×

Kitaifa

Kampeni ya ‘NMB Kama Upepo’ Yazinduliwa, Washindi kupaa Dubai

Benki ya NMB imezindua kampeni ya ‘NMB Kama Upepo,’ iliyotokana na Makubaliano ya Kibiashara na Kampuni ya Skylink Travel &...

READ MORE

Serikali Yapunguza Tozo ya Miamala ya Simu

  Tarehe 19 Julai, 2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, aliwaelekeza Waheshimiwa Waziri wa...

READ MORE

Ndugai Ataka Gwajima Awajibishwe: Ukiwa Askofu Utudanganye? – Video

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema Vyombo vya Serikali na Chama vinapaswa kumuwajibisha Josephat Gwajima kutokana...

READ MORE

Mbowe Ataka Kesi Yake Isiendeshwe na Mahakama ya Mafisadi

MAWAKILI wa upande wa Utetezi Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wakiongozwa na Peter Kibatala wameitaka mahakama Kuu ya...

READ MORE

Askofu Gwajima na Silaa, Wapigwa Bonge la Adhabu

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limewasimamisha wabunge wawili, Jerry Silaa na Josephat Gwajima, kuhudhuria mikutano miwili ya bunge...

READ MORE

Bunge: Jerry Silaa Afutiwe Uwakilishi – Video

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imetoa azimio mbunge wa Ukonga Jerry Silaa asimamishwe kuhudhuria mikutano miwili ya...

READ MORE

Kilichowakuta Slaa na Gwajima, Viburi, Dharau Zatajwa – Video

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamebariki maamuzi ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge...

READ MORE

Hukumu ya Gwajima na Silaa Live Bungeni – Video

SAKATA la wabunge Askofu Josephat Gwajima na Jerry Silaa limetua bungeni na leo Jumanne mchana mbivu na mbichi itajulikana kuhusu...

READ MORE

Ndugu Watano wa Hamza Waendelea Kushikiliwa

WATU watano wanaendelea kuhojiwa na Jeshi la Polisi nchini kufuatia shambulio lililofanywa na Hamza Mohamed na kusababisha mauaji ya askari...

READ MORE

Ahukumiwa Jela Maisha kwa Kumbaka Mtoto wa Miezi 19

MAHAKAMA ya Wilaya Njombe imemuhukumu kifungo cha maisha jela Steward Mkongwa (33) baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto...

READ MORE

Tanzia: DCI Manumba Afariki Dunia

MKURUGENZI Mstaafu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI) Robert Manumba amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, Agosti...

READ MORE

Mwana FA Afunguka Alivyonusurika Kwenye Ajali Usiku – Video

  Mbunge wa jimbo la Muheza Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA, amepata ajali ya gari eneo la Mkambalani mkoani Morogoro...

READ MORE

Benki ya I&M Yatangaza Kupata Faida Miezi Sita 2021

Benki ya I&M Group imetangaza ongezeko la faida kwa asilimia 33 baada ya kodi katika hesabu zake za nusu mwaka...

READ MORE

Fahamu Sababu Mwili wa Hamza Kuzikwa Usiku

MWILI wa Hamza Mohammed aliyefariki dunia katika tukio la majibizano ya risasi kati yake na jeshi la Polisi Jumatano, Agosti...

READ MORE

Breaking: Mwana FA Apata Ajali Morogoro

Mbunge wa Muheza, Hamis Mwijuma maarufu kama Mwana FA amepata ajali katika eneo la Mkambarani mkoani Morogoro baada ya gari...

READ MORE

Kesi ya Mbowe, Wafuasi wa Chadema Waangua Kilio Mahakamani – Video

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameangua kilio hadharani katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...

READ MORE

Askari Aliyeuawa na Hamza Azikwa Karatu

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Mary Kipesha amewaongoza Maofisa wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali katika kuuaga...

READ MORE

Kesi ya Mbowe, Mahakama Yakataa Mapingamizi ya Serikali – Video

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo Agosti 30, imeanza kusikiliza Kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chama...

READ MORE

Kivuko cha MV. Tegemeo Charejea, Chaanza Kupiga Kazi Buchosa – Video

HATIMAYE huduma za Kivuko cha MV. Tegemeo kinachofanya safari zake Kati ya Kijijicha cha Kahunda (Halmashauri ya Buchosa) – Sengerema,...

READ MORE

Mbowe Amgeuzia Kibao DPP

Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kukubali ombi la Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

Coastal Yaandika Historia Afrika kwa Kubeba Cheti cha Usalama IATA

USALAMA ni moja ya nguzo muhimu katika masuala ya usafiri wa anga. Hiki ndio kigezo ambacho kimezishinda kampuni nyingi za...

READ MORE

Oman Yaondoa Katazo Abiria wa Tanzania

UBALOZI unapenda kuwajulisha kuwa Serikali ya Oman imeondoa katazo la kuingia Oman kwa abiria kutoka Tanzania na nchi zingine zilizokuwa...

READ MORE

Rais Samia Akoshwa na NBC Kuboresha Huduma za Afya, Elimu Zanzibar

Zanzibar: Agosti 29, 2021: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mwishoni mwa wiki alikabidhiwa Kliniki inayohamishika (mobile...

READ MORE

Moto Wateketeza Nyumba 19 Rufiji – Video

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge pamoja na wajumbe wa kamati ya usalama ya wilaya ya Rufiji wamefika kwenye...

READ MORE

Rais Samia Aanza Rasmi Kurekodi Kipindi cha Royal Tour

Rais Samia Suluhu Hassan Ameanza Rasmi Kurekodi Kipindi Maarufu cha Royal Tour Chenye Lengo la Kuitangaza Tanzania Tanzania Kimataifa  

READ MORE

Hamza Azikwa Kisutu Usiku Dar

  Mwili wa Hamza Mohammed aliyefariki dunia katika tukio la majibizano ya risasi kati yake na jeshi la Polisi amezikwa...

READ MORE

IGP Sirro: Wazazi Wengine Wasituzalie Watoto Kama Hamza – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro Sirro amesema kuwa ndugu wa Hamza Hassan Mohammed aliyeua askari wanne...

READ MORE

Mkuu wa Shule Aonywa Kisa Amber Rutty

​​​​​​​UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umeonesha kuchukizwa na kitendo cha Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nzasa cha...

READ MORE

Tanzania Yasikitishwa na Denmark Kufunga Ubalozi Wake

  Serikali ya Tanzania imeeleza kusikitishwa kwake na uamuzi wa Serikali ya Denmark kutangaza kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania wakati...

READ MORE

TEN/MET Yaipongeza Serikali Kusaidia Mtoto Wa Kike Kieleimu

  MTANDAO wa Elimu Tanzania, TEN/MET umeipongeza Serikali kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kwa hatua ya kutenga  fedha za...

READ MORE

Benki ya NBC Yakabidhi Vifaa Tiba Kliniki Inayotembea

Zanzibar: Agosti 27, 2021: Benki ya Taifa ya Biashara NBC, hii leo imekabidhi msaada wa vifaa tiba ikiwemo UtraSound machine...

READ MORE

Mchungaji Aliyemtaja Shahidi Yake ni ‘Mungu’ Atupwa Jela

Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Bukoba mkoani Kagera imemhukumu Mchungaji Merchades Mugishagwe na mkewe Agripina Maganja kutumikia kifungo cha...

READ MORE

Nec Yatangaza Uchaguzi Mdogo Majimbo ya Konde na Ushetu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwepo kwa nafasi mbili za Ubunge katika majimbo ya Konde mkoa wa Kaskazini Pemba...

READ MORE

Sirro: Walizani Hamza ni Mtu wa Kawaida, Tumeapa Kufa kwa Risasi – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro Sirro amesema tukio la mauaji ya askari wanne lililotokea juzi jijini...

READ MORE

Ufaransa Yazungumzia Tukio la Mauaji Dar

Wizara ya Mambo ya nje nchini Ufaransa inasema, mpaka sasa hakuna kinachoashiria kuwa makabiliano ya risasi siku ya Jumatano kati...

READ MORE

Guardiola Kuondoka Man City

Pep Guardiola amesema kuwa ataondoka Manchester City mkataba wake utakapomalizika mnamo 2023 – na anatarajia kuifundisha timu ya taifa.  ...

READ MORE

Walinzi Wengine Wawili Wauawa Dar – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Mohamed Jumaa (37) mkazi...

READ MORE

Jerry Silaa Ajisalimisha, Atolewa Nje – Video

BAADA ya wito wa kukamatwa Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa uliotolewa jana, hatimaye leo Ijumaa, Agosti 27, 2021 Mbunge huyo...

READ MORE

Rais Samia Ateua Mkurugenzi Mpya TANTRADE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya Uteuzi kwa kumteua Bibi Latifa Mohamed Khamisi kuwa...

READ MORE