×

Kitaifa

Auawa Kisa Kuchoma Qur-an

Mtu mmoja ameuawa na kundi la watu kwa madai ya kuchoma kurasa za Koran katikati mwa Pakistan, Khanewal, polisi wanasema,...

READ MORE

Ajiua Chumbani kwa Mpenzi Wake Baada ya Kufukua Kaburi la Mama Yake

Mkazi wa Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi Wille Mwakapimba amekutwa akiwa amejinyonga chumbani kwa mpenzi wake Hawa...

READ MORE

Sakata Ngorongoro Lawagawa Wabunge

MVUTANO mkali umetokea kati ya pande mbili za wabunge wanaounga mkono hatua ya kupunguza watu ndani ya Mamlaka ya Hifadhi...

READ MORE

Dkt Tulia: Mdee na Wenzake Wapo Bungeni Kihalali

Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chadema waliopo bungeni wapo kihalali. Hata hivyo...

READ MORE

Balozi Edwin Rutageruka Afariki Dunia

Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi wa Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Edwin Rutageruka amefariki dunia jana Jumapili,...

READ MORE

Mfungwa na Mahabusu Wapigwa Risasi Wakijaribu Kutoroka

Mfungwa mmoja aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 gerezani na mahabusu aliyekuwa na tuhuma za mauaji, wameuawa kwa kupigwa risasi...

READ MORE

Wafanyakazi wa Azam Media Waliopata Ajali Wafikishwa Muhimbili

MAJERUHI wa ajali iliyotokea jana huko Kitonga ambapo miongoni mwao walikuwemo wafanyakazi 12 wa Azam Media wamepokelewa Uwanja wa Ndege...

READ MORE

Prof. Mkenda: Fedha Zimetengwa Kuboresha Elimu ya Juu

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema katika kuendelea kuboresha Elimu ya Juu na kuongeza nafasi...

READ MORE

ENGIE Mobisol Sasa Kuitwa MySol

  Kampuni inayoongoza katika sekta ya nishati ya umeme jua kupitia mpango wa mikopo ya huduma za nishati wa lipa...

READ MORE

Simanzi! Safari ya Mwisho ya Ally Mtoni Sonso

Hatimaye mwili wa aliyekuwa Mchezaji wa Ruvu Shooting, Ally Mtoni Sonso umepumzishwa katika makazi yake ya milele hii leo Februari...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Ziwa Lenye Maji ya Pinki

UNAAMBIWA haya ni maajabu ya dunia, nchini Australia kuna maziwa na mito yenye muonekano tofauti na ilivyozoeleka ambapo Ziwa hili...

READ MORE

Tanzania Kushirikiana na Ufaransa Kibiashara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha wajasiriamali cha Station...

READ MORE

Masauni: IGP Nataka Uniletee Majina ya Askari Wasio Waaminifu

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro...

READ MORE

Unyama! Mtoto Auawa na Kuwekwa Ndani ya Sandarusi

PENDO Athumani (3), mkazi wa kata ya Nyihogo Manispaa ya Kahama, amekutwa ameuawa na watu wasiojulikana na mwili wake kufungwa...

READ MORE

Bibi wa Miaka 100 Atapeliwa Ardhi, DC Awasha Moto

Bibi wa miaka 100, Jane Kibondo mkazi wa kijiji cha Kwambe kata ya Dumila amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Kilosa...

READ MORE

Mwili wa Marehemu Wafukuliwa Morogoro

Mwili wa aliyekuwa mkazi wa Kihonda Mizani, Mark Mkude (67) umelazimika kuzikwa katika kaburi mbili tofauti kutokana na awali kuzikwa...

READ MORE

DPP: Ushahidi Ulikuwa Dhaifu Mauaji ya Askari

Sakata la mauaji ya askari polisi Linus Nzema limechukua sura mpya baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kueleza kuwa alipelekwa...

READ MORE

Mzee Kikwete Kuzindua Kitabu cha Maisha Yake

Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kuzindua kitabu cha maisha yake alichokiita kwa...

READ MORE

Mjamzito Agongelewa Msumari Kichwani Ajifungue Mtoto wa Kiume

Jeshi la Polisi nchini Pakistan linamtafuta Mganga wa Kienyeji anayedaiwa kugongelea Msumari wa wa sentimita tano kwenye kichwa cha Mwanamke...

READ MORE

Zungu Achaguliwa Kuwa Naibu Spika

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamempitisha Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu kuwa Naibu Spika wa...

READ MORE

Mama Aibiwa Mtoto Baada ya Kununuliwa Bia Arusha

Mama mmoja mkazi wa kata ya Daraja Mbili mkoa wa Arusha anayefahamika kwa jina la Fatma, anadai kuwa ameibiwa mtoto...

READ MORE

Mwalimu wa Mafundisho Kanisani Akamatwa kwa Kulawiti Watoto Wanne

Jeshi la Polisi limemkamata Mwalimu wa Mafundisho ya Dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti...

READ MORE

Kilichomuua Mwele Malecela Chatajwa

BAADA ya kusambaa kwa taarifa za kusikitisha kuhusu aliyekuwa Mkurugenzi wa Udhibiti w a Magonjwa Yasiyopewa Kipaumbele, Dk. Mwele Ntuli...

READ MORE

Walioiba Bilioni 2 Wanaswa Iringa

Jeshi la Polisi Mkoani Iringa linafanya Uchunguzi/Upelelezi dhidi ya Watuhumiwa wa wizi wa fedha za kitanzania kiasi cha TSh 2,129,856,000...

READ MORE

Nanai Ajiuzulu TPSF

Francis Nanai ameachia nafasi yake ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) akiwa ametumikia nafasi hiyo kwa karibu...

READ MORE

TANZIA: Mwele Malecela Afariki Dunia

TAARIFA za kusikitisha zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa Dkt. Mwele Ntuli Malecela amefariki dunia, leo Alhamisi, Februari 10, 2022, Geneva...

READ MORE

Chongolo, Shaka Wamjulia Hali Prof. jay

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa...

READ MORE

Kocha Afariki Baada ya Mchezaji Wake Kukosa Penati

KOCHA wa Timu ya Kingurunyembe yenye maskani yake mjini Morogoro Emanuel Peter Dihoko amefariki kwa mshtuko baada mchezaji wake kukosa...

READ MORE

Kubenea: Bila Rais Samia Magazeti Yangu Yasingerudi

MKUREUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers, Saed Kubenea, amemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kufungua ukurasa mpya na vyombo...

READ MORE

Sheria ya Vyombo vya Habari Kufumuliwa Upya – Video

SERIKALI kupitia idara ya Habari Maelezo imesema itaunda kamati maalum ya wanahabari na wadau wa habari nchini kujadili na kupitia...

READ MORE

Spika Dkt.Tulia Akutana, Afanya Mazungumzo na Ugeni Kutoka Nmb

  (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

READ MORE

Rais Samia Afunguka Anavyoisikia Sauti ya Magufuli

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya mzunguko...

READ MORE

Kilimanjaro: Nyumba 20 Zasobwa na Maji, Mmoja Afa

MVUA  kubwa zilizoambatana na upepo mkali zinazoendelea kunyesha baadhi ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro, zimeezua  mapaa na kubomoa nyumba ...

READ MORE

Rais Samia Mzigoni Tena Leo Dodoma

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumatano, Februari 9, 2022 ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya mzunguko wa...

READ MORE

DCB Yaingia Visiwani Zanzibar Kwa Kishindo

  BENKI ya Biashara ya DCB imesema imejipanga kufungua tawi la benki visiwani humo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za...

READ MORE

Rais Samia Atoa Maagizo Kukamilisha Mfumo wa Anwani za Makazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshiriki katika Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa Kuhusu...

READ MORE

Aliyekuwa Mgombea Uenyekiti Ajiondoa ACT

Mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo Hamad Masoud ambaye alikuwa mgombea nafasi ya uenyekiti katika uchaguzi uliomaliza wiki iliyopita...

READ MORE

Watu 22 Mbaroni kwa Mauaji Mbeya

KUFUATIA kuwepo kwa wimbi la matukio ya mauaji jijini Mbeya, Jeshi la Polisi mkoani humo limewatia nguvuni watu 22 kwa...

READ MORE