×

Kimataifa

Rais Wa Israeli Augua Kiharusi Na Kulazwa

JERUSALEM Rais wa zamani wa Israeli bwana Shimon Peres (93), anaumwa ugonjwa wa kiharusi na madaktari wamesema ugonjwa huo umepelekea...

READ MORE

Polisi Nchini Zimbabwe Wapiga Marufuku Maandamano

  Mmoja wa wananchi akikimbia wakati wa maandamano ya awali HARARE, Jeshi la polisi nchini Zimbabwe wametangaza kuyapiga marufuku maandamano...

READ MORE

Hillary Clinton Afuta ziara Baada ya Kuugua

NEW YORK, MAREKANI MGOMBEA urais wa Chama cha Democratic nchini Marekani, Hillary Clinton, amefuta mkutano wake wa kampeni katika Jimbo...

READ MORE

Ripoti yabaini Rais kiir na Machar wanafaidika na vita

Rais Salva Kiir (kulia) na aliyekuwa makamu wake bwana Riek Machar  Waziri wa habari Sudan Kusini amesema kuwa serikali haitajibu...

READ MORE

Sanamu Za Mugabe Zazua Utata

Rais Mugabe akiwa na mtengeneza sanamu Bwana Benhura. Sanamu mbili mpya za kiongozi wa muda mrefu wa Zimbabwe Robert Mugabe...

READ MORE

David Cameron Ajiuzulu Ubunge

Ametangaza uamuzi huo Jumatatu hii. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni karibu miezi mitatu baada ya Cameron kuachia ngazi kama waziri...

READ MORE

David Cameron Ajiuzulu Ubunge

Ametangaza uamuzi huo Jumatatu hii. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni karibu miezi mitatu baada ya Cameron kuachia ngazi kamna waziri...

READ MORE

Ndege Nyingine Yaanguka na Kujeruhi Wawili Nairobi

Naiobi, Kenya: WATU wawili ambao ni mkufunzi na mwanafunzi wake wamejeruhiwa vibaya baada ya ndege waliokuwa wakifanyia mazoezi kuanguka  jijini...

READ MORE

Watu Watatu Watiwa Mbaroni kwa Kuiba Ng’ombe wa Rais Museveni

Rais Museveni KAMPALA: Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Kampala, Uganda kwa tuhuma za kuiba ng’ombe ambao idadi...

READ MORE

Orodha ya Matetemeko ya Adhi Duniani Kote, Leo Septemba 12

Matetemeko ya Ardhi Duniani Leo Sept. 12===>Bofya Hapa

READ MORE

Hillary Clinton Augua Homa ya Mapafu, Aondolewa Kwenye Kumbukumbu ya Septemba 11

Mgombea Urais kutoka Chama cha Democratic, Hillary Clinton amegundulika kuwa na ugonjwa wa homa ya mapafu (pneumonia) baada ya kuugua...

READ MORE

Polisi Waua Wanawake 3 Magaidi Kenya

WANAWAKE watano waliovalia mabaibui na walioaminika kuvaa mikanda ya kujilipua wamevamia kituo kimoja cha polisi mjini Mombasa katika shambulio linalodaiwa...

READ MORE

Guardiola amzima Mourinho Old Trafford

TIMU ya Manchester City leo imeshinda mabao 2 – 1 dhidi ya Manchester United  katika mchezo mkali uliopigwa Uwanja wa Old Trafford....

READ MORE

Kifaa cha Kuchemshia Maji Chateketeza Kiwanda, 15 Wafariki Duniua

WATU 15 wamepoteza maisha nchini Bangladesh baada ya moto mkubwa uliosababishwa na mlipuko wa kifaa cha kuchemsha maji katika kiwanda...

READ MORE

Rooney Kiboko wa Manchester ‘Derby’

  Nyota wa Man United, Wayne Rooney akifanya yake. LEO kuna mechi ya watani wa jadi wa Jiji la Manchester...

READ MORE

Tanzia: Aliyewahi Kuwa Kocha wa Simba, James Siang’a afariki Dunia

Aliyewahi kuwa kocha wa Simba James Aggrey Siang’a  amefariki leo alfajiri nchini kwake Bungoma nchini Kenya baada ya kuugua kwa...

READ MORE

Samsung Galaxy Note7 Zapigwa Marufuku Kwenye Ndege

Maafisa wa uchukuzi wa ndege nchini Marekani wamewatahadharisha abiria wanaosafiri kwa ndege kutofungulia au kuchaji simu za Samsung Galaxy Note...

READ MORE

Mwanamke Mdogo Mwenye Ndevu Ndefu Zaidi Duniani

Harnaam Kaur (24) ameshinda Guinness World Records kwa kuwa mwanamke mdogo mwenye ndevu ndefu zaidi duniani ambapo ndevu zake zina...

READ MORE

Ajali ya Treni Yaua 4 na Kujeruhi 49

Watu wanne wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya treni kuacha njia na kugonga mnara karinu na eneo la ...

READ MORE

Mwanzilishi wa Facebook Achangia Mamilioni Kusaidia Kumbwaga Trump

Mmoja ya waanzilishi wa Facebook, Dustin Moskovitz amechangia $ 20m kwa Democrats, kusaidia kumbwaga mgombea urais wa Marekani kwa tiketi...

READ MORE

Viongozi wa EAC Wagoma Kusaini Mkataba wa Ulaya

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC), imeiomba Jumuiya ya Ulaya (EU), iipe muda wa miezi mitatu kujua hatima ya wao kusaini...

READ MORE

Korea Kaskazini Yalipua Bomu Kama la Hiroshima

Shirika la habari la serikali ya Korea Kaskazini limesema taifa hilo limefanya majaribio ya bomu kupima uwezo wa bomu lake...

READ MORE

Maji ya Mto Yageuka Rangi ya Damu

Wachunguzi wa masuala ya mazingira nchini Urusi wanajaribu kubaini chanzo cha maji ya mto ulio karibu na kiwanda cha Nikeli...

READ MORE

Azifukua Maiti na Kuzivika Suti Mpya

INDONESIA: Kabila la Torajan la nchini Indonesia wamefukua maiti za ndugu zao kwenye makaburi na kuzivika nguo mpya. Tukio hilo...

READ MORE

Huyu Hapa Kikongwe Mwenye Miaka 145 na Bado Anavuta Sigara

MZEE Mbah Gotho raia wa Indonesia anaamini yeye ndiye binadamu mzee zaidi kuwahi kuishi duniani kwani ameishi miaka mingi zaidi...

READ MORE

Rais Bongo Akukubali Kura zihesabiwe Upya Gabon

Gabon: Rais wa Gabon, Ali Bongo, amesema yuko tayari kutii uamuzi wa Mahakama ya Kikatiba iwapo mahakama hiyo itaagiza kura...

READ MORE

TV za Sony Bravia Hazitoweza Kuonesha Video za Youtube Baada ya Septemba 30

Runinga za Sony Bravia zilizotengezwa mwaka 2012 hazitoweza kuonyesha tena kanda za video za YouTube baada ya Septemba 30. Vifaa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa UN, Kofi Annan Azomewa

Wanaharakati wa Kibudha nchini Myanmar wamemzomea na kumkemea Katibu Mkuu wa Zamani wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan. Bw Annan...

READ MORE

Papa Amtangaza Mama Theresa Kuwa Mtakatifu

VATICAN: Maelfu ya watu wameshuhudia ibada ya kutawazwa kuwa mtakatifu, Mama Teresa ambaye ametangazwa na Papa Francis leo. Raia huyo...

READ MORE

Kagame Kujenga Uwanja Mpya wa Ndege

Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema serikali yake inajiandaa kujenga uwanja mpya wa kisasa wa ndege utakaogharimu dola za Kimarekani...

READ MORE

Museveni Rasmi Apinga Ushoga

PAMOJA na kulaumiwa kwa mambo mabaya mengi, hasa ya kuminya demokrasia nchini Uganda, Rais Yoweri Kaguta Museveni ameweza kufanya kilichowashinda...

READ MORE

Askofu England Ajitangaza Kuwa Shoga

Askofu Nicholas Chamberlain. Askofu mmoja wa Kanisa la Kianglikana nchini Uingereza amekuwa wa kwanza kutangaza hadharani kuwa anashiriki mapenzi ya...

READ MORE

Daktari Apatikana na Video ya Watu Wakishiriki Ngono na Nyoka

UINGEREZA: Daktari mmoja nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwa na video za ngono, ikiwemo moja ya mwanamume akishiriki ngono...

READ MORE

Atobolewa Macho kwa Imani za Kishirikina

Kijana mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa jimbo la kaskazin magharibi mwa Nigeria la Bauchi anasema kuwa macho yake...

READ MORE

Mugabe: ”Nilikufa kisha nikafufuka”

Zimbabwe: Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amepua taarifa za hivi karibu za uvumi juu ya afya yake, kwa kutoa mzaha...

READ MORE

Lile Daraja la Kioo China Limesitishwa Kutumika Baada ya Wiki 2

Zhangjiajie, China: Daraja la kioo ambalo limeelezwa kuwa liko juu zaidi liliziduliwa hivi karibuni nchini China ambapo lina urefu wa...

READ MORE

Melania Trump Alishtaki Gazeti la Daily Mail Kuhusu Tuhuma za Ukahaba

Melania Trump amelishtaki gazeti la Daily Mail la Uingereza pamoja na mwanablogu wa Marekani akitaka alipwe $150m (£114m) kuhusiana na...

READ MORE

Baada ya Kutoka Nigeria, Mark Zuckerberg Aibukia Kenya

MWANZILISHI na CEO wa Facebook, Mark Zuckerberg amewasili nchini Kenya leo kwa ziara ya kufundisha elimu ya biashara na miundombinu...

READ MORE

Acer Yazindua Laptop Yenye Kikoo Kilichopinda

Kampuni ya Vifaa vya kielektroniki ya Acer imezindua laptop ya kwanza yenye kioo kilichojipinda. Acer inasema kuwa uvumbuzi huo utaiwezesha...

READ MORE

Mwanzilishi wa Facebook Alivyokutana na Akina Yemi Alade Nigeria

Lagos, Nigeria MWANZILISHI na mmiliki wa mtandao maarufu duniani wa Facebook, Mark Zuckerberg juzi Jumanne alianza ziara yake ya siku...

READ MORE