MCHEZAJI maarufu wa Golf, Tiger Woods, amepata ajali baada ya gari lake kupinduka wakati akiendesha mwenyewe nje kidogo ya jiji...
READ MOREWASAFIRI wanaoingia Oman kutoka nchi 10 wamepigwa marufuku kuingia nchini humo. Nchi zilizopigwa marufuku ni Tanzania Afrika Kusini, Lebanon, Sudan,...
READ MOREDAYANE RAFEELLE de SILVA ROGRIGUES (31) anashikiliwa na polisi huko Caera, Brazil, kwa kumwua mwanamke mmoja aitwaye Djaiane Batista Barros...
READ MOREWIZARA ya mambo ya nje ya Italia imesema kuwa balozi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ameuawa katika...
READ MORESERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imewashutumu waasi wa FDLR wenye asili ya #Rwanda kwa shambulio lililosababisha mauaji...
READ MORESHULE zimeshindwa kufunguliwa leo nchini Malawi baada ya walimu kugoma wakisema hawako salama katika mazingira ya kazi. Wametoa madai kadhaa...
READ MOREKIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Uganda cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine ameondoa mashtaka yake...
READ MORENDEGE ya Boeing ililazimika kudondosha mabaki ya injini yake katika eneo la makazi mjini Denver, Marekani, baada ya injini...
READ MOREWATU sita wa kundi la Oath Keepers nchini Marekani wamefunguliwa mashtaka kwa kupanga uvamizi kwenye jengo la Bunge la nchi...
READ MOREMAOFISA 27 wa Ikulu ya Sudan Kusini wamethibitika kuambukizwa #CoronaVirus ambapo wamelazimika kuwekwa karantini. Msemaji wa Ikulu, Ateny Wek...
READ MOREMahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny. Navalny, alipatikana na...
READ MOREMarubani wawili wamefariki kutokana na ajali ya ndege ya kijeshi katika jimbo la Alabama huko Marekani. Jeshi la Anga...
READ MOREIDARA ya huduma za dharura nchini Myanmar imesema, watu wawili waliuawa katika mji wa Mandalay jana Jumamosi Feb. 20 wakati...
READ MOREKamanda wa polisi katika jimbo la Kano Kaskazini mwa Nigeria amethibitisha kifo cha Mustapha Muhammad, mkazi wa kijiji cha Malam...
READ MOREMshukiwa wa mauaji ya Baba mzazi wa Nicki Minaj, ametiwa mbaroni mara baada ya kujisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi...
READ MOREGuinea imeripoti maambukizi ya ugonjwa wa #Ebola ambapo watu wanne wameripotiwa kufariki dunia hadi sasa. Idara ya Afya ya Taifa...
READ MORECHANJO dhidi ya Covid-19 imeanza kutolewa nchini Rwanda kwa wahudumu wa afya, wizara ya afya imetangaza. Afisa wa wizara...
READ MORESENETA wa Garissa, Mohamed Yusuf Haji amefariki, familia yake imethibitisha. Haji ambaye hadi mwaka 2020 alihudumu kama Mwenyekiti wa...
READ MOREKampuni ya Huawei imeahidi kuzingatia mkakati wake wa utandawazi licha ya shinikizo la nje. Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...
READ MOREMagari ya kivita yametanda katika mitaa ya miji kadhaa nchini Myanmar huku kukiwa na ishara kwamba wanajeshi wanaandaa msako...
READ MOREMBWA mmoja amerithi fedha dola milioni 5 (sawa na Tsh bilioni 1.1) kutoka na mmiliki wake aliyefariki katika jimbo...
READ MOREJARIDA la kimataifa la ‘Firepower’ ambalo huwa linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka , limetoa orodha ya...
READ MORERAIS wa Liberia, George Weah, ametangaza kuziweka mamlaka za afya za nchi hiyo katika kiwango cha juu cha tahadhari baada...
READ MORECHINA imekataa kutoa data muhimu kwa timu ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inayochunguza asili ya Covid-19, ambapo mmoja...
READ MORESERIKALI ya Marekani imetishia vikwazo dhidi ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC ikiwa itaendelea na mikakati yake...
READ MOREMAKACHERO kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya wamemkamata mwanamme aitwaye John Christon Shipiti (52) kwa madai...
READ MORERAIS wa Marekani, Joe Biden, ametangaza kuidhinisha amri ya kiutendaji ya kuwawekea vikwazo vipya wahusika wa mapinduzi ya kijeshi...
READ MOREMWANAMKE mzee zaidi barani Ulaya ambaye ni mtawa mfaransa ameponda Covid-19, siku chache kabla ya siku kuu ya kuzaliwa kwake...
READ MOREMREMBO Mghana kwa jina Abena amesimulia namna alifaulu kuishi miongoni mwa wafu katika Makaburi ya Osu jijini Accra, Ghana. ...
READ MORERais wa Haiti Jovenel Moise ametangaza jana kuwa polisi wamewakamata zaidi ya watu 20, wanaoshukiwa kupanga njama za kumuua na...
READ MORERais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema atachukua hatua ”kali” na ”stahiki” dhidi ya wazabuni wanaohusiana na virusi vya corona....
READ MOREKAMPUNI ya ndege ya Rwanda, Rwandair, imesitisha kwa muda safari zake katika mataifa ya Afrika Kusini, Zimbabwe na Zambia. ...
READ MOREWATU tisa wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 150 hawajulikani walipo baada ya pande kubwa la barafu katika safu ya...
READ MOREShirika la afya ulimwenguni WHO, limesema wafanyakazi wa afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamegundua kisa kipya cha virusi...
READ MOREMAJESHI ya kulinda amani yamethibitika kuwa silaha bora zaidi ya Umoja wa Mataifa katika kuzisaidia nchi kadhaa kutoka katika matatizo...
READ MOREAfrika Kusini imesitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya Corona (AstraZeneca) na Oxford baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo hizo...
READ MORENJEMBA mmoja katika Mtaa wa Kawangware, jijini Nairobi nchini Kenya ametokwa na kijasho chembamba baada ya kunaswa akitafuna asali ya...
READ MOREKijiji kimoja cha Indonesia kimekumbwa na mafuriko yenye rangi ya damu baada ya maji kuingia katika kiwanda kimoja cha nguo....
READ MOREPOLISI katika kaunti ya Nyandarua nchini Kenya wanachunguza hali iliyosababisha kifo cha mzee mmoja mwenye miaka 58, ambaye ameaga dunia...
READ MORERAIS wa Marekani, Joe Biden, amesema hataondoa vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Iran hadi itakapotimiza makubaliano yaliyofikiwa chini ya mkataba...
READ MORE