×

Kitaifa

Askari Magereza Mbaroni Akitaka Kujiua Baada ya Kubaka

JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala linamshikilia Askari wa Jeshi la Magereza mwenye namba B 9780 WDR Said Hassan Said...

READ MORE

Mara: Aliyekaa Mochwari Miezi 8 Azikwa – Video

MWILI wa marehemu mzee Wilson Ogeta Owit ( 89) mkazi wa Kijiji cha Nyambogo wilayani Rorya mkoani Mara umeshindikana kuzikwa...

READ MORE

Shigongo: Wasio na Form Four Waruhusiwe Kusoma Vyuo – Video

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo ametoa mapendekezo yake kuhusu muswada wa maboresho ya mfumo wa elimu nchini...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Yaanza Kuunguruma Mahakama ya Mafisadi

KESI ya uhujumu uchumi inayowakabili mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu wakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi leo...

READ MORE

Kauli ya Polepole Baada ya Kuhojiwa na CCM

  Kamati ya Maadili ya Wabunge wa CCM leo Ijumaa, Septemba 3, 2021 imewaita Dodoma kuwahoji Wabunge Jerry Silaa na...

READ MORE

Wafanyakazi 7,000 GGML Waipaisha Geita

ZAIDI ya wafanyakazi 7,000 walioajiriwa kwenye kampuni ya uchimbaji wa madini Geita (GGML) wameupaisha mkoa wa Geita baada ya michango...

READ MORE

Polepole, Gwajima, Silaa Waitwa Kuhojiwa CCM – Video

WABUNGE watatu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwamo Mbunge wa Kuteuliwa, Humpherey Polepole watawekwa kikaangoni leo na Kamati ya Maadili...

READ MORE

Serikali Yamwaga Bil 15 Kunusuru Soko la Mahindi ya Wakulima – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imeshatoa Sh15 bilioni kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ili kununua...

READ MORE

Majaliwa: RITA na NIDA Haziwezi Kuunganishwa – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake.  ...

READ MORE

Yaliyojiri Kortini Kesi ya Mwakabibi

KESI inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Jijini Dar es Salaam Lusubilo Mwakabibi na mwenzake Edward Haule ambaye alikuwa...

READ MORE

Polisi: Hamza Alikuwa ni Gaidi wa Kujitoa Mhanga – Video

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Camillius Wambura amesema, uchunguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi kuhusu Hamza Mohamed...

READ MORE

Aliyekaa Mochwa Mochwari Miezi 8 Azikwa

Hatimaye Mwili wa Wilson Ogeta mkazi wa Nyambogo Wilayani Rorya uliokaa miezi 8 mochwari, umezikwa kwa usimamizi wa Mkuu wa...

READ MORE

Wakulima Tumbaku Tabora, Kigoma Waipokea Bima ya Afya ya NBC

WAKULIMA wa zao la tumbaku katika mikoa ya Tabora na Kigoma wameonyesha kuridhishwa na mpango wa bima ya afya kwa...

READ MORE

Mbele ya Rais Samia, RC Makalla Afunguka – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amekiri mafuriko ni tatizo kubwa kwa wakazi wa mkoa wake na...

READ MORE

Breaking: Mama wa Kwandikwa, Flora Andrea Afariki Dunia

Bi. Flora Andrea ambae ni mama mzazi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Hayati Elias Kwandikwa...

READ MORE

R. Kelly Alinitoa Usichana Wangu, Nilitoka na Tisheti Aliyofutia Mbegu Zake

KESI ya mwimbaji wa R&B nchini Marekani R. Kelly mapema wiki hii imeanza kuunguruma katika mahakama huko Brooklyn, New York....

READ MORE

NMB Yaikabidhi Vifaa Vya Michezo Timu za Bunge,Tayari kwa Mechi ya Jumamosi

Benki ya NMB, leo imekabidhi vifaa vya michezo kwa timu saba za Bunge Sports Club, zinazoundwa na Wabunge wa Bunge...

READ MORE

Rais Samia: Nisiwafiche Tozo Zitaendelea Kuwepo – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa tozo za miamala ya simu zitaendelea kuwepo,...

READ MORE

Rais Samia Akutana Uso kwa Uso na Askofu Gwajima – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na Mbunge wa Kawe ambaye pia ni Askofu...

READ MORE

Jokate Aagiza Kukamatwa Viongozi wa Chuo

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo ameagiza kuwekwa chini ya ulinzi kwa Viongozi wa Chuo cha Lubando Training College...

READ MORE

Harmonize Amtembelea Mama Janeth Magufuli

Star wa Bongo Fleva na bosi wa Konde Music Worldwide, Harmonize amemtembelea Mama Janeth Magufuli mke wa aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Mbunge Ataka Wafungwa Waende na Magodoro Gerezani

Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Songwe Neema Gerald, amesema kuwa ili kuipunguzia serikali mzigo wa kununua magodoro kwa ajili...

READ MORE

Morogoro: Wawili Wakutwa Wamekufa Bwawa la Mindu

WATU wawili ambao majina yao hayajajulikana mara moja, mwanamke anayekadiliwa kuwa na umri kati ya miaka 25-30 na mtoto wa...

READ MORE

Tanzania Kuzitoza Kodi Facebook, Twitter, Instagram & Apple

SERIKALI ya Tanzania imesema inatarajia kuanza kuyatoza kodi makampuni ya Google, Facebook, Instagram, Twitter, Apple na yote yanayoendesha huduma za...

READ MORE

Mbowe Akwama Mahakama ya Mafisadi – Video

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, maaarufu ‘Mahakama ya Mafisadi’, imetupilia mbali pingamizi ililowasilisha na Mwenyekiti...

READ MORE

Maagizo ya Rais Samia Kuhusu Tozo – Video

WAZIRI wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan amepunguza tozo za miamala ya simu ili zisiwaathiri vijana...

READ MORE

Dkt. Akwilapo Atoa Wito Kwa Wadau kutoa Maoni Maandalizi ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo ya Sekta ya Elimu

  Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo ametoa wito kwa wadau wa elimu kuendelea kutoa...

READ MORE

Kampeni ya ‘NMB Kama Upepo’ Yazinduliwa, Washindi kupaa Dubai

Benki ya NMB imezindua kampeni ya ‘NMB Kama Upepo,’ iliyotokana na Makubaliano ya Kibiashara na Kampuni ya Skylink Travel &...

READ MORE

Serikali Yapunguza Tozo ya Miamala ya Simu

  Tarehe 19 Julai, 2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, aliwaelekeza Waheshimiwa Waziri wa...

READ MORE

Ndugai Ataka Gwajima Awajibishwe: Ukiwa Askofu Utudanganye? – Video

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema Vyombo vya Serikali na Chama vinapaswa kumuwajibisha Josephat Gwajima kutokana...

READ MORE

Mbowe Ataka Kesi Yake Isiendeshwe na Mahakama ya Mafisadi

MAWAKILI wa upande wa Utetezi Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wakiongozwa na Peter Kibatala wameitaka mahakama Kuu ya...

READ MORE

Askofu Gwajima na Silaa, Wapigwa Bonge la Adhabu

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limewasimamisha wabunge wawili, Jerry Silaa na Josephat Gwajima, kuhudhuria mikutano miwili ya bunge...

READ MORE

Bunge: Jerry Silaa Afutiwe Uwakilishi – Video

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imetoa azimio mbunge wa Ukonga Jerry Silaa asimamishwe kuhudhuria mikutano miwili ya...

READ MORE

Kilichowakuta Slaa na Gwajima, Viburi, Dharau Zatajwa – Video

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamebariki maamuzi ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge...

READ MORE

Hukumu ya Gwajima na Silaa Live Bungeni – Video

SAKATA la wabunge Askofu Josephat Gwajima na Jerry Silaa limetua bungeni na leo Jumanne mchana mbivu na mbichi itajulikana kuhusu...

READ MORE

Ndugu Watano wa Hamza Waendelea Kushikiliwa

WATU watano wanaendelea kuhojiwa na Jeshi la Polisi nchini kufuatia shambulio lililofanywa na Hamza Mohamed na kusababisha mauaji ya askari...

READ MORE

Ahukumiwa Jela Maisha kwa Kumbaka Mtoto wa Miezi 19

MAHAKAMA ya Wilaya Njombe imemuhukumu kifungo cha maisha jela Steward Mkongwa (33) baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto...

READ MORE

Tanzia: DCI Manumba Afariki Dunia

MKURUGENZI Mstaafu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI) Robert Manumba amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, Agosti...

READ MORE

Mwana FA Afunguka Alivyonusurika Kwenye Ajali Usiku – Video

  Mbunge wa jimbo la Muheza Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA, amepata ajali ya gari eneo la Mkambalani mkoani Morogoro...

READ MORE