×

Kitaifa

Mfanyabiashara Ataka Kujirusha Daraja la Ubungo

      Shayo akiwa juu ya daraja. Gari la Jeshi la Zima Moto likiwa eneo hilo. Baadhi ya wananchi wakimshangaa...

READ MORE

Miili ya Askari Waliouawa na Majambazi Yaagwa Leo, Dar

Waziri wa Wizara ya  Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akizungumza wakati wa  kuaga miili ya askari waliouawa katika...

READ MORE

Wasomaji wa Amani, Tandika Wachangamkia Safari ya Dubai

Stela Hema (aliyeshika gazeti) akiwa anasoma Gazeti la Amani na wenzake, kulia ni ofisa usambazaji Jimmy Haroub.       Ofisa usambazaji,...

READ MORE

Mbatia: Rais Apeleke Muswada Bungeni Kufuta Vyama vya Siasa

    Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi Taifa, James Francis Mbatia (wa pili kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mbatia...

READ MORE

Vodacom Yakabidhi Vifaa vya Michezo vya Tamasha la Mziki Mnene

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati kampuni...

READ MORE

PSPF Yatoa Mafunzo kwa Wananchi Kujiunga na Mfuko na Kuchangia kwa Hiari

 Afisa wa Mfuko wa PSPF Tawi la Zanzibar Bi Fadhila akizungumza wakati wa Mkutano Taasisi zisizo rasmin za Wavuvi, Madereva...

READ MORE

Rais JPM Amteua Massawe Kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu NIDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amemteua kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya...

READ MORE

Kitwanga aziponda ndege mpya za ATCL

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga jana aliponda aina ya ndege mpya zilizonunuliwa na serikali kutoka Canada kwa...

READ MORE

Madai… Mbowe Kutimuliwa Bilicanas

Zimebaki wiki tatu kabla Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuchukua jengo la Bilicanas lililokodiwa na Mwenyekiti wa Chama cha...

READ MORE

Aliyechoma Moto Nyumba na Maduka Yake Mawili Ajinyonga Mahabusu

Mahabusu aliyekuwa akishikiliwa katika kituo kikuu cha polisi jijini Arusha aliyetambulika kwa jina la Victoria Wenga (51) mkazi wa Lemara...

READ MORE

Utata Kuhusu Mashahidi Watanda Kesi ya Tundu Lissu

Mvutano kuhusu maelezo ya mlalamikaji katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, baina ya mawakili wa...

READ MORE

Polisi: Marufuku Mikutano ya Ndani ya Kisiasa, Ishu ya Polisi 4 Waliouawa Benki Dar

KUFUATIA mauaji ya askari wanne yaliyotokea Kata ya Mbande Temeke kwa watu wanaodhaniwa ni majambazi kuvamia benki ya CRDB na...

READ MORE

Kingunge Awataka Mkapa na Mwinyi Wamshauri JPM Azungumze na Chadema

ALIYEKUWA kada wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru  amewaomba  marais wastaafu, Rais Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa kuzungumza na Rais...

READ MORE

Barass Bingwa Airtel Rising Stars Mwanza

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Dr. Leonard Masale (katikati) akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa Barass Sports Centre baada ya...

READ MORE

JPM Amuapisha Mkurugenzi Mpya wa Usalama wa Taifa

    Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis...

READ MORE

Hukumu Kesi ya Babu Tale Yaahirishwa Tena

Bab Tale akitoka mahakamani akiongozana na Said Fela a.k.a Mkubwa Fela. Bab Tale akishuka ngazi za mahakama. Mkubwa Fela na...

READ MORE

Wanaume ‘Wazaa’ Mapacha Watatu wa Kupandikizwa

WANAUME wawili wanaoishi kama mume na mke (mashoga) nchini Afrika Kusini wanasemekana kuwa watu wa kwanza katika ukanda huo na...

READ MORE

Zantel Yafanya Ziara Ofisi Ya Rais wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)akisalimiana na Bw ,Mauricio Ramos, Mtendaji Mkuu wa...

READ MORE

Twiga Bancorp Yakabidhi Tuzo kwa Kikoba cha Chamabavu

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa banki ya Twiga Bancorp, Solomon Haule (kulia) akionesha tuzo aliyoikabidhi kwa kikoba cha  Chamabavu...

READ MORE

Rais JPM Amteua Dk. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa

Rais Dk. Magufuli. Rais Dk. John Pombe Magufuli leo amemteua Dk. Modestus Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama...

READ MORE

Mke wa Bilionea Msuya Kortini kwa Mauaji ya Wifi Yake

Dar es Salaam MKE wa bilionea Erasto Msuya, Miriam Elisaria Msuya (41) amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya dada...

READ MORE

Chadema Wamualika Sirro Kuhudhuria Maandamano ya UKUTA

Kamanda Sirro akionesha moja ya fulana zilizokamatwa zikiuzwa mtaani zinazodaiwa kuwa za kuhamasisha uvunjifu na uchochezi, juzi Jumatatu jijini Dar...

READ MORE

Majambazi Yaua Polisi 4 Mbagala, Dar

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa jumla ya askari wake wanne wameuawa usiku wa kuamkia leo baada ya majambazi kuvamia tawi...

READ MORE

Anusurika Kifo Ajali ya Gari Tabata-Barakuda, Dar

Gari likiwa limepinduka. MTU mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akiliendesha kuacha njia...

READ MORE

Dar Wachangamkia Gazeti la Uwazi

Mwanadada Fortunata Elia mkazi wa Yombo-Relini akisoma gazeti la Uwazi, pembeni ni Ofisa Usambazaji wa Global, Jimmy Haroub. Riziki Salehe...

READ MORE

Mutungi Ataka Vyama Vimalize Migogoro

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi (wa pili kushoto) akizungumza na wanahabari. MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji...

READ MORE

Picha: Twiga Mwenye Mimba Aliyegongwa na Gari na Kufa

Askari wakimtazama Twiga mwenye mimba aliyegongwa na gari na kufa barabara ya Arusha- Dodoma Agosti 18

READ MORE

Polisi Wamzuia Lowassa Kuingia Rukwa na Katavi

Msafara wa aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa umekwama kwenda Mikoa ya Rukwa na Katavi  baada ya polisi...

READ MORE

Exclusive: Vijana Waiba Baraghashia ya Mzee Akilimali, Achimba Mkwara Mzito

Mzee Ibrahim Akilimali maarufu kwa jina la Mzee Akilimali. Taarifa zilizotufikia ni kuwa Mzee Ibrahim Akilimali maarufu kwa jina la...

READ MORE

Prof. Lipumba Akana Kuhusika na Vurugu Mkutano wa CUF

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa hausiki na vurugu zilizoibuka katika mkutano mkuu wa...

READ MORE

Lowassa Apigilia Msumari wa Oparesheni UKUTA ya Sept. 1

JANA Agosti 22, 2016, aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka jana ambaye pia...

READ MORE

Mbunge Mussa Mbaruk Apandishwa Kortini

Mbunge wa jimbo la Tanga kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF chini ya umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA)...

READ MORE

Efm Radio, Vodacom kuja tena na muziki mnene

Meneja wa Efm, Dennis Ssebo (kulia) akizungumza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Viongozi hao wakiwa katika picha ya pamoja...

READ MORE