×

Kitaifa

Sabaya Aibuka na Mambo 14 Kupinga Kufungwa Miaka 30

MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya...

READ MORE

Hospitali ya Benjamin Mkapa Kupandikiza Mimba

ZIKIWA zimebaki siku chache kufunga mwaka wa 2021, ndoto ya Tanzania kuanza kutoa huduma ya kupandikiza mimba kwa wanawake wenye...

READ MORE

Wafahamu Waasisi 17 wa Uhuru wa Tanganyika

Tanzania Bara jana imeadhimisha kutimiza miaka 60 tangu bendera ya mkoloni Mwingereza iliposhushwa na ile ya Tanganyika kupandishwa na hivyo...

READ MORE

Aliyemuua Bibi Kizee Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa

Mkazi wa Kijiji cha Genkuru, tarafa ya Ingwe, Tarime mkoani Mara, Buriani Chacha, amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana...

READ MORE

‘Wahuni’ Wavamia Nyumbani kwa Polepole

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa Mbunge wa CCM, Humphrey Polepole jijini Dodoma leo wakati yeye akiwa safarini mkoani Manyara. Kupitia...

READ MORE

Watakaowadanganya Mawaziri Kuvuliwa Nyadhifa Zao

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amesema meneja, mkuu wa taasisi na watendaji wa wizara hiyo wanaotoa majibu...

READ MORE

Polisi Amuua Mwenzake kwa Risasi Wakiwa Lindoni

Polisi mwenye cheo cha Konstebo, Onesmo Joseph, amekufa baada ya kupigwa risasi na askari mwenzake, aliyetajwa kwa jina la Joseph,...

READ MORE

Bashungwa Awataka Vijana Kuacha Chuki

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wasanii kushindana bila chuki na uhasama katika kukuza muziki na...

READ MORE

Polepole Alia na ‘Wahuni’ Ndani ya Serikali – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema kuna baadhi ya watu ndani ya Serikali (ambao hajawataja) wamekuwa wakifanya vitu vya hovyo...

READ MORE

Polepole: Siondoki CCM – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema hataondoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kama ambavyo watu waekuwa wakimsema kwani anaamini...

READ MORE

Polepole Ataka Serikali Iwajibu Wanaohoji Deni la Taifa Awamu ya Tano – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amewataka viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza na kuwajibu watu wanaohoji kuhusu...

READ MORE

Polepole Aitwa Kujieleza TCRA “Siwezi Kunyamazishwa” – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema ameitwa na Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kujieleza kuhusu tuhuma zinazomkabili huku akidaiwa...

READ MORE

Polisi Kilimanjaro Wateketeza Mashamba ya Mirungi

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro leo tarehe...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idd Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa...

READ MORE

Waziri Mhagama Awataka Wenye Viwanda Kuimarisha Afya, Usalama na Maslahi ya Wafanyakazi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama, ametoa wito...

READ MORE

Ajali Ndani ya Hifadhi ya Mikumi Yaua Mmoja

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Joseph, Mkazi wa Makambako mkoani Iringa amefariki dunia huku wengine wawili wakijeruhiwa katika...

READ MORE

Benki ya BADEA Kuipa Tanzania Tsh Trilioni 7

Benki ya Maendeleo ya Kiarabu (BADEA) imeahidi kuipatia Tanzania mikopo yenye masharti nafuu pamoja na misaada inayokadiriwa kufikia dola za...

READ MORE

Maelekezo ya TCU kwa Waliotunukiwa Shahada za Heshima

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema kuwa shahada za heshima nchini Tanzania zinatolewa nana vyuo vikuu vinavyotambulika na vilivyoorodheshwa...

READ MORE

Wasifu wa CDF Jenerali Mabeyo JWTZ

Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa Februari...

READ MORE

Mara: Wanaotuhumiwa Kumuua Mwalimu Wakamatwa

JESHI la Polisi Mkoani Mara limefanya Operesheni maalumu kwenye Halmashauri zote na kukamata watuhumiwa 22 wakiwemo Wawili ambao wanahusishwa na...

READ MORE

Faru Rajabu Mtoto wa Faru John Kuoa Kenya – Video

MTOTO wa Faru John, maarufu kama Faru Rajabu huenda akapata ‘jiko’ jingine siku za hivi karibuni baada ya Rais Samia...

READ MORE

Rais Samia Amzawadia Kenyatta Korongo 20 – Video

Rais Samia Suluhu Hassan, amempa Rais Kenyatta ndege 20 aina ya Korongo kutokana na Kenya kuwa na idadi ndogo ya...

READ MORE

Njombe: Mwili wa Marehemu Wafukuliwa – Video

IKIWA ni siku chache tu baada ya Jeshi la Polisi Mkoani Njombe kutangaza kupatikana kwa baadhi ya viungo vya mwili wa mfanyabiashara...

READ MORE

Bunduki 5,000 Kuchomwa Moto Dar

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene anatarajiwa kuziteketeza kwa moto silaha zaidi ya 5,000 zilizokua zinamilikiwa kiholela....

READ MORE

Jela Miaka 14 kwa Kutorosha na Kubaka Binti

KIJANA, Hamad Ali Hamad (25) mkazi wa Chake Chake, Pemba ameanza kutumikia kifungo cha miaka 14 gerezani baada ya kupatikana...

READ MORE

Jaji Mkuu Awasajili Mawakili Wapya 313

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amekubali na kuwasajili mawakili wapya 313 katika sherehe ya 65 ya kuwakubali na...

READ MORE

#Miaka60YaUhuru: Silaha na Vifaa vya Kivita JWTZ

Onesho la silaha na vifaa vita na umahiri wa vikosi vya ulinzi na usalama vikipita mbele ya Rais na Amiri...

READ MORE

Msukuma Atoa Neno Wanaobeza Phd Yake

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Musukuma, amesema kwamba kuhusu watu wanaobeza PhD yake mitandaoni atalizungumzia jambo hilo...

READ MORE

Marais Wanne, Wastaafu Wahudhuria Sherehe za Uhuru

MARAIS wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru zinazoendelea sasa...

READ MORE

Makomando Mbele ya Rais Samia – Video

  Makomando Wa JWTZ (Wanamaji na Nchi kavu) wakipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri...

READ MORE

Mwanafunzi Ahukumiwa kwa Kutoa Mimba

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Nyandeo (jina linahifadhiwa), amehukumiwa kifungo cha nje mwaka mmoja baada ya...

READ MORE

Rais Samia: Pato la Mtanzania Lakifia Tsh Milioni 2.6 – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wastani wa pato la mtanzania kwa mwaka 2020 ni...

READ MORE

Rais Samia: Miaka 60 ya Uhuru, Kiswahili Kimekua Kimataifa – Video

Rais wa Jamhuri ya Tanzania. Mhe, Samia Suluhu Hassan kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru leo Disemba...

READ MORE

Mambo 6 Muhimu Hotuba ya Samia – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amelihutubia taifa, akibainisha mafanikio muhimu sita katika miaka 50 ya uhuru. Katika hotuba yake ya usiku...

READ MORE

Miaka 60 ya Uhuru: ZIC Kutoa Zawadi ya Mafuta kwa Wateja Wake

Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limezindua kampeni yake kabambe inayoitwa “WESE NDIO MCHONGO” inayotoa fursa kwa wateja wake kote nchini kujaziwa...

READ MORE

Kuelekea Miaka 60 ya Uhuru, GGML Yaibuka Mlipa Kodi Bora

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGML) imeibuka kuwa moja ya makampuni kinara kwa ulipaji kodi Tanzania kuelekea miaka 60 ya...

READ MORE

Rais Samia Afichua Siri ya Uhuru na Mapinduzi ya Zanzibar

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Uhuru wa Tanganyika ulikuwa chachu na mchango muhimu katika kuwezesha mapinduzi matukufu ya Zanzibar ya...

READ MORE

Lissu Afutiwa Kesi Zote za Uchochezi, Atoa Masharti Kurejea

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mahakama, wamefuta kesi zote za uchochezi zilizokuwa zikimkabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu katika...

READ MORE

Afariki Kwa Kupigwa na Radi Akizini na Mchepuko

Mkazi wa Kijiji cha Masweya Kata ya Mtunduru Wilaya ya Ikungi, Vaileth Hassan Mtipa (32) amefariki dunia baada ya kupigwa...

READ MORE

Auawa kwa Kupigwa Risasi Kagera

MTU mmoja amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika vurugu zilizotokea kati ya wakulima na walinzi wa wawekezaji wa mifugo...

READ MORE