×

Kitaifa

Bunge Lataka Jerry Silaa Akamatwe

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki Maadili na Madaraka, Emmanuel Mwakasaka amesema ameomba kibali kwa Spika wa Bunge, Job...

READ MORE

Udahili Waanza Shule Zilizojengwa na GGML

Wanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Bugando ambayo ni shule ya sekondari ya pili ya serikali katika...

READ MORE

Taarifa Kuhusu Tukio la Mauaji Dar

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili ilipokea majeruhi watano jana tarehe 25 Agosti, 2021, kuanzia majira ya saa saba mchana wakiwa na...

READ MORE

Majirani Wafunguka: Hamza Alikuwa Mtu wa Kawaida – Video

KUFUATIA tukio la jana Agosti 25, 2021 la kijana mmoja anayetajwa kwa jina la Hamza mkazi wa Upanga jijini Dar...

READ MORE

NMB Yatoa Msaada Wa Mil. 54 Zanzibar, Yadhamini Kikao Kazi cha Jeshi la Polisi Dar

Katika kuhakikisha shamra shamra za Siku ya Kizimkazi visiwani Zanzibar zinafana, Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya hospitali...

READ MORE

Mwalimu Ajinyonga, Aacha Ujumbe Kuhusu Barakoa

MHITIMU wa Ualimu ngazi ya Astashahada ambaye ni mkazi wa Mtaa wa Majengo, Kata ya Ichenjezya wilayani Mbozi Mkoa wa...

READ MORE

Tanzia: Maalim Seif Azzan Afariki Dunia

Maalim Seif Mohamed Azzan amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kisiwani #Pemba. Alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Harakati za Mageuzi...

READ MORE

Manyara: Aua Mtoto wa Kaka na Kupika Maini Yake

Jeshi la Polisi linamshikilia Harold Hando, kwa tuhuma za kumuua Mtoto wa Kaka yake, Emmanuela Hando (13) kisha kumtoa viungo...

READ MORE

Aliyekuwa Mmiliki wa Mabasi ya Mtei Afariki Dunia

MFANYABIASHARA maarufu mkoani Manyara, James Mtei ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya Jambo Express, ambaye pia awali alikuwa mmoja kati...

READ MORE

Raila Odinga Azitembelea Familia za Magufuli na Mkapa

ALIYEKUWA Waziri Mkuu nchini Kenya Raila Odinga hii leo amezitembelea familia za marais wa zamani nchini Tanzania Hayati John Pombe...

READ MORE

Rais Samia Awalilia Askari Waliouawa Kwenye Shambulio Dar

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa familia za askari watatu na askari mmoja wa Kampuni ya Ulinzi ya SGA...

READ MORE

Polisi Yasema Waliouawa Wafikia Wanne – Video

WATU wanne wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa katika tukio la kurushiana risasi baada ya mtu mmoja ambaye hajafahamika kuwavamia...

READ MORE

Kauli ya Sirro Kuhusu Aliyeua Askari Naye Kuuawa Dar – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, (IGP) Simon Sirro amethibitisha kuuawa kwa askari wawili wa Jeshi la Polisi wakati wa...

READ MORE

Simanzi Nzito Mazishi ya Meya Shinyanga

Mwili wa Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Shinyanga David Nkulila (57) aliyefariki dunia Agosti 23,2021 umewasili katika Kanisa Katoliki la...

READ MORE

Aliyejihami kwa Bunduki Aua Askari Wawili Dar – Video

MTU mmoja aliyejihami kwa bunduki ameuawa baada ya kuwaua askari wawili katika majibizano ya risasi mkoani Dar es salaam. Kwa...

READ MORE

Breaking: Jambazi Aua Askari Wawili Dar, Naye Auawa

HALI ya taharuki imezuka katika eneo la Barabara ya Ali Hassan Mwinyi (karibu na Ofisi za Ubalozi wa Ufaransa), zilizopo Kinondoni...

READ MORE

Jengo la Ghorofa 70 Litakalojengwa Zenji

JENGO la ghorofa 70, urefu wa mita 385 litakalojengwa Zanzibar katika kisiwa cha Chapwani Unguja litakuwa na huduma mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

Tume ya Tehama Nchini yazindua tuzo

TUME ya Tehama Tanzania, imezindua tuzo za Tehama nchini, ambapo washiriki wanapendekezwa na Wananchi wanaotumia Teknolojia zinazoendeshwa na wahusika ambao...

READ MORE

Rais Samia: Unaweza Kukuta Gaidi Umepanga Naye Nyumba Moja – Video

Rais Samia Suluhu Hassan leo Agosti 25, 2021 anafungua kikao kazi cha siku tatu cha Maofisa Wakuu wa Makao Makuu,...

READ MORE

Mtangazaji Aachwa Baada ya Kulipa Mahari

MTANGAZAJI wa chombo cha habari cha Citizen cha Kenya Trevor Ombija ameeleza masikitiko yake baada ya kuachwa na mpenzi wake...

READ MORE

RC Makalla Azindua Mfumo Rasmi Wa Ukusanyaji Ushuru wa Maegesho

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo Agosti 24 amezindua mfumo rasmi wa ukusanyaji wa...

READ MORE

Polisi Wawadaka Watuhumiwa wa Ugaidi Wakiwa wa Silaha

Jeshi la Polisi nchini Kenya, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili wa ugaidi katika Kivuko cha Likoni, wakiwa njiani kuelekea jijini Mombasa....

READ MORE

Silaa Afunguka Baada ya Kuhojiwa – Video

Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa ametakiwa na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kurejea tena...

READ MORE

Mchungaji Mashimo Ataka Kufungishwa Ndoa na Gwajima

Mchungaji Mashimo ameenda kwa Askofi Josephat Gwajima na kumuomba amfungishe ndoa na mchumba wake ambaye hakutajwa jina.   Juzi katika...

READ MORE

Rais Samia Kufungua Mkutano Kesho

Rais Samia Suluhu Hassan kesho Agosti 24, 2021 anatarajiwa kufungua kikao kazi cha siku tatu cha Maofisa Wakuu wa Makao...

READ MORE

Watuhumiwa 16 Wanaswa na Silaha, Bangi na Mali za Wizi

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linawashikilia watuhumiwa 16 kwa makosa mbalimbali ikiwemo kusafirisha bangi, wizi wa mali inayosafirishwa, mali za...

READ MORE

Hukumu Kesi ya Sabaya Kutolewa Oktoba 1 – Video

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imehitimisha kusikiliza kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa DC wa Hai, Lengai Ole...

READ MORE

Askofu Ruwai’chi: Naagiza Mapadri Wote Dar Lazima Mkachanjwe, Tuache Utoto

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi amewaagiza mapadre wote wa jimbo hilo...

READ MORE

DC Apiga Marufuku Vimini, Milegezo

MKUU wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, Kanali Laban Thomas, amepiga marufuku mavazi yasiyo na staha ikiwemo vimini na suruali...

READ MORE

Miili ya Watumishi Watano TRA Yaagwa – Video

  Vilio na majonzi vimetawala leo hii  Agosti 24, 2021, katika viwanja vya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mbeya,...

READ MORE

Breaking: Gwajima, Silaa Waondolewa Kamati Maadili

WABUNGE Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...

READ MORE

Kauli ya Kamati ya Bunge Baada ya Kumhoji Gwajima – Video

Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amehojiwa jana Jumatatu, Agosti 23, 2021 Dodoma kwa zaidi ya saa mbili na kamati...

READ MORE

Aomba Kuachiwa: “Hati ya Mashtaka si Yangu”

MSHTAKIWA namba tatu katika kesi ya unyang’anyi wakutumia silaha, Daniel Mbura ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imuachie huru arudi...

READ MORE

Rais Samia, Viongozi wa CCM Kuelekea Zambia

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ataondoka nchini kesho Agosti 24, 2021 kuelekea nchini Zambia kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa...

READ MORE

Mbowe Agoma Kutoa Maelezo

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo Agosti 23, 2021 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar...

READ MORE

Simanzi! Mazishi ya Mwalimu Kashasha – Video

  MWILI wa aliyekuwa mchambuzi nguli wa soka Tanzania, Mwalimu Alex Kashasha (64) leo Jumatatu, Agosti 23, 2021, umepumzishwa kwenye...

READ MORE

Gwajima Agomea Kiti cha Kamati – Video

MBUNGE wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amekataa kutumia kipaza sauti (MIC) na kiti kilichokuwa kimeandaliwa na Kamati ya Kudumu ya...

READ MORE

Basi la Sauli Lapata Ajali Kibaha, Wanne Wajeruhiwa

WATU wanne wamejeruhiwa na wengine 40 kunusurika baada ya kutokea ajali ya basi la kampuni ya Sauli eneo la Picha...

READ MORE