×

Michezo

Ngoma apewa sh.millioni 200

Donald Ngoma. Wilbert Molandi, Dar es Salaam SIJUI utatafsiri vipi lakini habari mpya mjini ni kuwa Klabu ya Yanga imeweka pembeni...

READ MORE

Tambwe apata gonjwa la ajabu

Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam SIKU moja baada mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe kujiunga...

READ MORE

Pluijm ampoteza Kerr

Hans van Der Pluijm. Sweetbert Lukonge na Nicodemus Jonas KUFURU ya mkwanja! Wakati Yanga wakitamba kuwa wababe wa makombe kwenye...

READ MORE

Msuva amvuruga Pluijm

Simon Msuva. Sweebert lukonge, Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Dar Pluijm hivi sasa anaumiza kichwa ili kuhakikisha...

READ MORE

Kiongera: Nakuja Simba kuipa ubingwa

Straika wa Simba, Mkenya, Paul Kiongera. Martha Mboma Dar es Salaam STRAIKA wa Simba, Mkenya, Paul Kiongera, amesema amefurahi kuona klabu...

READ MORE

Kavumbagu kufuru, Azam yamuuza kwa 200m

Didier Kavumbagu. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam RASMI! Hatimaye Azam wamekubali yaishe kwa fowadi wake, Didier Kavumbagu kumuachia kutimkia Ulaya katika...

READ MORE

EPL: Chelsea, Tottenham ngoma suluhu

Clinton N’Jie wa Tottenham akikwaana na Cesc Fabregas wa Chelsea. Harry Kane wa Tottenham akijaribu kupiga shuti mbele ya mabeki...

READ MORE

Vikosi: Chelsea vs Tottenham Hotspur

Chelsea: Begovic; Ivanovic, Zouma, Cahill, Azpilicueta; Fabregas, Matic; Willian, Oscar, Pedro; Hazard Tottenham Hotspur: Lloris (C), Walker, Alderweireld, Vertonghen, Rose;...

READ MORE

Tyson Fury amchakaza Wladimir Klitschko

Wladimir Klitschko akitupiana makonde na Tyson Fury. Tyson Fury akishangilia ushindi akiwa na mikanda aliyoshinda. Tyson Fury baada ya kutangazwa mshindi....

READ MORE

Beki Simba avamiwa na majambazi

Wilbert Molandi na Gladness Mallya NAHODHA na beki wa kati wa zamani wa Simba, Boniface Pawasa, siku kadhaa zilizopita alivamiwa...

READ MORE

Kerr ampongeza Matola

Kocha mkuu wa Simba Dylan Kerr. Martha Mboma na Omary Mdose LICHA ya Selemani Matola kuondoka ndani ya kikosi cha...

READ MORE

Suala la Nyosso laibuliwa upya TFF

Beki Juma Nyosso. Na Hans Mloli ISHU ya beki Juma Nyosso aliyefungiwa miaka miwili kutocheza soka, imeibuliwa upya baada ya...

READ MORE

Matokeo ya michezo yote ya UEFA Champions League jana

Matokeo ya michezo yote ya UEFA Champions League iliyopigwa usiku wa Jumatano. Matokeo ya michezo hiyo yalikuwa hivi…. Msimamo wa...

READ MORE

Kiungo Simba afanya mazoezi Yanga SC

James Msuva. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas UONGOZI wa Yanga upo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mdogo...

READ MORE

Usajili wa Dilunga waziingiza vitani Stand, JKT

Hassan Dilunga. Martha Mboma,Dar es Salaam WAKATI kikosi cha JKT Ruvu kikitamba kunasa saini ya kiungo wa Stand United, Hassan...

READ MORE

Matokeo ya jana UEFA na msimamo wa makundi

Haya hapa ni matokeo ya mechi zote zilizochezwa jana za makundi yote E, F, G na H . Na huu...

READ MORE

Kavumbagu kumpisha Traore Azam FC

Straika wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu. Ibrahim Mussa, Dar es Salaam IMEVUJA! Licha ya kuwepo kwa taarifa za straika...

READ MORE

Kibadeni atamba Chalenji bila Samatta, Ulimwengu

Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni. Na Said Ally KOCHA wa timu ya taifa...

READ MORE

Maguri auzwa TP Mazembe kwa Sh Mil 100

straika wa Stand United, Elias Maguri. Na Sweetbert Lukonge STAND United imekubali kumuuza straika wake Elias Maguri kwa TP Mazembe...

READ MORE

Mkwasa ashitakiwa Fifa

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa. Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Chama cha Wanasoka wa...

READ MORE

Straika mpya Simba atumiwa tiketi ya Ndege

Paul Kiongera, raia wa Kenya. Khadija Mngwai, Dar es Salaam UONGOZI wa Klabu ya Simba umeeleza kuwa tayari umeshamtumia tiketi...

READ MORE

Kisa Maguri, Aveva avamiwa Dar

Rais wa timu ya Simba, Evans Aveva. Wilbert Molandi, Dar es Salaam MASHABIKI wa Simba wikiendi iliyopita walishindwa kuzizuia hasira...

READ MORE

Maxime aanza hesabu za ligi kuu

Mecky Maxime.   Martha Mboma, Dar es Salaam KIKOSI cha Mtibwa Sugar kimeanza mazoezi yake rasmi juzi Jumatatu ufukweni kuhakikisha...

READ MORE

Stars yatoka sare ya bao 2-2 na Algeria Taifa

Wachezaji wa Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakishangilia moja ya bao. Mashabiki wakishangilia. Mbwana Samatta akishangilia goli lake...

READ MORE

Tiketi za Stars, Algeria kuuzwa kesho

  TIKETI za mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka 2018 kati ya Tanzania...

READ MORE

Taifa Stars yafanya mazoezi ya mwisho Sauz

Wachezaji wa Stars wakisikiliza maelekezo kutoka kwa kocha wao, Charles Boniface Mkwasa. Stars wakiendelea kujifua nchini Afrika Kusini leo. Mkwasa...

READ MORE

Taifa Stars yaendelea na mazoezi Afrika Kusini

Kutoka kushoto, Ibrahim Ajib , Jonas Mkude na Said Ndemla (nyuma yao) wakiwa katika mazoezi ya kikosi cha timu ya...

READ MORE

Simba yampa Mavugo Sh milioni 100

Straika wa Vital’O ya Burundi, Laudit Mavugo. SIMBA haitaki mchezo kabisa katika kujenga kikosi chake, kwani imetenga kiasi cha dau...

READ MORE