×

Kitaifa

JPM Awaongezea Siku 7 Wahujumu Uchumi Kutubu, Awatahadharisha – Video

RAIS John Magufuli amewaongezea siku saba nyingine watuhumiwa wa makosa ya uhujumu uchumi wanaosota mahabusu ili wakiri makosa yao na...

READ MORE

Kasesela Aomba Radhi Taarifa Feki ya Kifo cha Dkt Salim

MKUU wa Wilaya ya Iringa, Dkt. Richard Kasesela amewaomba radhi familia na Watanzania wote kuhusu taarifa aliyoitoa kuwa aliyewahi kuwa...

READ MORE

Watu 500 Waliofungwa Katika Jumba la Mateso Waokolewa

JESHI la Polisi nchini Nigeria imefanikiwa kuwaokoa watoto na vijana kutoka katika kituo kimoja ambacho walikuwa wakifanyiwa mateso.   Maafisa...

READ MORE

NMB Yaboresha Mfumo wa Ulipaji Kwa Kutumia Kadi

    UONGOZI wa Benki ya NMB umesema kuwa unazidi kuboresha mifumo ya huduma zao za kadi ili kuhamasisha watalii...

READ MORE

Mai Zumo Atoboa Siri Yake na Waziri Mkuu!

MTOTO aliyejipatia ustaa kupitia mitandao ya kijamii, Maisara Mohammed ‘Mai Zumo’ (5), nyota yake imezidi kung’ara baada ya wiki iliyopita...

READ MORE

Makonda Awataka Wasitishe Ziara Dar kwa Muda – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba Mawaziri wanaotaka kufanya ziara za miradi katika mkoa huo, kusitisha...

READ MORE

Mashimo: Nilikuwa Mfanyakazi TANROADS, Wamechukua Spika Zangu

MCHUNGAJI Daud Mashimo amesema kuwa kabla ya kuwa mchungaji aliwahi kufanyakazi katika ofisi ya Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kama...

READ MORE

Nyoka Avamia Mkutano wa Majaliwa, Askari Amdhibiti

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemzawadia Askari Polisi PC Alphonce Daniel Mwambenga sh. 200,000 kutokana na ujasiri wake wa kumdhibiti kwa...

READ MORE

Ramaphosa Amteua Aliyekuwa Gavana BoT

RAIS Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amemteua Prof. Benno Ndulu kuwa miongoni mwa watu 18 wanaounda baraza la kumshauri  katika...

READ MORE

Undani Mchungaji Aliyemfumania Mkewe Kisha Kujiua!

MAMBO mengi mno yanazungu-mzwa juu ya simanzi kuu iliyotawala katika familia ya mchungaji maarufu jijini Harare nchini Zimbabwe, Berry Dambaza...

READ MORE

Simanzi Nzito! Mazishi ya Mtoto wa Jen. Mabeyo – Pichaz

MAMIA ya wananchi kutoka mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga, Mwanza na Dar es Salaam wameshiriki katika maziko ya mtoto wa...

READ MORE

Neema ya Mungu + Kanuni = Mafanikio!

­­ KWA neema ya Mungu nimefika hapa nilipo maishani mwangu, ndicho ninachoweza kusema, lakini pamoja na neema hiyo, sheria ilikuwa...

READ MORE

Washtakiwa 5 Uhujumu Uchumi Wakiri Makosa

WASHTAKIWA watano wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi akiwemo wakili, Dk Ringo Tenga, wamemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania...

READ MORE

NMB Yaahidi Makubwa Kikao Kazi Cha Maofisa Wa Polisi

  BENKI ya NMB, imewahakikishia askari wa Jeshi la Polisi na wafanyakazi wa Serikali nchini, huduma bora, rafiki na sahihi...

READ MORE

DC Kilolo Akalia Kuti Kavu, Majaliwa Aagiza Achunguzwe – Video

WAZIRI Mkuu  Kassim Majaliwa amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happi,  afuatilie utendaji kazi kwenye ofisi ya Mkuu wa...

READ MORE

TCRA Yaifungia Kwanza TV Miezi 6

KAMATI ya maudhui ya TCRA imeifungia televisheni ya mtandaoni ya Kwanza kwa muda wa miezi sita baada ya kukutwa na...

READ MORE

Lil Ommy: Watangazaji Bongo Tuache Ushamba

MFALME wa mahojiano Bongo (King Of Interviews), Omary Tambwe maarufu kama Lil Ommy, THE MVP – amewataka watangazaji nchini kuacha...

READ MORE

Dhamana ya Aveva, Kaburu Ngoma Bado Mbichi!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa uamuzi juu ya dhamana ambayo walifutiwa waliokuwa viongozi wa Klabu ya Simba, Evans...

READ MORE

Kilichojiri Kesi ya Madawa ya Shamim Mwasha, Mumewe

UPANDE wa mashtaka umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi inayomkabili Blogger, Shamim Mwasha (41) na mumewe,...

READ MORE

Oprah Asumbuliwa na Ugonjwa Hatari

MTANGAZAJI maarufu nchini Marekani, Oprah Winfrey, amekiri kusumbuliwa na ugonjwa hatari unaotishia maisha yake, ugonjwa ambao haupewi kipaumbele na mamia...

READ MORE

GIZA AJALI ZA NDEGE BONGO

DAR: Kufuatia ajali ya ndege ndogo ya Shirika la Auric Air iliyotokea Jumatatu ya Septemba 23 na kusababisha vifo vya...

READ MORE

Watoto Wawili Wauawa, Kisa? Kujisaidia Hadharani

MAMILIONI ya raia wa India walio masikini wanaendelea kujisaidia haja kubwa hadharani. Wanaume wawili katika jimbo la kati la India,...

READ MORE

Huku Akiachiwa Watoto 5, Mke Adai Polisi Kuua Mumewe!

HAPPINES Massawe (30), mkazi wa Pugu, Kigogo-Freshi, Dar amewatuhumu polisi kusababisha kifo cha mumewe, Mohammed Chubi (28) baada ya kumchukua...

READ MORE

Amuuwa Mwenzake Kisa Kunyimwa Supu ya Kuku

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara, imemuhukumu adhabu ya kifo mkazi wa Kata ya Chikonji, Manispaa ya Lindi, Mohamedi...

READ MORE

Nyambizi Yanaswa na Shehena ya Madawa Baharini

NYAMBIZI katika bahari ya Pacific imekutwa ikiwa na zaidi ya dawa za kulevya pauni 12,000 zenye thamani ya dola za...

READ MORE

Mbaroni kwa Kutaka Kumpindua Rais

Mamlaka za Usalama zimewakamata watu watatu pamoja na vifaa vya milipuko na silaha zingine za kivita wakidaiwa kupanga njama za...

READ MORE

Askari wa JWTZ Wafariki kwa Ajali Katavi

ASKARI wawili wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) kikosi cha 24KJ Mkoani Kigoma, wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa katika ajali...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Ufaransa Afariki Dunia

RAIS wa zamani wa Ufaransa, Jacques Chirac, aliyeiongoza Ufaransa kati ya mwaka 1995 na 2007, ameaga dunia Alhamisi (26.09.2019) akiwa...

READ MORE

JPM Afanya Uteuzi Bodi ya Gesi, NIT, UDSM & NIMR

Rais Dkt. John Magufuli amteua Dkt. Leonard Chamriho kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Uwekezaji na Mapato ya Mafuta...

READ MORE

Baba wa Nelson Aliyefariki na Mtoto wa Mabeyo, Anatia Huruma – Video

Wilibart Olotu, baba mzazi wa marehemu Nelson Olotu amelezea kwa masikitiko taarifa za kufariki kwa mtoto wake na kuelezea ratiba...

READ MORE

BETIKA LINA WA BAMBA TU

MAPEMA leo Jumatano, timu ya maofisa masoko ya Global Publishers imetembelea maeneo ya Changanyikeni, Oysterbay, Namanga, Kinondoni Block 41, Kinondoni,...

READ MORE

Askofu Ruwai’ch Aruhusiwa Kutoka Muhimbili – Video

Askofu Mkuu jimbo Katoriki la Dar es Salaam, baba Mwashamu, Yudatadei Ruwai’ch ameruhusiwa katika Taasisi ya Mifupa (MOI) alipokuwa akipatiwa...

READ MORE

Zainab Katimba: Zitto Ajiandae Kuachia Jimbo 2020 – Video

MBUNGE wa Viti Maalum Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Katimba amesema kuwa anajipanga kumng’oa Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto...

READ MORE

Wanaume Waongeza Safari Kukwepa Hiki

KATIKA mahojiano maalum na msichana Veronica (si jina halisi) ambaye ni mmoja kati ya wamiliki wa mgahawa mmoja uliopo Kinondoni...

READ MORE

Chadema Kwenda na Majeruhi wa Risasi Mahakamani

UPANDE utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, leo Septemba 24, 2019 umesema umepanga kwenda...

READ MORE

Atembea na Mtoto wa Shehe, Nyeti Zake Zatoweka Kimaajabu

MSHTAKIWA Faraji Ramadhani mwenye umri wa miaka 27 ameiomba  Mahakama ya Mwanzo Jijini Mbeya imruhusu ajidhamini mwenyewe kutokana na sehemu...

READ MORE

BENKI YA DCB YAZIDI KUNG’ARA

Benki ya Biashara ya DCB imetangaza kumaliza kampeni ya bidhaa yake ya akaunti ya muda maalumu inayojulikana kama ‘DCB Lamba...

READ MORE