×

Kitaifa

Mama Mlezi wa Rais Jakaya Kikwete Azikwa Bagamoyo

Mwili wa Marehemu, Bi. Nuru Khalfan Kikwete ukiwasili nyumbani kwake, mtaa wa Top Life Bagamoyo baada ya kutolewa hospitali ulikokuwa umehifadhiwa....

READ MORE

Kamanda Sirro: Waendesha Bodaboda Mwisho Saa 6 Usiku

RPC wa Kinondoni, Suzan Kaganda akizungumza. Kamanda Sirro akizungumza na wakazi wa Ally Maua, Kata ya Kijitonyama, Dar. Mkazi wa...

READ MORE

PICAHZ: Wakazi wa Mkuranga Waikomalia Droo ya Pili ya Shinda Nyumba

Mr. Shinda Nyumba akiwasaidia wasomaji kujaza kuponi za Shinda Nyumba. Ofisa Masoko wa Global Publishers, Keffa akimsadia msomaji kujaza kuponi....

READ MORE

Sakata la Madawa: Vanessa Mdee Akamatwa na Polisi, Apelekwa kwa Mkemia Mkuu

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia mwanamuziki Vanessa Mdee maarufu Vee Money kwa tuhuma za kujihusisha...

READ MORE

EFM Kusepa na Kijiji Sasa Mikoa Tisa Katika Masafa Yake

EFM radio kituo namba moja kwenye ubunifu na utangazaji mwaka 2016 chenye masafa ya 93.7 kwa miko ya Dar es...

READ MORE

Kama Hujapimwa Presha Usiangalie Video Hii ya Polisi Walivyoua Wamasai- Ni Leo Saa 11: Jioni

GLOBAL TV ONLINE inakuletea LIVE makala maalum kuhusiana na tukio la kusikitisha la mauaji ya vijana wawili ambao ni ndugu...

READ MORE

Arsenal Yagongwa 10-2 na Bayern Munich

    Arsenal walibomolewa na Bayern Munich kwa mara nyingine tena na kujikuta wakitolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya...

READ MORE

Hatimaye Wafugaji Wakubali Kuzika Ndugu Zao Waliopigwa Risasi na Polisi, Bagamoyo

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba leo Machi 7, 2017 alifanya kikao cha upatanishi na wafugaji wa jamii ya...

READ MORE

NEMC Yatoa Tathmini ya Uhifadhi wa Mazingira

BARAZA la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limetoa tathmini yake  katika kusimamia shughuli za utunzaji wa mazingira...

READ MORE

FFU Watumia Nguvu Kutuliza Ghasia Simiyu

WANAFUNZI takribani 600 wa Shule ya Sekondari ya Bariadi iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu wameandamana na...

READ MORE

Vigogo Watano Waliotajwa na Makonda Dawa za Kulevya, Tayari Wamekamatwa

Mamlaka ya Kuzuia na Kupamabana na Dawa za Kulevya  imesema kuwa inawashikilia na kuwahoji vigogo watano waliotajwa katika orodha ya...

READ MORE

Tanzia: Bi. Nuru Khalfan Kikwete, Amefariki Dunia Leo

TANZIA: Bibi wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete, Bi. Nuru Khalfan Kikwete, amefariki leo asubuhi katika Hospitali...

READ MORE

LIVE KUTOKA TEGETA: Kituo cha Mafuta Chanusurika Kuteketea kwa Moto

Kituo cha mafuta cha Petro kilichopo Tegeta Azania jijini Dar es Salaam, kimenusurika kuteketea kwa moto baada ya gari la...

READ MORE

NMB Yamuahidi JPM Kuendelea Kutumia Mifumo ya Kieletroniki

BENKI ya NMB imemuhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kuwa itaendelea kutumia mifumo ya...

READ MORE

Tundu Lissu Aachiwa Kwa Dhamana

DAR ES SALAAM: Mwanasheria Mkuu wa Chama na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ameachiwa kwa dhamana (ya polisi) iliyowekwa...

READ MORE

Rais Magufuli Azindua Uwanja wa Ndegevita, Kambi ya Ngerengere Morogoro

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli na Balozi wa China nchini Dkt. Lu Youqing wakifunua kitambaa kuashiria...

READ MORE

Lipumba Afanya Maamuzi Magumu CUF… Atimua Wakurugenzi 6

DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ametengua uteuzi wa wakurugenzi sita kwa mara nyingine. Taarifa kwa vyombo...

READ MORE

Rais Magufuli Amtumbua Mtendaji Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli ametengua Rasmi nafasi ya Mtendaji Mkuu wa shirika la...

READ MORE

Muhimbili Kufunga Mitambo ya Kitabibu Katika Hospitali Tatu za Mikoani

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam, ipo katika harakati za kufunga mitambo ya ‘Telemedicine’ katika mikoa...

READ MORE

Makonda Awajibu Wanaomtuhumu Mkewe

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewajibu wote wanaosema katika mitandao ya kijamii, kuwa mkewe si raia...

READ MORE

Breaking News: Tundu Lissu Akamatwa na Polisi Mahakamani Kisutu

MBUNGE wa Singida Mashariki ambaye pia Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, amekamatwa na Jeshi la Polisi, leo Machi 6,...

READ MORE

Wema Sepetu Alivyomtembelea Godbless Lema Baada ya Kutoka Gerezani

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye hivi sasa amehamia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametimiza hadi yake kwenda...

READ MORE

Polisi Wadaiwa Kuua Wamasai kwa Kuwatwanga Risasi Kweupe

  RICHARD BUKOS na ISSA MNALLY|RISASA JUMAMOSI| HABARI PWANI: JPM twafa! Ndivyo walivyosikika wafugaji wa jamii ya Kimasai mkoani hapa...

READ MORE

Ajali ya Mabasi Yatokea Milima ya Kitonga Iringa

IRINGA: Basi la Abood lililokuwa likitokea Iringa kwenda Dar es Salaam limeligonga kwa nyuma basi la Happy Nation lililokuwa likitokea...

READ MORE

Makamba Atoa Ripoti ya Oparesheni Kusitisha ‘Viroba’

SERIKALI kupitia Waziri  wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira,  January Makamba,  imesema kupitia kikosi-kazi cha kitaifa cha...

READ MORE

Waandishi wa Risasi Wauziwa Cocaine

Stori: WAANDISHI WETU| RISASI JUMAMOSI| HABARI DAR ES SALAAM: Vita bado nzito! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia vitendo vya uuzaji...

READ MORE

Makonda: Mafanikio Vita Dhidi ya Madawa ya Kulevya Yaonekana

MKUU  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kelele zinazoendelea dhidi yake ni dalili za mafanikio katika vita...

READ MORE

Yanayojiri Kanisani Kwa Gwajima Leo Jumapili (+Mubashara Video)

AKIONGOZA ibada katika Kanisa lake la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat  Gwajima,  leo Jumapili,  amesema kuwa kilichotokea ni rasharasha  na...

READ MORE

Dc wa Kinondoni Ampa Shavu Mkewe Mtandaoni

KWA maneno yaliyo jaa mahaba Mkuu wa Wilaya ya Kinondini Mkoani Dar es salaam Ali Hapi, amemsifia mkewe kwa kumvumilia...

READ MORE

Sentensi 5 za Rais Magufuli Akiwa Mtwara Leo

RAIS wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, DKt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi ujenzi wa gati bandari ya Mtwara,...

READ MORE

Serengeti Boys Waitembelea Sober House ya Bagamoyo

NA MUSSA IBRAHIM BAGAMOYO: Wachezaji wa Timu ya Soka ya Taifa ya Vijana Chini ya Miaka 17 (Serengeti Boys) wamefanya...

READ MORE

Jamani… Mama Wema Mikononi Mwa Polisi?

Stori: MWANDISHI WETU | RISASI JUMAMOSI DAR ES SALAAM: Msala tena! Baada ya mwanaye kukamatwa na kushtakiwa kwa tuhuma za...

READ MORE

Jitihada za RC Makonda Zimeuleta Uwanja Huu wa Soka wa Bandari, Dar

  RC Makondana Balozi wa China nchini Tanzania, Dr. Lu Youqing wakizindua mradi huo. Bila shaka kila mmoja wetu anakumbuka ahadi...

READ MORE

VIDEO: Tazama Lema, Mkewe na Watoto Walivyoangua Kilio Mahakamani

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imemuachia huru Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbles Lema (CHADEMA) kwa dhamana ya shilingi...

READ MORE

VIDEO: Baada ya Kuachiwa Huru, Hii ni Sentensi ya Lema kwa Rais Magufuli

MBUNGE wa Arusha Mjini kwa Tiketi ya Chadema, Godbless Lema leo Machi 3, 2017 ameachiwa huru na Mahakama Kuu Kanda...

READ MORE

Vyeti Kumng`oa Rc Makonda?

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAAA| HABARI DAR ES SALAAM: Sintofahamu! Jumapili iliyopita kwenye mahubiri ya ibada ya Kanisa la...

READ MORE

Jukwaa la Katiba Lajadili Mwendelezo wa Mchakato wa Katiba

MKUTANO  mkuu wa kitaifa wa Jukwaa la Katiba Tanzania leo umejadili mambo mbalimbali yakiwemo pia masuala ya maslahi ya Zanzibar...

READ MORE

Alichokiandika Wema Baada ya Lema Kupata Dhamana

Leo Machi 03, 2017  Wema ameandika ujumbe baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, kutoa dhamana kwa Mbunge wa Arusha...

READ MORE

Eric Shigongo: “Unaweza kumudu vipi mafanikio uliyonao kwa miaka zaidi ya ishirini ijayo?” – (Video)

Kila Ijumaa Mkurugenzi wa Global Publishers, Mjasiriamali na Mfanyabiashara Eric Shigongo James anaungana na dunia nzima LIVE kupitia YouTube channel...

READ MORE