×

Kitaifa

Waziri Jafo Atangaza Nyungu Siku 7

WAZIRI  wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo, ametangaza kuanzia Februari Mosi hadi 7, 2021,  zitakuwa...

READ MORE

Jeshii la Polisi Kumchunguza Cristiano Ronaldo

  MSHAMBULIAJI wa Juventus, Cristiano Ronaldo, anachunguzwa na maafisa wa polisi wa Italia kuhusu safari aliyokwenda ili kusherehekea siku ya...

READ MORE

Askofu Shoo Atoa Waraka wa Corona, Amvaa Aliyewavua Barakoa

MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Meya wa Manispaa...

READ MORE

Breaking: JPM Aagiza Daktari Aliyeacha Kazi Asakwe – Video

RAIS  John Magufuli amemwagiza Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima, kuhakikisha anawafuatilia madaktari walioacha kazi katika hospitali ya rufaa mkoa...

READ MORE

Polisi: Dereva Aliyekamatwa, Akafa, Alikuwa na Homa ya Mapafu

  JESHI la Polisi mkoani Mbeya limesema dereva wa lori, Abrahaman Hussein (61) aliyefariki dunia muda mfupi baada ya kumkamata...

READ MORE

Mateso Mzito! Mama Yamkuta, Mume, Familia Wamtenga – Video

Kabla hujafa hujajmbika hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Zuhura Shabani ambaye kutelekezwa na mume wake baada kujifungua mtoto mwenye...

READ MORE

RC Mbeya Aunda Tume Kuchunguza Kifo cha Dereva

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ameunda tume ndogo ya watu wanne na kuipa jukumu la kuchunguza kifo cha...

READ MORE

Serikali Kufutia Leseni Wanaopandisha Bei ya Mafuta ya Kupikia

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geofrey Mwambe amewaonya wafanyabiashara wa mafuta ya kula watakaopandisha bei ya bidhaa hiyo kinyume na...

READ MORE

JPM Azindua Maji ya Ziwa Victoria Kahama, Amsifu Waziri wa Maji – Video

RAIS  John Magufuli leo amezindua mradi wa maji wa Ziwa Victoria kwa ajili ya miji ya Kagongwa na Isaka mkoani...

READ MORE

Rekodi Iliyowekwa na Nmb Baada ya Kupata Faida Zaidi ya Bilioni 295

Januari 28, 2021, Benki ya NMB imetangaza kupata faida ya TZS 205.5 bilioni baada ya kodi kwa mwaka ulioishia Desemba...

READ MORE

WHO Yaitaka Tanzania Kujiandaa Kwa Chanjo ya Corona

  IKIWA ni siku moja tu tangu Rais  John Magufuli kutaka Wizara ya Afya kutokimbilia chanjo ya corona, Shirika la...

READ MORE

Majaliwa Afanya Kikao na Machinga

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo (Alhamisi, Januari 28, 2021) amefanya kikao na Viongozi wa Wamachinga Tanzania katika Kituo cha...

READ MORE

Amuua Mkewe kwa Kumpiga Mchi

PAULINA DAUDI (30) mkazi wa Mtaa wa Mageuzi Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga ameuawa kwa kupigwa ngumi na mchi...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kumpiga na Chupa Mwenzake

Mahakama ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam, Tanzania, imemuhukumu kwenda jela miezi sita Mkazi wa Chang’ombe, Oscar Sanga...

READ MORE

Meya Moshi Awaamuru Wajumbe Kuvua Barakoa

MEYA wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu Juma,  amewataka wajumbe waliovaa barakoa katika kikao cha baraza la madiwani kuzivua kwa...

READ MORE

JPM Aipandisha Hadhi Kahama, Amsamehe DED – Video

RAIS  John Magufuli ameipandisha hadhi Halmashauri ya Kahama Mji kuwa Manispaa ambapo sasa Kahama Mji itajulikana kama Manispaa ya Kahama....

READ MORE

Lipumba Amwangukia Maalim Seif, Amwomba Arudi CUF

MWENYEKITI wa chama cha Civic United Front (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemwomba aliyekuwa Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, ...

READ MORE

JPM: Watendaji Wangu Msiwe na Nidhamu ya Uoga – Video

  RAIS  John Magufuli amewataka wabunge wawabane mawaziri kwa kuwahoji ili wawajibike kutatua kero za wananchi.   Ameyasema hayo leo...

READ MORE

Buchosa Mpya Sasa Kuwagusa la Pili Hadi la Saba Mpaka Sekondari

Kampeni ya Buchosa Mpya, Peleka Mtoto Shule imeendelea jana katika Kata ya Kasisa, Nyakasungwa na Bukokwa ikiwa ni mwendelezo wa...

READ MORE

Sanamu ya Taswira ya Ngono Yamfadhaisha Mhojiwa kwenye TV

MWANAMKE mmoja, Yvette Amos, wa Uingereza, alipata mfadhaiko mkubwa baada ya kuhojiwa katika kipindi cha BBC Wales Today wakati nyumba...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Kuchukua Ardhi Bila Kulipa Fidia

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi amepiga marufuku halmashauri, Taasisi na Watu binafsi kuchukua maeneo...

READ MORE

Geita: Watoto Waangukiwa Ukuta, Wafariki!

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba chanzo kikitajwa kuwa ni mvua inayoambatana...

READ MORE

JPM: Watanzania Waliochanjwa Nje, Wametuletea Corona ya Ajabu – Video

  RAIS  John Magufuli amewatahadhalisha Watanzania kuhusu chanjo ya Covid-19 inayoendelea katika mataifa mbalimbali na kuwasisitiza kusimama imara huku akisisitiza...

READ MORE

Majaliwa Ashiriki Mazishi ya Mbunge Martha Umbulla

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi  (CCM) Mkoa wa Manyara,...

READ MORE

Breaking News: Lori la Mizigo Laungua Moto Kimara – Dar (Video)

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zimeeleza kuwa lori la mizigo limeungua kaa moto, majira ya saa 4:45 usiku huu wa Januari...

READ MORE

Shigongo Azindua Kampeni ya ‘Buchosa Mpya’ – Video

MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo leo Januari 26, 2021, amezindua rasmi kampeni ya Buchosa Mpya, Peleka Mtoto Shule ambao umefanyika...

READ MORE

Shigongo Ashiriki Mazishi ya Mama Yake Mkubwa

Mbunge Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo ameshiriki mazishi ya mama yake mkubwa, Bi. Agatha Kadikilo katika Kijiji cha Mwangika,...

READ MORE

Kortini Wakidaiwa Kuiba Mbolea ya Milioni 16.9 – Video

  WATU tisa  kutoka mkoani Songwe wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka tisa likiwemo la kuiba...

READ MORE

Tanzia: Naibu Waziri wa Kikwete Afariki Dunia

MBUNGE  wa zamani wa Mpwapwa mkoani Dodoma nchini Tanzania, Gregory Teu, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kujisikia...

READ MORE

Rais Mwinyi Alipongeza Jeshi la Wananchi (JWTZ)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania...

READ MORE

Ajikata Nyeti, Ataka Kujiua, Kisa Kinashangaza!

MKAZI wa Kijenge Mwanama jijini Arusha, John Tarimo amelazwa katika hospitali ya mkoa Arusha ya Mount Meru baada ya kujikata...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumpa Ujauzito Mwanafunzi

POLISI mkoani Morogoro inamshikilia  Samweli Lifa mkazi wa Kilosa (24) kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato...

READ MORE

Mwili wa Dada’ke Ndugai Waagwa Dodoma

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, jana (Jumatatu, Januari 25, 2021) alishiriki mazishi ya dada wa Spika wa Bunge, Job Ndugai,...

READ MORE

Washindi 12 Wajinyakulia Mil 28.8 za NMB Mastabata Siyo Kikawaida

Washindi 12 wa droo ya mwezi wa pili ya NMB Mastabata Siyo Kikawaida, wamepatikana leo na kujizolea zawadi zenye thamani...

READ MORE

Wanaodaiwa Majambazi Sugu Wanaswa

JESHI la Polisi Mkoani Tanga limewakamata watu wanne wanaodaiwa kuwa ni Majambazi sugu waliokuwa wakitafutwa kwa muda mrefu katika wilaya...

READ MORE

Baba Anaswa ‘Live’ Akimbaka Mwanaye wa Miaka 11

Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chamoto, Ikwabe Gibogo (58) kwa tuhuma za kumwingilia kimwili...

READ MORE

JPM Aanika Alichozungumza na Rais wa Ethiopia – Video

  RAIS  John Magufuli amempokea mgeni wake Rais wa  Ethiopia, Sahle-Work Zewde, aliyewasili nchini leo Januari 25, 2021, kwa ziara...

READ MORE

Tanzia: Mama Mzazi wa DC Jerry Muro Afariki Dunia

MKUU wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro, anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi, ANKUNDA MURO, kilichotokea katika Hospital ya...

READ MORE

Magufuli Ampokea Rais wa Ethiopia Chato

RAIS  John Magufuli, leo Januari 25, 2021, amempokea Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde, aliyekuja nchini kwa ziara ya kikazi ya...

READ MORE

Serikali Yabaini Day Care Centre za Kinyemela

Sakata la uendeshaji wa vituo vya kulelea Watoto Mchana (Day Care Centres) limeendelea kuchukua sura mpya ambapo Mkoani Tanga imebainika...

READ MORE