×

Kitaifa

NMB Yashinda Tuzo ya Benki Salama Zaidi Nchini Kwa Mwaka 2020

Benki ya NMB imeshinda tuzo ya umahiri baada ya kuibuka benki salama zaidi Tanzania kwa mwaka 2020. Tuzo hizo zilitolewa...

READ MORE

Stamico Yazidi Kupaa Kwenye Sekta Ya Madini

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kupaa kwenye sekta ya madini baada ya Wizara ya madini kushirikiana na shirika...

READ MORE

‘Bwege’ Wa Act-Wazalendo Atinga Kusikiliza Kampeni za CCM Kilwa

  MGOMBEA UBUNGE wa jimbo la Kilwa Kusini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bw. Selemani Bungara maarufu kwa jina la...

READ MORE

Magufuli Akoshwa na Gazeti la Marekani

RAIS  John Magufuli amesema kuwa ameona takwimu za dunia nzima kuhusu maambukizi ya virusi vya Corona zilizotolewa na gazeti la...

READ MORE

‘Bwege’ Atua Kwenye Mkutano wa Majaliwa

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kilwa Kusini kwa tiketi ya ACT WAZALENDO, Selemani Bungara, maarufu kwa jina la Bwege (aliyeshika...

READ MORE

Haijawahi Kutokea, Mnada wa Hardwares kwa Bei Chee!

TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKERS LIMITED inawatangazia mnada wa hadhara wa vitu mbalimbali vya majumbani kwa bei chee.  ...

READ MORE

Mwambe: Bungeni Umefunga Plasta Midomo, Utaombaje Umeme?

WAGOMBEA wawili wa Ubunge wa majimbo ya Ndanda na Tandahimba, waliokuwa vyama vya upinzani na kuhamia Chama Cha Mapinduzi, (CCM),...

READ MORE

TMA Yataoa Tahadhari Juu ya Msimu wa Mvua

Mamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA), imetoa muelekeo wa mvua za msimu za mwezi Novemba 2020 hadi Aprili mwaka...

READ MORE

Sheikh Mkuu: Tuheshimiane Katika Tofauti za Dini Zetu

MWENYEKITI  wa Kamati ya Amani na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, amesema ni vyema kila...

READ MORE

Mawakala 12 Chadema Wakataliwa Kuapishwa Chato

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekataa kuwaapisha mawakala 12 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kile ilichobainisha...

READ MORE

Sirro Awaonya Watakaojitangazia Matokeo

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro,  pamoja na kuwahimiza askari wa jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa...

READ MORE

NEC: Kura za Urais Zitahesabiwa Dar, Si Dodoma

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu kuhakikisha leo Oktoba 21, 2020, vinakabidhi orodha...

READ MORE

Gramu 35.99 za Madawa Ya Kulevya Zateketezwa Tanga

Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kwa kushirikiana na wadau wake imeteketeza kiasi cha gramu 351.99 za madawa ya kulevya aina...

READ MORE

Mazars Wiscon Associates Yabadili Chapa Yake Rasmi

  Kampuni ya kimataifa inayotoa huduma za ushauri wa kodi, ukaguzi wa mahesabu na ushauri wa mambo ya fedha. Leo...

READ MORE

Mpinzani wa Kiduku Kutua Nchini

Mbabe wa masumbwi mwenye rekodi, Sirimongkhon Iamtuam atawasili nchini Oktoba 24 mwaka huu akiwa na wasaidizi wake wakitokea nchini kwao...

READ MORE

Tanzia: Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Afariki Dunia

MKE wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Balozi Ahmed Salim Ahmed, Bi Amne Rifai Salim,  amfariki dunia leo, Jumanne, Oktoba...

READ MORE

Maalim Seif: ‘Mzee wa Ubwabwa’ ni Bora Kuliko Membe

MGOMBEA urais wa chama cha ACT Wazalendo visiwani Zanzibar ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad,...

READ MORE

Mugalu Aitaka Rekodi ya Straika wa Yanga

AKIENDELEZA rekodi ya kutupia mabao, straika wa Simba, Mkongomani Chris Mugalu, ametamba kwamba anaweza kuivunja rekodi ya straika wa zamani...

READ MORE

Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislam, Naitwa Rashid

MGOMBEA ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima, amesema ana jina la Kiislamu ambalo ni Rashid...

READ MORE

NEC Yaruhusu Vitambulisho Mbadala kwa Wapiga Kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika kikao chake cha tarehe 12 Oktoba, 2020 imefanya maamuzi ya kisera ya kuruhusu vitambulisho...

READ MORE

Membe: Nilipanga Kukipindua CCM Kiuongozi, wakanifukuza

Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, amesema kuwa kabla hajafukuzwa na chama chake cha awali cha CCM, alikuwa...

READ MORE

Mimba za Mobeto kwa Mondi Zamshtua Zari

    KAULI ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto aliyoitoa hivi karibuni kuwa, alinasa mimba tatu za mpenzi wake Nasibu...

READ MORE

Watano Familia Moja Waliokufa Dar Wazikwa Buchosa

WATU watano wa familia moja akiwemo mama, watoto wake watatu na wifi yake, waliopoteza maisha baada ya nyumba yao kuwaka...

READ MORE

Baada ya Kupotea kwa Siku 60, Bifu za Dudubaya Zaibuliwa

HOFU inazidi kutanda juu ya kupotea na kutoonekana kwa msanii mtata wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini almaarufu kama Dudu Baya...

READ MORE

Membe: Hata Mninyonge, Wabunge 32 Siwataji

MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, amesema  kabla hajafukuzwa na chama chake cha awali cha CCM, alikuwa anao...

READ MORE

Mafuriko Kampeni za Shigongo Bupandwa – Video

MAFURIKO ya wananchi wa Kijiji cha Bupandwamhela wakimpokea kijiji hapo mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Membe: Nitaing’oa CCM Dakika ya 89 – Video

BERNARD Kamilius Membe amesema yeye bado ni mgombea halali wa urais kupitia ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

READ MORE

Tume Yaamuru Manji Kuwalipa Sh Mil 232 Waandishi 23 Waliowaachishwa Kazi

Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Kanda ya Dar es Salaam- Temeke imeiamuru kampuni ya Quality Group Limited kuwalipa waandishi...

READ MORE

Wadau Wataka Watoto wa Kike Kulindwa Dhidi ya Changamoto

    TAASISI mbalimbali zimepaza sauti zikiwataka wazazi na jamii kwa ujumla kumlinda mtoto wa kike dhidi ya changamoto anuai zinazowakabili...

READ MORE

Watuhumiwa wa Kuchoma Shule Wanaswa – Video

JESHI la Polisi wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro limefanikiwa kukamatwa kwa watu watatu kwa tuhuma za kuchoma moto bweni la kulia...

READ MORE

Baba Aliyefiwa Familia ya Watu Watano – Video

BABA mzazi aliyejitambulisha kwa jina la Edward Jeremiah Katemi, amejikuta katika wakati mgumu, baada ya familia yake ya watu watano,...

READ MORE

JPM Atua Bagamoyo, Asema Watakaoshindwa Wameshajijua – Video

MGOMBEA urais Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli  amezungumza na Wananchi...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Kuua Akijaribu Kutoa Mimba

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Frodius Protace ‘Gafseki’ (24) mkazi wa Kijiji cha Rushe wilayani Karagwe kwa tuhuma za...

READ MORE

Infinix Waja na Ofa Kabambee, Ukinunua Simu 2 Unapewa King’amuzi buree!

Uzinduzi wa jishindie king’amuzi na INFINIX HOT LIVE PROMOTION umezinduliwa kwa kishindo huku wateja wakijipatia simu mpya ya INFINIX HOT...

READ MORE

Mwanafunzi Ajinyonga Kisa Kugombezwa

MWANAFUNZI aliyemaliza darasa la saba wiki iliyopita katika shule ya msingi Njungwa, Kijiji cha Ngayaki wilayani Gairo, amekutwa amejinyonga hadi...

READ MORE

Bweni Sekondari Uchira Islamic Lateketea kwa Moto

BWENI la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Uchira Islamic iliyoko wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, limeteketea kwa moto...

READ MORE

Mbatia Apigwa ‘Stop’ Kufanya Kampeni

KAMATI za maadili zimeendelea kuwa mwiba kwa wagombea na safari hii mgombea ubunge wa Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, James...

READ MORE

Trump, Biden Wanyukana Tena Kwenye Mdahalo

WAGOMBEA wa urais wanaotajwa kuwa na nguvu zaidi nchini Marekani, Donald Trump wa Chama cha Republican na Joe Biden wa...

READ MORE

Moto Wote Wadhibitiwa Mlima Kilimanjaro

SHIRIKA  la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limesema kuwa ukaguzi wa anga uliofanywa jana asubuhi, Oktoba 16, 2020, katika Mlima...

READ MORE