×

Habari

Watatu Wafariki kwa Ajali ya Basi Kagera

WATU watatu wamefariki dunia papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kugongwa na Basi la Kampuni ya Frester lenye...

READ MORE

Rais Magufuli Amlilia Abbas Kandoro

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya aliyewahi kuwa mwanasiasa...

READ MORE

KAULI YA JOHN HECHE BAADA YA MDOGO WAKE KUUAWA NA POLISI

  KUFUATIA kifo cha mdogo wake aitwa Saguta Chacha, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amelishutumu Jeshi la Polisi kwa...

READ MORE

VIFO MFUFULIZO VYA WASANII VILIVYOSHTUA

WIKI ya masikitiko! Hivyo ndivyo unaweza kusema kufuatia vifo mfululizo vya mastaa wanne Bongo, ambao ni muuza sura kwenye video...

READ MORE

BREAKING: MKUU WA MKOA MSTAAFU, ABBAS KANDORO AFARIKI DUNIA

TANZIA: Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro amefariki dunia usiku huu wa Ijumaa, Aprili 27,...

READ MORE

MAJALIWA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA UONGOZI YA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa vyama vya siasa wajitahidi kuwa makini na namna wanavyoendesha vyama vyao...

READ MORE

Breaking News: Magari Yaliyobeba Polisi, Wanajeshi Yapata Ajali Moro

Basi lililokuwa limebeba askari Polisi limegongana na gari dogo aina ya Noah iliyokuwa imebeba Wanajeshi wa JWTZ, katika maeneo ya...

READ MORE

RC MAKONDA AWAPATIA WATOTO 2971 BIMA YA AFYA

IKIWA  leo ni siku ya 15 tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda atangaze kuwasaidia watoto waliotelekezwa...

READ MORE

RPC athibitisha mdogo wake Heche kuuawa na Polisi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Polisi Tarime Rorya Henry Mwaibambe amethibitisha kuuawa kwa Bwana Chacha Heche Suguta ambaye ni mdogo...

READ MORE

Lema Afutiwa Mashtaka, Akamatwa Tena Kesi ya Kuota Ndoto

  MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha na kufunguliwa mashtakata mapya kuhusu...

READ MORE

Breaking News: Mdogo wa John Heche Auawa Kwa Kuchomwa Kisu

  Mbunge wa Tarime Vijijini kupitia (CHADEMA), John Heche amefiwa na mdogo wake, Suguta Chacha akidaiwa kuuawa kwa kuchomwa kisu...

READ MORE

Kwa Mara ya Kwanza, Madaktari Wafanikiwa Kupandikiza Uume

JOPO la madaktari wamefanikiwa kufanya upandikizaji wa kwanza wa uume na korodani ambapo askari alijeruhiwa na bomu huko Afghanistan amefantiwa...

READ MORE

HAIJAWAHI KUTOKEA: Kim Jong-un Avuka Mpaka wa Kijeshi, Aingia Korea Kusini

  KIONGOZI wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amekuwa kiongozi wa kwanza wa taifa kuvuka mstari wa kijeshi uliowekwa kuyagawa mataifa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWAONGOZA WATANZANIA KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO (Picha + Video)

Sherehe za maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliozaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yanafanyika katika Uwanja wa jamhuri...

READ MORE

Mhariri Kampuni ya Hali Halisi Atembelea Global

Mkina na Saleh Ally wakibadilishana mazungumzo. Mhariri wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers, Simon Mkina,   leo  ametembelea ofisi za Kampuni...

READ MORE

Breaking News: Diwani Viti Maalum CUF Ajiuzulu

Diwani wa Chama cha Wananchi (CUF) Viti Maalum, Rukaiya M. Ally amejiuzulu nafasi yake ya udiwani kutoka kwa madai ya...

READ MORE

JIJI LA DAR SHWARI SIKUKUU YA MUUNGANO

  Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam leo waliungana na Watanzania wengine wa Bara na Visiwani katika kusherehekea miaka...

READ MORE

TASWIRA MBALIMBALI MITAA YA POSTA LEO JIJINI DAR

Hii ndiyo ilikuwa taswira katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam eneo la Posta sehemu za Chuo cha Usimamizi wa...

READ MORE

BARABARA MOSHI-DAR YAFUNGWA KWA MUDA KWA KUANGUKIWA NA MTI

  BARABARA ya Moshi-Dar imefungwa kwa muda asubuhi ya leo eneo la mbele ya  Chekereni karibu na daraja la Kileo...

READ MORE

Makonda Apokea Misaada ya Waathirika wa Mafuriko Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Aprili 26, 2018, amepokea msaada wa magodoro, neti na vyakula...

READ MORE

Rais Magufuli Atangaza Dodoma Kuwa Jiji – Video

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ameipandisha hadhi Manispaa ya Mji wa Dodoma na...

READ MORE

ALIYEZAA NA MASOGANGE AFUNGUKA MAPYA!

SIKU moja baada ya mazishi ya aliyekuwa mwigizaji wa filamu na video queen maarufu Bongo, Agness Gerald Waya ‘Masogange’ yaliyofanyika...

READ MORE

DK 4 za Mtulia Bungeni: ‘Michepuko’ Inakubalika – Video

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia, akichangia Mjadala wa ujenzi wa barabara na ATCL, uliopo katika bajeti ya wizara...

READ MORE

Tanzia: Mama Yake Lady Jaydee Afariki Dunia

MAMA mzazi wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, Bi. Martha Mbibo, amefariki dunia alfajiri ya...

READ MORE

LIVE: Maadhimisho ya Sherehe za Muungano Kutoka Dodoma – Video

Sherehe za maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliozaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yanafanyika katika Uwanja wa jamhuri...

READ MORE

KAFULILA: TRIL 1.5 SIYO KITU KIPYA, MWAKA 2012/13 ILIKUWA TRIL 3.48

Na David Kafulila Kumekuwa na uvumi unaosambazwa na baadhi ya wanasiasa kwamba kuna ufisadi wa 1.5 trn kufuatia ripoti ya...

READ MORE

UFANUNUZI KWA WATOA HUDUMA ZA MAUDHUI KWA NJIA YA MTANDAO

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kukiri mwitikio mzuri wa wamiliki wa Blogu, Majukwaa mtandaoni (online forums), Radio na Televisheni...

READ MORE

TECNO IKISHIRIKIANA NA TIGO IMEWALETEA TECNO CAMON X RASMI TANZANIA

KAMPUNI ya simu ya TECNO ikishirikiana tigo imewaletea TECNO CAMON X ikiwa ni muendelezo wa toleo la ‘CAMON’ iliyoboreshwa zaidi...

READ MORE

MALARIA YAPUNGUA KWA ASILIMIA 7. 3 NCHINI

MAAMBUKIZI  ya  viashiria vya ugonjwa wa  Malaria  Nchini Tanzania yamepungua  kwa Watoto chini ya miaka mitano  kutoka asilimia 14.4 mwaka...

READ MORE

Makamba: Bunge Halikupitisha Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Chato – Video

Mbunge wa viti Maalum Shinyanga, Salome Makamba, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano amesema Bunge halikupitisha...

READ MORE

STEVE NYERERE: MZEE MAJUTO ATATIBIWA INDIA – VIDEO

WASANII wa Bongo Muvi leo wamemtembela Muigizaji Mkongwe Nchini, King Majuto, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Tumaini iliyopo Upanga Jijini...

READ MORE

Mlinga: Wapinzani Mnatukana Matusi Hamna Jema – Video

Mbunge wa Jimbo la Mlinga, Goodluck Mlinga, amesema kwa kawaida binadamu akitaka kuomba jambo lolote ni lazima kwanza aanze kwa...

READ MORE

Halima Burembo: Upinzani Mkishindwa Njooni CCM – Video

Mkutano wa Bunge la 11 umendelea leo mjini Dodoma ambapo wabunge walikuwa wakichangia bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano...

READ MORE

PROF JAY Alivyotumia Staili ya ‘Ku-Rap’ Bungeni – Video

Mbunge wa Mikumi kupitia Chadema, Joseph Haule, akichangia Mjadala wa ujenzi wa barabara uliopo katika bajeti ya wizara ya ujenzi,...

READ MORE

BOMBARDIER ZILIVYOMUIBUA HECHE BUNGENI LEO- VIDEO

MBUNGE wa Tarime Vijijini, John Heche akichangia hoja inayohusu bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano, amesema hakuna mtu anapinga...

READ MORE

MASALA: Siyo Lazima Wabunge Wote ‘Tutoe Mapovu’ – VIDEO

Mbunge wa Nachingwea, Hassan Masala akichangia hoja kwenye bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano, amesema siyo lazima kila mbunge...

READ MORE

HATARI: Panya Road Wazua Balaa Dar, Mtu Mmoja Afariki – VIDEO

Wakati matukio ya vijana wadogo maarufu kama Panya Road kuvamia na kujeruhi watu yakiwa yameanza kusahaulika, tukio jipya limeibuka Ulongoni,...

READ MORE

WAZIRI UMMY; VYANDARUA NI BURE, ATAKAYEUZA KUKIONA

WAZIRI Wa Afya Maendeleo ya Jamiii Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameagiza Waganga Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Waganga...

READ MORE

Makaburi ya Vigae si Salama

  TAARIFA za watafiti zimeeleza kuwa matumizi ya maru maru (tiles, marble, terrazzo) katika kujengengea makaburi siyo salama kwa ardhi,...

READ MORE