×

Makala

Jinsi Ya Kutengeneza Pesa Wakati ‘Vyuma Vimekaza’!- 02

WIKI iliyopita nilieleza kwa kina kwenye kipengele cha kubana matumizi kadiri uwezavyo. Kwenye makala haya ya jinsi ya kutengeneza pesa...

READ MORE

Mke wa Mugabe Anayetisha Kwa Matanuzi!

JINA la Grace Mugabe (52), kwa sasa ni maarufu barani Afrika hadi nje ya bara hilo. Hii ni kwa sababu...

READ MORE

Jokate Amfananisha Magufuli na Musa Mkombozi wa Waisrael

Kaimu Katibu Idara Ya Uhamasishaji, Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ leo ameandika ujumbe mrefu...

READ MORE

Kweli Mpende Sana Lakini Weka Akiba!

MAPENZI raha yake ni kupendana. Yananoga zaidi wapendanao wanapopendana kwa asilimia mia. Mwanaume ampende mwanamke kwa kiasi hicho, vivyo hivyo...

READ MORE

Ni Ajabu! Miaka 20 Bado Bongo Muvi Inatambaa

DUNIANI kuna maajabu mengi, kuna vitu vinavyofanywa au vilifanywa ambavyo vinashangaza mno. Mfalme Nebukadneza wa Babylon (Iraq) alimjengea bustani malkia...

READ MORE

Miaka 20 Tangu Princess Diana Azikwe, Dunia Bado Inamkumbuka

Princess Diana enzi za uhai wake. Siku ya mazishi ya Princess Diana. Siku ya mazishi ya Princess Diana. Mahali alipozikwa....

READ MORE

SHOGA: Kubana Ziachie Nguo na Nywele!

NAJUA kabla sijaanza na salamu utaanza kujiuliza MC Sophia leo kulikoni tuache kubana! Mara ohhh kubana tuziachie nguo na nywele,...

READ MORE

BUSARA ZA UHURU KENYATTA ZIMEITIKISA SAFARI YA CANAAN

    JANA huko nchini Kenya, kumetokea tukio lisilo la kawaida kwa watawala. Uhuru Kenyatta ameyaheshimu maamuzi ya mahakama yaliyofutilia...

READ MORE

KUCHELEWA KUZAA KUNAVYOSABABISHA UVIMBE KWENYE KIZAZI

    KUNA aina mbili za uvimbe kwenye kizazi unaoweza kutokea, moja huweza kutokea kwenye mlango wa kizazi na kitaalamu...

READ MORE

NJIA MBILI ZA KUSAFISHA MENO YAKO YAWE MEUPE

LEO tutaona jinsi ya kusafisha meno kwani wengine wana ya rangi ya njano kutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyokunywa....

READ MORE

FAIDA ZA UGALI WA DONA

  MARA nyingi baadhi ya watu huwahimiza watu wengine kutumia unga wa mahindi au nafaka zingine usiokobolewa bila ya kubainisha...

READ MORE

MAJI YA MOTO YALIVYO NA FAIDA MWILINI

KUNA tiba nyingi za kitabibu zilizogawanyika katika makundi mbalimbali. Kuna zile za hospitali ambazo ni lazima zinunuliwe, lakini kuna tiba...

READ MORE

FAHAMU AINA YA MAUMIVU YA KICHWA

  DALILI za maumivu ya kichwa zinaweza kumsaidia daktari wako ajue nini kinachosababisha maumivu hayo hatimaye kujua matibabu yako yatakuwa...

READ MORE

Wahindi Wekundu; wanaotembea bila nguo, walaji wa nyani!

KATIKA mfululizo wa makala za safu hii, tuliwaeleza kuhusu watu weusi wa Papua New Guinea ambao licha ya kukaa bila...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (5)

    MATUMIZI YA LUGHA KATIKA RIWAYA YA TAKADINI Mwandishi kakitendea haki kipengele hiki. Matumizi ya lugha yameonekana katika nyanja...

READ MORE

Namba 11 ilivyoliteka tukio la Septemba 11 Marekani

DUNIA ina maajabu yake, mtu unapomwambia kuhusu mfanano uliokuwepo baina ya Rais John F. Kennedy na Abraham Lincoln, anashangaa na...

READ MORE

Fahamu umuhimu wa kula mboga mbichi (saladi)

KUNA watu wanapokwenda hotelini huagiza saladi tu. Salad ni mkusanyiko wa mboga za majani mabichi. Kinachotakiwa kujulikana ni kuwa ulaji...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (4)

WAHUSIKA.   Sekai. Mama yake na Takadini. Ni jasiri. Haogopi chochote, anatoroka na mwanaye na kupambana mpaka mwisho. Hatimaye anashinda...

READ MORE

ZIFAHAMU NCHI NNE AMBAZO WATU WAKE HUISHI MIAKA MINGI

MWANADAMU hakipendi kifo. Katika kuhakikisha anaendelea kuishi, hupambana kwa kila hali ili aendelee kubaki salama. Miongoni mwa njia zinazotumiwa kujihakikishia...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (3)

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (3) FALSAFA Falsafa ya mwandishi hupatikana kwa kusoma kazi zake nyingi. Ben J. Hanson anaamini katika...

READ MORE

CHONDECHONDE WAKENYA, VIBAYA HIVYOO!

WAKENYA katika matabaka mawili tofauti wameandamana barabarani! Tabaka la kwanza ni lile la raia wa kawaida, hawa wanayapinga matokeo ya...

READ MORE

WANAFUNZI WANAOFAULU HUSOMA KWA SAA NGAPI?

katika elimu yetu, wanafunzi wanaofaulu na wale wasiofaulu, siri yao kubwa imejificha katika muda. Wanafunzi hufikiria muda sahihi wa kusoma...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (Sehemu ya Pili)

UJUMBE Mafunzo yanayopatikana katika riwaya ya TAKADINI ni: Walemavu wana haki ya kuishi kama watu wengine. Asitokee mtu yeyote wa...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI

MWANDISHI: BEN J. HANSON WACHAPISHAJI: MATHEWS BOOKSTORE AND STATIONARIES MWAKA: 2004 MHAKIKI: DAUD MAKOBA   UTANGULIZI JUU YA UHAKIKI WA RIWAYA:...

READ MORE

CHAKULA CHA WAGONJWA NI HIKI

Nutrient Drinks ni chakula cha wagonjwa kilichobora zaidi Bila shaka umeshawahi kuugua  ugonjwa wowote kama malaria na aina nyingine. Ukiachilia...

READ MORE

KABLA HUJAKATA TAMAA JIULIZE MASWALI HAYA

KILA  mtu ana kiwango chake cha kukata tamaa. Kuna wakati unapanga mipango yako lakini inashindikana. Unajisikia vibaya pale unapoona kila...

READ MORE

UHAKIKI RIWAYA: WATOTO WA MAMA N’TILIE (sehemu ya nne)

WAHUSIKA (watoto-wa-Mamantilie wahusika) Mama N’tilie Mama yake Peter na Zita Mke wa mzee Lomolomo Mlezi mzuri wa familia Mzee Lomolomo...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: WATOTO WA MAMA N’TILIE (sehemu ya tatu)

MIGOGORO Migogoro ya wahusika. Mzee Lomolomo na Mama Nt’ilie. Chanzo cha mgogoro huu ni tabia ya ulevi ya Mzee Lomolomo....

READ MORE

MOURINHO AMETUMIA BILIONI 384 KUSAJILI VIUNGO WAKABAJI

DIRISHA la usajili bado halijafungwa, presha kubwa imekuwa ikiongezeka kwa makocha hasa wale wa timu kubwa. Katika Ligi Kuu ya...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: WATOTO WA MAMA N’TILIE (sehemu ya pili)

Nafasi ya mwanamke katika jamii. Mwanamke amechorwa kama: Mzalishaji mali. Mama n’tilie anajishughulisha na uuzaji wa chakula ili aweze kuendesha...

READ MORE

MISINGI MITANO YA KUIFAHAMU ILI KUJIHAKIKISHIA KIPATO CHA KUDUMU

  KATI ya kitu ambacho kinatafutwa sana na wengi katika hii dunia ni fedha au pesa. Pesa imeanza kutafutwa tangu...

READ MORE

Johari, Mume Huwezi Kumpata kwa Matangazo, Utachina!

BLANDINA Chagula au kama tunavyomfahamu wengi kwa jina la Johari, ni mmoja kati ya waigizaji wa filamu wa kitambo ndani...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: WATOTO WA MAMA N’TILIE

UHAKIKI WA RIWAYA: WATOTO WA MAMA N’TILIE MWANDISHI: EMMANUEL MBOGO WACHAPISHAJI: HEKO PUBLISHERS MWAKA: 2002 MHAKIKI: DAUD MAKOBA UTANGULIZI Watoto...

READ MORE

ZIFAHAMU NYAKATI NNE ILIZOPITIA TANZANIA MPAKA HIVI SASA

KUTOKA uhuru mpaka hii leo, Tanzania imepita katika nyakati kinzani huku ikipambana na changamoto lukuki zilizojitokeza. Bila kupoteza muda, zisome:...

READ MORE

MAMBO MAWILI YATAKAYOKUSAIDIA KUPUNGUZA UZITO KUPITA KIASI

UZITO kupita kiasi ni tatizo linalosababishwa na mambo mengi ikiwemo mitindo ya maisha. Watu wamekuwa wakitamani kupungua kwa kuchoka ile...

READ MORE

SIRI YA BI CAROLYN HARTZ KUONEKANA KAMA BINTI MDOGO

ANA wajukuu wanne, umri wake ni miaka 70, na kila mmoja hushangazwa na muonekano wake! Ni bibi asiye mzee.  Ajabu...

READ MORE

‘WIFE’ KAKUTANA NA MHOGO WA JANG’OMBE! AMERUDI ANALIA

MIMI na mke wangu tuliingia katika vita baridi. Kila siku alikuwa akinilalamikia tu, ooh mara nina kibamia, mara simfikishi basi...

READ MORE

Tulipofikia, Wanawake ni Hatari Kwa Vizazi Vijavyo!

KWANZA nianze kwa kutoa pole kwa familia ya marehemu, wanafunzi wa shule ya Atlas, na waombolezaji wote walioguswa na msiba...

READ MORE

Mambo 5 ya Kuzingatia Siku ya Kwanza Kuonana na Mpenzi Wako

NI dhahiri kwamba mapenzi ni maisha na vita yake haijawahi kumuacha mtu salama, uwe mwanajeshi, mbunge, kinyozi, au hata komando...

READ MORE

Ndege Zagongana Angani, B-52 Yaangusha Mabomu ya Nyuklia

  NI miaka ipatayo 50 iliyopita wakati wa Vita Baridi baina ya nchi za Mashariki na Magharibi, yaani baina ya...

READ MORE