×

Habari

Abdul Nondo Ahojiwa Uraia Wake na Uhamiaji

Mkurugenzi wa Idara ya Sheria ya Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP) Paul Kisabo amesema  kwa takribani wiki sasa Mwenyekiti  wa...

READ MORE

WATEJA VODACOM KUENDELEA KUPATA HUDUMA YA LUKU KUPITIA M-PESA

Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc inapenda kuwataarifu wateja wake na Watanzania kwa ujumla kwamba, itaendelea kutoa...

READ MORE

Wabunge Upinzani Wakacha Bunge

Wabunge wa upinzani wakiwamo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ni kama wamesusia Mkutano wa 11 wa Bunge ulioanza...

READ MORE

Ripoti Inatisha: Waume Kuua Wake, Wapenzi Wao!

Tukio la mauaji ya mke, Leyla Mtumwa almaarufu Ndaya (36) (pichani), linalodaiwa kufanywa na mumewe, Kema Salum Kasam­bula ‘Belly’ (38),...

READ MORE

Kikwete Ajitosa Afya Tete ya Mzee Majuto

LICHA ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume bado hali ya staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ ni...

READ MORE

Bosi wa Gesti Matatani Kifo cha Mfanyabiashara

SAKATA la kuuawa kwa mfanyabiashara Charles Nyanga Magesa (31) kisha maiti yake kutupwa katika kisima chenye maji machafu karibu na...

READ MORE

Mke wa Mtu Adai Kuruhusiwa Kuzaa Nje ya Ndoa, Afanya Kweli

NI aibu nzito! Mwanamke mmoja, Esta Msomi (26) (pichani), mkazi wa Kijiji cha Mwibagi kilichopo katika Kata ya Kyanyari Wilaya...

READ MORE

Ndugai Arejea Nchini Akitokea India kwa Matibabu

Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano, Job Ndugai amerejea nchini leo Aprili 3, 2018 akitokea India alikokuwa amekwenda kwa...

READ MORE

MBOWE BAADA YA KUACHIWA: Nimeyaona Mengi Gerezani – Video

MAHAKAMANI KISUTU: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na viongozi wenzake sita wa chama hicho wameachiwa kwa dhamana leo. Viongozi hao wanakabiliwa...

READ MORE

MANDOJO KUVUNJIWA NYUMBA YA MAMILIONI… KUNA KITU!

BAADA ya msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Joseph Francis Michael ‘Mandojo’ kuvunjiwa nyumba yake ya mamilioni iliyokuwa maeneo ya Mbweni...

READ MORE

Masogange Akwepa Jela Hukumu Kesi ya Madawa, Alipa Faini – VIDEO

MSANII wa muziki nchini, Agnes Gerald ‘Masogange’ amekwepa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kulipa faini ya Sh. milioni...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Waachiwa kwa Dhamana, Mdee Auanganishwa – Video

Viongozi wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao, Freeman Mbowe wametimiza masharti ya dhamana na kuachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Chadema Wafurika Mahakamani Kusubiri Dhamana ya Mbowe – Pichaz

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo wamefurika katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar  wakiimba nyimbo...

READ MORE

Masogange Ahukumiwa Jela kwa Madawa ya Kulevya, Aachiwa – Video

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya Tsh. Milioni 1.5, msanii Agnes Gerald...

READ MORE

KISUTU: Mbowe na Wenzake Wafikishwa Mahakamani kwa Dhamana

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzanke watano wa chama hicho wameshafikishwa katika Mahakama ya Kisutu wakisubiri shughuli za kimahakama...

READ MORE

Rais Magufuli Akikagua Mtambo wa Kufua Umeme, Kinyerezi 2 (Video)

Rais Dkt. John Magufuli leo Aprili 3, anazindua mradi wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesi asilia (Kinyerezi II) Jijini...

READ MORE

Mtulia, Mollel Waapishwa na Naibu Spika Bungeni

BUNGE la kumi na moja limeanza leo Aprili 3 ambapo Naibu Spika, Tulia Ackson, amewaapisha wabunge wawili, Dkt. Godwin Mollel...

READ MORE

Pasaka; Lulu, Akina Mbowe Watikisa Segerea

Wakati Wakristo wote na wasio Wakristo duniani wakishere­hekea Sikukuu ya Pasaka juzi na jana, muigizaji wa sinema nchini, Elezabeth Michael...

READ MORE

Kisa Kudaiwa na kaka yake, Gari la Waziri Tizeba Kupigwa Mnada – Video

Baraza la Ardhi na Nyumba Wilaya ya Geita, limetoa amri ya kukamata na kuuza gari lenye namba T 961 DEZ,...

READ MORE

Shuhudia Diamond Akiimba Mbele ya Magufuli – Video

Msanii nyota Diamond Platnumz kwa mara nyingine amepata fursa kuimba mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli mapema leo jioni wakati...

READ MORE

Mtanzania Aliyedaiwa Kumuua Mkewe kwa Visu London, Full Story

  SIMULIZI ya Mbongo aliyetajwa kwa jina la Belly Kasambula (38), kudaiwa kumuua mkewe, Leyla Mtumwa almaarufu Ndaya (36), wote...

READ MORE

BREAKING NEWS: MKE WA RAIS MANDELA AFARIKI DUNIA

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, mke wa zamani wa Rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Winnie Madikizel Mandela, amefariki...

READ MORE

JPM: Nafahamu Zaka Zimepungua Makanisani, Zilikuwa za Mafisadi – Video

RAIS Dkt. John Pmbe Magufuli ‘ametupa jiwe gizani’ na kufunguka kuwa kwa sasa Zaka katika makanisa zimepungua kwa sababu fedha...

READ MORE

GLOBAL PUBLISHERS APP YAMWAGA ZAWADI ZA BEATS BY DRE, PASAKA

APPLICATION ya Global Publishers inayopatika kwenye smartphones zote za Android na iOS imezidi kutikisa mitandaoni huku ikiteka maelfu ya watu...

READ MORE

LIVE: PM MAJALIWA AZINDUA MBIO ZA MWENGE 2018 – GEITA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa mikoa ya Tabora, Geita, Mtwara na Shinyanga ambayo inaongoza kwa utoro wa...

READ MORE

Chombo cha Anga cha China Tiangong-1 Chaanguka Pacific

CHOMBO cha anga za juu cha China, Tiangong-1 kimemeguka na kuvunjika vipande vipange wakati kikikatiza anga la dunia maeneo ya...

READ MORE

Aamka, Akuta Jeneza Nje ya Nyumba!

MBEYA: NELSON Edson, mkazi wa Mtaa wa Nsalaga Kata ya Nsalaga jijini hapa amejikuta kwenye taharuki kubwa baada ya kuamka...

READ MORE

Halima Mdee Akamatwa na Polisi Akitokea Afrika Kusini

Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee. Mdee amekamatwa leo alfajiri...

READ MORE

Barua ya Profesa Kitila Mkumbo Kwenda Kwa Mkuu wa Kanisa la KKKT

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Dk Kitila Mkumbo amemwandikia barua Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu...

READ MORE

Rais Magufuli Aungana na Wakristo Kuadhimisha Misa ya Pasaka Kanisa la Mt. Joseph Dar

Rais Magufuli leo ameungana na Wakristo wote Tanzania katika maadhimisho ya Misa Takatifu ya sikukuu ya Pasaka iliyofanyika katika Kanisa...

READ MORE

TECNO KUJA NA KAMERA YA AINA YAKE

KUFUATIA matoleo ya simu mbalimbali yaliyotangulia, TECNO, imekua ikitajwa  ikihusishwa na ujio wa toleo jipya ikikisiwa kuwa ni muendelezo wa...

READ MORE

Tunachojifunza Mauaji ya Kimbari Rwanda – Part 02

WATANZANIA wengi hawajui nini kilisaba-bisha mauaji ya kimbari ya nchini Rwanda yaliyosababisha mamia ya watu kuuawa mwaka 1994. Naamini kama...

READ MORE

Tunachojifunza Mauaji ya Kimbari Rwanda – Part 01

WATANZANIA wengi hawajui nini kilisababisha mauaji ya Kimbari ya nchini Rwanda yaliyosababisha maelfu ya watu kuuawa. Naamini msomaji wa makala...

READ MORE

NABII ELISHA, OLIVIA WASIMIKWA RASMI UTUMISHI WA MUNGU

MANABII wawili wa Kanisa la Repohim lililopo Sinza-Meeda jijini Dar es Salaam wamesimikwa rasmi kuwa manabii halali baada ya kupakwa...

READ MORE

EXCLUSIVE: DR SHIKA Karudi Tena kwa Kishindo, Mabilioni Yake Je? – VIDEO

Miongoni mwa watu waliotikisa mwishoni mwa mwaka jana 2017, huwezi kumuacha Dkt Luis Shika, ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kufuatia mnada...

READ MORE

Mwanamke wa Kitanzania Auwawa Kinyama Uingereza

MWANAMAMA Leyla Mtumwa (36) mkazi wa Arusha ameuawa jijini London nchini Uingereza kwa kuchomwa visu na mwanaume mwenye umri wa...

READ MORE

Ruben Enaje Aliyepigwa Misumari Live Kama Yesu kwa Miaka 32

MUIGIZAJI Ruben Enaje (58) ambaye kwa miaka 32 iliyopita amekuwa akipigwa misumari ya kweli na kuwambwa msalabani kwenye maadhimisho ya...

READ MORE

Meneja Kampeni wa Lema Ahamia CCM – Video

Katibu Mwenezi wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia alikuwa Meneja Kampeni wa Mbunge wa Ausha Mjini, Godbless...

READ MORE