×

Kitaifa

Akatwa Uume Gesti kwa Kushindwa Kulipia Penzi Alilopewa

JESHI la Polisi mkoani Mara wanamshikilia mwanamke mmoja aitwaye  Nyangi Ismael kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri mpenzi wake,...

READ MORE

Mke wa Mwanamfalme Harry, Meghan Aondoka Uingereza

IKIWA ni siku mbili baada ya tangazo la nia ya wawili hao kujitoa katika nafasi zao kama wanafamilia waandamizi wa...

READ MORE

Video: Rais Magufuli Azindua Hoteli ya Bakhresa Zanzibar

Rais Dkt. Jonh Magufuli anafungua hoteli yenye hadhi ya nyota tano iitwayo Hotel Verde Azam Luxury Resort and Spa iliyopo...

READ MORE

Raila: Miguna Hajazuiwa Kurudi, ‘Anabweka Kama Mbwa’

  KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, amemzungumzia msaidizi wake wa zamani, Miguna Miguna, akisema  hakuna mtu aliyemzuia kurejea...

READ MORE

Mwanafunzi Aliyepata Div. 1 ya 7 Afariki Akitoka Kutazama Matokeo

MWANAFUNZI Honest Mulokozi Juventus aliyekuwa akisoma katika Seminari ya Rubya iliyopo Parokia ya Kasambya, Jimbo Katoliki la Bukoba mkoani Kagera, amefariki...

READ MORE

Habari Njema kwa Vijana Wenye Vipaji vya Public Speaking

KAMA wewe ni kijana na una kipaji cha kunena mbele za watu kwa lugha nyingine (PUBLIC SPEAKER) basi usikubali kupitwa...

READ MORE

Mama Rwakatare Kutoa Mtaji kwa Vijana Kesho Kanisani – Video

MCHUNGAJI wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of Gog ‘Mlima wa Moto’, Dkt. Getrude Rwakatare, ametangaza kutoa mitaji kwa waumini...

READ MORE

Lugola Awatimua Kazi Maofisa wa NIDA

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola amemuondoa madarakani Afisa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Mkoa...

READ MORE

Mahakama ya Kisutu Yatupilia Mbali Ombi la Meya Mwita

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita...

READ MORE

Kidato cha 4 Anywa Sumu Baada ya Kupata Division Four

MWANAFUNZI Michael Aloni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda mkoani Songwe amenusulika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata matokeo...

READ MORE

Basi Lapinduka Morogoro, 9 Wajeruhiwa

  WATU 9 wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria la kampuni Kidinilo kuacha njia jana Alhamisi Januari 9, 2020 na...

READ MORE

Ufalme wa Uingereza Wasikitishwa na Maamuzi ya Harry, Mkewe

FAMILIA ya kifalme ya Uingereza imesikitishwa na maamuzi ya mwanamfalme (Prince) Harry na mkewe Meghan kutangaza ‘kuacha’ kujihusisha na shughuli...

READ MORE

Jangili Sugu Adaiwa Kumuua Askari – Video

POLISI mkoani Kagera inamshikilia kijana mmoja, Alfred Kamugisha, mkazi wa Kijiji cha Kishaanda, Kata ya Kibale wilayani Kyerwa kwa tuhuma...

READ MORE

Afumwa Akifukua Kaburi la Mtoto wa Dada Ake

KIJANA Devenja Kibotuo mwenye umri wa miaka 35, Mkazi wa Kijiji cha Uchau Kusini Wilayani Moshi, Kilimanjaro anadaiwa kufukua kaburi...

READ MORE

Waziri Ummy Mwalimu Kuzindua CT Scan Manyara

WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anatarajiwa kuzindua mashine mpya ya CT Scan katika...

READ MORE

Sakata la Kumng’oa Meya wa Dar Lazua tafrani, Anyang’anywa Gari

MEYA Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amejikuta njia panda baada ya kunyang’anywa gari alilokuwa akilitumia ambalo linamilikiwa na...

READ MORE

JPM Arejea Dar, Sasa Kuanza Ziara Zenji

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amerejea jijini Dar es Salamaa na kutua katika Uwanja...

READ MORE

Matokeo Kidato cha Nne: Wanafunzi 10 Bora Kitaifa, Shule 10 Bora

  Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania limetangaza matokeo kidato cha nne 2019 yakionyesha watahiniwa 340,914 sawa na...

READ MORE

Vurugu Zaibuka Kikao cha Kumng’oa Meya wa Dar – Video

KIKAO cha Baraza la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania cha kujadili tuhuma zinazomkabili Meya wa jiji...

READ MORE

Breaking: Matokeo Kidato cha Pili Yatangazwa, Haya Hapa

  BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) nchini Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kidato cha...

READ MORE

Breaking: Matokeo Darasa la Nne Yatangazwa, Yasome Hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) nchini Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kidato cha pili...

READ MORE

Matokeo Kidato cha Nne, cha Pili & Darasa la Nne 2019

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) leo Alhamisi, Januari 9, 2020 limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne,...

READ MORE

Waitara Amkabidhi Rungu DC Sabaya Kutumia ‘Pesa za Mbowe’ – Video

NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mwita Waitara, amemwagiza Mkuu wa Wilaya (DC) ya Hai...

READ MORE

Kigwangalla, Mkenda Wakutana Mwanza, Sasa Kazi Tu!

BAADA ya kumaliza tofauti zao ndani ya muda uliotolewa na Rais John Magufuli, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi...

READ MORE

Taarifa Timu Iliyomchunguza Meya Dar Kuanikwa Leo

MKUTANO maalumu wenye ajenda ya kupokea taarifa ya timu iliyochunguza tuhuma dhidi Meya wa Jiji la Dar es Salaam nchini...

READ MORE

NBC Yawaasa  Watanzania Kutumia Malengo Akaunti Kama Suluhisho ya Changamoto

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imewahamasisha watanzania  kutumia akaunti ya malengo ya benki hiyo kama suluhisho ya changamoto...

READ MORE

Moto Wateketeza Matanki ya Mafuta ya Lake Oil Kigamboni – Video

Moto mkubwa umezuka usiku wa leo Jumatano Januari 8, 2020 katika hifadhi ya mafuta inayomilikiwa na kampuni ya Lake Oil...

READ MORE

Makamanda wa Polisi Waipongeza Global Kuwaanika Wahalifu – Video

Mkuu wa Utawala Jeshi la Polisi nchini, Naibu Kamishna (DCP), Lucas Mkondya leo amemuwakilisha Inspekta Jeneral (IGP), Simon Sirro kutembelea...

READ MORE

MREMA: Walinigombea Kama MPIRA wa Kona, Wakataka KUNIMALIZA

Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Dkt Augustine Mrema amemwandikia barua Mhe. Rais John Pombe Magufuli kumuomba serikali...

READ MORE

Meya Dar Atua Kortini, Apinga Kuvuliwa Umeya

MSTAHIKI  Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita,  amewasilisha pingamizi la maombi mawili likiwemo la kuweka zuio la...

READ MORE

Gari Dogo Lagonga Treni Vingunguti

Gari Dogo limeigonga Garimoshi lililokuwa linatoka Dar es Salaam kuelekea Mpanda, Kigoma, Mwanza na Tabora.   Ajali hiyo imetokea leo...

READ MORE

Dkt Shika Hoi, Aanguka Ghafla, Akimbizwa Hospitali – Video

IKIWA ni siku chache zilizopita picha za Dkt Louis Shika zikimuonesha maisha magumu anayoishi, taarifa zilizotufikia zinaeleza kuwa, Shika yupo...

READ MORE

Aliyedai Kutajirishwa na Freemason Anaswa, Aanika Ukweli – Video

  Mwanamke aliyedai kutajirishwa na Freemason amefikwa na mazito ambayo hatoyasahau maishani mwake. Mwanamke huyo ambaye wiki iliyopita alijitambulisha kwa...

READ MORE

Dodoma: Mwanafunzi Chuo Kikuu Anaswa Akihonga Aongezewe Ufaulu

TAKUKURU mkoani Dodoma inatarajia kumfikisha Mahakamani James Kwangulija, mwanafunzi wa Mwaka wa Tatu wa Shahada ya Kwanza ya Ualimu Chuo...

READ MORE

Mloganzila Yajibu Tuhuma za Wagonjwa Wengi Kufariki Hospitalini Hapo

Hospitali ya Mloganzila leo imejibu tuhuma zilizoenea katika mitandao ya Kijamii ambapo watu wengi walilalamikia vifo vingi vinavyotokea katika Hospitali...

READ MORE

Iran Yaitaja Wizara ya Ulinzi Marekani Kama Kundi la Kigaidi

SHIRIKA la habari la Iran limesema, bunge la nchi hiyo leo limeitaja wizara ya ulinzi ya Marekani kuwa ni kundi...

READ MORE

Magoti, Mwenzake Wazidi Kusota Rumande

UPANDE wa Jamhuri umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi inayimkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria...

READ MORE

Safari ya Mwisho ya Mama Kabendera Yawaliza Wengi

SAFARI ya mwisho hapa dunia ya Verdiana Mujwahuzi ambaye ni mama mzazi wa mwandishi wa habari nchini Tanzania, Erick Kabendera...

READ MORE

Unyama! Baba Awakeketa Wanaye, Awajeruhi Sehemu za Siri – Video

Mkazi wa Kivule jijini Dar es Salaam, Cosmas Chacha (45) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka...

READ MORE