×

Michezo

Makame, Banka na Fei Toto Kuwakosa Alliance Kesho

Kikosi cha Yanga kesho Novemba 28, 2019 kitacheza dhidi ya Alliance ya jijini Mwanza mchezo utakaopigwa katika Uwanja wa CCM...

READ MORE

Yanga Kushusha Sapraizi Dhidi ya Alliance

YANGA wamelielekeza benchi la ufundi na wachezaji kuwashukia Alliance kwelikweli jijini hapa kesho Ijumaa. Viongozi wamepania kipigo hicho cha sapraizi...

READ MORE

Caf Yampaisha Kagere Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika

ZIKIWA zimepita siku chache tangu Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kumtangaza mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere kuwa miongoni mwa wachezaji...

READ MORE

EXCLUSIVE: ZAHERA Ataja OFA Alizopata – “SIMBA Naweza Kwenda, Mimi ni KOCHA”- Video

 KOCHA ambaye jina lake likitajwa tu mashabiki wa Yanga wanashtuka, Mwinyi Zahera ametua nchini usiku wa kuamkia jana Jumatano....

READ MORE

Yanga Yapeleka Mashushushu Kwa Niyonzima

UONGOZI wa Klabu ya Yanga upo katika mchakato wa kutuma kikosi kazi kwa ajili ya kumfuatilia aliyekuwa kiungo wake, Haruna...

READ MORE

Dida: Tuwekeze Nje Ya Soka, Hatutacheza Muda Wote

WIKI iliyopita kwenye Championi Jumatatu tuliishia kuona maisha ya Dida ambaye ni mlinda mlango wa zamani wa Simba akizungumzia kuhusu...

READ MORE

Guu la Kagere Lakwama Dakika 180

MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba, guu lake limeshindwa kufurukuta Uwanja wa Uhuru kwa dakika 180 kwa kushindwa kuzifumania nyavu kama...

READ MORE

Kocha Mzawa Akabidhiwa Simba Dar

UONGOZI wa Simba chini ya mtendaji mkuu, Senzo Mazingisa raia wa Afrika Kusini umemkazia kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji,...

READ MORE

Zahera arejea tena Bongo, Simba Yatajwa

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, alfajiri ya leo Jumatano, ametua Bongo huku akihusishwa kutakiwa kujiunga na Simba.  ...

READ MORE

Safu Mpya Yanga Balaa!

KAMATI ya Utendaji ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Dk. Mshindo Msolla imeunda kamati mpya ya Mashindano yenye wajumbe 13...

READ MORE

Sheva Abadili Muonekano Simba

UKIMUONA mshambuliaji wa Simba Miraji Athuman ‘Sheva’ kwa sasa unaweza usimfahamu kirahisi kutokana na kubadilisha muonekano wa kichwa chake.  ...

READ MORE

Azam FC Watoa Dozi Kwa Alliance, Waipiga 5-0 Nyamagana

    TIMU ya Azam FC leo Novemba 26, 2019 wanatoa dozi nene kwa Alliance kwenye Dimba la Nyamagana jijini...

READ MORE

Video: KOCHA AUSSEMS Asimamishwa SIMBA, KITAMBI Afunguka

 KOCHA wa Simba, Patrick Aussems ameendelea kutumikia adhabu yake huku kikosi chake kikijifua kwenye Viwanja vya Gymkhana, Dar es...

READ MORE

Sheva: Nitakuwa Mfungaji Bora

Dar es Salaam STRAIKA wa Simba, Miraji Athuman ‘Sheva’, ameingia kwenye vita ya kuwania kiatu cha ufungaji bora kwa kutamka...

READ MORE

Rasi Mnigeria Kiboko ya Simba Mambo Safi Yanga

YANGA inasaka wachezaji kwa ajili ya kuboresha safu yao ya ushambuliaji na sasa mpango wa kumnasa straika wa Biashara United,...

READ MORE

Masau Bwire akataa simu ya Haji Manara

OFISA Habari wa Klabu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire, amesema kuwa hawezi kuchukua simu aliyopewa na msemaji wa Simba, Haji...

READ MORE

Kili Queens Yapigwa 2-0, Kenya Yatwaa Cecafa ya Wanawake

Kikosi cha timu ya taifa ya Kenya cha wanawake kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tanzania. Ushindi huo...

READ MORE

Chama Akalia Kuti Kavu Simba

TAA nyekundu imemuwakia kiungo mchezeshaji wa Simba, Clatous Chama, raia wa Zambia ambapo anaweza kuwa mmoja ya wachezaji ambao watapigwa...

READ MORE

Mashabiki Wamzomea Bale Nje Mpaka Ndani ya Uwanja

MASHABIKI wa Klabu ya Real Madrid juzi walimzomea mshambuliaji wao Gareth Bale, kuanzia akiwa kwenye benchi kwenye mchezo wa Ligi...

READ MORE

Kili Queens, Kenya Leo Patachimbika Dar

KILIMANJARO Queens na Kenya, ‘Harambee Starlets’ zitakutana leo katika mchezo wa fainali ya Mashindano ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa),...

READ MORE

Mwakinyo, Tinampay kupasuana bure

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo jana ametangaza wazi kuwa ameamua kufanya bure pambano lake la kimataifa dhidi...

READ MORE

Mkude Amponza Aussems Simba

PICHA la kuondoka kwa kocha wa Simba, Patrick Aussems ndani ya klabu hiyo muda wowote ule linaweza kuisha lakini inatajwa...

READ MORE

Kisa Okwi, Kagere, Simba yatikisa Afrika

KAULI ya bilionea wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ ya kuifanya klabu hiyo kuwa miongoni mwa klabu kubwa Afrika, imeanza kutimia...

READ MORE

Samatta Awafuata Salah, Mane, Sasa Kuchuana Nao Uso kwa Uso

STRAIKA namba moja kwa Tanzania na supastaa wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mtanzania Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji...

READ MORE

Pambano La Mwakinyo Ni Bure Kabisa Uhuru

HASSAN Mwakinyo, bondia wa ngumi za kulipwa leo ametangaza wazi kuwa ameamua kufanya bure pambano lake la kimataifa dhidi ya...

READ MORE

Mibao ya Molinga Yanga Yaibua Mijadala

DAVID Molinga, mshambuliaji wa Yanga, mibao yake anayofunga kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara inafi kirisha kutokana na aina...

READ MORE

NEYMAR AMTIBUA KOCHA PSG

KOCHA wa Paris Saint- Germain, Thomas Tuchel hakuwa tayari kung’ata maneno kuhusu kitendo cha nyota wa timu yake, Neymar kusafiri...

READ MORE

MABOSI MAN UTD WAMPIGIA SIMU

KOCHA mpya wa Tottenham, Jose Mourinho amefichua kuwa mabosi wa klabu yake ya zamani, Manchester United wamempigia simu kumpongeza na...

READ MORE

Maradona ajiuzulu ukocha, kesho yake arejea kazini

NGULI wa soka wa Argentina, Diego Maradona ameendelea sinema zake kwenye mchezo wa soka baada ya kujiuzulu kisha saa 48...

READ MORE

Simba Yaizamisha Ruvu Shoting 3-0 Uwanja wa Uhuru Dar

MIRAJ Athuman leo ameendeleza pale alipoishia kwa kufunga mabao mawili ya nguvu wakati Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0...

READ MORE

Chama, Nyoni Wafumua Kikosi Simba

BEKI mkongwe ndani ya Simba, Erasto Nyoni na viungo Clatous Chama na Sharraf Eldin Shiboub hawatakuwa sehemu ya kikosi cha...

READ MORE

Mbeya City Uso Kwa Uso Na Singida Leo

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kutimua vumbi jioni ya leo Jumamosi kwenye viwanja mbalimbali hapa nchini.   Kwenye Uwanja...

READ MORE

Rasmi…Kocha wa Simba Byebye Simba, Mechi Yake Leo

PICHA limekwisha! Rasmi leo Kocha Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems atakaa kwa mara ya mwisho kwenye benchi la timu...

READ MORE

Kagere Atuliza Presha Simba, Awawahi Ruvu

HABARI njema kwa mashabiki wa Simba ni kuwa mshambuliaji wao kipenzi Mnyarwanda, Meddie Kagere amerejea nchini na fasta akaingia kambini...

READ MORE

Yanga Kumjadili Kocha Mkongo Leo

KAMATI ya Utendaji ya Klabu ya Yanga, leo Jumamosi itakutana kwa ajili ya kumjadili mrithi wa aliyekuwa kocha wa timu...

READ MORE

Yanga Yaitungua 3-2 JKT Tanzania

YANGA leo imeibuka na pointi tatu muhimu mbele ya JKT Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa uwanja wa...

READ MORE

Akisubiri Panga… Molinga Atoa Kauli Nzito Yanga SC

LICHA ya kusuasua katika kuzifumania nyavu katika michezo ya hivi karibuni ya Ligi Kuu Bara, mshambuliaji wa Yanga Mkongomani, David...

READ MORE

Yanga Watengewa 10m Waiue JKT, Uhuru leo

LEO Ijumaa kwa mara nyingine bosi mpya wa Yanga, Charles Mkwasa atakuwa na kibarua cha kusaka ushindi wake wa pili...

READ MORE

Hazard: Benzema Ndiye Mshambuliaji Bora kwa Sasa

STAA wa Real Madrid, Eden Hazard, amemsifia mshambuliaji wa timu hiyo, Karim Benzema kwa kusema hivi sasa ndiye mshambuliaji bora...

READ MORE

Bocco Arejea Kibabe Simba

BAADA ya kutoweka kwa siku mbili Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems alirejea nchini na kuwataka wachezaji wake kufunga...

READ MORE