×

Michezo

Yanga SC yamhamishia Kessy Ulaya

BEKI mpya wa Simba, Hassan Kessy, hataonekana nchini kwa muda wa siku 14 akitarajiwa kuonekana siku tatu kabla ya mechi...

READ MORE

Azam: Kavumbagu atajua mwenyewe

Said Ally, Dar es Salaam BAADA ya taarifa kuenea kuwa Klabu ya Mbeya City ipo katika mchakato wa kumtwaa straika...

READ MORE

Mayanja anakuja kuisuka Simba SC mpya

Nicodemus Jonas, Dar es Salaam KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Mganda, Jackson Mayanja, amewatoa hofu wanachama wa timu yake na...

READ MORE

Ufaransa kufungua pazia Euro leo

Timu ya Ufaransa PARIS, Ufaransa TIMU ya taifa ya Ufaransa inafungua pazia la michuano ya Euro 2016 leo Ijumaa katika...

READ MORE

Hashim Thabeet Atinga kwa Makamu wa Rais

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mchezaji wa kikapu wa kulipwa...

READ MORE

Wafanyabiashara Kariakoo kunufaika na huduma za Vodacom

Kaimu Meneja Mkuu wa shirika la masoko Kariakoo,Mrero Mgheni(katikati)akikata utepe kuzindua duka jipya la Vodacom Tanzania”Service desk” lililopo langoni mwa...

READ MORE

Saa 2 za Kessy mazoezini Yanga

    Beki wa kulia mpya wa timu ya Yanga, Hassan Kessy. Wilbert Molandi na Mohammed Mdose AKIRIPOTI kwa mara ya...

READ MORE

Dante achukua milioni 30 za Yanga, ataka kuishi uswahilini

Beki mpya  wa Yanga , Andrew Vincent ‘Dante’. Omary Mdose na Said Ally YANGA imempa beki wao mpya waliomsajili hivi...

READ MORE

Mjengo Aliyokodi Neymar Marekanni… Analipa Sh. Mil 21 kwa Siku

Mshambuliaji nyota wa Barcelona na timu ya Taifa ya Brazil, Neymar dos Santos ameendelea kula bata nchini Marekani. Lakini sasa...

READ MORE

Yanga yaifanyia umafia Simba SC

Said Juma ‘Makapu’ akisani mkataba. Mohammed Mdose, Dar es Salaam UNAWEZA kusema ni umafia baada ya uongozi wa Yanga kukubali...

READ MORE

Mkwasa: Misri hawatoki Taifa leo

Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa . Wilbert Molandi, Dar es Salaam MARA ya mwisho kwa Taifa Stars kushiriki fainali...

READ MORE

Mkwasa: Siwezi kumlazimisha Cannavaro kucheza

Kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa (kulia). Wilbert Molandi, Dar es Salaam KOCHA wa Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema anatamani...

READ MORE

Yanga SC yaongeza Mzimbabwe, Mghana

Kikosi cha Yanga SC. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam NYOTA watatu kutoka Nigeria, Ghana na Zimbabwe wanatarajia kutua nchini ndani...

READ MORE

Samatta: Yanga inaweza kuifunga TP Mazembe

Mbwana Samatta wa KRC Genk. Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam STRAIKA Mbwana Samatta wa KRC Genk amesema Yanga kama ikijipanga inaweza...

READ MORE

Breaking News: Bondia Muhammad Ali Afariki Dunia

Muhammad Ali enzi za uhai wake. Bondia bingwa wa zamani wa dunia, Muhammad Ali ‘The Greatest’ amefariki dunia jana Ijumaa...

READ MORE

Vodacom Yakabidhi Vitita kwa Wachezaji Bora wa April na Mei

   Mchezaji wa Yanga,Juma Abdul, akiwa ameshikilia hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/=baada ya kukabidhiwa rasmi na wadhamini...

READ MORE

Wizara ya Michezo Yakabidhi Bendera ya Taifa kwa Mshindi wa Airtel Trace Music Stars

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Leah Kihimbi (kulia), akikabidhi...

READ MORE

Pichaz: Taifa Stars, Warabu Wajifua

Kikosi cha timu ya taifa Taifa Stars jana jioni kimefanya mazoezi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar na Timu ya...

READ MORE

Songea: Washindi wa Mdahalo kwa Shule za Sekondari Watunukiwa

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya De Paul wakiwa na tuzo za IPad na ngao ya dhahabu baada ya...

READ MORE

Real Madrid Walivyotwaa Kombe la UEFA (Video+Picha)

Kikosi cha Real Madrid kimefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Mabingwa barani Ulaya kwa kuwachapa mahasimu wao Atletico Madrid kwa...

READ MORE

Diwani Aibuka Kinara Riadha

Diwani wa Viti Maalum Kata ya Matalawe Manispaa ya Songea, Judith Mbogoro akimalizia mbio za kilometa 5, katika Tamasha la...

READ MORE

Azam, TFF zaingia mkataba wa kuendesha ligi ya vijana, wanawake

Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Rhys Torrington wakisaini mkataba huo. KAMPUNI ya Azam Media...

READ MORE

Mourinho Atangazwa Rasmi Kuwa Kocha wa Man U

We are delighted to announce Jose Mourinho is our new manager! Full statement: https://t.co/PDiHMIWnpd #WelcomeJose pic.twitter.com/eZ8NBSz2up — Manchester United (@ManUtd)...

READ MORE

Kuwa mwerevu na huduma ya Global Breaking News

Kuwa mwerevu na huduma ya Global Breaking News Unajua yote yanayojiri hata usipotoka nje! Unakuwa wa kwanza kupata habari kabla...

READ MORE

Van Gaal Atumbuliwa Man U

KOCHA wa Kilabu ya Manchester United Louis van Gaal ametimuliwa rasmi klabuni hapo leo huku aliyekuwa mkufunzi wa Chelsea Jose...

READ MORE

Majimaji Vs Yanga Nguvu Sawa, Zaenda Sare ya 2-2

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2015/16, Yanga leo wamehitimisha ligi hiyo kwa kutoka sare ya mabao...

READ MORE

Yanga Walivyotua Songea, Tayari Kuwavaa Majimaji

Wachezaji na viongozi wa Yanga wakati wakiwasili katika Hoteli ya Top One Inn, Songea wakiwa tayari kuwakabili Majimaji. Mabingwa wa Ligi...

READ MORE

Global FC Yaichapa Via FC ya Tegeta 2-1

Timu ya Soka ya Global FC Jana Timu ya Soka ya Global FC inayomilikiwa na Kampuni ya Global Publishers ilishuka...

READ MORE

Global FC, Kili Vetereni kutoana roho leo

Mwandishi Wetu KIKOSI cha timu ya Global FC, leo Ijumaa kinatarajia kushuka dimbani kumenyana na timu ya Kili Veterani katika...

READ MORE

Yanga Yasonga Mbele Michuano ya CAF

Donald Ngoma akimtoka mchezaji wa Sagrada Esperanca. Kipa wa Yanga, Dida akiokoa hatari langoni mwake. Amissi Tambwe akiwania mpira na mchezaji...

READ MORE

Rashford Atajwa Kikosi cha Uingereza cha Euro

Marcus Rashford. LONDON, UINGEREZA Meneja wa timu ya taifa ya Uingereza Roy Hodgson amemtaja chipukizi wa Manchester United Marcus Rashford...

READ MORE

Kiiza ,Juuko wapata warithi Simba

Hamisi Kiiza   Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SIMBA sasa iko ‘siriaz’ katika kuhakikisha inafuta aibu ya kila mwaka baada...

READ MORE

Ajib mambo safi Sauz

Ibrahim Ajib Hans Mloli, Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa Simba, Ibrahim Ajib aliyepo nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ akifanya majaribio ya kucheza...

READ MORE