×

Kitaifa

Machinga Barabarani Mwisho Leo, RC Makalla Atoa Tamko

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Wafanyabiashara Wanaofanya biashara maeneo yaliyokatazwa hususani Kariakoo kufika Soko...

READ MORE

Baba Amuua Mtoto Wake kwa Kipigo

Elibariki Shaban (50, Mkazi wa Kijiji cha Bassotu Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Majaliwa: Samia Tena 2025

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Kutoka Mahakamani: Ripoti ya Uchunguzi wa Silaha Kesi ya Mbowe

KESI ya uhujumu uchumi inayomhusisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanaokabiliwa na mashtaka ya ugaidi, imeendelea tena...

READ MORE

Malumbano ya Flash Yaibuka Mahakamani

MALUMBANO ya kisheria leo yameendelea katika Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya...

READ MORE

Wanne Wafariki kwa Ajali Iringa

WATU wanne wamefariki dunia na wengine saba wamejeruhiwa kwenye ajali ya barabarani iliyohusisha lori na basi la Isamilo, lililokuwa linasafiri...

READ MORE

Mchungaji Afia Getini, Bodaboda Wake Asakwa

JESHI la Polisi mkoano Arusha limesema wanaendelea na uchunguzi wa kifo cha mtu aliyetambulika kama Mchungaji au Nabii Abraham Peter...

READ MORE

Baba Amuua Mtoto Wake kwa Deki

Jeshi la polisi Mkoani Manyara linamshikilia Mkazi wa Kijiji cha Bassoutu wilayani Hanang, Elibariki Shaban kwa tuhuma za kumpiga kwa...

READ MORE

 UDOM Yamsimamisha Mhadhiri kwa Tuhuma za Ngono

CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimemsimamisha kazi mhadhiri wa chuo hicho, Basil Mswahili kufanya majukumu yake yote ikiwa ni pamoja...

READ MORE

Sabaya Alia na Vyombo vya Habari

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha leo Oktoba 28, 2021, imeendelea kusikiliza kesi namba 27/2021 ya uhujumu uchumi inayomkabili...

READ MORE

Rais Samia: Kitabu Kitafsiriwe kwa Kiswahili – Video

Rais Samia ameagiza Chama Cha Wanasheria na Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) na Wadau wa sheria kutafsiri kitabu cha ‘TANZANIA GENDER...

READ MORE

Mama Alivyomzika Mwanaye wa Miezi 3

NI dhambi iliyoje? Mtoto mchanga wa kike mwenye umri wa miezi mitatu (Malaika wa Mungu), amenusurika kifo baada ya kuzikwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Kampeni ya Madawati 1000 ya Benki ya Exim

LINDI; Oktoba 26, 2021: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, hii amezindua rasmi kampeni ya ugawaji madawati 1000 yaliyofadhiliwa na Benki ya...

READ MORE

Rais Samia Awazawadia Viwanja Wachezaji Twiga Stars – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewapa zawadi wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake,...

READ MORE

Benki ya NBC Yaja na Kadi Mpya, Mteja anaweza kufanya miamala hadi ya mil 40 kwa mara moja

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kadi mpya ‘NBC Visa Debit Card’ yenye kuwawezesha wateja binafsi kufanya miamala inayofikia...

READ MORE

GGML Yakabidhi Vifaa, Zana za Thamani ya Milioni 132 kwa VETA Moshi

Kampuni ya uchimbaji wa madini ya dhahabu Geita (GGML) imekabidhi rasmi zana/vifaa mbalimbali kwa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi...

READ MORE

Kijana Aliyejiuza Akamatwa

POLISI ya Kiislamu katika Jimbo la Kano inayofahamika kama Hisbah imemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 26 kwa jina Aliyu...

READ MORE

Tanzania Yatoa Leseni ya Uchimbaji Mkubwa wa Nickel

SERIKALI ya Tanzania leo Jumatano, Oktoba 27, 2021 imetoa leseni ya uchimbaji mkubwa wa madini kwa kampuni ya Tembo Nickel...

READ MORE

Jela Miaka 15 Kwa Kuiba Ng’ombe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Makoye Juma (19) mkazi wa...

READ MORE

RPC Kinondoni Afunga Ushahidi Kesi ya Mbowe

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Kamshna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ramadhani Kingai ametoa ushahidi wa maelezo ya mshtakiwa...

READ MORE

Mpiga Picha wa Sabaya “Mbowe Alinipigia Simu Nikaonana Naye Usiku”

SHAHIDI wa pili upande wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Justine...

READ MORE

Anaswa Live Akifanya Mapenzi na Mbuzi

JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera linamshikilia Emmanuel Zakaria (38) Mkazi wa Lusahunga Wilayani Biharamulo Mkoani humo kwa kosa la...

READ MORE

Rais Samia Anakabidhiwa Kombe la COSAFA na Twiga Stars – Video

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Kombe la Ubingwa wa COSAFA kutoka kwa Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake...

READ MORE

Wafugaji Wamshambulia Mwenyekiti

  WATU zaidi ya 20 ambao ni jamii ya wafugaji wanadaiwa kumshambulia Mwenyekiti wa Chama Cha Ushirika wa Wakulima wa...

READ MORE

Breaking: Ajali Yauwa Wawili Arusha – Video

Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la kampuni ya Kimotco ya jijini...

READ MORE

Kingai Aeleza Mbowe na Makomando Walivyopanga Kumdhuru Sabaya

KESI ya Uhujumu Uchumi yenye Tuhuma za Ugaidi ndani yake inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mbowe...

READ MORE

Amuachia Ujumbe Mzito Mama Yake Kisha Kujinyonga

Kijana Michael Paul (18), mkazi wa Luanzari, Kata ya Ng’ambo, Manispaa ya Tabora, amekutwa amefariki dunia kwa kujinyonga na shuka...

READ MORE

Rais Samia Atoa Maagizo Wizara ya Fedha

Rais Samia Suluhu ameitaka Wizara ya Fedha na Mipango kufanya uratibu ujulikanao kama ‘Municipal Investment Financing’ ili kusaidia upatikanaji wa...

READ MORE

Jaji Tiganga Kuongoza Kesi ya Mbowe

Jaji Joachim Charles Tiganga ndiye ataendesha kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu. Jaji...

READ MORE

Majaliwa: Sijaridhishwa na Gharama za Ujenzi wa Kituo cha Afya Naipanga

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na gharama zilizotumika katika upanuzi wa kituo cha Afya cha Naipanga kilichopo Wilayani Nachingwea...

READ MORE

Mwingine Auawa kwa Mlipuko Uganda

IKIWA ni takribani siku moja tu tangu tukio kama hili litokee, mtu mmoja ameuawa na wengine amba idadi yao haijajulikana...

READ MORE

Kundi la IS Laua Uganda

KUNDI linalojiita Dola la Kiislamu, IS limedai kuhusika na shambulizi la bomu lililoua Mtu mmoja kwenye Mji Mkuu wa Uganda,...

READ MORE

Mapinduzi Sudan: Nyumba ya Waziri Mkuu Yazingrwa

Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdok amewekwa chini ya ulinzi nyumbani kwake baada ya Wanajeshi ambao hawajafahamika kuvamia makazi yake...

READ MORE

Dkt.Mpango akutana na Pope Theodoros II Ikulu DSM

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango jana Oktoba 24,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Baba Mtakatifu Beatitude Theodoros II (The...

READ MORE

The Cask Bar Yateketea kwa Moto – Video

The Cask Bar iliyopo Rocky City Mall Jijini Mwanza imewaka moto usiku wa kuamkia leo Oktoba 25, 2021 chanzo cha...

READ MORE

Prof. Lipumba Amdai IGP Sirro Saa Yake

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro kuitafuta...

READ MORE

Wanawake Tulikuwa Kama Daraja, Leo Tuko Wenyewe – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kwa muda mrefu wanawake wamekuwa kama daraja la kuvusha...

READ MORE

Kutupa Pesa Kosa la Jinai

Wizara ya Katiba na Sheria imewatahadharisha baadhi ya watu ambao wanatupata fedha chini wakati wa kutoa zawadi kwenye sehemu zozote...

READ MORE