesi ya Mbowe na Wenzake

Upande wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, umeomba...

READ MORE

BASHE Aliamsha Bungeni: Ushirika Huu Hauna Mtaji – Video

Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo, amewataka wabunge kutoipitisha bajeti...

READ MORE

NAPE: Huu ni Mtihani Mkubwa kwa Serikali ya Awamu ya Tano – Video

MBUNGE wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo amesema bajeti hiyo haitoshi ikilinganishwa...

READ MORE

Lulu Aanza Kufanya Kazi za Jamii Jijini Dar

  BAADA ya kifungo chake jela kubadilishwa na kuwa kifungo cha nje, msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekuwa akifanya kazi ya...

READ MORE

55 Scholarships at Al-Azhar University – Egypt for Academic Year 2018/2019

MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY  SCHOLARSHIPS TENABLE IN EGYPT FOR THE ACADEMIC YEAR 2018/2019  The Embassy of the Arab...

READ MORE

ALIYEGANDWA KICHWANI MAHINDI YA WIZI AACHIWA (Video)

KIJANA Frank Joseph Mkazi wa Mbezi jijini Dar aliyekuwa akishikiliwa katika Gereza la Mkuza Mkoani Pwani kwa kosa la kuiba...

READ MORE

BREAKING: Mwandishi Aliyetekwa Apatikana, Aeleza Mazito! – Video

MWANDISHI wa habari wa kujitegemea jijini Arusha, Lucas Muyovera amenusurika kuuawa kwa kipigo baada ya kutekwa na watu wasiojulikana usiku...

READ MORE

Baba Mbaroni kwa Ubakaji wa Binti Yake wa Miaka 6

DAR ES SALAAM: Aibu, aibu nzito ambayo si rahisi kuielezea kwa mtu mzima mwenye ufahamu wake kutiwa mbaroni na Jeshi...

READ MORE

BALAA LA MVUA Maiti 3 Zaopolewa, Bado 9

MARA: Balaa la mvua! Baada ya watu 12 kusomwa na maji wakiwa kwenye mtumbwi katika Mto Mara uliopo mpakani wa...

READ MORE

Swali la Kwanza Dkt Tulia Tangu Aingie Bungeni – Video

Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson, kwa mara ya kwanza tangu aingie Bungeni ameuliza swali kwa kuhusiana na tamko...

READ MORE

NDAKI: Hatutaki Maelezo Mengine, Rudisha Shilingi 100 – Video

MBUNGE wa Maswa Magharibi, Mashimba Ndaki, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo amepinga utaratibu wa vyama vya ushirika...

READ MORE

Sapraizi: Wananchi Wafaidi Mapapai ya Magufuli – Video

RAIS John Magufuli amewafanyia sapraizi wananchi waliokuwa nje ya geti la Bandari Kuu ya Dar es Salaam, baada ya kuwanunuliwa mapapai na...

READ MORE

JPM Ampa Shavu Aliyesimamia Haki Mafuta Yenye Utata Bandarini – Video

  RAIS John Magufuli amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango kumpandisha cheo mara moja Kaimu Kamishna wa...

READ MORE

VIDEO: Tutawashughulikia Wote, Hata Watoto wa Vigogo – AWESO

Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, amesema Serikali haitamnyamazia na itamchukulia hatua kali mtu yeyote awe ni mtoto...

READ MORE

Kesi ya Mbowe na Wenzake Yaanza Kuunguruma Kisutu (Video)

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeanza kusikiliza kesi dhidi ya Mbowe na viongozi wenzake wa Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

Hivi Ndivyo Dawa Mpya Inavyozuia Ukimwi

  DAR ES SALAAM: Wengi hawajui hii dawa-kinga inayoanza kutolewa na Serikali kuzuia maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inafanyajefanyaje...

READ MORE

Mama Kanumba Afunguka Lulu Kuachiwa – Video

Baada ya Lulu kutolewa Gerezani na kuanza kutumikia kifungo cha nje, Mama Kanumba amefunguka kuwa hafahamu lolote wala hana taarifa...

READ MORE

ULEGA APOKEA MIFUKO 200 YA SARUJI UJENZI WA ZAHATI MKURANGA

  MBUNGE na Naibu Waziri wa Mifugo na uvuvi, Abdallah Ulega, jana alipokea mifuko 200 ya saruji yenye thamani ya...

READ MORE

Mambo Haya Ma-5 Yatakupa Yafanikio Makubwa

MPENZI msomaji karibu jamvini tuendelee kupeana mbinu mbalimbali za kupata mafanikio maishani endapo tu tutazingatia mafundisho haya. Kumbuka wapo wengi...

READ MORE

UTATA KESI YA KIBA

DAR ES SALAAM: Mambo ni moto! Baada ya hivi karibuni mzazi mwenzake na staa wa Bongo Fleva, Ally Salehe Kiba...

READ MORE

TAXIFY YAWAWEZESHA MADEREVA WA BAJAJI KWA KUWAPATIA SIMU ZA SMARTPHONE

Kampuni ya Taxify inayokuwa kwa kasi zaidi duniani katika utoaji wa huduma ya usafiri kidijitali, sasa inawawezesha madereva-washirika wake wa...

READ MORE

CHUO KIKUU HURIA CHAREJESHA PROGRAMU YA MAANDALIZI

    CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) kimeutaarifu umma kuwa programu ya maandalizi (foundation programme) imerejeshwa rasmi baada ya...

READ MORE

Halotel yazindua Super Halo kwa kishindo

  Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel, kwa mara ya kwanza imezindua kifurushi kisichokuwa na kikomo cha muda kitakacho...

READ MORE

TANZANIA YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA

Timu ya Wasichana Wanaoishi katika mazingira magumu kutoka Tanzania imetinga fainali za Kombe la Dunia kwa kuifunga England 2-1. Mabao...

READ MORE

TAARIFA RASMI YA MAGEREZA KUHUSU KUACHIWA KWA LULU

Taarifa rasmi ya Jeshi la Magereza kuhusu kuachiwa kwa Muigizaji wa Filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye sasa atatumikia kifungo...

READ MORE

BREAKING NEWS: LULU ATOKA GEREZANI – VIDEO

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imembadilishia adhabu ya kifungo, Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu, ambaye kuanzia...

READ MORE

MWANAHERI ANASWA NA KIDUME HOTELINI

NANI alisiyejua kama ubuyu ni mtamu jamani! Na ukitaka kuula vizuri, lazima uupatie nafasi ya kutosha kuumung’unya taratibu! Sasa ubuyu...

READ MORE

LIVE: Kikao cha 28, Mkutano wa 11 wa Bunge – Mei 14

Kikao cha 28, mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza muda huu Bungeni...

READ MORE

DIAMOND: Mobeto Siyo Mama Yangu – Video

NADHANI unafahamu kwamba Mei 13 ya kila mwaka, Dunia nzima huadhimisha siku ya wakinamama duniani. Staa wa Filamu Bongo, Mwanamama,...

READ MORE

DIAMOND APAGAWISHA MASHABIKI WIMBO WA ‘COLOURS’ WA KOMBE LA DUNIA 2018

MSANII wa Bongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ usiku wa kuamkia leo amewapagawisha vilivyo mashabiki wake wakati akiimba wimbo maalum utakaosherehesha Kombe la Dunia 2018...

READ MORE