×

Kitaifa

Tangazo la Kupotelewa na Vyeti, Paul Alfredy Mpiluka

NDUGU Paul Alfredy Mpiluka mzaliwa wa Iringa vijini jimbo la Kalenga anatangaza kupotelewa na vyeti vyake vya taaluma kuanzia shule ya sekondari...

READ MORE

DINI YA BEYONCE YATIKISA DUNIA, YEYE NDO ‘MUNGU’, ASUJUDIWA

SUPER STAA wa muziki Duniani kutoka nchini Marekani, Beyonce amenunua jengo la Kanisa Kongwe mjini New Orleans nchini Marekani ikiwa...

READ MORE

SUGU APOKELEWA KWA SHANGWE NA WABUNGE WENZAKE

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ leo alishangiliwa kwa kishindo na kupigiwa makofi na wabunge wenzake baada ya kutinga...

READ MORE

Askofu Mndolwa Akutana na Rais magufuli – Video

Askofu wa Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Maimbo Mndolwa jana alikutana na kufanya mazungumzo ya faragha na Rais wa...

READ MORE

Kumbukumbu ya Kuzama kwa Meli ya MV Bukoba Mei 21, 1996

Meli ya MV Bukoba ikiwa Ziwa Victoria wakati ilipokuwa ikitoa huduma ya usafirishaji kabla ya kuzama. KIUKWELI tarehe kama ya...

READ MORE

MLEMAVU AANDIKA HISTORIA YA KUUPANDA MLIMA KILIMANJARO – PICHA

MTALII kutoka nchi ya Canada, Jimmy Pelleilier ambaye ni ulemavu wa miguu, ametimiza ndoto yake ya miaka mingi baada ya...

READ MORE

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUTIKISA LINDI LEO

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa anatarajia kuwasili mkoani Lindi leo Mei 21, 2018 ambapo atazindua mradi wa kuunganisha mkoa...

READ MORE

NIC BENKI WAPANDA MITI 500 SHULE YA MSINGI MAJANI YA CHAI DAR

  BENKI ya NIC, leo Mei 19 kupitia wafanyakazi wake wa benki hiyo wamepanda miti ya matunda na isiyokuwa ya...

READ MORE

UVCCM Mkoa wa Dar Watakiwa Kusimamia Misingi ya Chama

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaj Said Rusilawe amewataka vijana wa jumuiya ya vijana...

READ MORE

JUMA KASEJA AWATIBUA SIMBA TAIFA

KIPA wa zamani wa Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania, Juma Kaseja ‘Tanzania One’ leo Jumamosi amewatibua Simba baada...

READ MORE

Lowassa, Gambo Uso kwa Uso Mazishi ya DC Molloimet – Picha

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,  amekutana uso kwa uso na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na mgombea urais wa...

READ MORE

Bashe: Ukisema Ukweli Unaambiwa Unamchukia Magufuli – Video

Mbunge wa Nzega Mjini, Hussen Bashe (CCM), amesema kwamba Bungeni kumekuwa na siasa mbaya za kuamini kila anayesema ukweli anamchukua...

READ MORE

NEVATUSI MANGO NA VERONICA MKASA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA

     Jumapili ya Mei 13, 2018 ni siku ya kipekee kwa wapendanao wawili, Nevatusi Mango na Veronica Mkasa ambao...

READ MORE

MAMA KIKWETE AMBANA SWALI WAZIRI – VIDEO

Mbunge wa Kuteuliwa, Mama Salma Kikwete leo Mei 18, 2018 amembana swali Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella...

READ MORE

MTANZANIA MWINGINE AUAWA KWA KUCHOMWA VISU UINGEREZA

KIJANA wa Kitanzania kutoka Zanzibar mwenye umri wa miaka 24 (jina bado halijafahamikia) aliyekuwa nchini Uingereza, anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa...

READ MORE

HALOTELI YAZINDUA DUKA JIPYA MIKOCHENI SHOPPERS PLAZA

  Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel, imezindua duka eneo la Mikocheni Shoppers Plaza jijini Dar es Salaam ambapo...

READ MORE

MAKONDA AYAKANA MAKONTENA 20 YALIYOSHIKILIWA BANDARINI

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema hajui chochote kile kuhusu kudaiwa au makontena 20 yanayoshikiliwa na...

READ MORE

SHAHIDI AKWAMISHA KESI YA TIDO KISUSTU

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam itaendelea kusikiliza ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka katika kesi...

READ MORE

Kanyasu: Waziri Taja Wabunge Waliokamatwa Wakivua Samaki – Video

Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constatine Kanyasu amemtaka Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina kutaja majina ya wabunge wambao wameshakamatwa wakifanya uvuvi...

READ MORE

KALANGA: Serikali Inatafuta Ugomvi, Inatufilisi Tumewakosea Nini – VIDEO

MSIKIE Mbunge wa jimbo la Monduli kwa kupitia tiketi ya Chadema, Julias Kalanga, akichangia hoja katika bajeti ya wizara ya...

READ MORE

TGNP Mtandao yaanzisha kijiwe cha hedhi kuwasaidia wasichana

TGNP Mtandao imeanzisha kijiwe maalum cha hedhi kwa wanawake ili kuwawezesha watoto wa kike shuleni kujadili juu ya mwenendo wa...

READ MORE

MAKONDA AVAMIA MABONDENI KIBURUGWA, AWATAKA WAHAME MARA MOJA

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amevamia mabondeni Kiburugwa, Kilungule na maeneo mengine kwa ajili ya...

READ MORE

Polisi Waibua Balaa Ishu ya Wanawake Wenye Makalio Makubwa!

  DAR ES SALAAM: Huu mchezo wa baadhi ya wanaume kuona wanawake wenye makalio makubwa na kujifanya kurukwa na akili...

READ MORE

SUZAN MAKENE: Wengine Wamekufa kwa Presha, Huu ni Uonevu – Video

MSIKIE Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Suzan Makene, akichangia hoja katika bajeti ya wizara ya Mifugo na Uvuvi, iliyowasilishwa Bungeni...

READ MORE

MAKONDA: DAR NDILO JIJI LA RAHA TANZANIA – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemhakikishia Rais John Magufuli kuwa mkoa huo upo shwari wala hakuna...

READ MORE

JPM: HII NI DHARAU, AAGIZA MSAKO WANAODAIWA BIL. 38 ZA JWTZ – VIDEO

RAIS John Magufuli ametoa muda wa mwezi mmoja kwa taasisi, mashirika, makampuni na watu wote wanaodaiwa jumla ya Tsh. Bilioni...

READ MORE

JPM AZINDUA KIWANDA CHA JWTZ, AMPA MAKONDA MAJI ANYWE PAPO HAPO – VIDEO

RAIS John Magufuli leo amezindua Kituo cha Uwekezaji cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kupitia SUMA-JKT kilichopo eneo la Mgulani...

READ MORE

Mbunge Amwaga Machozi Bungeni “Watu Wanataka Kujinyonga” – Video

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Rukwa, jana alijikuta akimwaga machozi wakati akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa...

READ MORE

KAMPENI YA  UJENZI OFISI ZA WALIMU DAR  YAFIKIA PAZURI

    KAMPENI ya Ujenzi wa ofisi 402 za walimu wa Mkoa wa Dar es salaam imezidi kupamba moto ambapo...

READ MORE

WAKANDARASI DAR WAMUUNGA MKONO MAKONDA KUJENGA MITARO

ZAIDI ya Kampuni 70 za ukandarasi zimejitolea kujenga mitaro ya barabara mbalimbali za jijini Dar es Salaam bure kama sehemu...

READ MORE

Kibatala Aiomba Mahakama Ifute Mashtaka Kesi ya Mbowe na Wenzake

Upande wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, umeomba...

READ MORE

BASHE Aliamsha Bungeni: Ushirika Huu Hauna Mtaji – Video

Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo, amewataka wabunge kutoipitisha bajeti...

READ MORE

NAPE: Huu ni Mtihani Mkubwa kwa Serikali ya Awamu ya Tano – Video

MBUNGE wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo amesema bajeti hiyo haitoshi ikilinganishwa...

READ MORE

BREAKING: Mwandishi Aliyetekwa Apatikana, Aeleza Mazito! – Video

MWANDISHI wa habari wa kujitegemea jijini Arusha, Lucas Muyovera amenusurika kuuawa kwa kipigo baada ya kutekwa na watu wasiojulikana usiku...

READ MORE

BALAA LA MVUA Maiti 3 Zaopolewa, Bado 9

MARA: Balaa la mvua! Baada ya watu 12 kusomwa na maji wakiwa kwenye mtumbwi katika Mto Mara uliopo mpakani wa...

READ MORE

Swali la Kwanza Dkt Tulia Tangu Aingie Bungeni – Video

Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson, kwa mara ya kwanza tangu aingie Bungeni ameuliza swali kwa kuhusiana na tamko...

READ MORE

NDAKI: Hatutaki Maelezo Mengine, Rudisha Shilingi 100 – Video

MBUNGE wa Maswa Magharibi, Mashimba Ndaki, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo amepinga utaratibu wa vyama vya ushirika...

READ MORE