×

Kitaifa

Nandy Akiri Kudharauliwa Tuzo za Afrima

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Fausta Mfinanga maarufu kama Nandy amefunguka ya moyoni yale aliyoyapitia pindi akiwa nchini Nigeria...

READ MORE

Magari 4 Yagongana, Basi la Lateketea na Kuua

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisaha malori matatu mkoani Songwe. Ajali hiyo iliyotokea...

READ MORE

Wananchi Wadai Kulazimishwa Kuchanja Ndipo Watibiwe – Video

 WANANCHI wa Jimbo la Buchosa, lililopo wilaya ya Sengerema wameeleza kero mbele ya mbunge wao, Mhe. Eric Shigongo kuwa wamekuwa...

READ MORE

Ajimwagia Mafuta ya Taa Mwilini na Kujichoma Moto

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja kupitia Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mjini Magharibi ACP. Elisante Makiko...

READ MORE

Mtoto Achomwa kwa Mkasi wa Moto Kisa ‘Flash’

MTOTO wa kiume mwenye umri wa miaka 9 anayesoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Bugoyi A, Mjini Shinyanga...

READ MORE

Mwanafunzi Abakwa, Atobolewa Macho na Kuuwawa

Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Maendeleo Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, Zinati Alifa mkazi wa mtaa...

READ MORE

 Dozi Nyingine 115,200 za Johnson & Johnson Yawasili Nchini

Tanzania imepokea shehena ya Chanjo aina ya Janssen Dozi 115,200 zitakazotumika kuchanja wananchi 115,200 kwa ufadhili wa Serikali ya Ubeligiji...

READ MORE

Kichanga Kilichotupwa Chooni Chaokolewa

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limemuokoa mtoto mchanga wa kiume anayekadiliwa kuwa na umri wa siku mbili hadi tatu aliyekuwa...

READ MORE

 Danadana Majaribio Treni ya SGR Dar – Moro

DANADANA zimeendelea kutawala juu ya kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Dar – Morogoro, baada ya...

READ MORE

 Tanzania Yaongoza kwa Matumizi ya Bangi Afrika Mashariki

Licha ya sheria kali za kudhibiti matumizi ya dawa za kulevya, tafiti zilizopo zinaonyesha kuwa Watanzania hutumia zaidi bangi kuliko...

READ MORE

Tanzania Kuanza Kuzalisha “Smart Phone”

Serikali imemtaka muwekezaji wa kiwanda cha Raddy Fiber chenye uwezo wa kuzalisha nyaya za mkongo a mawasiliano kuharakisha ujenzi uliosalia...

READ MORE

 Mtoto wa Miaka 13 Ajinyonga

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issa, amesema Mtoto anayefahamika kwa jina la Evancy Underson mwenye umri wa miaka...

READ MORE

Marekani Yaanza Kuishawishi Tanzania Kuruhusu Bangi

Nia ya kampuni ya Kampuni ya Honest Marijuana inayolima bangi kuwekeza nchini Tanzania imeibua mjadala kuhusu iwapo nchi inapaswa kuhalalisha...

READ MORE

Kubenea Aondoa Ombi la Kumshitaki Makonda Mahakamani

Mahakama ya Hakimu mkazi Kinondoni imeridhia ombi la mawakili wa Mwandishi wa Habari, Said Kubenea la kuondoa maombi ya kuwashtaki...

READ MORE

Wasiojulikana Watelekeza Bastola Bar

WATU wasiojulikana wametelekeza bastola aina ya Browing katika choo cha bar moja huko katika kata ya Bigwa Manispaa ya Morogoro...

READ MORE

Rais Samia Awawakia TIC Kisa Mwekezaji Huyu – Video

RAIS Samia ametoa maagizo makali kwa bodi ya uwekezaji nchini TIC kujitathimini sambamba na kubadilisha mifumo ya uhakiki wa taarifa...

READ MORE

Azam Yawatema Mazima Sure Boy, Mudhathir, Morris

Sakata la wachezaji Salum Abubakar ‘Sure Boy’, Mudathir Yahya na Aggrey Morris waliosimamishwa na klabu ya Azam FC limefikia patamu,...

READ MORE

Wabunge Ulaya Waridhishwa na Mwelekeo wa Tanzania

Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Umoja wa Ulaya wameelezea kuridhishwa kwao na mwelekeo wa uongozi wa Rais Samia Suluhu...

READ MORE

Mapambano Dhidi Ya Ukimwi, NSSF Yatunikiwa Tuzo

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umepewa tuzo kama ishara ya kuthamini mchango wake katika mapambano ya VVU...

READ MORE

Rais Samia Asikitishwa na Jambo Hili – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na ucheleweshaji wa vibali kwa wawekezaji wazawa na...

READ MORE

Rais Samia Aahidi Neema Mkuranga – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaiangalia upya hospitali ya wilaya ya Mkuranga pamoja na barabara inayounganisha Wilaya hiyo na...

READ MORE

Mtwara: Waandishi wa Habari Wapata Ajali

Waandishi wa habari ambao idadi yao haijawezafahamika wamepata ajali mbaya wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brig....

READ MORE

Jambazi Ajisalimisha, Aahidi Kuwa Raia Mwema

Mwanaume mmoja, Faida Komanya (34) mkazi wa Kijiji cha Bugalagala Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita ambaye alikuwa akituhumiwa na Jeshi...

READ MORE

Mama Awapa Sumu Wanaye Watano, Wawili Wafariki Dunia

Jeshi la Polisi mkoani Geita, linamshikilia mwanamke mmoja, Veronica Gabriel (30), mkulima wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere mkoani...

READ MORE

Ng’ombe 17 Wafa Kimaajabu Monduli

Serikali mkoani Arusha imechukua Sampuli 17 ya Ng’ombe waliokufa Kiutata katika kijiji cha Popo Migungani A eneo la Mto wa...

READ MORE

Wanaume Wakodiwa Kusindikiza Wajawazito Kliniki

INADAIWA kuwa wajawazito katika kijiji cha Makoga wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe,hulazimika kuwakodi wanaume kutoka katika vijiji jirani ili kuwasindikiza...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wafunga Ushahidi

Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo...

READ MORE

Wauza Madini Feki Wanaswa Sikonge

Mwanamke mmoja mkazi wa mkoani wa Arusha amekamatwa na Jeshi la Polisi katika stendi ya mabasi wilayani Sikonge Mkoani Tabora...

READ MORE

Jela Miaka 30 Kwa Kubaka, Kumpa Mwanafunzi Ujauzito

MAHAKAMA ya wilaya ya Njombe imemuhukumu Bright Peter Dismas (25) mkazi wa Kitisi halmashauri ya mji wa Makambako kifungo cha...

READ MORE

Mangula: Tulikubaliana Kujenga Gati Bagamoyo, Sio Bandari

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu...

READ MORE

Mstaafu JWTZ Aliyefutiwa Kesi ya Kina Mbowe Atoa Ushahidi

MMOJA wa walioshtakiwa na baadaye kufutiwa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake...

READ MORE

Mwezi Mmoja Tu, Bei ya Mafuta Yapanda Tena

Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura) imetangaza kupanda kwa bei ya rejareja ya mafuta kwa Sh71 kwa lita...

READ MORE

Shahidi Adai Kesi ya Kina Mbowe ni ya ‘Mchongo’

Shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Waziri Gwajima: Viongozi Wasiochanja Waachie Ngazi

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema msimamo wa Tanzania chanjo ni hiari...

READ MORE

Pombe ya Banana Yapigwa ‘Stop’ kwa Kutokidhi Viwango

Serikali imesitisha uzalishaji wa pombe aina ya Banana inayozalishwa na kiwanda cha Tanbasi Investment kilichoko Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro...

READ MORE

GGML Yatoa Milioni 84 Mapambano Dhidi ya VVU

WAKATI leo tarehe 1 Disemba, 2021 ikiwa ni siku ya maadhimisho ya UKIMWI duniani ambayo kitaifa mwaka huu yanafanyika jijini...

READ MORE

RC Ataka Arodha ya Walioacha Shule Sababu ya Bangi

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka amemwagiza Katibu Tawala (DAS) wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Andrew Ng’hwani kuandaa...

READ MORE

UNESCO Yajenga Kituo cha Malezi, Makuzi ya Watoto Sengerema

Sengerema. Shirika la Kimataifa UNESCO kwa ufadhili wa Shirika la Korea (KOICA) kupitia mradi wa kuwawezesha wasichana walio katika umri...

READ MORE

Treni ya Umeme Kutumia Umeme Wake Sio Unaokatika

MENEJA Mradi wa Treni ya SGR Mhandisi Machibya Masanja, amesema kuwa Treni ya umeme itakapoanza haitatumia umeme huu wa kawaida...

READ MORE