×

Kimataifa

Tiger Woods Anusurika Kifo Ajalini

MCHEZAJI maarufu wa Golf, Tiger Woods, amepata ajali baada ya gari lake kupinduka wakati akiendesha mwenyewe nje kidogo ya jiji...

READ MORE

Tanzania, Sauzi, Nigeria… Marufuku Kuingia Oman

WASAFIRI wanaoingia Oman kutoka nchi 10 wamepigwa marufuku  kuingia nchini humo. Nchi zilizopigwa marufuku ni Tanzania Afrika Kusini, Lebanon, Sudan,...

READ MORE

Amuua Mwanamke Aliyemkuta Akinywa Pombe na Mumewe

DAYANE RAFEELLE de SILVA ROGRIGUES (31) anashikiliwa na polisi  huko Caera, Brazil, kwa kumwua mwanamke  mmoja aitwaye Djaiane Batista Barros...

READ MORE

Balozi wa Italia Alivyouawa DR Congo

  WIZARA ya mambo ya nje ya Italia imesema kuwa balozi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ameuawa katika...

READ MORE

DRC Yataja Waliohusika Mauaji Balozi wa Italia

SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imewashutumu waasi wa FDLR wenye asili ya #Rwanda kwa shambulio lililosababisha mauaji...

READ MORE

Walimu Wadai Hawako Salama na Corona

SHULE  zimeshindwa kufunguliwa leo nchini Malawi baada ya walimu kugoma wakisema hawako salama katika mazingira ya kazi. Wametoa madai kadhaa...

READ MORE

Bobi Wine Aifuta Kesi Dhidi ya Museveni

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Uganda cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine ameondoa mashtaka yake...

READ MORE

Ndege ya Marekani Yadondosha Mabaki ya Injini

  NDEGE ya Boeing ililazimika kudondosha mabaki ya injini yake katika eneo la makazi mjini Denver, Marekani, baada ya injini...

READ MORE

Watu 6 Watuhumiwa kwa Uvamizi wa Bunge Marekani

WATU sita wa kundi la Oath Keepers nchini Marekani wamefunguliwa mashtaka kwa kupanga uvamizi kwenye jengo la Bunge la nchi...

READ MORE

Wafanyakazi 27 Ikulu Wakutwa na Corona

MAOFISA 27 wa Ikulu ya Sudan Kusini wamethibitika kuambukizwa #CoronaVirus ambapo wamelazimika kuwekwa karantini.   Msemaji wa Ikulu, Ateny Wek...

READ MORE

Apigwa faini kwa kumkashifu mkongwe wa vita vya pili vya dunia

Mahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny.   Navalny, alipatikana na...

READ MORE

Ndege ya Kijeshi Yaanguka, Yaua Wawili

Marubani wawili wamefariki kutokana na ajali ya ndege ya kijeshi katika jimbo la Alabama huko Marekani.   Jeshi la Anga...

READ MORE

Wawili Wafariki Kwenye Maandamano Myanmar

IDARA ya huduma za dharura nchini Myanmar imesema, watu wawili waliuawa katika mji wa Mandalay jana Jumamosi Feb. 20 wakati...

READ MORE

Ajiua kwa Kukata Nyeti Zake kwa Chupa

Kamanda wa polisi katika jimbo la Kano Kaskazini mwa Nigeria amethibitisha kifo cha Mustapha Muhammad, mkazi wa kijiji cha Malam...

READ MORE

Anayedaiwa Kumuua Baba Yake Nick Minaj Atiwa Mbaroni

Mshukiwa wa mauaji ya Baba mzazi wa Nicki Minaj, ametiwa mbaroni mara baada ya kujisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi...

READ MORE

Ebola Yaripotiwa Kuingia Guinea

Guinea imeripoti maambukizi ya ugonjwa wa #Ebola ambapo watu wanne wameripotiwa kufariki dunia hadi sasa. Idara ya Afya ya Taifa...

READ MORE

Wananchi Rwanda Waanza Kuchoma Chanjo ya Corona

CHANJO dhidi ya Covid-19 imeanza kutolewa nchini Rwanda kwa wahudumu wa afya, wizara ya afya imetangaza.   Afisa wa wizara...

READ MORE

Seneta Haji Afariki

SENETA wa Garissa, Mohamed Yusuf Haji amefariki, familia yake imethibitisha.   Haji ambaye hadi mwaka 2020 alihudumu kama Mwenyekiti wa...

READ MORE

Huawei Yasisitiza Kuendelea Kuimarisha Utandawazi

  Kampuni ya Huawei imeahidi kuzingatia mkakati wake wa utandawazi licha ya shinikizo la nje. Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...

READ MORE

Mapinduzi ya Myanmar: Jeshi Latanda Mitaani, Intaneti Yazimwa

  Magari ya kivita yametanda katika mitaa ya miji kadhaa nchini Myanmar huku kukiwa na ishara kwamba wanajeshi wanaandaa msako...

READ MORE

Mbwa Arithi Tsh Bilioni 1.1

  MBWA mmoja amerithi fedha dola milioni 5 (sawa na Tsh bilioni 1.1) kutoka na mmiliki wake aliyefariki katika jimbo...

READ MORE

Yajue Majeshi Yenye Nguvu Zaidi Duniani

JARIDA la kimataifa la ‘Firepower’ ambalo huwa linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka , limetoa orodha ya...

READ MORE

Liberia Yatangaza Tahadhari Mlipuko wa Ebola

RAIS wa Liberia, George Weah,  ametangaza kuziweka mamlaka za afya za nchi hiyo katika kiwango cha juu cha tahadhari baada...

READ MORE

China Yagoma Kutoa Data za Covid-19 kwa WHO

  CHINA imekataa kutoa data muhimu kwa timu ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inayochunguza asili ya Covid-19, ambapo mmoja...

READ MORE

Marekani Yatishia Kuiwekea Vikwazo ICC

SERIKALI ya Marekani imetishia vikwazo dhidi ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC ikiwa itaendelea na mikakati yake...

READ MORE

Baba Amuua Mpenzi wa Binti Yake kwa Kipigo

  MAKACHERO kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya wamemkamata mwanamme aitwaye John Christon Shipiti (52) kwa madai...

READ MORE

Marekani Yaiwekea Vikwazo Myanmar

  RAIS wa Marekani, Joe Biden, ametangaza kuidhinisha amri ya kiutendaji ya kuwawekea vikwazo vipya wahusika wa mapinduzi ya kijeshi...

READ MORE

Kikongwe Mwenye Miaka 116 Apona Corona

MWANAMKE mzee zaidi barani Ulaya ambaye ni mtawa mfaransa ameponda Covid-19, siku chache kabla ya siku kuu ya kuzaliwa kwake...

READ MORE

Kutana na Mrembo Anayeishi Makaburini na Mpenzi Wake

MREMBO Mghana kwa jina Abena amesimulia namna alifaulu kuishi miongoni mwa wafu katika Makaburi ya Osu jijini Accra, Ghana.  ...

READ MORE

Rais Adai Kuna Watu Wanataka Kumuua

Rais wa Haiti Jovenel Moise ametangaza jana kuwa polisi wamewakamata zaidi ya watu 20, wanaoshukiwa kupanga njama za kumuua na...

READ MORE

Waliohusika na Zabuni Zinazohusu Covid-19 Afrika Kusini Yawakuta

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema atachukua hatua ”kali” na ”stahiki” dhidi ya wazabuni wanaohusiana na virusi vya corona....

READ MORE

Rwandair Yasitisha Safari Zake Sauzi

KAMPUNI ya ndege ya Rwanda, Rwandair, imesitisha kwa muda safari zake katika mataifa ya Afrika Kusini, Zimbabwe na Zambia.  ...

READ MORE

9 Wafa, 150 Hawajulikani Walipo Pande la Barafu Linapoanguka

WATU tisa wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 150 hawajulikani walipo baada ya pande kubwa la barafu katika safu ya...

READ MORE

Ebola Yarudi Tena DRC

Shirika la afya ulimwenguni WHO, limesema wafanyakazi wa afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamegundua kisa kipya cha virusi...

READ MORE

Fahamu Kuhusu UN PEACE MAKER

MAJESHI ya kulinda amani yamethibitika kuwa silaha bora zaidi ya Umoja wa Mataifa katika kuzisaidia nchi kadhaa kutoka katika matatizo...

READ MORE

Afrika Kusini Yasitisha Chanjo ya Corona (AstraZeneca)

Afrika Kusini imesitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya Corona (AstraZeneca) na Oxford baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo hizo...

READ MORE

Afumaniwa Kitandani na Mke wa ‘Mjeda’

NJEMBA mmoja katika Mtaa wa Kawangware, jijini Nairobi nchini Kenya ametokwa na kijasho chembamba baada ya kunaswa akitafuna asali ya...

READ MORE

‘Mafuriko ya Damu’ Yazua Gumzo

Kijiji kimoja cha Indonesia kimekumbwa na mafuriko yenye rangi ya damu baada ya maji kuingia katika kiwanda kimoja cha nguo....

READ MORE

Babu Afariki Gesti Akifanya Mapenzi

POLISI  katika kaunti ya Nyandarua nchini Kenya wanachunguza hali iliyosababisha kifo cha mzee mmoja mwenye miaka 58, ambaye ameaga dunia...

READ MORE

Biden Agoma Kuiondolea Vikwazo Iran

RAIS wa Marekani, Joe Biden, amesema hataondoa vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Iran hadi itakapotimiza makubaliano yaliyofikiwa chini ya mkataba...

READ MORE