×

Habari

HATIMAYE SERIKALI YAKUBALI MO DEWJI, MANJI WAWE MABOSI SIMBA NA YANGA

WAKATI sakata la uwekezaji likiendelea kuteka hisia za wadau wengi wa soka la nchini Tanzania, hatimaye serikali imetoa tamko juu...

READ MORE

Eto’o Akanusha Kukodi Ndege Kuwarudisha Cameroon ‘Watumwa’ wa Libya

MCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o, amekanusha ripoti kwamba alikodisha ndege...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine Wizara ya Ardhi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amteua Bi. Stella Tullo Chagi kuwa Msajili wa Mabaraza...

READ MORE

ZAIDI YA MILLION 20 ZAPATIKANA KUSAIDIA WATOTO WENYE MATATIZO YA VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI

Ikiwa Jana ni Jumanne ya kutoa (GIVING TUESDAY) kote duniani na Taasisi ya Foundation for Civil Society iliadhimisha kwa kuwasaidia...

READ MORE

WAKAMATWA NA MADINI, WAHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa hukumu kwa wafanyabiashara watatu ambao ni Mashaka Lucas, Jafarri Hussein na Akifu Mohamed,...

READ MORE

BONGO MUVI WATOA SOMO KWA WANAFUNZI

  Wamama wa Bongo Muvi kupitia Malezi Daima Foundation leo wamefanya semina kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Buza...

READ MORE

Lissu Asimulia Mambo Mazito Kwa Dakika 60

Nairobi-Kenya. Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesimulia hali ilivyokuwa siku ya tukio na pia kueleza ujumbe aliompa Makamu...

READ MORE

Kagaigai: Wabunge Waliotimuliwa CUF, Mahakama Haijaamuru Warudishwe Bungeni

KATIBU wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Stephen Kagaigai amekanusha taarifa zinazovumishwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa wabunge...

READ MORE

Dk Shika Atamba Kutikisha Usiku wa 900 Itapendezaa (Video)

YULE daktari bingwa wa magonjwa ya binadamu aliyejizolea umaarufu mkubwa hapa nchini siku za hivi karibuni kufuatia kufika dau wakati...

READ MORE

MAKAMPUNI 500 KUSHIRIKI MAONYESHO YA PILI YA BIDHAA DAR

ZAIDI ya Makampuni 500 yanatarajia kushiriki katika maonesho ya pili ya bidhaa za viwanda  yanayotarajia kufanyika Desemba 7 hadi hadi...

READ MORE

Afande Sele Hapo Vepee Zipu ya Jinsi Kufunguka!

DAR ES SALAAM: Hapo vepee! Ndivyo walivyosikika wapenda ubuyu, wakimuelekezea vidole, mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Selemani Msindi ‘Afande...

READ MORE

LHRC Yabaini Mapungufu Kibao Uchaguzi wa Madiwani

  MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga, amesema kuwa kituo hicho kimefuatilia kwa ukaribu...

READ MORE

MSANDO AFUNGUKIA LIVE VIDEO YAKE NA GIGGY MONEY

MWANASHERIA maarufu nchini aliyekuwa Chama cha ACT Wazalendo na hivi karibuni akahamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Albert Msando, kwa mara...

READ MORE

SpotiHausi LIVE: Selemani Matora Alivyoikazia Simba SC

LEO  katika kipindi cha SpotiHausi kutakuwa na mahojino na Kocha wa timu ya Lipuli, Selemani Matora kupitia Global TV Online....

READ MORE

Atupwa Jela Miaka 10 Kwa Kukutwa Na Bastola, Risasi

MFANYABIASHARA Gairo Mtozoma (43) amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kukutwa na...

READ MORE

Jokate: Uvumilivu Ndio Kila Kitu Maishani

JOKATE Urban Mwegelo, Miss Tanzania namba 2 mwaka 2006, ndiye tunaye leo kwenye ukurasa huu wa Ulipo Mwanamke Tupo. Yeye...

READ MORE

Wanasiasa, Wanataaluma Washiriki Mdahalo Kuhusu Demokrasia

TAASISI ya Twaweza ikishirikisha wadau mbalimbali,  leo imefanya mdahalo kutathmini hali na mustakabali wa demokrasia nchini  ambapo wadau, wanasiasa na...

READ MORE

BancABC na Muhimbili Watoa Bima ya Afya kwa Watoto

BancABC, ambayo ni sehemu ya Atlas Mara, imeshirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ili kutoa huduma ya bima ya...

READ MORE

RC Akanusha Kumuomba Msamaha Rais Magufuli

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla amekanusha taarifa kuwa, anakusudia kuandika barua ya kumuomba radhi Mwenyekiti wa Chama cha...

READ MORE

WAZIRI MKUU AIBUKIA BANDARINI, AMPA AGIZO IGP SIRRO

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Novemba 29, 2017 amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simo Sirro kuwakamata Bw....

READ MORE

AKATA NYETI ZA MWANAYE KWA SHOKA KUONDOA MAPEPO

MTU mmoja huko mwenye umri wa miaka 39 huko Chhattisgarh, India, amemtoa kafara mwanaye mdogo katika kitendo cha ushirikiana kwa...

READ MORE

Korea Kaskazi Yarusha Kombora Linaloweza Kuangamiza Sehemu Yoyote Duniani

KOREA Kaskazini imelifanyia majaribio kombora lake la masafa marefu lililoruka juu zaidi na kudumu angani kwa dakika 53 kabla ya...

READ MORE

Wahitimu wa Ufundi Kupitia VSOMO Watunukiwa Vyeti

Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es saalam , Habibu Bukko akikamkabidhi Cheti Mhitimu wa Mafunzo ya VSOMO kwa njia...

READ MORE

IGP Sirro Kupeleka Magari Mawili ya Polisi Pwani

IKIWA ni siku chache baada ya Rais John Magufuli kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini ya dar es Salaam na kukagua...

READ MORE

Bibi Wa Miaka 73 Aomba Talaka

MWANAMKE ambaye yupo kwenye ndoa kwa miaka 55, amefungua kesi mahakamani kuomba mumewe ampe talaka kwa madai kuwa hamjali, na...

READ MORE

Raila Odinga Naye ‘Kuapishwa’ Desemba 12

Nairobi, Kenya. Kiongozi wa muungano wa upinzani wa Nasa, Raila Odinga amedai atakula kiapo kama “rais wa watu” Desemba 12....

READ MORE

FIGISU NZITO MAPOKEZI YA LISSU!! KUTUA NA DEREVA WAKE

WAKATI akiwa amekaa hospitalini kwa siku 82, tangu alipojeruhiwa kwa risasi Septemba 7, mwaka huu, mapokezi ya Tundu Lissu kutua...

READ MORE

Wabunge CUF Wadai Viti Vyao Bungeni

WABUNGE wanane wa viti maalum wa Chama Cha Wananchi (CUF), walioshinda kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama katika Mahakama Kuu, Kanda...

READ MORE

Samia Suluhu Amtembelea Tundu Lissu Nairobi Hospital (Video)

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 28, 2017 amemtembelea na kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema),...

READ MORE

Lema Amjibu Mange Kimambi Kuhusu Uchaguzi wa Madiwani

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amemtoa wasiwasi mwanadada anayefahamika kama mwanaharakati wa mitandaoni,  Mange Kimambi,  kwamba asijali kwani wananchi...

READ MORE

Vurugu Zatanda Kenyatta Akiapishwa, Polisi Wafunga Mtaa Kuzuia Mkutano wa NASA

MTAA wa Jacaranda jijini Nairobi, Kenya, leo umefungwa na polisi ili kuzuia mkutano wa umoja wa vyama vya upinzani nchini...

READ MORE

Biblia ya Kenyatta Yatumiwa Kumwapisha Uhuru

KATIKA hafla ya kuapishwa kwa Rais wa Kenya na Makamu wake, imeelezwa kuwa, nakala ya Biblia iliyotumiwa kumwapisha Rais Uhuru...

READ MORE

Samia Suluhu Amwakilisha JPM Kuapishwa kwa Kenyatta

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo asubuhi tarehe 28 Novemba, 2017 amewasili...

READ MORE

IGP Sirro Aibukia Bandarini Kukagua Magari ya Polisi Yaliyoibuliwa na JPM

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Nyakoro Sirro, amefanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam, ili kufanya...

READ MORE

Kauli ya Nape kwa Upinzani Baada ya Uchaguzi wa Madiwani

MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye, amekiri kuwepo na vitendo ambavyo siyo sahihi ambavyo vilivyojitokeza katika Uchaguzi wa marudio katika baadhi...

READ MORE

Madaraka Matamu, Lakini Machungu Kwa Mugabe na Laurent Gbagbo

MWAKA 1789 ulikuwa wa kihistoria kwa Ufaransa na dunia kwa ujumla kutokana na mapinduzi makubwa yaliyotikisa nchi hiyo. Mapinduzi hayo...

READ MORE

Mauaji ya Kutisha Dar… Mume Afanya Unyama!

“KWa kweli ni mauaji ya kutisha! Wakati wakiingia chumbani kwao kulala, hakuna aliyetarajia leo (Ijumaa iliyopita) kama tungeamka na kuambiwa...

READ MORE

TRAFIKI ADAIWA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU NDANI YA GARI

Hili ni fumanizi la kufunga mwaka! Ndivyo walivyosikika wapenda ubuyu baada ya kushuhudia tukio la trafiki aliyefahamika kwa jina la...

READ MORE

WAZIRI ULEGA AFUNGUA MAADHIMISHO YA WIKI YA SIKU YA UKIMWI

  DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ulega, leo Jumatatu alimwakilisha Waziri wa Nchi Katika Ofisi...

READ MORE