×

Kimataifa

Wanafunzi Watatu Nchini Kenya Wafa Mtoni Wakifua Sare za Shule

WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Gakuyu wamefariki dunia katika Mto wa Kathita, Kaunti ya Tharaka Nithi, nchini Kenya wakati...

READ MORE

Marekani Yaionya Urusi Juu ya Utumiaji wa Silaha za Nyuklia Nchini Ukraine

NCHI ya Marekani imetoa onyo kali kwa nchi ya Urusi kuwa itajibu mapigo mara moja endapo kama nchi hiyo itatumia...

READ MORE

Urusi Yamtimua Kazi Naibu Waziri wa Ulinzi, Ni Baada ya Kufeli Vitani

NAIBU WAZIRI wa Ulinzi wa Urusi Dmitry Bulgakov ametimuliwa katika nafasi yake hiyo kufuatia madudu yaliyotokana na kushindwa kutimiza majukumu...

READ MORE

Ukraine Yapungua Idadi ya Wanadiplomasia Katika Ubalozi wa Iran Nchini Humo

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameagiza Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo kupunguza idadi ya wanadiplomasia katika Ubalozi...

READ MORE

Wahamiaji 34 Wafariki Kwenye Maji Baada ya Boti Kuzama

TAKRIBANI watu 34 wamefariki dunia baada ya boti iliyobeba wahamiaji haramu kuzama karibu na Syria huku ikiwa bado haijajulikana siku...

READ MORE

Ukame Kuikumba China na Kukausha Ziwa Kubwa Zaidi Nchini Humo

MKOA wa kati wa China wa Jiangxi umetangaza ugavi wa maji tahadhari nyekundu kwa mara ya kwanza huku ukame wa...

READ MORE

Takribani Mikoa Minne ya Ukraine Yaanza Kupiga Kura Yakujiunga na Urusi.

MAENEO manne ya Ukraine yanayokaliwa na Urusi yameanza kufanya kura za maoni, ambazo zimeshutumiwa kuwa haramu na Kyiv na zinaonekana...

READ MORE

Spika wa Zamani wa Bunge la Gabon Akamatwa na Takriban Dola Milioni 2 Kwenye Masanduku

GUY NZOUBA NDAMA, kiongozi wa upinzani na Spika wa zamani wa Bunge la Gabon, amekamatwa katika mji mkuu wa Libreville...

READ MORE

Jambazi Awamiminia Risasi Wanandoa Wakibishana Usiku, Aua Mtoto

POLISI jijini Nairobi wanamsaka mtuhumiwa mmoja wa mauaji ya mtoto ambaye anadaiwa kuwamiminia risasi wanandoa usiku wakati wakizozana nje ya...

READ MORE

Urusi Yawaachilia Wageni 10 Waliotekwa Ukraine Baada ya Upatanishi wa Saudia

URUSI siku ya Jumatano iliwaachilia huru wafungwa 10 wa kigeni wa vita waliokamatwa nchini Ukraine kufuatia upatanishi wa Mwanamfalme wa...

READ MORE

Maiti Yapotea Mochwari Ndugu Wagoma Kuendelea na Mazishi Mpaka Wapate Mwili wa Marehemu

  FAMILIA moja katika kaunti ya Makueni nchini Kenya imelazimika kuahirisha hafla ya mazishi ya ndugu yao baada ya kuwepo...

READ MORE

Iran Yazuia WhatsApp, Instagram Huku Maandamano ya Mahsa Amini Yakiongezeka

IRAN imezuia upatikanaji wa mitandao ya kijamii ya Instagram na WhatsApp huku kukiwa na maandamano ya kupinga kifo cha mwanamke...

READ MORE

Wahadhiri wa Vyuo Vikuu Waendelea Kuandamana Kupinga Kurudi kazini Nchini Nigeria

WALIMU wa vyuo vikuu wanaogoma nchini Nigeria wamesema watakata rufaa dhidi ya agizo la mahakama ya usuluhishi inayowataka kusitisha mgomo...

READ MORE

Viongozi wa Dunia Wameahidi Mabilioni ya Fedha Kupambana na UKIMWI, TB na Malaria

MFUKO wa Kimataifa wa Kupambana na UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria umepata dola bilioni14.25kama ufadhili mpya muhimu, baada ya miongo...

READ MORE

Amuua Kaka Yake Kisa Nyama ya Utumbo ya Buku, Polisi Wamsaka Kila Kona

POLISI huko Murang’a nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa miaka 30 anayeshukiwa kumuua kakake mkubwa kufuatia mzozo wa nyama ya utumbo...

READ MORE

Watu watano Wakamatwa Nigeria Wakiwa na Tani 1.8 za Madawa ya Kulevya

WATU watano, meneja wa ghala na wafanyabiashara wa dawa za kulevya wanne akiwemo mmoja aliyetajwa kuwa raia wa Jamaica walikamatwa...

READ MORE

Viongozi Katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa Wanalaani Vita vya Urusi Nchini Ukraine

UVAMIZI wa Russia dhidi ya Ukraine umechukua nafasi kubwa katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, huku Ujerumani na Ufaransa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa UN Asema Dunia Ipo Hatarini Kupooza Wakati Mkutano wa Kilele Ukiendelea

KATIKA tathimini ya kutisha, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewaonya viongozi wa dunia kwamba mataifa yamekwama katika...

READ MORE

Liz Truss Aridhia Makubaliano ya Kibiashara Kati ya Uingereza na Marekani kwa Miaka Kadhaa

WAZIRI Mkuu akielekea kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa aliwaambia waandishi wa habari siku ya Jumanne: “Kwa sasa hakuna...

READ MORE

Israel Yamteua Balozi wa Uturuki kwa Mara ya Kwanza Tangu Mwaka 2018

ISRAEL itakuwa na balozi nchini Uturuki kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne, ikiwa ni hatua ya hivi punde...

READ MORE

Afariki Alipokua Akimkimbiza Mumewe Baada ya Kumuona Akiwa na Mwanamke Mwingine

MWANAMKE mmoja kutoka nchini Nigeria amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari wakati akimfukuzia mumewe aliyekuwa na mwanamke mwingine...

READ MORE

Waziri wa Afya Uganda Athibitisha Kuzuka Upya kwa Virusi vya Ebola

WAZIRI wa afya amewaambia waandishi wa habari kwamba mwathiriwa alikuwa ameonyesha dalili kabla ya kuugua ugonjwa huo.   Alikuwa mkazi...

READ MORE

Somalia inasema zaidi ya wanamgambo 100 waliuawa katika opereshen

ZAIDI ya wanamgambo 100 wa al-Shabab wameuawa katika operesheni katika muda wa siku tatu zilizopita na Jeshi la Kitaifa la...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mazishi ya Malkia Elizabeth II Akiwa na Marais Wengine Duniani-Video

BAADHI wa Marais wa nchi tofauti wameshiriki kwenye ibada ya kuaga mwili wa malkia Elizabeth II, iliyofanyika Westminster Abbey jijini...

READ MORE

Serikali ya Uganda na Tanzania Zapinga Azimio la EU kuhusu Bomba la Mafuta na Gesi

SERIKALI za Uganda na Tanzania zinapingana dhidi ya azimio lililopitishwa na Umoja wa Ulaya, linalotaka ulinzi wa mazingira na haki...

READ MORE

Biden Anasema Majeshi ya Marekani Yatailinda Taiwan Kutokana na Uvamizi wa China

RAIS wa Marekani Joe Biden amesema vikosi vya Marekani vitailinda Taiwan kutokana na uvamizi wa China, ikiwa ni dalili tosha...

READ MORE

Beckham Asubiri Kwenye Foleni kwa Masaa 12 Kuuaga Mwili wa Malkia Elizabeth II

NYOTA na Nahodha wa zamani wa Manchester United pamoja na Timu ya Taifa ya Uingereza David beckham alilazimika kusubiri kwenye...

READ MORE

Rais Putin na Waziri Mkuu wa India Waadhimia Kumaliza Vita Dhidi ya Ukraine

RAIS wa Urusi Vladimir Putin amemuahidi Waziri Mkuu wa India Narendra Modi kuwa anatambua wasiwasi wake juu ya vita inayoendelea...

READ MORE

Mvua Kubwa Yatabiriwa Kuikumba Pakstani kwa Miezi Sita

MAFURIKO yaliyoikumba Pakistan tangu Juni, mwaka huu yameiletea nchi hiyo maafa makubwa kwa kuathiri mamia ya vijiji katika sehemu kubwa...

READ MORE

IAEA Inadai kuwa Urusi Yajiondoa Kwenye Kiwanda cha Nyuklia cha Ukraine

MAGAVANA wa shirika la nyuklia la Umoja wa Mataifa wamekubaliana na azimio linaloitaka urusi kutokukalia kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhia...

READ MORE

Korea Kusini Yarejesha China Mabaki ya Wanajeshi 88 Waliouawa Katika Vita

KOREA KUSINI imerejesha (China) mabaki ya wanajeshi 88 wa China waliouawa wakati wa Vita vya Korea, ikiwa ni hatua ya...

READ MORE

Ukraine Yapata Eneo Lililozikwa Watu Wengi Huko Izyum Baada ya Warusi Kutimuliwa

ENEO lililo beba miili zaidiya mianne arobaini (440) lilipatikana huko Izyum kaskazini mashsriki mwa Ukraine, ambako vikosi vva Urusi vilifukuzwa...

READ MORE

Zaidi ya Watu 50 Wafariki Katika Mlipuko wa Lori la Mafuta Nchini Congo

ZAIDI ya watu 50 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kwa kuungua na moto vibaya, baada ya lori la mafuta kulipuka...

READ MORE

WHO: Vifo Vitokanavyo na Virusi vya Corona Vyadizi Kupungua Duniani

SHIRIKA la Afya Duniani limerekodi idadi ndogo zaidi ya virusi vya Corona tangu machi 2020, mkurugenzi mkuu wa shirika la...

READ MORE

Azimio Wamlaumu Rais Kenyatta Kumuangusha Raila Odinga Urais Kenya

  WANASIASA wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, sasa wameanza kumlaumu  Rais Uhuru Kenyatta huku wakidai alisababisha mgombea...

READ MORE

Mashambulio ya Urusi Yasababisha Kukatika kwa Umeme Ukraine

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa mashambulio yanayofanywa na Urusi yanalenga maeneo muhimu yanayozalisha  umeme hali inayosababisha kukosekana kwa...

READ MORE

Marekani Yaadhimisha Miaka 21 Tangu Shambulio Kubwa la Kigaidi ‘Septemba 11’

Rais wa Marekani Joe Biden na Makamu wa Rais Kamala Harris wamewaongoza Wamerekani kuadhimisha miaka 21 tangu kutokea kwa shambuliao...

READ MORE

Korea Kaskazini inajitangaza kuwa taifa Linalotengeneza silaha za Nyuklia Zaidi na Hamna Wakuwapindua

KIM aliapa nchi hiyo haitaacha kamwe silaha zake za nyuklia na akasema hakuwezi kuwa na mazungumzo juu ya kutokomeza nyuklia...

READ MORE

Aliyeshangilia Odinga Kushindwa Urais Achukuliwa Hatua za Kinidhamu

CLIFF ONRICHI ameonekana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii akishangilia kwa furaha Raila Odinga kushindwa urais nchini Kenya.   Kutokana na...

READ MORE

Makazi ya Raia wa Ukraine Yaliyokua Chini ya Urusi Yarejeshwa, Rais Zelensky apongeza

UVUMI umeenea kwa siku kadhaa juu ya uwezekano wa mafanikio katika eneo la mashariki la Kharkiv, lakini bila neno kutoka...

READ MORE