Mchezaji wa zamani wa Yanga, Ally Yusuf ‘Tigana’ amefariki dunia leo Novemba 5, 2019 Alhamis mchana katika hospitali ya Amana,...
READ MOREKocha Mkuu wa Kilimanjaro Stars, Juma Mgunda amemwacha kipa Juma Kaseja na kumchukua Aishi Manula katika kikosi chake cha wachezaji...
READ MOREUSIKU wa Ijumaa ya wikiendi iliopita naamini ulikuwa mzuri kwa mashabiki wa mchezo wa ngumi za kulipwa nchini baada ya...
READ MOREYANGA ina majina mawili ya Makocha mezani ambayo mmoja wao ndiye atakayekuwa kocha msaidizi wa Yanga kuanzia mwezi ujao na...
READ MOREBONDIA Hassan Mwakinyo, ameamua kuweka tofauti zake pembeni na bondia mkongwe Tanzania, Rashid Matumla baada ya jana kumuomba radhi mbele...
READ MOREBAADA ya kukaa Manchester United kwa takribani miaka miwili, hatimaye jana Jumatano, Jose Mourinho alirejea klabuni hapo. Mourinho alirejea...
READ MOREMSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara unaendelea kusonga mbele timu zikiwa zimecheza mpaka mechi 13 ingawa bado kuna baadhi ya...
READ MOREMABOSI wa Simba wanauchukulia umuhimu mchezo wao wa watani wa jadi, Yanga ni baada ya kuwasiliana na Shirikisho la Soka...
READ MOREAliyekuwa kocha wa Simba SC, Patrick Aussems ‘Uchebe’ Novemba 3, 2019 kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter...
READ MOREWACHEZAJI wa Yanga wameambiwa na uongozi: “Hakuna kuvunja kambi, mtabaki hapahapa Dar mpaka mtakapocheza na Simba.” Hii imetokea siku...
READ MOREHATIMAYE aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji ameondoka nchini Tanzania na kurejea nyumbani kwao...
READ MOREALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, ametamka kuwa kocha ajaye ndani ya kikosi hicho, anatakiwa anatakiwa akifanyie mambo...
READ MORE Global TV imefanya mahojiano na mshambuliaji wa timu ya KMC, James Msuva, ambaye pia ni mdogo wa Mshambuliaji wa...
READ MOREGUMZO ambalo limetawala katika mijadala ya michezo kwa wikiendi hii ni kwamba bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo alipigwa na Arnel Tinampay...
READ MOREMOJA ya kasoro kubwa za wanasoka wengi hapa nchini na duniani kote ni elimu. Wanasoka wengi wamekuwa na elimu za...
READ MOREWAKATI Kocha Msaidizi akiwa Selemani Matola, jina la Kocha Mkuu wa AS Vita ya DR Congo, Jean-Florent Ikwange Ibengé limetajwa...
READ MORENAHODHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Papy Tshishimbi, amepanga kukutana na mabeki wa timu hiyo kwa ajili ya kufanyia kazi changamoto...
READ MORELIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa inazidi kuchanja mbuga ikiwa ipo kwenye mzunguko wa kwanza, ushindani umekuwa mkubwa kwa timu...
READ MOREKLABU ya Azam jana iliponea chupuchupu kupokea kichapo mbele ya JKT Tanzania na kulazimishwa sare ya mabao 2-2 katika mchezo...
READ MOREKIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba hivi sasa anayekipiga Al Ittihad Alexandria ya Misri, Mganda Emmanuel Okwi, amefungua akaunti ya...
READ MOREPROMOSHENI ya Faidika na Jero iliyokuwa inachezeshwa na Kampuni ya kubashiri ya SportPesa imemalizika kwa Yusuph Jackson, 29, mkazi wa...
READ MOREMourinho: K OCHA wa Tottenham Hotspur, Jose Mourinho amesema kuwa mtu pekee aliyemwalika kwenye Dimba la Old Trafford ni Michael...
READ MOREBONDIA wa ngumi za kulipwa Tanzania, Hassan Mwakinyo, juzi alifanikiwa kumchakaza kwa pointi mpinzani wake, Arnel Tinampay raia wa Ufilipino....
READ MOREWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo hapa nchini, Dkt. Harrison Mwakyembe leo Jumamosi, Novemba 30, 2019 amezindua mashindano ya...
READ MOREKocha wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems, kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram leo Novemba 30, 2019 amethibitisha kuwa Bodi ya...
READ MOREWAKATI kukiwa na tetesi za Kocha wa Polisi Tanzania, Seleman Matola kutakiwa na Simba, taarifa zinasema tayari kocha huyo ameanza...
READ MOREKIUNGO tegemeo wa Liverpool, Fabinho anatarajiwa kukosa mechi kadhaa muhimu kwa timu yake kutokana na kupata majeraha ya kifundo cha...
READ MOREALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amesema kuwa kama kweli inamuhitaji mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Heritier...
READ MOREBONDIA Hassan Mwakinyo amemchapa Arnel Tinampay kutoka Ufilipino katika pambano kali la Super Welter la raundi 10, lililopigwa usiku wa...
READ MOREBONDIA Mfaume Mfaume amemtwanga bondia mwenzake Keis Ally, katika raundi ya nane na ya mwisho kwenye pambano la utangulizi kusindikiza...
READ MOREBONDIA Twaha Kiduku kutoka Morogoro, amemchakaza bondia kutoka Afrika Kusini, France Ramabolu, kwa TKO kwenye raundi ya tano ya mpambano...
READ MOREUONGOZI wa Klabu ya Yanga umedaiwa kuwa upo kwenye harakati za kutaka kumrudisha Mrundi, Amissi Tambwe kikosini hapo kwa ajili...
READ MOREKLABU ya Arsenal leo Ijumaa, Novemba 29, 2019, imemfuta kazi kocha mkuu wake, Unai Emery, baada ya kushindwa kupata ushindi...
READ MOREKikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kilichoitwaa kwaajili ya michuano ya Mataifa Afrika Mashariki na Kati...
READ MOREVIONGOZI wa Yanga, jana walimtumia tiketi ya ndege mshambuliaji wao, Mzambia Mybin Kalengo ili arejee nchini kupata matibabu ya haraka...
READ MOREHADITHI ya beki wa kati wa Yanga , Vicent Andrew maarufu kama Dante imechukua sura mpya baada ya mashitaka kufika...
READ MOREIMEFAHAMIKA kuwa wakati wowote Klabu ya Simba itaachana na benchi zima la ufundi huku tetesi zikimtaja kocha wa sasa wa...
READ MOREBONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameapa kuwa atahakikisha mpinzani wake, Arnel Tinampay raia wa Ufilipino ‘anafia’ ulingoni...
READ MOREKATIKA kuhakikisha wanapata pointi tatu, mabosi wa Yanga watano, leo alfajiri walitarajiwa kusafiriki kwa ndege kutoka Dar...
READ MOREKOCHA ambaye jina lake likitajwa tu mashabiki wa Yanga wanashtuka, Mwinyi Zahera ametua nchini usiku wa kuamkia jana Jumatano. Zahera...
READ MORE