×

Michezo

Thamani ya Mbwana Samatta Yapandishwa Ulaya

  Wilbert Molandi | CHAMPIONI |Dar es Salaam NEEMA imezidi kumuangukia mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta anayekipiga Klabu...

READ MORE

Ngoma, Kamusoko Warejea Yanga

  Wilbert Molandi |CHAMPIONI | Dar es Salaam MSHAMBULIAJI Mzimbabwe, Donald Ngoma na kiungo Thabani Kamusoko juzi Jumatatu walifufua matumaini ya Yanga...

READ MORE

Azam FC yabariki vita ya Simba SC, Yanga SC

Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI| Dar es Salaam BAADA ya hivi karibuni timu ya Azam kuchezea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Yanga, uongozi wa klabu...

READ MORE

Kaseja Afunguka Kurudi Simba SC

Wilbert Molandi | CHAMPIONI| Dar es Salaam KIPA namba moja wa Kagera Sugar, Juma Kaseja, ametamka kuwa maisha yake anategemea soka, hivyo hatasita...

READ MORE

TFF Sasa Wafanya Kazi Kwenye Magari

Sweetbert Lukonge |CHAMPIONI| Dar es Salaam UONGOZI wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mpaka sasa haujui ni lini ofisi zake zitafunguliwa na...

READ MORE

Rekodi za Chirwa Noma, Zaibeba Yanga SC

Mwandishi Wetu | CHAMPIONI| Dar es Salaam TARATIBU Obrey Chirwa anazidi kuwa staa ndani ya Yanga, kwani rekodi zake katika michezo ya hivi karibuni, ndizo...

READ MORE

Tambwe: Naijua Simba, Lazima Ianguke

Said Ally | CHAMPIONI| Dar es Salaam STRAIKA wa Yanga, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ameweka bayana kwamba utitiri wa michezo...

READ MORE

Shika Ndinga ya Efm Yatua Mwembeyanga, Temeke

Baadhi ya wananchi waliofika viwanjani hapo wakishuhudia mashindano hayo. Baadhi ya washiriki wa shindano la Shika Ndinga wakichuana katika mashindano...

READ MORE

Mpira Umekwisha Uwanja wa Taifa: Yanga SC 1-0 Azam FC

MPIRA UMEKWISHAAAAAA…. KADI Dida analambwa kadi ya njano kwa kupoteza muda -SUB Juma Mahadhi anaingia kuchukua nafasi ya MsuvaDAKIKA 5...

READ MORE

Omog Amtia Jeuri Mavugo, Aiue Kagera Sugar

STORI: Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI JUMAMOSI| Dar es Salaam KIKOSI cha Simba kesho Jumapili kinashuka uwanjani kupambana na Kagera Sugar katika mchezo...

READ MORE

Kaseja Atibua Mipango ya Simba Kagera Sugar

STORI: Musa Mateja | CHAMPIONI| Dar es Salaam KIPA mkongwe, Juma Kaseja, amewatahadharisha Simba kwa kuwaambia kwamba wajipange kisaikolojia kabla ya...

READ MORE

TRA Yakomaa, Simba Yazikomboa Nyasi

Wilbert Molandi | CHAMPIONI| Dar es Salaam NYASI bandia za Simba zipo hatarini kupigwa mnada na Kampuni ya Udalali ya...

READ MORE

Sanches Afunguka Mkataba wa Arsenal

LONDON | England |CHAMPIONI IJUMAA WAKATI sakata la uhamisho wake kuwa anaweza kuondoka Arsenal likiendelea, mshambuliaji wa timu hiyo, Alexis Sanchez...

READ MORE

Mbuyu Twite Aibuka, Aipa Neno Yanga

Omary Mdose  |CHAMPIONI IJUMAA| Dar es SalaamDar es Salaam KIUNGO wa zamani wa Yanga, Mnyarwanda, Mbuyu Twite, ameibuka na kudai...

READ MORE

Chirwa Anyoa Upara Awafunge Azam FC

Wilbert Molandi |CHAMPIONI IJUMAA| Dar es Salaam STRAIKA wa Yanga, Mzambia, Obrey Chirwa, amebadili mwonekano mpya kichwani kwake baada ya...

READ MORE

Ajibu Jeuri, Atoa Kauli Tata

Khadija Mngwai |CHAMPIONI IJUMAA| Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa Simba, Ibrahim Ajibu, amefunguka kwa kusema kuwa nia yake ni kujituma kwa...

READ MORE

Serengeti Boys Si ya Mchezo… Yapiga Mtu 3-0

Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys, leo imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi...

READ MORE

Wakati Mashabiki Wakitaka Asepe, Wenger Auomba Uongozi wa Arsenal Umuongezewe Miaka Miwili

Kocha Arsene Wenger ameauambia uongozi wa Arsenal kwamba anataka kuendelea kubaki Emirates kwa miaka miwili. Katika mkutano pamoja na uongozi...

READ MORE

Usikose Kutazama SpotiHausi Leo Alhamisi, Saa 10:00 Jioni -Global TV Online

#SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni. Wachambuzi wa michezo Saleh Jembe, Wilbert Molandi, Philip...

READ MORE

Ureno: Uwanja wa Ndege wa Madeira Wapewa Jina la Cristiano Ronaldo

STRAIKA wa Klabu ya Real Madrid Ronaldo na Timu ya Taifa ya Ureno, ambaye aliongoza taifa lake kushindwa ubingwa wa...

READ MORE

Alonso Anasepa Zake Sasa

Na Mwandishi wetu/CHAMPIONI/GPL MOJA kati ya viungo bora kwenye soka duniani ni Xabi Alonso, ambaye kwa sasa anakipiga kwenye kikosi...

READ MORE

Brazil Imekuwa ya Kwanza Kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018

Brazil imekuwa taifa la kwanza kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia ambazo zitachezewa nchini Urusi mwaka ujao baada ya kuIlaza...

READ MORE

Singida United Yatoa Kauli ya Vitisho

Na Omary Mdose/CHAMPIONI/GPL BAADA ya kupata nafasi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao huku ikianza mapema harakati za usajili...

READ MORE

Juuko atangaza makombe mawili Simba

Na Omary Mdose/CHAMPIONI/GPL BEKI wa kati ya Simba, Juuko Murshid raia wa Uganda, anaamini kwamba kikosi chao hicho msimu huu...

READ MORE

Hans Poppe afunguka kuhusu mkataba wa Ajibu

Na Said Ally/CHAMPIONI/GPL MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe ameibuka na kuweka hadharani kwamba mkataba wa...

READ MORE

Okwi Naikumbuka Sana Yanga

Na Said Ally/CHAMPIONI/GPL MSHAMBULIAJI wa timu ya SC Villa ya Uganda, Emmanuel Okwi ambaye aliwahi kutamba na Simba ya hapa...

READ MORE

Tukijisahau Wakimataifa Wakatuharibia Taifa Stars

Na Mwandishi wetu/CHAMPIONI/GPL NIANZE makala yangu ya leo kwa kumpa pongezi mbunge Nape Nnauye ambaye alikuwa waziri kabla ya uteuzi...

READ MORE

Farid Mussa Kocha Alinipeleka Timu ya Watoto Hispania

“WAKATI natua Hispania kwa mara ya kwanza maisha hayakuwa rahisi hata kidogo kwani nilitakiwa kukaa nje ya kikosi cha kwanza...

READ MORE

Waziri Mwakyembe Aipa ‘Gwala’ Taifa Stars… Atia Neno Kuhusu Serengeti Boys

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe ameipongeza timu ya Taifa ya Mpira wa miguu(Taifa Stars) kwa...

READ MORE

TFF Yashusha Presha ya Pointi tisa Simba SC

Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI| Dar es Salaam SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limewataka viongozi wa Simba kutokuwa na wasiwasi na...

READ MORE

Kisa Kumtukana Refa… FIFA Yamkung’uta Adhabu Messi

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi amefungiwa kuichezea timu yake ya taifa kwa mechi nne. Messi amefungiwa baada ya kumtukana mwamuzi...

READ MORE

Taifa Stars Waigonga Burundi, Msuva, Mbaraka Wang’ara… Akina Mavugo Hoi

      Taifa Stars imeendeleza ushindi baada ya kuitwanga Burundi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Man City walimwa faini ya pauni elfu 35 na FA

Klabu ya Manchester City imetozwa faini ya paundi elfu 35 (zaidi ya shilingi milioni 70) na chama cha soka cha...

READ MORE

Demu wa De Gea Asaka Makazi Madrid

Na Mwandishi Wetu/ CHAMPIONI/GPL MPENZI wa kipa wa Manchester United, David de Gea, Pushy Edurne Garcia, ameendelea kuonyesha kuwa kipa...

READ MORE

Sanchez Azindua Sanamu Yake Chile Tocopilla, Chile

Na Mwandishi Wetu/ CHAMPIONI/GPL HESHIMA aliyonayo Alexis Sanchez nchini kwao Chile ni ya kipekee, licha ya kuwa nchi hiyo imejaza...

READ MORE

Neymar Coutinho Bonge la Dili Barcelona

Na Mwandishi Wetu/ CHAMPIONI/GPL KIUNGO mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amedai kama kiungo wa Liverpool, Philippe Coutinho atatua Camp Nou litakuwa...

READ MORE

Ozil Nina Furaha Arsenal

Na Mwandishi Wetu/ CHAMPIONI/GPL KIUNGO wa Arsenal, Mesut Ozil, amesema kuwa ana furaha kwenye kikosi cha Arsenal kwa sasa. Kumekuwa...

READ MORE

Simba wasepa zao Mwanza, Kichuya, Mavugo Wabaki Dar

Sweetbert Lukonge na Said Ally |CHAMPIONI| Dar es Salaam ILE safari ya kikosi cha Simba ya Kanda ya Ziwa kwa ajili...

READ MORE