×

Michezo

Kiungo Fundi wa Al Hilal Mambo Safi Yanga Injinia Hersi Said Afunguka

RASMI imebainika klabu ya Yanga imeanza rasmi mazungumzo ya kumsajili kiungo fundi wa Al Hilal ya Sudan, Fabrice Ngoma ambaye...

READ MORE

Kilimanjaro Marathon Yatoa 11.3m/- Kwa Watoto Wenye Saratani

Ofisa Mtendaji Mkuu wa TLM, Dk Trish Scanian. UONGOZI wa Mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon umetoa...

READ MORE

Wazungu Wamfuata Jean Baleke Simba Amefunga Mabao Nane

UONGOZI unaomsimamia Jean Baleke umeweka wazi kuwa umepokea ofa kutoka kwa timu nyingi zikiwemo zinazocheza katika ligi mbalimbali barani Ulaya....

READ MORE

TV ya Meridianbet Yafika Makao Makuu Dodoma

Mwezi uliopita niliandika habari ya shindano jipya pale jumba la mabingwa Meridianbet, leo ninayo furaha kuwatambulisha kwenu tena mshindi wa...

READ MORE

Panga Lapita Yanga Injinia Hersi Said Afunguka Mikakati Mipya

WAKIWA wameshatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23, Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said amebainisha namna watakavyopitisha panga...

READ MORE

Yanga Yampasua Kichwa Kocha wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ a

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefichua kuwa, kufanya vizuri kwa Yanga katika michuano ya kimataifa, kumepelekea aongeze umakini...

READ MORE

Ongeza Salio Upate Bonasi ya Tsh 5,000/= Meridianbet

Meridianbet imeamua kutoa ofa kubwa kwa wateja wake wanaoongeza salio kwenye akaunti zao za Meridianbet, bonasi ya Tsh 5,000/= na...

READ MORE

Ange Postecoglou Ateuliwa Kuwa Kocha wa Tottenham Spurs

Tottenham wamethibitisha kumteua Ange Postecoglou kama kocha wao mpya kwa kandarasi ya miaka minne. Postecoglou, 57, anaondoka Celtic baada ya...

READ MORE

Promosheni Mpya ya Meridianbet Imeanza Rasmi

Ligi ndio hivyo zimeisha huku kukiwa kumebaki mechi kadhaa kali zenye uhakika wa hela, huenda ukawa unajiuliza maswali utafanya nini...

READ MORE

USM Alger ya Algeria Yatwaa Ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika 2022/23

Timu ya USM Alger ya Algeria imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika 2022/23 kwa faida ya goli la...

READ MORE

Jumuiya Ya Wazazi CCM Temeke Yazindua Michuano Ya Wazazi Super Cup, Vijana Wafurika

Dar Es Salaam, 2 Juni 2023: Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Temeke inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Hamis Slim, jana...

READ MORE

Yanga Jeuri… Kocha Nabi: Tunataka Ubingwa, Sio Kuwa Wapili

ZIKIWA zimebaki saa tu kabla ya kuwavaa USM Alger katika mchezo wa fainali ya pili itakaopigwa leo Jumamosi nchini Algeria,...

READ MORE

Baada Ya Kurejea Kambini… Mbrazili Simba Atenga Saa 120 Kumaliza Hesabu

BAADA ya kikosi chake kurejea kambini juzi Alhamisi, Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazil Roberto Olivieira ameweka wazi kuwa wameandaa programu...

READ MORE

Hersi: USM Alger Watakutana Na Mtiti Wa Watunisia Leo

KUELEKEA mchezo wa fainal ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger utakaopigwa leo Jumamosi nchini Algeria,...

READ MORE

Waziri wa Michezo Dkt. Pindi Chana Awatembelea Yanga Kambini

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Pindi Chana akiongozana na Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Meja Jenerali Mstaafu Jacob...

READ MORE

Simba Yaanika Mipango ya Michuano ya CAF Super League

  UONGOZI wa Simba SC, umesema kwa sasa akili zao wanazielekeza kwenye michuano ya CAF Super League na tayari wameshaanza...

READ MORE

Yanga: Tunarudi Na Kombe Bakari… Mwamnyeto Awaondoa Hofu Mashabiki

NAHODHA na beki wa kati wa Yanga, Bakari Mwamnyeto, amewaambia Wanayanga waondoe hofu, kwani wanakwenda Algeria kulipa kisasi cha kuwafunga...

READ MORE

Fei Toto: Hersi Akiondoka Yanga Narudi Klabuni Hata Sasa Hivi

KIUNGO mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ leo akifanya mahojiano na kituo kimoja cha redio amesema “Kabla...

READ MORE

Straika Kiboko wa Yanga Aandaliwa Mkataba Simba

IMEELEZWA kwamba, mshambuliaji wa Vipers, Milton Karisa, atakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Simba katika kipindi kijacho cha dirisha kubwa...

READ MORE

Hiki Hapa Kikosi cha Wananchi Kinachokwea Pipa Kuelekea Algeria

KIKOSI cha Wananchi, Young Africans SC kinachokwea pipa kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa fainali ya kombe...

READ MORE

Real Madrid na Man United Zaongoza Orodha ya klabu Zenye Thamani zaidi Duniani

Manchester United ndio klabu yenye thamani kubwa zaidi katika ligi ya Premier, kulingana na orodha iliyotolewa na tovuti ya biashara...

READ MORE

Chivaviro Akataa Sh 300Mil Za Waarab, Atue Yanga

INASEMEKAMANA kuwa, mshambuliaji wa Marumo Gallants ya Afrika Kusini, Ranga Chivaviro, amekataa dau la randi milioni 3 ambazo ni sawa...

READ MORE

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola Atwaa Tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka wa LMA

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwaka na Chama cha makocha wa Ligi. Hii ni...

READ MORE

Kocha USM Alger Alia Na Refa Fainali ya Kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika

KOCHA wa USM Alger, Abdul Benchikha, alisema wazi kuwa licha ya timu yake kupata ushindi wa mabao 1-2 ugenini mbele...

READ MORE

Mpishi Mashuhuri Kenya Bernice Kariuki Atangaza Kuacha Kazi Arsenal

Mpishi mashuhuri nchini, Kenya Bernice Kariuki ametangaza kuacha kazi Arsenal, timu ya soka ya Ligi Kuu ya Uingereza baada ya...

READ MORE

Mastaa Yanga Waahidi Kulipa Kisasi Algeria dhidi ya USM Alger

WACHEZAJI wa Yanga, wakiongozwa na Fiston Mayele na Kennedy Musonda, wamesema kuwa bado wana nafasi ya kushinda mchezo wa marudiano...

READ MORE

Familia Ya Shabiki Wa Yanga Aliyefia Kwa Mkapa Waomba Msaada Serikali Na Yanga

Familia ya marehemu William Ernest aliyefariki katika Uwanja wa Mkapa alipokwenda kushuhudia mechi ya fainali ya kwanza ya Yanga dhidi...

READ MORE

Chama Ataja Kilichowaponza Msimu Huu na Kuwafanya Wakose Kila Kitu

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Clatous Chota Chama, amefungukia sababu kubwa ambayo imefanya wapotee msimu huu na kuwafanya wakose kila kitu....

READ MORE

Jaribu Zali Lako Leo Cheza Kasino Upate Bonasi za Kasino ya Mtandaoni

Expanse studio imekuja na michezo ya sloti inayokupa nafasi ya kushinda mgao wa TZS 500,000/= kila ukicheza kasino ya mtandaoni....

READ MORE

Yanga Yawatuliza Mashabiki… “Tunawaua Kwao USM Alger!”

TULIENI tunawaua kwao! Hivyo ndivyo walivyoanza kusema Yanga baada ya kumalizika kwa mechi yao dhidi ya USM Alger, ukiwa ni...

READ MORE

Aliyepeleka Kilio Simba Mikononi Mwa Yanga

MWAMBA aliyepeleka kilio kwa Simba SC, Prince Dube, ameingia mikononi mwa Yanga kwa kuwa kwenye kipengele kimoja cha kuwania tuzo....

READ MORE

Bosi Mpya Simba Apewa Faili La Mkata Umeme Usajili Msimu Ujao

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ amefunguka kuwa Mkuu wa Kitengo chao cha Skauti, Mholanzi...

READ MORE

Yanga: Tuna Dakika 180 Za Kazi Kimataifa Kutwaa Ubingwa CAF

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa, una dakika 180 za kazi kimataifa na watapambana kupata matokeo mazuri kufikia malengo ya kutwaa...

READ MORE

Mayele: Hawa USM Alger Siwaachi Azungumza na Championi

KUELEKEA mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, straika hatari wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele amechimba mkwara mzito kuwa...

READ MORE

Chama Agawa Tuzo Kwa Mastaa Simba Ligi Kuu Bara

CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba ameweka wazi kuwa ikiwa atakosa tuzo ya kiungo bora ndani ya...

READ MORE

Kocha wa Yanga Ategua Mitego Ya Waarabu Uwanja wa Mkapa, Dar

  KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amewataka mabeki wake kutofanya makosa yasiyokuwa na ulazima nje ya 18 yatakayosababisha...

READ MORE

Ulinzi Waongezwa Kambi Ya Yanga Kuelekea Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika

KUELEKEA mchezo wa kwanza wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, Yanga imeongeza ulinzi katika kambi yake waliyoiweka huko Kijiji...

READ MORE

Makachero Wa Nabi Wawamaliza Waarabu Fainali ya Kombe la Shirikisho

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameshusha pumzi kuelekea katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya...

READ MORE

Wajawazito Korogwe Kuoneshana Umwamba Kwenye Mbio Za ‘Mamathon’ Mei 28

Tanga: NI Mei 28 Korogwe! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea tukio kubwa la mbio za wanawake wajawazito ambazo zitafanyika siku hiyo...

READ MORE

Chivaviro Rasmi Ni Mwananchi… Yanga Yawazidi Ujanja Kaizer Chief Kutambulishwa

DEAL Done! Rasmi sasa mshambuliaji wa Marumo Gallants ya nchini Afrika Kusini, Ranga Chichaviro amemalizana na uongozi wa Yanga huku...

READ MORE