×

Makala

Natongozwa na Vibabu Tu

  Na BUSARA ZIRO| GAZETI LA AMANI| MUULIZE BUSARA ZIRO SHIKAMOO babu, mimi naitwa Aisha wa Buguruni, natamani sana kuolewa...

READ MORE

Utokwaji na Majimaji Katika Via vya Uzazi vya Wanawake

Na MWANDISHI WETU/GPL KWA kawaida wanawake hutokwa na ute katika via vya uzazi na hasa wale waliopevuka na kuwa na...

READ MORE

Pilau ya Mayai na Zabibu Kavu

KAANGIZA NA AMANI| GAZETI LA AMANI| MAPISHI LEO kwenye safu hii tutaongelea jinsi ya kupika pilau ya mayai ya kuchemsha...

READ MORE

Jiandae Kutazama Kipindi Maalum cha Mbunge wa Mtama, Nape Ifikapo Saa 12: 30 Jioni Global Tv Pekee

KIPINDI maalum cha Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kitarushwa kupitia Televisheni yako pendwa Global Tv Online, Usikose makala hii.

READ MORE

Kama Unawapenda Wanao, Kwa Nini Walelewe na Hausigeli kwa Asili 100%?

KAMA wewe ni mfuatiliaji wa makala zangu, utakumbuka niliwahi kuandik sifa za binti anayefaa kuwa dada wako wa kazi nyuumbani...

READ MORE

Sababu 10 Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito

WAJAWAZITO wengi huugua wakati wakiwa na ujauzito. Zipo Sababu zinazofanya kutokea kwa maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya...

READ MORE

Mambo 10 Yanayofanya Mtu Kunenepa..

WIKI iliyopita nilieleza kwa urefu tatizo la watu wanene na tukazitaja sababu tatu za watu kunenepa ukiacha zile za kula...

READ MORE

Kwa Nini Wanaume Huishiwa Nguvu za Kiume?

Na Tabibu wa Uwazi| Gazeti la Uwazi| Makala KUISHIWA nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi hasa...

READ MORE

SHOGA; Unajua Mzee Anapenda Nini Kwenye Chakula?

Na SOPHIA MA`MDOGO| GAZETI LA UWAZI| MAKALA NI Jumanne nyingine shoga nimekutana nawe kwenye kona yetu hii ya mahaba, kona...

READ MORE

Wanawake Wengi Hubakwa na Kushambuliwa, Kabila la Wala Watu Sehemu ya 14

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| MAKALA NAENDELEA kukuletea habari za watu wanaokula binadamu wenzao huko Papua New Guinea. Tumeeleza...

READ MORE

Eva Spiegel; Ukifanya Kama Jamaa, Utakuwa Bilionea

Makala: Nyemo Chilongani Kwa zamani, dunia ilionekana kuwa kubwa, labda kwa sababu hakukuwa na mitandao mingi, kulikuwa na ugumu wa...

READ MORE

Utapeli Magroup ya WhatsApp

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| KIUJUMBE TOKA JUNGUNI DAR ES SALAAM: Katika kutafuta namna ya kujipatia kipato kwa wakati...

READ MORE

Uvimbe wa Kizazi ‘Uterine Fibroids’

VIMBE wa Fibroid pia unajulikana kwa majina kama Leiomyoma, Myomas na Fibromyomas. Uvimbe huu siyo kansa na mara chache sana...

READ MORE

Kipi Bora Adungwe Mimba, Atoroshwe au Umuozeshe?

Na HARMORAPA| GAZETI LA AMANI| SINDANO ZA MASTAA MPENZI msomaji natumia fursa hii kukukaribisha kwenye safu hii bora kabisa ya...

READ MORE

Vita ya Idadi ya ‘Followers’ Insta na Kiburi cha Watumiaji

“MIMI ni mtu mkubwa, nina wafuasi (followers) wengi sana kwenye mtandao wangu wa  Instagram ‘Insta’, unacheki walivyokuwa wengi, wamefi ka...

READ MORE

Mume Wangu Ananuka Mdomo

Na Busara Ziro| GAZETI LA AMANI| BUSARA ZIRO SHIKAMOO babu, mimi naitwa Mwajuma wa Morogoro. Tatizo langu babu, mume wangu...

READ MORE

Upungufu wa Nguvu za Kiume; Sababu na Tiba

Na Daktari wa Amani| Gazeti la Amani| Makala WIKI iliyopita tulianza kuangalia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na...

READ MORE

Jinsi ya Kuitafuta Ngozi Nzuri Kwa Kutumia Matunda

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA AMANI| MAKALA LEO nitaongelea suala zima la binadamu kuwa na ngozi nzuri na yenye mvuto...

READ MORE

Kabila la Wala Watu-14, Vyombo vya dola viliamini kwamba Wazungu hao waliliwa na binadamu wenzao

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| MAKALA BAADA ya kuelezea miji na idadi ya watu katika Kisiwa cha Papua New...

READ MORE

Mambo 10 Yanayofanya Mtu Kunenepa

Na Mwandishi Wetu/GPL MIONGONI mwa maswali ya wasomaji wetu ni juu ya watu ambao wametumia njia mbalimbali ili kuondoa uzito...

READ MORE

Maumivu Chini ya Kitovu kwa Wanawake na Wanaume

MAUMIVU chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume kitaalamu huitwa lower abdominal pain ni tatizo ambalo huwakumba watu wengi lakini...

READ MORE

Kuwahi Kupoteza Uwezo wa Kuzaa kwa Mwanamke

TATIZO hili linaambatana na mwanamke kukoma uzazi kabla ya muda wake, yaani anazeeka mapema. Mwanamke mwenye tatizo hili hupatwa na...

READ MORE

Alonso Anasepa Zake Sasa

Na Mwandishi wetu/CHAMPIONI/GPL MOJA kati ya viungo bora kwenye soka duniani ni Xabi Alonso, ambaye kwa sasa anakipiga kwenye kikosi...

READ MORE

Elewa Undani wa Ugonjwa wa Kifua Kikuu

Na DR. MARISE RICHARD| RISASI MCHANGANYIKO| MAKALA KIFUA kikuu ambacho ni maarufu kwa kuitwa TB, ni ugonjwa unaosababishwa na kiumbehai....

READ MORE

Tukijisahau Wakimataifa Wakatuharibia Taifa Stars

Na Mwandishi wetu/CHAMPIONI/GPL NIANZE makala yangu ya leo kwa kumpa pongezi mbunge Nape Nnauye ambaye alikuwa waziri kabla ya uteuzi...

READ MORE

Sikia Kuhusu Mapacha Hawa!

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| MAKALA KUNA simulizi nyingi zinazowahusu mapacha, lakini hii ni habari ambayo itakushangaza, utakapobaini kuwa ilitokea...

READ MORE

Shoga: Masaji Nayo ni Chakula cha Usiku

HEEE heeiyaa shoga yangu wa ukweee! Ni Jumanne tulivu nimekutana na wewe mpendwa wa kona yetu hii ya mashamsham, kona...

READ MORE

Matunda Yanayosaidia Kupunguza Maumivu ya Tumbo la Hedhi-2

WIKI iliyopita nilielezea baadhi ya matunda yanayosaidia kupunguza maumivu ya hedhi. Leo nitaeleza visababishi vya maumivu hayo. Moja ya kisababishi...

READ MORE

Maumivu ya Kiuno, Mgogo-2

Na TABIBU WA UWAZI| GAZETI LA UWAZI| AFYA AINA kuu za maumivu ya mgongo mara nyingi, maumivu ya mgongo hujitokeza...

READ MORE

Kiingereza Ndiyo Lulu ya Utaalam, Kiswahili Lugha ya Minadani!

KIMSIKIA mtu leo mwaka 2017  anaibeza lugha ya Kiingereza,  akakuambia  uachane nayo katika masomo,  utaalam na mawasiliano na walimwengu wengine,...

READ MORE

Kabila la Wala Watu-13, Wenyeji Hupata Mlo Mara Mbili kwa Siku, Chai ya Mchaichai…

NA ELVAN STAMBULI NA MTANDAO| GAZETI LA UWAZI| MAKALA NAENDELEA kusimulia jamii inayokula nyama ya watu inayoishi Papua New Guinea;...

READ MORE

Unataka Kuwa Kama Mabilionea wa You Tube?

Na NYEMO CHILONGANI| IJUMAA WIKIENDA| MAKALA BILA shaka unaufahamu mtandao wa kuhifadhi na kuangalia video za nyimbo na matukio mbalimbali...

READ MORE

Kama Kweli Una Ndoto za Kufanikiwa, Kaa Mbali na Hawa!

WIKI hii msomaji wangu nataka kuwazungumzia baadhi ya watu ambao wao wapowapo tu, wameridhika na maisha yao duni lakini haohao...

READ MORE

Kutoka na Damu Ukeni ‘Uterine Bleeding’

HILI ni tatizo linalomtokea mwanamke aliye katika umri wa kuzaa, ni tatizo ambalo husababisha damu itoke ndani ya kizazi kupitia...

READ MORE

Kuzungumzia ‘ujamaa’ ni kupoteza wakati!

Na Walusanga Ndaki/GPL WIKI iliyopita tuliona baadhi ya wanasiasa nchini wanavyoendesha makongamano ya ‘ujamaa’  wakitafuta kusifiwa na Watanzania kuhusu mfumo...

READ MORE

Mwanamke Kutofanikiwa Kupata Ujauzito ‘Female Sterility’

TATIZO hili humfanya mwanamke asifanikiwe kupata ujauzito kwa  wakati anaopenda au asiweze kabisa kupata ujauzito. Kutofanikiwa kupata ujauzito kwa wakati...

READ MORE

KIPINDI MAALUM: Wamasai Wapandisha Mori Wakati wa Mazishi…

KIPINDI MAALUM: WAMASAI WAPANDISHA MORI WAKATI WA MAZISHI YA MWENZAO ALIYEPIGWA RISASI NA POLISI Facebook @Globalpublishers Twitter @GlobalHabari Instagram @GlobalPublishers...

READ MORE

Faida za Nanasi Mwilini

Na HAMIDA HASSAN| RISASI JUMATANO| TIBA KWA CHAKULA BAADHI ya watu wamekuwa wakidai tunda la nanasi kuwa siyo salama kwa...

READ MORE

Mambo Matano ya Ajabu ya Kabila Hili ni Haya, Kabila la Wala Watu -11

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| MAKALA KABILA la Wakorowai linalokula watu la Visiwa vya Papua New Guinea licha ya...

READ MORE

Kuzungumzia ujamaa kwa sasa ni kupoteza wakati!

KUNA baadhi ya Watanzania -hususan wanasiasa na mashabiki wa siasa – ambao hufikiri kwamba, ukitaka kuheshimiwa na Watanzania, jambo rahisi...

READ MORE