×

Michezo

Rodrygo Akiri Real Madrid Walitaka Kumdhihaki Salah Baada ya Kushinda Fainali ya Uefa

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Real Madrid Rodrygo Silva de Goes maarufu kama Rodrygo amebainisha kuwa wachezaji wa Real Madrid walipanga...

READ MORE

Klabu ya Arsenal Imefanikiwa Kuinasa Saini ya Kinda wa Ureno, Yampa Miaka 5

KLABU ya Arsenal ya nchini Uingereza imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya FC Porto ya nchini Ureno...

READ MORE

Yanga Yajipanga Kufanya Vizuri Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika

UONGOZI wa kikosi cha Yanga, umeweka wazi kuwa wamejiwekea malengo makubwa ya kuhakikisha msimu ujao, angalau wanacheza hatua ya makundi...

READ MORE

Msuva: Simba na Yanga Zinanitaka, Aahidi Kuweka Mambo Hadharani

KIUNGO mshambuliaji wa Wydad Casablanca, Mtanzania Simon Msuva amekiri kufuatwa na kufanya mazungumzo na timu kongwe za Simba na Yanga...

READ MORE

Mayele Amtupia Kombora Mpole, Adai Kila Mtu Ashinde Mechi Zake

  KINARA wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kumwambia mpinzani wake wa Geita Gold, George...

READ MORE

Simba Yampa Mkono wa Kwaheri Mchezaji Wake Rally Bwalya

UONGOZI wa Simba umefikia makubaliano ya kumuuza kiungo wao mshambuliaji raia wa Zambia Rally Bwalya kwa timu ambayo hawajaiweka wazi...

READ MORE

Bosi Mpya wa Chelsea Awatahadharisha Mashabiki Wasitarajie Usajili Mkubwa

BOSI na Mmiliki mpya wa klabu ya Chelsea Todd Boehly amewaonya mashabiki wa Klabu ya Chelsea kuwa wasitarajie usajili mkubwa...

READ MORE

Tuchel Aishinikiza Bodi ya Chelsea Kumfungia Kazi Lewandowski

KOCHA Mkuu wa klabu ya Chelsea raia wa Ujerumani Thomas Tuchel ameisisitizia Bodi ya klabu hiyo kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha...

READ MORE

Bosi Yanga Afunguka Walivyomnasa Aziz Ki, Simba Yatajwa Kwenye Vita Hiyo

SAKATA la usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephanie Aziz Ki, limeingia katika sura mpya na...

READ MORE

Simba Yafuata Straika Ghana, Yadhamiria Kuwekeza Zaidi Kimataifa

SIMBA SC ipo katika mazungumzo ya mwisho ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji Augustine Okrah anayeichezea Bechem United FC ya Ghana....

READ MORE

Azam Yamvuta Beki wa Yanga, Yajipanga Kupambana Ngazi ya Kimataifa

IMEFICHUKA kuwa, uongozi wa Klabu ya Azam upo katika mazungumzo na aliyewahi kuwa Beki na Nahodha wa Yanga, Lamine Moro...

READ MORE

Chuma Kingine Chatua Yanga, Carlinhos Ahusika Kwenye Usajili Wake

KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, ameamua kutumia ukaribu wake na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo...

READ MORE

Manara Amlipua Jemedari Said Adai Alimsingizia Kesi ya Uhujumu Uchumi

Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Manara amesema kitendo chake cha kutoka Simba na kujiunga na Yanga kimekubwa na vikwazo...

READ MORE

Bosi Simba Amtaja pacha wa Aziz Ki Atamba na Karim Konaté wa ASEC Mimosas

UONGOZI wa Simba umesema kuwa hauna hofu hata kama wakimkosa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas, Stephane Aziz Ki kwani wapo...

READ MORE

Ronaldo Ajiandaa Kustaafu, Apanga Kujenga Mjengo wa Bilioni 47.8

TAARIFA kutoka nchini Ureno zinaeleza kuwa Cristiano Ronaldo sasa atalazimika kulipa pauni milioni 17 za England sawa na Bilioni 47...

READ MORE

Simba Yamtambulisha Rasmi Nyota wa Klabu ya Zanaco Moses Phiri, Vilio Basi Msimbazi

SIMBA iliyo chini ya Kocha Msaidizi Seleman Matola imemtambulisha rasmi nyota Moses Phiri ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Klabu ya...

READ MORE

Yanga Yatwaa Ubingwa Ligi Kuu NBC Bila Kufungwa, Waifunga Coastal Union 3-0

MABAO mawili ya Fiston Mayele na moja la Chiko Ushindi yametosha kwa Yanga kutawazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu...

READ MORE

Manara: Kwenye Kikosi Bora cha Mwaka Yanga Tutaingiza Wachezaji 7-9, Morrison Ndani

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga Haji Manara amesema kuwa kulingana na mafanikio waliyokuwa nayo klabu ya Yanga msimu huu kikosi...

READ MORE

Simba Yavunja Benki Yamvuta Beki, Kumtambulisha Phiri, Yanga Kumaliza -Video

 Karibu kutazama kipindi cha KROSI DONGO upate habari zote za michezo za kuaminika kutoka ndani na nje ya Tanzania....

READ MORE

Kambole Asema Anakuja Yanga, Ataja Makubaliano ya Mkataba Wake

  MSHAMBULIAJI raia wa Zambia, Lazarous Kambole, amefichua kuwa, suala lake la kujiunga na Yanga lipo chini ya wakala wake,...

READ MORE

Mwigulu: Mayele Amekuwa Maarufu Kuliko Makatibu Wenezi

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewatupia dongo mashabiki wa Klabu ya Simba nchini huku akimsifia mchezaji wa...

READ MORE

Kocha Mpya Amtumia Pablo Kusajili Majembe Simba, Mazungumzo Yafikia Pazuri

UONGOZI wa Simba umesema kuwa, kocha wao mpya atatumia ripoti ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mhispania, Pablo Franco...

READ MORE

Bosi Afunguka Luis Kurudi Simba, Adai Wao Kama Uongozi Wanapambana Vilivyo

BAADA ya tetesi nyingi kuzagaa za kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Luis Miquissone raia wa Msumbiji kurejea katika timu...

READ MORE

Ujenzi wa Uwanja wa Simba Mambo Yazidi Kupamba Moto Bunju – (Picha +Video)

MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez amesema kuwa leo wameongozana na msanifu majengo (architect) kwa ajili ya kutembelea...

READ MORE

Mshambuliaji wa Zanaco ya Zambia, Moses Phiri, Phiri Asaini Miwili Simba

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wameendelea kukisuka kikosi chao kimyakimya kuelekea msimu ujao wa 2022/ 23, na tayari...

READ MORE

Global FC na Bongo Muvi Zatoshana Nguvu kwenye Mchezo wa Kirafiki

ILE timu ghali Bongo ya Global FC inayomilikiwa na Kampuni ya Global Group iliweza kuonyesha ubabe wake mbele ya timu...

READ MORE

Mosimane na Al Ahly Waachana kwa Makubaliano ya Pande Mbili

KOCHA wa Klabu ya Al Ahly raia wa Afrika Kusini Pitso Mosimane ameachana rasmi na mabingwa wa Misri kwa maubaliano...

READ MORE

Farid Mussa Aongeza Mkataba wa Miaka Miwili Jangwani, Atambulisha Meneja Mpya

MCHEZAJI wa Yanga Farid Mussa ameongeza mkataba wa miaka miwili ambao utamfanya aendelee kuwepo katika viunga vya Jangwani hadi mwaka...

READ MORE

Manara: Yanga Itasajiri Wachezaji Wanne au Watano wa Kimataifa (PICHA +VIDEO)

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga Haji Manara amesema Klabu hiyo itafanya usajili wa wachezaji wanne au watano tu wa kimataifa...

READ MORE

Saleh Ally: Injinia Hersi Hakustahili Kugombea Nafasi ya Urais wa Yanga(PICHA+VIDEO)

MCHAMBUZI wa soka nchini Saleh Ally Maarufu kama ‘Jembe’ ametoa maoni yake juu ya nafasi ya Injinia Hersi Said kuwa...

READ MORE

Ishu ya Aziz Ki Ipo Hivi, Yanga Yamuwekea Mil 650, Simba Yaingilia Dili Lake

  SAKATA la usajili wa kiungo mshambuliaji raia wa Burkina Faso, Stephen Aziz Ki, limezidi kuteka hisia za wapenda soka...

READ MORE

Nyota 11 Waondoka Man United Yupo Cavani, Pogba, Matic, Jesse Lingard na Mata

  KLABU ya Manchester United, imethibitisha kuondoka kwa nyota wake 11, kati ya hao yupo Paul Pogba na Jesse Lingard....

READ MORE

Mwili wa Padre Michael Samson wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya Waokotwa

MWILI wa padre wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya wa Shiriki wa Wasionari wa Afrika (White Father), Michael Samson...

READ MORE

Injinia Hersi Abaki Peke Yake Urais Yanga, Uchaguzi Julai 10, Wagombea Wote Wapo Hapa

  MCHAKATO wa uchaguzi ndani ya Klabu ya Yanga, umezidi kushika kasi ambapo jana Jumamosi orodha ya majina ya wagombea...

READ MORE

Rais wa Soka wa Cameroon Samuel Eto’o Amvimbia Matip Kurudi Timu ya Taifa

GWIJI wa soka Duniani, Bara la Afrika na Rais wa Chama cha Soka cha Cameroon Samuel Eto’o amekatalia katakata beki...

READ MORE

UEFA Nations League Kufikia Tamati Wikiendi Hii, Unamalizaje? Pata Odds Bora

Pengine unaweza kudhani mashindano ya mwaka huu ni kama yamesusiwa na wachezaji, mataifa makubwa yanaanguka viwanjani. Mkeka wako wa UEFA...

READ MORE

Simba Yamalizana na Kiungo Mnigeria Usiku, Apewa Mkataba ni Mnono – Gari, Nyumba

  DEAL done! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Simba kufikia makubaliano mazuri na uongozi wa Coastal Union ya kumnunua kiungo...

READ MORE

Rais Macron: Zidane Nakuhitaji Nyumbani Ufaransa

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amempigia debe Zinedine Zidane kurejea nchini humo huku kukiwa na taarifa kocha huyo atajiunga na...

READ MORE

Afya ya Prof. Jay Yaimarika, Aruhusiwa Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Wathibitisha

Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umethibitisha kuwa Mwanamuziki Joseph Haule (Prof. Jay) aliruhusiwa kurejea nyumbani Juni 9, 2022 baada...

READ MORE

Haji Manara: Timu Samatta na Timu Alikiba Kukiwasha Uwanja wa Mkapa Juni 18 -Video

 HAPATOSHI Juni 18, 2022 katika Uwanja wa Mkapa uliopo jijini Dar wakati vikosi vya Timu Samatta na Timu Alikiba...

READ MORE