×

Habari

TUNACHOJIFUNZA MAUAJI YA KIMBARI RWANDA-4

ILIPISHIA WIKI ILIYOPITA… Watanzania wengi hawajui nini kilisababisha mauaji ya kimbari ya nchini Rwanda yaliyosababisha maelfu ya watu kuuawa kikatili....

READ MORE

TECNO CAMON X NA X PRO ZATAMBULISHWA RASMI

TECNO, kampuni ya simu za mkononi inayofanya vizuri barani Afrika inaendelea kutanua soko lake baada ya kuzindua simu mpya TECNO...

READ MORE

NDONYA KWA WAMAKONDE ILIKUWA SILAHA YA KUJILINDA

WAMAKONDE na Wameto wa Msumbiji wanaishi katika Mkoa wa Cabo Delgado Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo na Wamakonde wa Tanzania wanaishi...

READ MORE

Tunachojifunza Mauaji ya Kimbari Rwanda-3

Watanzania wengi hawajui nini kilisababisha mauaji ya kimbari ya nchini Rwanda yaliyosababisha mamia ya watu kuuawa kikatili sana. Naamini kama...

READ MORE

Mama, Bintiye Wauawa, Watumbukizwa Chooni – Video

AKATI tukio la Mwandishi na Mhariri wa Gazeti la Kingereza la The Guardian, Finnigan Simbeye kuokotwa akiwa hajitambui huko Bunju...

READ MORE

Mume Amuua Mkewe kwa Jembe

HALI ya sintofahamu imewakumba wananchi wa Kitongoji cha Magharibi na wananchi wa Kijiji cha Mwibagi katika Kata ya Kyanyari, wilayani...

READ MORE

MJANE TANGA ALIYEMLILIA JPM MAPYA TENA

MAPYA tena yameibuka kwa yule mwanamke aliyejitokeza mbele ya Rais Dk. John Magufuli kudai amethulumiwa mali na baadaye kufungwa miezi...

READ MORE

WAWILI WAONDOKA NA BODABODA SHIKA NDINGA YA EFM

WAKAZI  wawili wa Dar es salaam, Ashura Ramadhan na Abbas Awadhi waliibuka kidedea baada ya kuwa  washindi katika shindano la shika...

READ MORE

Wanaume Dar Waliotelekezewa Watoto Wajitokeza Kwa Makonda – Video

  Baadhi ya wanaume wa Mkoa wa Dar es Salaam leo wamejitokeza kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

SYLVIA MULINGE WA SAFARICOM AWA BOSI WA VODACOM TANZANIA

  MKURUGENZI wa Kitengo cha Biashara cha Wateja wa Safaricom, Sylvia Mulinge, ameteuliwa kuwa mkuu wa kampuni ya Vodacom nchini...

READ MORE

TRA Yakusanya Trilioni 11.78 Ndani ya Miezi 9 (Video)

Mamlaka ya Mapato Tanzania imekusanya Tsh Tril 11.78 katika kipindi cha miezi tisa ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia Julai...

READ MORE

Basi la Kampuni ya Maqadir Lapata Ajali Tanga

Basi la Kampuni ya Maqadir lililokuwa linatoka jijini Tanga kwenda Kijiji cha Mtae, Wilaya ya Lushoto mkoani humo, limeanguka asubuhi ...

READ MORE

USIPITWE NA SPORTS BREAKING NEWS POPOTE ULIPO

  Tuma SPORTS kwenda 15599 utapata habari za kitaifa na kimataifa na matukio mengine ya papo kwa papo kupitia kiganjani...

READ MORE

Wanawake Waliotekelezwa Wadai Kuzaa na Viongozi Mbalimbali

WANAWAKE 480 waliotelekezwa na watoto ambao jana waliitikia wito wa kwenda kusaidiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Winnie Mandela alikuwa shujaa au muasi?

    MKE wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela ambaye alipigana dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi nchini...

READ MORE

Wabunge Walivyovaana Bungeni Ishu ya Bombadier – VIDEO

MBUNGE wa Viti Maalum, Mkoa wa Morogoro, Devota Minja (CHADEMA), amefunguka bungeni na kusema kwamba wanachopinga wapinzani sio Serikali kuwa...

READ MORE

BREAKING: MOTO WAZUA TAHARUKI BUNGENI

Mwenyekiti wa bunge, Mussa Azzan ‘Zungu’ ameahirisha shughuli za bunge ikiwa ni dakika 12 kabla ya muda uliotakiwa baada ya...

READ MORE

Breaking: Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge Kisa Muungano

WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaotokea Zanzibar, wamesusa na kutoka ndani ya Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Mama Awekwa Mahabusu na Mwanaye wa Miezi 6, Mtoto Afariki! – Video

SAKATA la kifo cha mtoto mchanga wa miezi sita, Halfani Lema, mkazi wa Ibanda Kata ya Nyegezi jijini Mwanza, limechukua...

READ MORE

Msukuma, Kibajaji Wamshambulia Nape Bungeni – VIDEO

MBUNGE wa Jimbo la Mtera, Livigstone Lusinde, amempongeza Rais Magufuli, kwa juhudi kubwa anazozifanya za kuiletea nchi maendeleo, ikiwa ni...

READ MORE

‘BWEGE’ AKINUKISHA BUNGENI, ASAPOTI WARAKA WA MAASKOFU – VIDEO

MBUNGE wa Kilwa Kusini, Said Bungara (CUF) maarufu kama ‘Bwege’, amesema hakubaliani na kipengele kilichopo kwenye hotuba ya Waziri Mkuu,...

READ MORE

POVU LA NAPE: “Kwa Hili… Serikali Imeisaliti Ilani ya CCM” – Video

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amesema kuwa wapiga kura wa mikoa ya Lindi na Mtwara walitegemea kupata neema...

READ MORE

ASKOFU KAKOBE AJISALIMISHA UHAMIAJI SAKATA LA URAIA WAKE – VIDEO

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zakary Kakobe akizungumza na waandishi wa habari. Askofu Mkuu wa...

READ MORE

BREAKING NEWS: WATU 8 WAFARIKI AJALINI MBEYA

WATU nane wamefariki dunia papo hapo na mmoja amejeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Toyota Noah kugongana na basi...

READ MORE

Joyce Kiria Ajitokeza kwa Makonda, Waliotelekezwa Waminimika! – Pichaz

Mwanaharakati wa masuala ya usawa wa kijinsia na Mtangazaji wa kipindi cha ‘Wanawake Live’, Joyce Kiria ‘Super Woman’ (mwenye hereni...

READ MORE

SERIKALI YAWARUDISHA KAZINI WATUMISHI DARASA LA SABA – VIDEO

Serikali imeagiza watumishi wa umma 1,370 walioajiriwa kabla ya Mei 20, 2004 ambao hawakufaulu mtihani wa kidato cha nne (darasa la...

READ MORE

Mwele Malecela Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Afrika

Dk. Mwele Macelela ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika na kwa hiyo atakuwa mtu...

READ MORE

MAJALIWA AKUTANA NA RAIS WA MAKAMPUNI YA CHINA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Aprili 8, 2018 amekutana na Rais wa Makampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC),...

READ MORE

DKT. AKWILAPO ATUNUKU MEDALI MDAHALO WA WANAFUNZI

  WANAFUNZI mbalimbali kutoka Shule za Sekondari za serikali na shule binafsi hapa nchini wamepambanishwa na wanafunzi wengine kutoka nchi...

READ MORE

Watatu Kati Ya Sita Waliotekwa Na Wasiojulikana, Waonekana

  WATU watatu kati ya sita waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha usiku wa kuamkia Ijumaa,  Aprili 6, 2018 katika Kijiji...

READ MORE

JPM, Mkewe Washuhudia Kusimikwa Askofu Mkuu Arusha (Video)

RAIS John Magufuli na mkewe Janeth Magufuli leo wamehudhuria kusimikwa kwa Askofu Mkuu wa Jimbo la Katoliki la Arusha, Isaac...

READ MORE

Breaking News: Mwandishi Aokotwa Akiwa Hajitambui, Jijini Dar

Mwandishi wa gazeti la The Guardian, Finnigan  Simbeye ameokotwa  asubuhi ya leo kwenye eneo la Bunju Dar akiwa hajitambui na...

READ MORE

Mwanamke wa Kwanza Kupata Degree Tanzania Atunukiwa Tuzo

KAMA ulikuwa hufahamu basi naomba hii uiweke kwenye ubongo wako, Dkt Maria Kamm ndiye  mwanamke wa kwanza wa Tanzania kupata Shahada ya...

READ MORE

Man U Yaitungua Man City 3-2 Nyumbani Kwao, Pogba Atupia 2

KLABU ya Manchester United wakiwa ugenini wameitwanga timu ya Man City kwa jumla ya bao 3-0 kwenye mchezo wa Ligi...

READ MORE

Aeshi Hilaly: Itafika Mahali Tutashikana Mashati Humu Bungeni – VIDEO

Mbunge wa Sumbawanga Mjini kupitia tiketi ya CCM, Aeshi Hilaly amesema kwamba kitendo cha serikali kuzuia wakulima wa mahindi kuuza...

READ MORE

Mtulia: Nimeingia kwa Dirisha Dogo Bungeni – Video

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia ametoa ushari kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambacho ni Chama kikuu cha...

READ MORE

Mbunge: Hatukuungana Kugawana Umaskini, Zanzibar Iheshimike – Video

Mbunge wa Malindi, Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), amesema kwamba muungano kati ya Tanzania Bara na Zanzibar,...

READ MORE

NI UNYAMA! MAMA ASIMULIA MWANAYE ALIVYOBAKWA – VIDEO

  INAUMA! Mama mmoja, Zalijah, mkazi wa Keko-Mwanga, Wilaya ya Temeke jijini Dar amesimulia jinsi mwanaye wa kike, (jina linahifadhiwa)...

READ MORE

Mama, Wasanii Wamkumbuka Kanumba Kaburini Kwake – Video

IKIWA ni mwaka wa sita tangu tasnia ya filamu nchini impoteze staa wa filamu, Steven Kanumba, ‘The Great’,  wanafamilia, ndugu, jamaa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI: POLISI MSICHOME MASHAMBA YA BANGI – VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka maofisa wa Jeshi la Polisi na Makamishna wake...

READ MORE