×

Kitaifa

Mama’s Beach Party Yafana Dar

Mama’s Day Out  Beach Party wameadhimisha siku ya Afya ya akili  kwa  kuwakutanisha kina mama 170 Jijini Dar es Salaam...

READ MORE

NMB Yawezesha Wakulima Tabora Kulipwa Fidia Sh. 374 Milioni

Benki ya NMB imesaidia wakulima wa tumbaku zaidi ya 400 mkoani Tabora kulipwa kwa wakati fidia ya hasara waliyopata baada...

READ MORE

Waziri Mavunde: Tanzania Iko Tayari Kushiriki Uchumi wa Madini Ya Bahari

*#Asema Tanzania imepokea fursa ya Bahari kwa mikono miwili* Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amesema kuwa Tanzania iko tayari...

READ MORE

Kihenzile Akagua Utekelezaji Maagizo ya Makamu wa Rais Tanga

Naibu waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amefanya ziara mkoani Tanga kukagua utekelezaji wa maagiza aliyoyatoa  Makamu wa Rais Dkt. Philip...

READ MORE

CRDB Yasaini Mkopo wa Dola za Marekani Milioni 150, Kuwakopesha Wateja Wakubwa

Benki ya CRDB imesaini mkopo wa dola za Marekani milioni 150 zitakazotumika kuwakopesha wateja wakubwa waliowekeza kwenye sekta tofauti za...

READ MORE

Halotel Yaadhimisha Miaka 8 ya Mafanikio

Kampuni ya Mawasiliano nchini Tanzania, kwa fahari inaadhimisha miaka 8 tangu kuanzishwa kwake na safari ya mafanikio makubwa ikiambatana na...

READ MORE

Waziri Silaa Katika Ziara ya Mhe. Rais Samia Akiwa Singida

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Jerry Silaa amesema mkoa wa Singida umetekekeza kwa asilimia 100...

READ MORE

Benki ya NMB Yazindua Huduma Maalum Kwaajili ya Wastaafu   

Benki ya NMB imeanzisha mpango maalum wenye masuluhisho mahususi kwaajili ya kuwahudumia Wastaafu na Wastaafu watarajiwa unaoitwa NMB Hekima Plan...

READ MORE

Lori lililobeba Sumu ya Sodium Cyanide Ya Migodini Lapata Ajali Kahama

Gari aina ya scania lenye usajili  wa namba T124 ECX linalobeba sumu  ya sodium cyanide inayapeleka Migodi mitatu nchini limepata...

READ MORE

Bayport Yatoa Msaada wa  Kompyuta 30 Kuboresha Elimu katika Wilaya ya Mwanga

*Kutumia Tsh 40 Milioni Kuboresha Elimu katika Wilaya ya Mwanga Taasisi ya kifedha ya Bayport Tanzania imetoa msaada wa wa...

READ MORE

Waliosoma Lugoba Sekondari Watoa Msaada Kuboresha Hadhi ya Shule hiyo

Ili  kuhakikisha Shule ya Sekondari LUGOBA iliyopo  halmashauri ya wilaya Chalinze mkoani Pwani inarejea katika makali yake kitaaluma, nidhamu na...

READ MORE

Waziri Jenista Mhagama Akoshwa na Mshiko Fasta ya NMB

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Jenista Mhagama (Mb) amewataka vijana kuchangamkia fursa ya...

READ MORE

Tanzania Ynajivunia Mtoto wa Kike Kupata Haki katika Ngazi Zote za Elimu

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda amesema hayo Oktoba 11, 2023 jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya...

READ MORE

Mwenyekiti wa Wazazi CCM Morogoro Ahimiza Umoja, Atoa Kadi 500 Kila Wilaya

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk Rose Rwakatare, amehitimisha ziara yake mkoani humo akiwataka viongozi kuhakikisha...

READ MORE

NBC Yasisitiza Dhamira Yake Kusaidia Ukuaji TEHAMA Mashuleni

Yatoa Msaada wa Kompyuta Sekondari Makoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuwekeza zaidi kwenye ustawi...

READ MORE

Naibu Spika ataka CBE Iwatafutie Wahitimu Ajira

NAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)  kwa kutoa mafunzo ambayo yanaendana na soko la...

READ MORE

Waziri Jenista Atembelea Banda la NSSF Katika Maonesho ya Wiki ya Vijana

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Jenista Mhagama ametembelea banda la NSSF wakati wa...

READ MORE

Benki ya NBC, Jubilee Allianz Kutoa Huduma za Bima Kupitia Vituo vya Total Energies

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa ushirikiano na Kampuni ya Bima Jubilee Allianz wamezindua kampeni maalum inayofahamika kama ‘Bima...

READ MORE

Benki ya NBC Yasafirisha Wafanyabiashara Kwenda China

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kupitia klabu yake ya biashara ijulikanayo kama NBC B-Club imeratibu safari ya wafanyabiashara 10...

READ MORE

Chongolo Atinga Bandari ya Kasanga Kuona Upanuzi wa Bandari hiyo

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godfrey Chongolo akimsikiliza Rodriguez Valentin ambae ni Afisa katika Bandari ya...

READ MORE

Dkt. Biteko Azindua Mpango Mkakati Kutangaza Vivutio Vya Utalii Pangani

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko  amezindua mpango mkakati wa kutangaza fursa  zilizopo Sekta ya Utalii...

READ MORE

Naibu Waziri wa Uchukuzi: Mchakato wa Kutafuta Mfumo Bora wa Namna ya Kupeleka Mifugo nje Umeanza

Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile amesema Wizara ya Uchukuzi imeanza mchakato wa kutafuta mfumo bora wa namna ya...

READ MORE

Watanzania Waaswa Kujitokeza Monesho ya Dar Constructions EXPOctions

Hayo Yamesemwa leo na Mkurugenzi na Muandaaji wa Maonesho hayo Bw. Deogratius John Kilawe , alipokuwa akiongea na Waandishi wa...

READ MORE

Elimu ya Matumizi Huduma ya PSSSF Kiganjani Yatua “Waajiri Health Bonanza”

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako, ameshiriki katika michezo...

READ MORE

Maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani, Rais Samia Aahidi Kutatua Changamoto Kuleta Ufanisi

*️Maadhimisho yafanyika kitaifa wilayani Bukombe* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, Serikali itaendelea...

READ MORE

Jerry Silaa: Mipango ya Kupima Viwanja Iendane na Miundombinu

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wataalamu wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha mipango...

READ MORE

Waziri Silaa Akerwa Mfanyabiashara Kusumbuliwa

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza mmiliki wa mgahawa unaojulikana kama Fresh Restaurant uliopo Manispaa...

READ MORE

NBC Yazindua Msimu wa Tatu wa Kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde’’, Kuchochea Kasi ya Kilimo cha Korosho Mtwara, Lindi

 Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua msimu wa tatu wa kampeni yake  maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Mtwara na Lindi...

READ MORE

Mkakati Bandari ya Mtwara Waanza Rasmi

Serikali imeanza rasmi kutekeleza mkakati wa kuhakikisha bandari ya Mtwara inatumika katika kusafirisha zao la korosho na bidhaa nyingine za...

READ MORE

Hamza Johari: Anga la Tanzania Liko Salama

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari amesema hakuna mlipuko wowote wa volcano utakaosababisha viwanja...

READ MORE

Waziri Silaa Ataka Mpango Uendelezaji Eneo la Viwanda Kibaha

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameta kuwepo mpango wa uendelezaji katika eneo la Kongani ya...

READ MORE

Nmb Yazindua Huduma za Kibenki Kwa Wana Diaspora

Jisikie upo nyumbani popote utakapoenda duniani na ‘NMB Kwetu’ Tumezindua rasmi dirisha la huduma za kibenki kwa watanzania waishio nchi...

READ MORE

Wizara ya Ardhi Kuja na Maboresho ya Sera ya Ardhi

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi iko katika maboresho ya Sera ya Ardhi ili kuwa na sera itakayoleta...

READ MORE

Wateja tupo kwa ajili yenu kwenye wiki ya huduma kwa wateja-NSSF

  Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umezindua kwa kishindo maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2023...

READ MORE

NBC Yazindua Mwezi wa Huduma kwa Wateja kwa kuwatembelea Mawakala, Wateja

Benki ya Taifa ya Biashara imetumia maadhimisho ya mwezi wa huduma kwa wateja kwa kuwatembelea mawakala mbalimbali na wateja wa...

READ MORE

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Viwanda, Biashara na Mifugo Yaipongeza Wizaya ya Kilimo

Kamati ya kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Wizara ya Kilimo kwa utekelezaji mradi uandaaji mashamba ya...

READ MORE

Wizara ya Ardhi Yashika Nafasi ya Kwanza Kundi la Wizara Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi

  Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekabidhiwa tuzo ya ushindi wa kwanza kwa upande wa kundi la...

READ MORE

Airtel Yazindua Huduma kwa Wateja Dar, DC Azungumza

Nachukua fursa hii kumshukuru Mungu kwa kuweza kutupa afya na kuweza kumujuika hapa siku ya leo kwenye uzinduzi wa wiki...

READ MORE

Lake Energies Yadhamini Mashindano Ya NCBA Golf Series Gymkhana Kadi

Mkurugenzi Mtendaji wa Lake Energies, Abdirahman Ahmed, akimkabidhi Ayne Magome zawadi ya mtungi wa gesi pamoja na kadi ya kujaza...

READ MORE