×

Habari

WADAU WATARAJIA KITU TOFAUTI KUTOKA TECNO

KAMPUNI ya simu ya TECNO kufuatia ongezeko la matumizi ya simu za mkononi, makampuni mbalimbali yamekua yakija na matoleo tofauti...

READ MORE

Askofu Chengula: Ujumbe wa Maaskofu Unalenga Wanafiki Wanaojidai Wakristo

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Evarist Chengula amefungukia kuhusu ujumbe uliotolewa hivi karibuni na maaskofu huku akiwataka Watanzinia...

READ MORE

Musiba Adai Kikundi Kinachofanya Mauaji Kinatoka Chadema, Ataja Majina – Video

MWANASIASA aliyekuwa ACT Wazalendo na hivi karibuni kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Cyprian Musiba amesema kuwa, matukio yote ya uhalifu...

READ MORE

Musiba Awashambulia Viongozi wa Dini Wanaomdiss JPM – Video

  MWANASIASA aliyekuwa ACT Wazalendo na hivi karibuni kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Cyprian Musiba amewajibu baadhi ya viongozi wa...

READ MORE

Kuelekea Pasaka; Mambosasa Atoa Onyo – Video

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejipanga vyema kuimarisha ulinzi katika kipindi cha sikukuu ya...

READ MORE

MAKAMU RAIS ZAMBIA ATUPWA JELA KWA KUVAMIA KITUO CHA UTANGAZAJI

KIONGOZI wa chama wa Chama cha Movement for Multiparty Democracy (MMD) cha Zambia, Dr Nevers Mumba, ametiwa hatiani na kuhukumiwa...

READ MORE

MAMBOSASA AFUNGUKA ASKARI ANAYEDAIWA KUMUUA AKWILINA -VIDEO

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema askari aliyefyatua risasi iliyomuua Akwelina Akwelini, bado hajatambulika...

READ MORE

Bombardier Iliyozuiliwa Canada Yaachiwa, Ipo Njiani Kutua Tanzania

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewathibitishia wananchi kuwa ndege yake aina Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada imeruhusiwa...

READ MORE

BREAKING NEWS: AJALI YA BASI YAUA WATANO NGARA KAGERA

Watu watano wamefariki na wengine kujeruhiwa baada ya basi lililokuwa likisafirisha wakimbizi kutoka Kigoma kuelekea Burundi kupinduka.   Basi hilo...

READ MORE

POLISI WAUA MTUHUMIWA WA UJAMBAZI DAR – VIDEO

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuua kwa risasi mtu mmoja anayedaiwa kuwa jambazi maeneo ya Buza...

READ MORE

Muasisi wa Chadema, Mzee Kimesera Azikwa Makaburi ya Kinondoni -Pichaz

MWANASIASA mkongwe nchini ambaye alikuwa muiongoni mwa waasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Victor Kimesera ameibua simanzi,...

READ MORE

Serikali Yawasamehe Roma Mkatoliki na PretyKind, Wafutiwa Adhabu

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza, leo wametangaza kufuta adhabu ya...

READ MORE

FAMILIA YA WATU 6 KUFARIKI AJALINI, NI ZAIDI YA MSIBA

DAR ES SALAAM: unaweza kusema huu ni zaidi ya msiba kufuatia ile habari ya watu sita wa familia moja wakazi...

READ MORE

Ndoa ya Denti Shule ya Salma Kikwete Aibu!

  DAR ES SALAAM: Aibu! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya ndoa ya denti wa kidato cha pili wa Shule ya...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Kizungumkuti, Kula Pasaka Segerea

DHAMANA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADENMA), Freeman Mbowe na viongozui wenzake watano imeshindikana kutolewa kutokana na madai...

READ MORE

CAG Aomba Radhi Kuhusu Deni la Taifa -Video

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Musa Assad Ameomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza baada ya kutoa taarifa za...

READ MORE

Jamhuri Yapinga Dhamana ya Mbowe, Kesi Yaanza Tena

  IKIWA ni dakika chache baada Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwapa dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake...

READ MORE

MAKONDA ATOA MISAADA KWA WAJAWAZITO WATAKAOJIFUNGUA PASAKA

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda leo ametoa zawadi ya vifaa tiba vya Mama mzazi kwaajili...

READ MORE

Wafuasi wa Chadema Wakinukisha Mahakamani Kisutu! – Video

  Wafuasi wa CHADEMA waliofurika katika Mahakama ya Kisutu wamezua sintofahamu baada ya kufanya vurugu wakipiga makelele na kuimba wanataka...

READ MORE

Breaking News: Mahakama Yatoa Dhamana Kwa Mbowe na Viongozi Wake

03:00pm: Hatimaye Hakimu ametoa dhamana kwa washtakiwa! Kila mshtakiwa anatakiwa kuwa na wadhamini wawili ambao watasaini bondi ya Sh. Milioni...

READ MORE

Miguna Miguna Apelekwa Kwa Nguvu Dubai Akiwa Usingizini

MWANASIASA  wa upinzani Kenya aliyeidhinisha kiapo cha kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwa ‘Rais wa Wananchi’ Januari Miguna Miguna ametimuliwa...

READ MORE

Mahakama Yatishia Kuwafunga IGP, Waziri Mambo Ya Ndani

Mahakama Kuu nchini Kenya imewataka Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Waziri wa Mambo ya Ndani na Kamishna wa Uhamiaji...

READ MORE

Mjane Aliyemlilia Magufuli Afungwa Jela Miezi Mitatu – Video

MWANAMKE aliyeangua kilio mbele ya Rais John Magufuli wakati wa maadhimisho ya siku ya sheria jijini Dar es Salaam, Februari...

READ MORE

Lowassa Afuata Dhamana ya Mbowe, Wenzake Mahakamani – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wenzake watano wa chama hicho leo wanatarajiwa kurejeshwa...

READ MORE

Mbeya: Maelfu Wamzika Kijana Aliyedaiwa Kuuawa kwa Kipigo cha Polisi

Maelfu ya vijana mbeya wamemsindikiza kwenye makazi ya milele kijana Allen Mapunda (20) aliyekuwa mfanyabiashara wa machungwa mkoani Mbeya anayedaiwa kufariki...

READ MORE

TGNP yakutanisha wadau kujadili Tanzania ya viwanda na mwanamke

TGNP Mtandao imekutanisha wajumbe kutoka makundi mbalimbali ya wadau wa maendeleo wakiwemo wawakilishi kutoka taasisi za umma na serikali na...

READ MORE

TAVITA YAONYA KUHUSU UCHOCHEZI NCHINI

Mkutano huo ukiendelea na waandishi wa habari.    TASWIRA ya Vijana Tanzania (TAVITA) imelaani vikali taarifa za uchochezi zinazofanywa na...

READ MORE

YANAYOENDELEA… CHADEMA WATOA MSIMAMO – VIDEO

IKIWA ni saa 24 tangu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wenzake  wafikishwe mahakamani...

READ MORE

Chadema Wafanya Kikao cha Dhalula Kujadili Kesi ya Mbowe! -Video

Ofisa Habari wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tumaini Makene, amesema Kamati Kuu ya Chama hicho imekutana kwa dhalula...

READ MORE

ZARI ALAMBA SHAVU KAMPUNI YA BONGO, AGOMA KUMZUNGUMZIA DIAMOND

MPENZI wa zamani wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ leo amesaini mkataba na kuwa balozi wa Kampuni...

READ MORE

KESI YA TIDO KUSIKILIZWA SIKU MBILI MFULULIZO

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu inatarajiwa kusikiliza ushahidi wa upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika...

READ MORE

KUHUSU SINTOFAHAMU WATANZANIA WAISHIO OMAN

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu Watanzania waishio nchini Oman.

READ MORE

BANCABC YATANGAZA PUNGUZO LA RIBA ZA MIKOPO

  BANCABC ambayo ni sehemu ya Atlas Mara iliyosajiliwa katika soko la Hisa London imepiga hatua kwa mara nyingine katika...

READ MORE

HATIMAYE DIAMOND AMALIZANA NA MWAKYEMBE, SHONZA – VIDEO

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz Machi 27, 2018 amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,...

READ MORE

Mabao ya Samatta, Kichuya Taifa Stars vs Congo (2-0) – Video

  Kikosi cha Taifa Stars kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mchezo...

READ MORE

MAKONDA: UKIMPA UJAUZITO MWANAMKE DAR UJIPANGE

  JOPO la Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Maofisa Ustawi wa Jamii, Wanasheria pamoja na askari Polisi...

READ MORE

Shika Ndinga ya EFM Yaja kivingine 2018

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo. KITUO cha Redio cha Efm kimetimiza miaka minne tangu kilipoanzishwa  mwaka 2014,  kikiwa...

READ MORE

MFANYABIASHARA AUAWA, ATUPWA KISIMANI

  WIMBI la kuuawa na kisha miili kutupwa kwenye vi­sima vya maji wilayani Bu­tiama limezidi kuongezeka baada ya mfanyabiashara mmoja,...

READ MORE

Mauzauza Eneo la Ajali Iliyoua watu 26 Mkuranga

PWANI: Kufuatia watu 26 kufariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya basi dogo (Hiace) lililokuwa likitoka Mkuranga kuelekea Kimanzichana mkoani...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wapelekwa Mahabusu Segerea

  Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wenzake watano wa chama hicho wamepelekwa katika...

READ MORE