×

Habari

Zitto Aachiwa kwa Dhamana, Atoa Kauli Mauaji ya Diwani

  KIONGOZI Mkuu wa  ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana ya maneno ya Sh. 50 milioni na kudhaminiwa na...

READ MORE

POLISI KUZUIA MIKUTANO YA SIASA, MAANDAMANO NI SAWA?

Tungependa Watanzania wote waeleweshwe kuhusu jambo hili. Tumekuwekea mjadala maalum kuhusu polisi kuzuia mikutano ya kisiasa na maanadamo hapa nchini....

READ MORE

Mwili wa Akwilina Wawasili Kwao Rombo – Video

Wanafunzi ambao alikuwa akisoma nao marehemu Chuo cha NIT wakiwa msibani hapo. Wa kwanza kushoto ni mshauri wa wanafunzi, Paulina ...

READ MORE

GHANA: Mtanzania Ahukumiwa Jela kwa Madawa ya Kulevya

MWANAMKE raia wa Tanzania, Basaida Zena Jafary amehukumiwa miaka mitano jela baada ya kukamatwa akiwa na mzigo wa madawa ya...

READ MORE

Mwandishi wa Uhuru Ajeruhiwa Ajali ya Malori na Gari Dogo

AJALI mbaya imetokea neo la Tabata TOT jijini Dar es Salaam,usiku  wa kuamkia leo baada ya gari dogo lenye namba...

READ MORE

Breaking News: Diwani Chadema Auawa Usiku Morogoro

Diwani wa Kata ya Namawala wilayani Kilombero, Godfrey Luena (CHADEMA) ameuawa usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake kwa kukatwakatwa kwa...

READ MORE

Msajili wa Vyama vya Siasa Awaandikia Chadema Barua Kuwata Wajieleze

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akitaka kujieleza kwa...

READ MORE

JPM: Mtanisamehe, Mimi Siyo Mwanasiasa Mzuri!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa yeye si mwanasiasa mzuri ndiyo...

READ MORE

Halotel yafikisha 10% ya wateja wote wa simu nchini

    KAMPUNI ya Halotel Tanzania imetangaza kuendelea kupata mafanikio na kuongezeka kwa kasi ya ukuaji katika kipindi cha robo...

READ MORE

Hapa Ndipo Atakapozikwa Akwilina

KUFUATIA kifo cha aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT), Akwilina Akwilini ambaye mwili wake umeagwa leo katika...

READ MORE

Wanafunzi NIT Wapoteza Fahamu Baada ya Kuona Jeneza la Akwilina- Video

MAJONZI, VILIO na simanzi vimetawala wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini...

READ MORE

Kuagwa Kwa Akwilina Majonzi, Vilio Vyatawala – Pichaz na Video

  Mwili wa marehemu Akwilina Akwilini umeagwa leo Feb 22, 2018 katika viwanja vya Chuo cha NIT kabla ya kusafirishwa...

READ MORE

Ibada ya Kuaga Mwili wa Akwilina Chuo cha NIT

MWILI wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT), Akwilina Akwilini umefanyiwa ibada ya kuagwa katika chuo hicho...

READ MORE

Vilio na Simanzi Mwili wa Akwilina Ukichukuliwa Muhimbili

VILIO na simanzi vimetawala wakati wa kuchukua mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini aliyeuawa...

READ MORE

Live Updates Kutoka Muhimbili: Kuagwa kwa Mwili wa Akwilina

NDUGU, jamaa, marafiki na Watanzania wengine wamejitokeza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kuuchukua mwili wa aliyekuwa mwanafunzi...

READ MORE

Cannavaro Apata Pigo Akiwa Sheliheli

WAKATI akipambana kuitumikia klabu yake iliyoko nchini Shelisheli kucheza mechi za kimataifa, nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amepatwa na...

READ MORE

Ratiba Ya Kuaga Mwili wa Akwilina Akwiline Leo NIT

Ratiba ya kuaga mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline leo katika viwanja vya...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Ampongeza Mumewe kwa Kuongeza Mke wa Pili

  KALI YA MWAKA! Hili linaweza kuwa ni jambo la kushangaza kutokana na ugumu wa asilimia kubwa ya wanawake kushindwa...

READ MORE

Wakati Kifo cha Akwilina Kikitikisa, Mfanyabiashara Auawa Nje ya NIT

  WAKATI kifo cha denti wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini kilichotokea baada ya kupigwa risasi kwenye...

READ MORE

MWENYEKITI, MWANASHERIA MISUNGWI WAKAMATWA

  JESHI la Polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana  na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imemkamata Mwenyekiti...

READ MORE

CHADEMA YAONYA KUHUSU WALIOSHIKWA KWENYE MAANDAMANO

  MBUNGE  wa Jimbo la Kibamba na Kaimu Katibu Mkuu  wa Chama cha  Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika,  amesema...

READ MORE

Mtanzania Akamatwa na Dhahabu ya Bilioni 2, Nairobi

MWANAMME mmoja anayedaiwa kuwa ni raia wa Tanzania amekamatwa na maofisa wa forodha katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

MGUU WA MTOTO WANASA KWENYE NGAZI ZA UMEME AIRPORT

MTOTO Julian mwenye umri wa miaka miwili alijikuta akivunjwa mifupa ya mguu wake uliponasa kwenye ngazi za umeme katika kiwanja...

READ MORE

TAHARUKI! Daraja la Mongo la Ndege Lagawanyika – Video

TAHARUKI na usumbufu wa miundombinu umewakumba wakazi wa Mongo la Ndege, Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam baada daraja...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWASILI UGANDA, AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS YOWERI MUSEVEN

Rais Magufuli leo amewasili nchini Uganda kushiriki mkutano wa siku 2 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki...

READ MORE

Madiwani Wawili Chadema Wajiunga CCM Arusha

MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia cha Maendeleo (Chadema) mmoja wa kata ya Daraja Mbili,  Prosper Msofe na Diwani wa...

READ MORE

WATOTO WA KIKE WAFA KWA KUJIRUSHA GHOROFANI RUSSIA

    POLISI wa Izhevsk, Jamhuri ya Udmurt, Russia, wanachunguza iwapo vifo vya watoto wawili wa kike waliojirusha na kufa...

READ MORE

JPM Aenda Ziarani Uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameondoka nchini leo kuelekea Uganda kushiriki Mkutano wa siku...

READ MORE

Kauli ya Tume ya Haki za Binadamu Kuhusu Kifo cha Akwilina

Tume ya Haki za Binadamu nchini kupitia Jukwaa la Wakurugenzi wa Asasi za Kiraia (AZAK) imesema imesikitishwa na ilichokiita vitendo...

READ MORE

ASIYEJULIKANA ATOWEKA NA MKE WA MTU!

DAR ES SALAAM: Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanaume mmoja, mkazi wa Kigogo jijini Dar, Ally Herry, anahaha kumtafuta mkewe,...

READ MORE

Benki Ya Equity Yazindua Huduma Ya Eazzybanking Kurahisisha Huduma Kwa Wateja

BENKI ya Equity imezindua huduma za kibenki kwa njia ya mtandao ambapo wateja wao sasa watapata huduma mahali popote kupitia...

READ MORE

BENPOL AFUNGUKA KUNANGWA NYWELE ZAKE

BAADA ya kunangwa na mashabiki zake mitandaoni kwamba rangi ya kijani aliyoweka kwenye nywele zake haijampendeza, mwanamuziki wa Bongo Fleva,...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATANO, FEB 21, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Feb 21, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

UJUMBE WA WA MWISHO WA AKWILINA UNASIKITISHA

  Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) aliyepigwa risasi Februari 16, 2018 eneo la Mkwajuni-Kinondoni jijini Dar na...

READ MORE

Wateja Wa Airtel Wajishindia Smartphone na Modem

WATEJA wa Kampuni ya Simu za mkononi Airtel Tanzania wameendelea kujishindia zawadi mbali mbali kwenye promosheni inayoendelea ya SHINDA NA...

READ MORE

MSHINDI WA SHINDANO LA DISNEY KUPAA MPAKA HONG KONG

  Mshindi wa Shindano la Disney lililokuwa linaendeshwa na Kampuni ya GSM kupitia maduka yake ya GSM MALL, limefikia tamati...

READ MORE

BAADA YA KUJIFUNGUA, MKE WA AZORY: NISAIDIENI NATESEKA!

  WAKATI leo ni siku ya 92 tangu kupotea kwa mwandishi wa kujitegemea wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL),...

READ MORE

Mwili wa Daniel John Anayedaiwa Kuuawa Waagwa Dar

  MWILI wa aliyekuwa Katibu wa Chadema Kata ya Hananasif, Daniel John umeagwa nyumbani kwake na kufanyiwa ibada katika Kanisa la...

READ MORE

Viongozi Wanne Chadema Wafika Sentro Kuhojiwa

VIONGOZI wanne kati ya saba wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema) walioitwa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya...

READ MORE

MAZISHI YA AKWILINA KUGHARIMU ZAIDI YA MIL. 60

FAMILIA ya aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline  na serikali wamekubaliana kwamba mazishi ya mwanafunzi...

READ MORE