×

Kitaifa

Shigongo: Buchosa Tuvunje Makundi, Wa-TZ Tumpe Kura JPM – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa, Sengerema mkoani Mwanza, Eric Shigongo amewaomba wananchi wa jimbo hilo kuacha chuki za kisiasa...

READ MORE

Museveni Atangaza Siku ya Maombi Kitaifa Dhidi ya Corona

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ametangaza Jumamosi ya wiki hii kuwa siku ya kitaifa ya maombi kwa ajili ya Covid-19....

READ MORE

Mali: Rais Keita Aachiliwa na Wanajeshi

ALIYEKUWA Rais wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita, aliyekamatwa Agosti 18, mwaka huu na kundi la wanajeshi lililofanya mapinduzi, ameachiliwa huru...

READ MORE

Mke wa Mtu Auawa na Mchepuko kwa Kufumaniwa na Mchepuko!

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia kijana mmoja aitwaye Derick Dambuve mwenye umri wa 26 kwa kumuua mke wa mtu,...

READ MORE

Ajali Basi la NBS na Gari Dogo Yaua Watano Shinyanga

WATU watano wamefariki dunia papo hapo katika ajali iliyohusisha gari ndogo lililogongana na basi  la Kampuni ya NBS katika kijiji...

READ MORE

Benki ya NMB Yafungua Tawi Malinyi-Morogoro

  Benki ya NMB imeendelea kupanua wigo wake kwa kufungua tawi ‘NMB Malinyi’ katika wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro. Ufunguzi...

READ MORE

Kitilya na Wenzake Walipa Bil 1.5, Waachiwa Huru

Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Biswalo Mganga amewafutia Mashtaka yote Mkurugenzi wa Kampuni ya Ushauri wa Uwekezaji na Upatikanaji wa Fedha,...

READ MORE

Jeff Bezos Awa Tajiri wa Kwanza Duniani Kufikisha USD Bil 200

MKURUGENZI wa Kampuni ya Amazon, Jeff Bezos,  amekuwa mtu kwa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola milioni 200. Imeelezwa...

READ MORE

TCRA Yazifungia Clouds TV, Clouds FM Siku 7

MAMLAKA  ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeagiza Clouds TV na Clouds FM (Redio) kusitisha matangazo yao kwa muda wa siku saba...

READ MORE

Nmb Bima Marathon Yanukia, Kuanzia Mliman City

  Benki ya NMB, imetangaza wadau mbalimbali wa michezo kushiriki katika Mbio za Nmb Bima Marathon zinazotarajiwa kufanyika Septemba 12,...

READ MORE

NEC Yapiga Chini Mapingamizi ya Lissu Dhidi ya JPM – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema imepokea mapingamizi kutoka kwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Atikisa Zanzibar Akichukua Fomu

      MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi leo ameisimamisha Zanzibar na viunga...

READ MORE

TCU Yafungua Maombi Udahili Shahada ya Kwanza

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefungua dirisha la maombi ya udahili wa Shahada ya Kwanza, mwaka wa masomo 2020/21....

READ MORE

Dodoma: Basi la Ally’s Lateketea kwa Moto – Video

Basi la Kampuni ya Ally’s linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza limeteketea kwa moto eneo la...

READ MORE

Mgombea Ubunge Avamiwa, Aporwa Fomu

MGOMBEA ubunge wa Morogoro Mjini kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Abeid Mlapakolo, amelishukuru Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa...

READ MORE

Lissu Ashindwa Tena Kufika Kortini, Sababu Hii Hapa!

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA), Tundu Lissu, ameshindwa kufika katika...

READ MORE

Mabweni ya Wanafunzi Yatima Lateketea kwa Moto

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo Moshi Mjini Mkoani Kilimanjaro wamenusurika kifo baada ya kuzuka kwa moto na...

READ MORE

Mwanafunzi Afariki kwa Kula Chakula Harusini, 14 Walazwa

  JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linachunguza kifo cha mtu mmoja (mwanafunzi) na watu wengine 18 walioathirika kwa kile...

READ MORE

NEC Yafafanua Waliokatwa, ‘Waliopita Bila Kupingwa’ – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo Agosti 26, 2020,  imezungumza na wanahabari kuhusu masuala mbalimbali yahusuyo uchaguzi, ambapo kubwa...

READ MORE

Mwinyi Achukua Fomu ZEC, Aahidi Zanzibar Mpya – Video

MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein  Mwinyi amechukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea kiti hicho...

READ MORE

Kitilya, Wenzake Wakiri Makosa, Kulipa Faini Bil 1.5

ALIYEKUWA Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Harry Kitilya, Shose Sinare, Sioi Solomon, Bedason Shallanda na Alfred Misana wamekiri...

READ MORE

NEC Yampitisha Lissu Kugombea Urais wa Tanzania – Video

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antipas Lissu ameteuliwa na Tume ya Taifa ya...

READ MORE

Wanaodaiwa Kumteka Mo Dewji, Kesi Yafikia Hapa – Video

MUSA TWALIBU mkazi wa jijini Dar es Salaam,  anayekabiliwa na kesi ya tuhuma ya kumteka mfanyabiashara, Mohamed Dewji Mo,  ameieleza...

READ MORE

Dada wa Kazi Mbaroni Akituhumiwa Kuua Mtoto

MTUMISHI wa kazi za ndani Ashura Suka (15) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za mauaji...

READ MORE

Mali: Jeshi Laigomea ECOWAS Kumrudisha Rais Keita

MAZUNGUMZO nchini Mali yanayolenga kutatua mzozo wa kisiasa unaoendelea kufuatia mapinduzi yaliofanyika wiki iliopita yamemalizika bila makubaliano huku viongozi wa...

READ MORE

Mwanza: Kichanga cha Wiki Mbili Chapotea Hospitalini

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linachunguza tukio la kupotea katika mazingira ya kutatanisha kichanga cha wiki mbili ndani ya wodi...

READ MORE

JPM Akagua Magari Yaliyotaifishwa, Atoa Maagizo!

RAIS. John  Magufuli amekagua magari yaliyotaifishwa baada ya kuhusika katika matukio ya uhujumu uchumi, na kisha kuhifadhiwa katika kituo cha...

READ MORE

Wagombea Urais NRA Warejesha Fomu NEC, Wateuliwa – Video

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tikeki ya Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) Janken Kasambala Malik...

READ MORE

Polisi Wakanusha Katibu wa Chadema Ruangwa Kutekwa

  POLISI Mkoa wa Lindi limekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Treni ya Abiria Yawasili kwa Mara ya Kwanza Baada ya Miaka 30

Mamia ya wananchi wa Jiji la Arusha, wamejitokeza kuipokea treni ya abiria iliyowasili kwa mara ya kwanza ikitokea Moshi Mkoa...

READ MORE

JPM Arudisha Fomu NEC, Ateuliwa Kugombea Urais – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John  Magufuli na mgombea mwenza,  Samia Hassan,  leo Jumanne,...

READ MORE

NMB Yawakomboa Wanachi Mlimba

  Benki ya NMB imefungua tawi jipya la Mlimba katika Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro. Tawil hilo ambalo ni neema...

READ MORE

Wilaya ya Chemba Yaahidi Kutatua Changamoto za Elimu

  SERIKALI wilayani Chemba imeahidi kuzifanyia kazi changamoto za elimu ya msingi na sekondari zilizoibuliwa katika mijadala ya Maadhimisho ya Juma...

READ MORE

Tanzia: Dr Shika Afariki Dunia

Dr Louis Shika maarufu kama Mzee wa 900 Itapendeza amefariki dunia, akiwa nyumbani kwa kaka yake wakati wa uangalizi baada...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni Kuishi Unyumba na Mwanafunzi

JESHI la Polisi Wilaya ya Igunga limemkamata mwalimu Keby Aron (32) kwa tuhuma ya kumweka kimada mwanafunzi wa miaka 17....

READ MORE

Wamiliki wa Drones Waagizwa Kuzisajili TCAA

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imewaagiza wamiliki wa ndege ndogo zisizo na rubani (drones) kuhakikisha ndege hizo zimesajiliwa...

READ MORE

JPM Awasilisha Michango Ujenzi Msikiti Chamwino

RAIS  John Magufuli leo Jumatatu, Agosti 24, 2020, amewasilisha fedha za michango iliyotolewa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti...

READ MORE

Kigogo MSD Aendelea Kusota Mahakamani

MAPEMA leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa utetezi katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya...

READ MORE